I waz here.Hello wana MMU!
sio kawaida yangu kuingia jukwaa hili na kuandika, kupost au kuchangia mada zinazokuwa hapa, huwa napita na kusoma tu...
ukiona leo mpaka nimefikia kuandika thread hapa basi kuna jambo limenikaa rohoni, sio siri wana MMU, kuna member anaitwa Blackberry ingawa sio mwenyeji sana bado ni mgeni hapa JF nimetokea kumzimia sana, japo sijui ana umri gani?, anaishi wapi? na marital status yake ikoje...
Please Blackberry... waiting for your reward response
mmmh,watu mmezid kutangaza nia. Haya nami natangaza nia kwa lizzy,mamito moyo wangu una chemchem ya mapenz na maji yake ni matam kaa sharubati ya sukari guru!
mmmh,watu mmezid kutangaza nia. Haya nami natangaza nia kwa lizzy,mamito moyo wangu una chemchem ya mapenz na maji yake ni matam kaa sharubati ya sukari guru!
Hahaha! masikini Mwasepile hamjui Liz mkufunzi mwandamizi B/moyo college lol!Yamekua hayo?Sipendeki mie!
Yamekua hayo?Sipendeki mie!
Hahaha! masikini Mwasepile hamjui Liz mkufunzi mwandamizi B/moyo college lol!
Niambie dearest!Watu wanazimika zimika tu hapa kama vibatari!Hahaha! masikini Mwasepile hamjui Liz mkufunzi mwandamizi B/moyo college lol!
Aisee wee mutu inakuwaje haujazimikiwa weweHahaha! masikini Mwasepile hamjui Liz mkufunzi mwandamizi B/moyo college lol!
Ndo kusema......!?Sijakusoma!mweh? Mbombo ngafu
Mi mzima dearest hawa wanaozimika zimika si watawafia kabisa lol! washaurini waende kwa Babu kwanza wasizimike ndio waje kwenu,wangekujua wangeomba urafiki wa kalamu hahaha!Niambie dearest!Watu wanazimika zimika tu hapa kama vibatari!
Ndo kusema......!?Sijakusoma!
Katahamaki kuingia ladies toilet lol!Ndo kusema......!?Sijakusoma!
Ugonile,tununu fiijo napenda ujasiri wako tutaongea mwezi ujao.hiyo ni kinyakyusa meaning 'kazi ngumu'. Nweiz,we cn marry virtually!
Niko kwenye foleni ya Mpwapwa zamu yangu bado.Aisee wee mutu inakuwaje haujazimikiwa wewe
Mi mzima dearest hawa wanaozimika zimika si watawafia kabisa lol! washaurini waende kwa Babu kwanza wasizimike ndio waje kwenu,wangekujua wangeomba urafiki wa kalamu hahaha!
hiyo ni kinyakyusa meaning 'kazi ngumu'. Nweiz,we cn marry virtually!
Ugonile,tununu fiijo napenda ujasiri wako tutaongea mwezi ujao.
Kwa sasa nachukia watu wenye jinsia tofauti na yangu!Tafadhali jaribu tena baadae!