MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,106
- 4,618
mpige ban wewePaw
Cookie
Maxence Melo
Moderator
Mpigeni ban ya maisha huyu kwa sababu inamaanisha kwamba kama angeweza kuhack inaamaana angeweza kuchukua taarifa za watu na kupeleka kusikojulikana.
Hii ni sawa na mwizi ajaribu kuiba kisha ashindwe kutokana na usalama uliopo sasa ukimkata hautakiwi kumsamehe huyo mwizi lazima kipondo kihusike.

