Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
- Thread starter
- #61
Unapishana na makahaba wangapi kila siku kwenye mishe zako?Unasema hapana kwakuwa na wewe ni mhusika na mdau wa hizo suruali.
Surely nakuambia suruali za kubana ni vazi la kikahaba. Na kama mwanaume atamwoa aliyevaa suruali ya kubana basi ni mwanaume dhaifu anayepelekwa na mihemko na kuna 50%/50% ndoa kudumu au kuvunjika.
Binafsi ukinivalia suruali la kubana nakuhesabu kahaba au mtu usiyeridhika na mpenzi wako au mume wako.
Na mbona makanisani hizo suruali za kubana zinavaliwa?
