Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,620
- 69,356
Labda alinunua simu ya wizi lakini mwizi husika aliyeiba hawezi kukupa hiyo gharama na faida juu,Wapo watu wengi waishapata simu hasa Ikwa kui track....!!!
Huyo mwizi wako atarudisha simu, atakupa na pesa, atatoa na pesa ya Police, inategemea na Maelezo Yako Police.
Wengine huandika amepoteza
Simu ya 600,000..... Pia alipotexa milioni 2 ikiwa pamoja na hiyo simu....! Hapo gharama zako zitarudi, simu itarudi, na posho ya Askari ipo humor humo....!
Kuna jamaa yangu simu yake iliibiwa Dar akaenda kuipata Bukoba, na gharama zilirudi na faida juu.