........nimekukumbuka sana :'(

........nimekukumbuka sana :'(

Hahahaha.......umenikumbusha ile sredi muruwaaa enzi zileeee za " ulikuwa wapi siku zote?" Kwa hisani ya mkuu Asprin 😉
Hey boy!! Copy Right Reserved LOL

Hahahahah ahsante kwa kunikumbusha enzi hizooooo!!

Those were our days.....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
.......ahahaha......Phew! kwa sababu za 'kiungwana' kabisa, naomba MwanajamiiOne, kama nilivyomtenga Smile, au Husninyo, au BelindaJacob, na hata nyumba kubwa na wengineo wengi wakongwe humu, wapewe dharura ya kuwa 'watizamaji' kwanza.

Wanaharati hawa, neno lao moja tu unakuwa acquitted, au found guity! King'asti yeye ndo namuona kama aloshika Lethal injection, akiskia "Guilty!" ----atanidunga!
 
Last edited by a moderator:
Mwenyezi Mungu aipokee funga yako.
Afu nakumbushia ule mwaliko wa futari.....

Ameen Inshaallah, la futari,

......mnh, nakumbuka dear sema mnh.... Ujue mwenzio ticket ninayo mkononi? Sijui atanipikia nani futari huko! Sijui niahirishe ?

Soulmate angekuwa hayupo busy labda leo ningemwambia afanya ufundi wake wa mahanjumati
 
.....“If I never met you, I wouldn't like you. If I didn't like you, I wouldn't love you. If I didn't love you, I wouldn't miss you. But I did, I do, and I will.”

Asante sana kwa kumbukumbu tamu sana maishani mwangu, "Kujipendelea muhimu" na SRM(s).....
 
....."If I never met you, I wouldn't like you. If I didn't like you, I wouldn't love you. If I didn't love you, I wouldn't miss you. But I did, I do, and I will."

Asante sana kwa kumbukumbu tamu sana maishani mwangu, "Kujipendelea muhimu" na SRM(s).....

:love::love::love:

mkuu tatizo ni :A S-key::A S-key::A S-key:.....nasikia imetupwa kwenye kina kirefu kabisa cha bahari
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
:love::love::love:

mkuu tatizo ni :A S-key::A S-key::A S-key:.....nasikia imetupwa kwenye kina kirefu kabisa cha bahari

Hii thread imerudisha wakongwe wa JF
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hey boy!! Copy Right Reserved LOL

Hahahahah ahsante kwa kunikumbusha enzi hizooooo!!

Those were our days.....

Umepotea sana mpwa hebu fanya mbinu mbinu Mbu akumbukwe
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
:love::love::love:

mkuu tatizo ni :A S-key::A S-key::A S-key:.....nasikia imetupwa kwenye kina kirefu kabisa cha bahari

......aiseee 🙁 ,,,dirishani je? Kaweka ya mbao au aluminium?

Dah! ....haya bana. Na hivi nakjua wewe ni mtu wake sana wa karibu, naukubali tu ukweli huo.

Sikuwa na maana mbaya, au kusudia "kuuteka moyo wake" tena, mie basi tu,....

nimemkumbuka sana tu!
 
Umepotea sana mpwa hebu fanya mbinu mbinu Mbu akumbukwe

Umeona ee? Wewe umeuelewa u nyuzi huu, yaani hata kukumbukwa kwa yale machache mazuri basi? .....

Kha? Utadhani siku exist kabisa maishani mwake?

Lol...... Bora Maxence hajaweka kitufe cha video wala sauti hapa, maana kilio cha kwikwi kibao!
 
Last edited by a moderator:
......aiseee 🙁 ,,,dirishani je? Kaweka ya mbao au aluminium?

Dah! ....haya bana. Na hivi nakjua wewe ni mtu wake sana wa karibu, naukubali tu ukweli huo.

Sikuwa na maana mbaya, au kusudia "kuuteka moyo wake" tena, mie basi tu,....

nimemkumbuka sana tu!

Swahibi vipi tena??

Mbona unataka kukata tamaa wakati jopo hata halijaanza kazi...?

Au unataka kutueleza kuwa mchakato wetu utashindwa kabla ya kuanza kama ilivyokuwa kwa ujamaa wa nyerere?

Babu DC!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
:love::love::love:

mkuu tatizo ni :A S-key::A S-key::A S-key:.....nasikia imetupwa kwenye kina kirefu kabisa cha bahari


Dogo unataka kunikwaza sasa....

Mbona unaingilia kazi ya tume ya Rev Desmond Tutu... (The Truth and Reconcialiation commission), tena wakati tuko kwenye maandalizi??

Au unataka na wewe uje uumbuke kama Kombani na Werema kuhusu kuandika katiba mpya?

At this moment, watu kama wewe na King'asti hatuhitaji comments zenu za kutuharibia kazi...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Si unajua mie nashoot to kill?
Afu nilisema sirudi hapa sijui nimefuata nini!


Imekuwaje ukarudi tena?

Posts zako nitawaomba mods wazitoe...hata kama una undungu na Paw....

Hatutaki comments za kuongelea kesi ambayo iko mahakamani....kwani umezidi sana kuingilia uhuru wa mahakama ya Babu!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Dogo unataka kunikwaza sasa....

Mbona unaingilia kazi ya tume ya Rev Desmond Tutu... (The Truth and Reconcialiation commission), tena wakati tuko kwenye maandalizi??

Au unataka na wewe uje uumbuke kama Kombani na Werema kuhusu kuandika katiba mpya?

At this moment, watu kama wewe na King'asti hatuhitaji comments zenu za kutuharibia kazi...

Babu DC!!

hahahahah!...............
 
......aiseee 🙁 ,,,dirishani je? Kaweka ya mbao au aluminium?

Dah! ....haya bana. Na hivi nakjua wewe ni mtu wake sana wa karibu, naukubali tu ukweli huo.

Sikuwa na maana mbaya, au kusudia "kuuteka moyo wake" tena, mie basi tu,....

nimemkumbuka sana tu!

we jamaa wewe....!

':A S-key::A S-key::A S-key: changed'
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Halafuw wewe Teamo wewe?

Unajua wenzio tuko kazini, seriously?

Kama vipi, kaa kando usubiri verdict ya jopo la Babu....


It is coming soon.....baada ya siku saba za Lyatonga Mrema...lol!!

Babu DC!!

kuku 'mnafu' lini kaka? manake na mim 'nimeikumbuka saana' city style.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom