joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,049
Wanawake wa mjini Daslam mna matatizo sana sema tu hamjui.Baba yuko more romantic, na nyinyi mlio na watoto wa kiume msijipende sana mkajiweka kama age ya watoto wenu basi.
Wanawake wa mjini Daslam mna matatizo sana sema tu hamjui.Baba yuko more romantic, na nyinyi mlio na watoto wa kiume msijipende sana mkajiweka kama age ya watoto wenu basi.
totozzzzzzDadekiiii!!!!!
Umenikumbusha mwaka juzi kuna binti nilikua nataka nimtokee maana nilikua nampenda balaa. Sasa ikawa kila nikimfuata nipige nae story ananiambia eti oohoo nampenda BABA YAKO ANA MACHO MAZURI agriiiiii, yaani namuogopa mama yako tu lol. Ikabidi nimpotezee maana kwa jinsi fatha anavyopenda totoz inaweza kua alisha mmwaga maji maana hata fatha bado yupo 43yrs
Katika imani yangu ya dini, kumtamani mwanamke kwa kumvutia hisia za kingono ni 'kuzini' nae.Sijamvulia mkuu.
Mimi siongezi shoga zako wamekushauri umchukue mzee na wewe ukaafiki kimbia tu mamaNinacho waza ni pale mdingi amefika 70-75 unaanza kuchua mgongo na mafuta ya karafuu, wiki hajakugusa na kijana wake amekuja kusalimu.
Hujasema kama Mzee ulishampatia zawadi ya ushindi aka papuchiiHabari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Hii issue ni kubwa ila watu wataichukulia simple cha kwanz think more wew na hyo jamaa ulimpnda au ulimtaman tu na lengo lako kwa hyo kijana lilikuwa ni nini pia unapotaka kuwa na hyo mdingi je unauhakika atakubali kuwa na ww na lengo lako kw hyo mdingi ni nn zaid ya hapo unaweza ukaharbu kw kijana dingi akaona ww haumfai ukapoteza pote kaa chin na ufikir kwanzHabari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Si unajua wadingi hata ukiwa na manyama uzembe atakwambia don't worry babe, lets do some exercise, lakini kijana akishaona nyama uzembe anasema 'I prefer my women to be slim'.Baba anakufaa, ukizingatia umri wako upo 1500hrs. Fanya manoeuvre umle baba badala ya kijana
Kijana tulishaongea malengo lakini baba tumeonana kwa mara ya kwanza tu kila mtu alikuwa na chemistry kwa mwenzake.Hii issue ni kubwa ila watu wataichukulia simple cha kwanz think more wew na hyo jamaa ulimpnda au ulimtaman tu na lengo lako kwa hyo kijana lilikuwa ni nini pia unapotaka kuwa na hyo mdingi je unauhakika atakubali kuwa na ww na lengo lako kw hyo mdingi ni nn zaid ya hapo unaweza ukaharbu kw kijana dingi akaona ww haumfai ukapoteza pote kaa chin na ufikir kwanz
Haki ya mungu kweli we miss chagaloh jiweke kwa baba ! kijana atafute kijana mwenzake huko.
Trust me achana na mzee kaa na kijana hyo ni tamaa ya mwili au fanya maamuz magumu achana nao wote mind ua bussines ila tofaut na hapo mbeleni inawza ikawa majonz kwakoKijana tulishaongea malengo lakini baba tumeonana kwa mara ya kwanza tu kila mtu alikuwa na chemistry kwa mwenzake.
Na zitoo c kidogoooooo bhn ww baaaaaah, ntoto kunnogaaa baba baaaahHili zito siku zote Unakula Kuku na mayai yake ila naona leo Yai linataka kula kuku.