Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
AiseeNdoa ni huduma, mimi nahitaji huduma ya ndoa.
AiseeNdoa ni huduma, mimi nahitaji huduma ya ndoa.
wanaume wa mikoani ni wa hovyo hovyo tu
Furahi nimekupa cheo
But sorry kama wa Dar
Nimekuelewa mwanaume wa darwanaume wa mikoani ni wa hovyo hovyo tu
Wengi hawatumii picha zao halisi
Unasema kweli?Ana sura nzurii.nimeikata hiyo pjcha kuficha sura
Mimi ngoja nianzie kwako.... HIVI KAMA WEWE UMEJIANDIKISHA HUKO KAMA MWANAUME WAKATI NI MWANAMKE, UNA UHAKIKA GANI KUWA HUYO MTAFUTA MUME KWA UKALI HAJAFANYA KAMA ULIVYOFANYA WEWE?Nilijisajili kama mwanaume kwenye dating site moja ili kuona yanayofanyika upande wa akina dada wenzangu na mapicha yao
Basi katika kupangusa kushoto kulia nkakutana na huyo dada
Kwakweli ni mzuri hadi sura. Kaandika kwa ukali aisee "if you are not serious dont text me.. I need only serious relationship no jokes pls.. I need a string attached relationship.. Marriage
Ana picha kibao mzuurii. Sasa najiuliza wanaume hawamuoni huko uraiani hadi aingie kwenye dating sites kutafuta mume?
Mi najua sie akina mti mkavu shape ya mgomba sura ya baba ndo wa kukimbilia huko
Sasa kama ye yupo huko sie akina mwajuma ndala ndefu migulu baja twende wapi??
Kwani wanaume mna nini siku hizi? View attachment 921815
A man in his stable state of mind wouldn't marry her. Mwanamke wa aina hiyo atafanya ufe haraka kabla hata hujafika 50yrs.
Unasema kweli?
Kama huna PICHA inamuonyesha upande wa kichogo. Pse
Sina uhakika but ni yeye na picha kibao...Mimi ngoja nianzie kwako.... HIVI KAMA WEWE UMEJIANDIKISHA HUKO KAMA MWANAUME WAKATI NI MWANAMKE, UNA UHAKIKA GANI KUWA HUYO MTAFUTA MUME KWA UKALI HAJAFANYA KAMA ULIVYOFANYA WEWE?
u busy majukumu wanaume wanamuona yeye hawaoni
Kwa vile wewe sio kidume huwezi kuelewa. Ila wanawake wengi waliopewa uzuri wa nje, ule uzuri haswa, wamekosa hekima ya kuishi kwenye ndoa, trust me!! Ndio maana wengine huishia kuwa vipoozeo vya watu.Heee... Sio wote wana stress
Ni tabia ya mtu tu
Mimi kwa kuona tuu hyo picha nimejua hayupo Tanzania huyoMitandaoni hatuaminiani ID zetu ni fake na hata hiyo picture ukute sio yeye