Hivi unadhani huyo mchagga anaelewa hilo? Hawa jamaa ndio maana nasikia "wanatanguliza" wenzao, kwao pesa ndio definition ya upendo.Pesa hununua vita lakini hainunui furaha wala upendo wa dhati!!
Wape wote kisela kwani ikitumika inaishaMatatizo kijana ananipenda na nitaanza vipi kumfahamisha kuwa majeshi yamegeuza mwelekeo?
Hivi unaona raha gani kujifanya msichana mbele ya vidume kama sio upungaNaona tangia unifumanie na Mama yako Chumbani kwa Baba yako juzi sasa umeamua kuanzisha Vita nami ila bahati nzuri hapa umefika mahala sahihi na nitakupa ushirikiano kama ambao nimekuwa nikimpa Mama yako.
Wewe utakuwa na pepo sio bure. Tunakuomba usije kutushirikisha katika maovu yako uliyopanga kuyafanya.Matatizo kijana ananipenda na nitaanza vipi kumfahamisha kuwa majeshi yamegeuza mwelekeo?
Habari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.


Kwa vile tuu ni uongo.Sana tu lakini sina mawasiliano nae kwa sasa.
Hivi unaona raha gani kujifanya msichana mbele ya vidume kama sio upunga
Huoni kwamba unagombanisha familia? Kama baba atakuoa, unadhani mtoto wake atawaelewa? Na utaishi maisha gani kama kutakua na vita? Huo si ndio mwanzo was kuanza kugawa kwa wote ili kubalansi mambo? Baki na kijana. Wanaume unaoweza kuwapenda ni wengi na bado utakutana nao! Je , utakua ukibadilisha kienyeji hivi? Lazima kufikia mahali na kuamua kutulia. Kuliko uende na baba, bora uache wote, kabla hayajakutokea puani!Habari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Notification zimekua tata kwangu kuzipataHaha vipi nipe report za kule
Sio kirahisi namna hiyo yani nikupeleka rafiki nnaetegemea uwe mpezi na unajua hilo hafu unigeuke tena kwa baba ntakufanya kitu cha kumbukumbu yaniJamani yote maisha, labda nilimfahamu mtoto ili nije kumuona baba yake.