Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,672
- Thread starter
- #21
Sijaolewa
Wewe nawewe umeolewa
Wewe nawewe umeolewa
Ni inbox basi tuyajengeUnataka umfuate.. Haaha siri ya kule chini wanaijua waloingia
Ni inbox basi tuyajenge
Sasa Dada yangu ungekuwa Mwanaume unaweza ukamuoa huyo?Nilijisajili kama mwanaume kwenye dating site moja ili kuona yanayofanyika upande wa akina dada wenzangu na mapicha yao
Basi katika kupangusa kushoto kulia nkakutana na huyo dada
Kwakweli ni mzuri hadi sura. Kaandika kwa ukali aisee "if you are not serious dont text me.. I need only serious relationship no jokes pls.. I need a string attached relationship.. Marriage
Ana picha kibao mzuurii. Sasa najiuliza wanaume hawamuoni huko uraiani hadi aingie kwenye dating sites kutafuta mume?
Mi najua sie akina mti mkavu shape ya mgomba sura ya baba ndo wa kukimbilia huko
Sasa kama ye yupo huko sie akina mwajuma ndala ndefu migulu baja twende wapi??
Kwani wanaume mna nini siku hizi? View attachment 921815
Sasa Dada yangu ungekuwa Mwanaume unaweza ukamuoa huyo?
Hao ni vitafunwa tu hata akikuzalia watoto watakua na tabia za mama yao itakua familia ya marofa.
Mwanaume mwenye akili hutafta Mke kwa ajiri ya kuwa na familia yenye akili.
KAMA SHEPU HATA BATA ANAYO
Yawezekana pia akawa hana kauli nzuri, akijivunia shape yake...ikumbukwe hatupendi kauli mbovu sisi....
Yawezekana anapoishi kuna mashoga wengi hivyo wote ni kama wanawake tuu...
Yawezekana papuchi yake ni XXL hivyo kila aliyeingia hajawahi kufit..
Kama anatembeza nyonyo inje ni dhahiri ni mdangaji na jasiri haachi asili.Ubaya wake nini?
Kama huna ukuta mzuri utapata tabu sanaTembo ni wazuri wakiwa mbugani ila sio kwa kufuga..
Sasa si unamuona kabisa ni KAHABA huyo? Mwanamme gani anataka DEGE LA JESHI?Nilijisajili kama mwanaume kwenye dating site moja ili kuona yanayofanyika upande wa akina dada wenzangu na mapicha yao
Basi katika kupangusa kushoto kulia nkakutana na huyo dada
Kwakweli ni mzuri hadi sura. Kaandika kwa ukali aisee "if you are not serious dont text me.. I need only serious relationship no jokes pls.. I need a string attached relationship.. Marriage
Ana picha kibao mzuurii. Sasa najiuliza wanaume hawamuoni huko uraiani hadi aingie kwenye dating sites kutafuta mume?
Mi najua sie akina mti mkavu shape ya mgomba sura ya baba ndo wa kukimbilia huko
Sasa kama ye yupo huko sie akina mwajuma ndala ndefu migulu baja twende wapi??
Kwani wanaume mna nini siku hizi? View attachment 921815
Huo msemo huwa simuelewi kabisa mpoki maana yake ni nini?Mwambie tu atoe ofa watakuja wenyewe
Bila shaka nawe ulikua unajaribu kama kweli wanaume huwa wanawapata wanawake ili awamu nyingine ujiombee kiukwelikweli ukiwa na jinsi yako ya uhalisia.Sijaolewa
Huo msemo huwa simuelewi kabisa mpoki maana yake ni nini?