Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Ni kweli mkuu..uwezo wa kiakili unaplay role kubwa katika suala la ndoa
Wanaume hawaangalii sura pekee bali tabia njema, akili na uwezo wa kujituma. Huwezi kuoa kwa sababu mtu ana shepu nzuri...unaoa mtu ambaye atakusaidia majukumu ya familia.
Huenda mtu ana visirani na usumbufu wa kutosha...mke haitaji mbwembwe mkuu
 
Sio fb.zipo full ila nimeweka hapa bila idhini yake na wala simjui
Hii picha haina mtu maalum .. wala kichwa hujakikata wewe..wote nliowaona na hii picha kichwa hakipo, nna rafiki yangu kaiweka kabisa kama profile pic yake WhatsApp kisa wanaendana shape. Ka mwezi ushapita...So hauna full picture.
Watu wanaitumia sana kupata attention tuu...(maybe plus you)
 
Anafaa kwa matumizi ya muda mfupi,(day school)
ukimuweka boarding school utajuta kumfahamu,halafu muandishi wa makala,siku zote wanaume tunaoa wanawake wa kawaida,tena wenye chura ya wastani,kama wapori pori fulani hivi,ukiwa mwanamke mjuaji saaana halafu uko muzuuuri,twala then twaacha twaenda oa zetu pembaaa.
 
Kama anatembeza nyonyo inje ni dhahiri ni mdangaji na jasiri haachi asili.
Ndio maana wanaume wengi hutafta Mke, Mwenye akili kwaajiri ya familia bora na hao kama huyo hutumiwa mara moja kama nyumba ya wageni
Kiburudisho cha saa

Umesema kweli boss nakutana nao sana wa namna iyo

Uzuri mungu ajanijalia kipaji cha umalaya
 
Back
Top Bottom