Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

Unasema hapana kwakuwa na wewe ni mhusika na mdau wa hizo suruali.
Surely nakuambia suruali za kubana ni vazi la kikahaba. Na kama mwanaume atamwoa aliyevaa suruali ya kubana basi ni mwanaume dhaifu anayepelekwa na mihemko na kuna 50%/50% ndoa kudumu au kuvunjika.
Binafsi ukinivalia suruali la kubana nakuhesabu kahaba au mtu usiyeridhika na mpenzi wako au mume wako.
Well said ila kuvaa suruali ya kubana hapana
 
Hapa kavaa nguo za kikahaba. Na ukahaba ni roho, unamwoa unamweka ndani anakumbuka enzi zake.
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kumwoa mwanamke;
-Anayevaa suruali inayoonyesha shape take
-Anayevaa transparency cloth yoyote.
Anayeacha sehemu ya kifua/matiti wazi.
-Anayeacha magoti wazi
-Anayeweka mabreach au kunyoa vifuku au vijogoo n.k
Hata wale wanaotafuta Malaya bar and any where cha kwanza hutazama mavazi au hair style ya mwanamke ndo hupata jibu kuwa huyu Malaya au LA!
Halooo!
Unaongea na sisi au unaongea na simu.??
Ula huu unaitwa Bitter Truth
 
Kweli aisee
Kama anatembeza nyonyo inje ni dhahiri ni mdangaji na jasiri haachi asili.
Ndio maana wanaume wengi hutafta Mke, Mwenye akili kwaajiri ya familia bora na hao kama huyo hutumiwa mara moja kama nyumba ya wageni
Kiburudisho cha saa
 
Nilijisajili kama mwanaume kwenye dating site moja ili kuona yanayofanyika upande wa akina dada wenzangu na mapicha yao
Basi katika kupangusa kushoto kulia nkakutana na huyo dada
Kwakweli ni mzuri hadi sura. Kaandika kwa ukali aisee "if you are not serious dont text me.. I need only serious relationship no jokes pls.. I need a string attached relationship.. Marriage
Ana picha kibao mzuurii. Sasa najiuliza wanaume hawamuoni huko uraiani hadi aingie kwenye dating sites kutafuta mume?
Mi najua sie akina mti mkavu shape ya mgomba sura ya baba ndo wa kukimbilia huko
Sasa kama ye yupo huko sie akina mwajuma ndala ndefu migulu baja twende wapi??
Kwani wanaume mna nini siku hizi? View attachment 921815
Kupata mwanaume siyo kazi rahisi, usikute kila anayempata ni mhuni
 
Nilijisajili kama mwanaume kwenye dating site moja ili kuona yanayofanyika upande wa akina dada wenzangu na mapicha yao
Basi katika kupangusa kushoto kulia nkakutana na huyo dada
Kwakweli ni mzuri hadi sura. Kaandika kwa ukali aisee "if you are not serious dont text me.. I need only serious relationship no jokes pls.. I need a string attached relationship.. Marriage
Ana picha kibao mzuurii. Sasa najiuliza wanaume hawamuoni huko uraiani hadi aingie kwenye dating sites kutafuta mume?
Mi najua sie akina mti mkavu shape ya mgomba sura ya baba ndo wa kukimbilia huko
Sasa kama ye yupo huko sie akina mwajuma ndala ndefu migulu baja twende wapi??
Kwani wanaume mna nini siku hizi? View attachment 921815
Hawa ndo wale ambao kuwa nao lazima uwe na cv. Utakuata anataka mwenye degree, mwenye kazi ya maana au biashara kubwa. Wakati huo muda unakua unasonga mbele.
Hapo ukute kachangia harusi zaidi ya 50 za marafiki zake
 
Ntafunga na kujiombea kwa mengine ila sio mume..
Mwanaume sio kila kitu kwangu.
I will make my life and live as i wish kinachomatter nko happy basi..
Sitegemei binadamu awe chanzo cha furaha yangu...mimi ndo najijua vema nataka nini nifanye nini na furaha yangu ni nini sio binadamu mwenzangu.

Btw iam still kigori
Bila shaka nawe ulikua unajaribu kama kweli wanaume huwa wanawapata wanawake ili awamu nyingine ujiombee kiukwelikweli ukiwa na jinsi yako ya uhalisia.
 
Maisha ya sasa ni ngumu kujua muoaji ni yupi..unaweza mpata mtu five good years pamoja ghafla anakumwaga halafu umri umeenda..sio kila mtu alidanga
Wengi wanakoseaga wakati wa usichana wao,
Hudili na aina flani ya wanaume wale wenye pesa na HB sasa wakati waoaji tupo msakoni unakuta anapotezewa mda na mijamaa unapita zako hivi kuoa akina mwajuma
 
Back
Top Bottom