Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 833
Babu Dark City come this way.....Mjukuu is crying
Last edited by a moderator:
Ehee... Soulmate kumbe sio siri? Haya mie nlikuwa wapi jamani? Haya ni nani huyo ulomgongea mlango, akakufungulia kasha ukatoka akaufunga na kukuachia kumbukumbu tu................. (Naload mguu wangu wa kuku aisee)
Lol We Soulmate si unanjua mie masurprise siyajuagi, ungeniuma skio basi hata PM mwenzio nshakanusha kitambo kuwa sihusiki na kuukiza mtima wako mie! Naanzaje kwanza ? Hebu sema vizuri maan anaanza kuhisi name niingie kwenye jopo la maridhiano ingawa nimeambiwa sina voting power!! (Ila nadhani ntaruhusiwa kuwa na ile ye Veto .........kwa hisani ya Babu DC
majukumu rafiki....ulikua wapi?
majukumu rafiki....
sasa naona nimerudi hata pa kuanzia sipaoni, unaweza kunipa samare?
wazee wa reconciliation si tumejaa tele?Samare rafiki ni kwamba tupo hapa kuunda tume ya ukweli na maridhiano ili Mbu ale Idi yake vizuri maana amegundua kuna kosa alofanya sasa anjutia! Hebu tupe mchango wako hapa?
Kamati anaunda babu DC nadhani amekuona atakujumuishawazee wa reconciliation si tumejaa tele?
atume tu salamu tutazifikisha. ni vizuri kagundua kosa na analijutia, hiyo ni hatua kubwa sana.
kamati imeshapangwa?
nimeona babu Dark City eti anasema wamama tutakuwa wasikilizaji tu.... unakubaliana na hilo?Kamati anaunda babu DC nadhani amekuona atakujumuisha
Kamati anaunda babu DC nadhani amekuona atakujumuisha
Yajayo unayajua mpwa?Pole sana yaliyo pita si dwele ugange yajayo.