Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Makanisa yasiyo na miiko waumini huongezeka kila leo maana kanisa hupigana kuhakikisha wanakuwa na watu wa kutoka kila dhehebu, dini, Tabia n.k. Na mbaya zaidi hawadili na kuipindua meza(kubadili mienendo yao).
Wakati mwingine anayoyafanya baba MCHUNGAJI ni mazito gizani afadhali ya waumini. Maana akikemea kwa kidole kimoja vidole 4 vyote vinamtazama yeye
Basi ndo hivo...tunavaa na baba mchungaji hasemi
Makanisa wanavaa nguo fupi
 
Kweli mkuu
Makanisa yasiyo na miiko waumini huongezeka kila leo maana kanisa hupigana kuhakikisha wanakuwa na watu wa kutoka kila dhehebu, dini, Tania n.k. Na mbaya zaidi hawadili na kuipindua meza(kubadili mienendo yao).
Wakati mwingine anayoyafanya baba MCHUNGAJI ni mazito gizani afadhali ya waumini. Maana akikemea kwa kidole kimoja vidole 4 vyote vinamtazama yeye
 
Umejiunga kwenye Hizo dating sites ukiwa kama Mwanaume.. Hata hivyo usikute we ni Mwanaume Hapa Jf unatuchora tu😂😂

Anyways ila ni Ajabu kwa Mwanamke kuleta Post Kama Hii
 
Back
Top Bottom