Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,953
Unasema hapana kwakuwa na wewe ni mhusika na mdau wa hizo suruali.
Surely nakuambia suruali za kubana ni vazi la kikahaba. Na kama mwanaume atamwoa aliyevaa suruali ya kubana basi ni mwanaume dhaifu anayepelekwa na mihemko na kuna 50%/50% ndoa kudumu au kuvunjika.
Binafsi ukinivalia suruali la kubana nakuhesabu kahaba au mtu usiyeridhika na mpenzi wako au mume wako.
Surely nakuambia suruali za kubana ni vazi la kikahaba. Na kama mwanaume atamwoa aliyevaa suruali ya kubana basi ni mwanaume dhaifu anayepelekwa na mihemko na kuna 50%/50% ndoa kudumu au kuvunjika.
Binafsi ukinivalia suruali la kubana nakuhesabu kahaba au mtu usiyeridhika na mpenzi wako au mume wako.
Well said ila kuvaa suruali ya kubana hapana

