Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Wadada wengi wazuri hawaoleki.
Kuna mahali huwa wanapoteana.
Vijana wakiwa wanawataka wao wanakimbizana na wazee.
Ukifika umri wa yeye kuzeeka ndio anataka na nyie muwe serious naye.

Ujinga huo.!!
Tena huyo atakuwa anauza. Hayo maneno makali yatafsiri kwa kinyume chake.
 
Nilijisajili kama mwanaume kwenye dating site moja ili kuona yanayofanyika upande wa akina dada wenzangu na mapicha yao
Basi katika kupangusa kushoto kulia nkakutana na huyo dada
Kwakweli ni mzuri hadi sura. Kaandika kwa ukali aisee "if you are not serious dont text me.. I need only serious relationship no jokes pls.. I need a string attached relationship.. Marriage
Ana picha kibao mzuurii. Sasa najiuliza wanaume hawamuoni huko uraiani hadi aingie kwenye dating sites kutafuta mume?
Mi najua sie akina mti mkavu shape ya mgomba sura ya baba ndo wa kukimbilia huko
Sasa kama ye yupo huko sie akina mwajuma ndala ndefu migulu baja twende wapi??
Kwani wanaume mna nini siku hizi? View attachment 921815
Wanakuwa na sura kama papuchi hao
 
Nilijisajili kama mwanaume kwenye dating site moja ili kuona yanayofanyika upande wa akina dada wenzangu na mapicha yao
Basi katika kupangusa kushoto kulia nkakutana na huyo dada
Kwakweli ni mzuri hadi sura. Kaandika kwa ukali aisee "if you are not serious dont text me.. I need only serious relationship no jokes pls.. I need a string attached relationship.. Marriage
Ana picha kibao mzuurii. Sasa najiuliza wanaume hawamuoni huko uraiani hadi aingie kwenye dating sites kutafuta mume?
Mi najua sie akina mti mkavu shape ya mgomba sura ya baba ndo wa kukimbilia huko
Sasa kama ye yupo huko sie akina mwajuma ndala ndefu migulu baja twende wapi??
Kwani wanaume mna nini siku hizi? View attachment 921815
Inawezekana hiyo shape ilimdanganya akijiona ni mwanamke pekee duniani. Sasa amekuja kujua wapo wengi jua linazama. Labda apate aliyefiwa, ameachana au akubali kuwa mke mwenza maana umri hapo utakuwa umesonga
 
Hapa kavaa nguo za kikahaba. Na ukahaba ni roho, unamwoa unamweka ndani anakumbuka enzi zake.
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kumwoa mwanamke;
-Anayevaa suruali inayoonyesha shape take
-Anayevaa transparency cloth yoyote.
Anayeacha sehemu ya kifua/matiti wazi.
-Anayeacha magoti wazi
-Anayeweka mabreach au kunyoa vifuku au vijogoo n.k
Hata wale wanaotafuta Malaya bar and any where cha kwanza hutazama mavazi au hair style ya mwanamke ndo hupata jibu kuwa huyu Malaya au LA!
Inaweza kuwa kavaa vile kwa sababu ya tangazo tu. Ukioa atavaa vizuri teh teh teh
 
Weeee.
Mimi mke wangu nilimkuta katunza nywele ndefu, sometimes anasuka dread sijui.
Nikamwambia ukija home utazinyoa akakubali, sasa huu mwaka wa 2 nikimwambia suala la kunyoa nywele anacheka tu.
Namvumilia kwakuwa ni jambo dogo. Je, hawa malaya wa bar watabadilika kweli na tabia zao za kuvaa nguo za watoto(nguo ndogo) na umalaya?
Inaweza kuwa kavaa vile kwa sababu ya tangazo tu. Ukioa atavaa vizuri teh teh teh
 
Unasema hapana kwakuwa na wewe ni mhusika na mdau wa hizo suruali.
Surely nakuambia suruali za kubana ni vazi la kikahaba. Na kama mwanaume atamwoa aliyevaa suruali ya kubana basi ni mwanaume dhaifu anayepelekwa na mihemko na kuna 50%/50% ndoa kudumu au kuvunjika.
Binafsi ukinivalia suruali la kubana nakuhesabu kahaba au mtu usiyeridhika na mpenzi wako au mume wako.

Mm ni kudume KONKI lkn kuhusu swala ya kuvaa suruali...hapana...surual ni vazi kama vazi lingne so usimjaji mtu kwa mavazi
 
Nilijisajili kama mwanaume kwenye dating site moja ili kuona yanayofanyika upande wa akina dada wenzangu na mapicha yao
Basi katika kupangusa kushoto kulia nkakutana na huyo dada
Kwakweli ni mzuri hadi sura. Kaandika kwa ukali aisee "if you are not serious dont text me.. I need only serious relationship no jokes pls.. I need a string attached relationship.. Marriage
Ana picha kibao mzuurii. Sasa najiuliza wanaume hawamuoni huko uraiani hadi aingie kwenye dating sites kutafuta mume?
Mi najua sie akina mti mkavu shape ya mgomba sura ya baba ndo wa kukimbilia huko
Sasa kama ye yupo huko sie akina mwajuma ndala ndefu migulu baja twende wapi??
Kwani wanaume mna nini siku hizi? View attachment 921815
Fake account.
 
Back
Top Bottom