Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,040
- 51,584
Kwa hiyo wewe unataka kuwa mama yake wa kambo.
Tomito tomato kiungo cha watu na mboga ya wanaumeFankulo.
Tomito tomato kiungo cha watu na mboga ya wanaume
Dume zima bila aibu unajiita tomato tomito AkA mboga yao... duuh bongo nyoso weweSi useme tu kuwa unataka nikubandue Mkuu kwani kila mara unazunguka zunguka tu na maneno yako yanayoashiria Umagomeni Mapipa kwa Macheni wako.
..lakini kutega nyumba moja, mmmmmh! Utafanya huyo kijana na babaye wafarakane, it seems you know not the power of punani!!!Ukiwa dakika za majeruhi unaweka mitego mitatu/minne mkuu, hii ya mtego mmoja ndiyo imenifikisha hapa nilipo.
Kwani una nyama uzembe? Hivi kuna wanaume wasiopenda "nyama" na vifua vikubwa??Si unajua wadingi hata ukiwa na manyama uzembe atakwambia don't worry babe, lets do some exercise, lakini kijana akishaona nyama uzembe anasema 'I prefer my women to be slim'.
Hii ni theory ya Mange Kimambi na mwenye theory aliachwa kwa talaka, sitaki kuiamini tena hii theory ya 'the power of punani'...lakini kutega nyumba moja, mmmmmh! Utafanya huyo kijana na babaye wafarakane, it seems you know not the power of punani!!!
Mkuu hii ni story yako au ya wale mashosti wako?Habari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Huo moyo wako uambie ufanye kazi ya kusukuma damu. Uachane na hayo mambo mengine, umeanza kuelekea pabaya.Habari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Dume zima bila aibu unajiita tomato tomito AkA mboga yao... duuh bongo nyoso wewe
Pesa hununua vita lakini hainunui furaha wala upendo wa dhati!!baba kama anapesa jiweke kwake loh
Pole mkuu, tungekaribiana age ningekupm waache kukusumbua hao wasio na niaUkiwa dakika za majeruhi unaweka mitego mitatu/minne mkuu, hii ya mtego mmoja ndiyo imenifikisha hapa nilipo.