Nimempenda baba yake zaidi

Nimempenda baba yake zaidi

Hold on Sky. Sijui itakuwaje kesho ukiwa na baba na ukavutiwa na ucheshi wa baba mdogo.
 
Hi account yako imeshambuliwa na virus au ni wewe kweli....hi speed ya "Sizonje" naona Ni kubwa kuliko uwezo WA engine alohhhh!!
 
Utakosa vyote....hujui huyo baba na mwanae wakoje. Na dhambi ya kugombanisha mtu na mwanae uko radhi kuibeba?? Unajua hiyo chuki itawafikisha wapi? Hiyo damu uko tayari kutembea nayo ??
 
Habari za J5 wapendwa

Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.

Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.

Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Sasa nimeamini kuwa ww si wa Marne hili! Shikamoo bibi
 
Kula kisirisiri na mzee ila usishikwe na bwana pepsi...

Daah so sad kumbe huna future na dogo aisee
 
Bora ukaachana nao wote kwa kujali future yako.Hakuna mahali mwanamke aliwahi penda hakuumizwa mi nakwambia,kupenda sio asili yetu asili yetu kupendwa, jaribu kutunza heshima yako .Siku mkikwazana na mzee utaomba ushauri kwa nani ?,kwa sababu ni ngum mwanaume kukubaliana na hali kama hiyo, na kosa la kugeuza majeshi halisameheki kwa wanaume huu ni ukweli uujue leo.Wdada sie mchumba anaweza kugeukia kwa mdogo wako au dada sie tukapotezea na maisha yakaenda ,ila wanaume wana wivu usioisha achana na hiyo mambo ya kolomije we mtu mzima utaaibika ujue.
 
Habari za J5 wapendwa

Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.

Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.

Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Jilipue kiaina
 
Sasa wewe dada, hapo umemuona baba mtu ukampenda, bado hujamuona kaka yake huyo mwanamume, na Bado hujamuona mdogo wake yaan ba mdogo wa mchumba wako...

ukizoea kula nyama ya binadamu huwezi kuacha....
 
Dah...unachokitaka utakipata..we kuwa jaribio ili uje uwape wenzio wenye tamaa kama wewe wosia apo badaye. Najua mzee atakupiga mashine...na ata kutosa coz hatakuwa tayr kuaribu mahusiano na mwanaye..alafu wewe ndo utakimbia kwa gear za angani..
 
Alafu badaye unakuta kijana anakuja kumuoa mdogo wako..tunaitaga "the POWER OF KARMA"
 
Mwambie ukweli Kijana. Kwamba ume mpenda baba ,.......
Kwani sihamja kula tunda?????
 
Back
Top Bottom