Nimempenda baba yake zaidi

Nimempenda baba yake zaidi

Samahani mkuu naomba niulize kabla sijatoa ushauri zaidi,kwani baba nae alimwaga vocal au wewe tu ndo umeamua kumshobokea mshua?
Baba hajapata to platform kwakua kijana wake alikuwepo lakini kijana aliens a Chopin maongezi yanaflow
 
Habari za J5 wapendwa

Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.

Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.

Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Umri wako vipi, kijana alidata kwa kibibi au? Maana mpaka umtake dingi ake manake umri nao unashabihiana na dingi
 
Haloo ya "mtu mzima dawaa".

Una laana wewe. Nyumbani nikulete mimi, baba yangu umtake wewe?

Hivyo ulivyokuwa unamsifia nikafikiri unamsifia kwa niaba yangu tu.
 
Dah ngoja nitafakari kwanza kabla sijasema jibu la maana ila kwa haraka haraka nakuona wewe ni tax bubu
 
Nikiangalia kwenye radar yangu naona jinsi umri wako unavyoenda kwa kasi!.......endelea kufanya mzahaa na maisha ya mahusiano, belive me the days of horror are coming!
 
Nikiangalia kwenye radar yangu naona jinsi umri wako unavyoenda kwa kasi!.......endelea kufanya mzahaa na maisha ya mahusiano, belive me the days of horror are coming!
Na hiyo radar yako unaiamini?
 
Back
Top Bottom