usalama wa taifa apewe kazi JF tutekwe?Kwanini apewe ban mkuu?
Huyu itabidi apewe kazi jf
Mchawi mpe mtoto akulelee
movie gani au ulisimuliwa ukiwa kijiwe gani cha kahawa?Umenikumbusha huko marekani kuna cia alipewa kazi ya kwenda kumchunguza mwanamke badala ya kwenda kumchunguza yeye alimuoa kabisa![]()
ninayo mbona hayo unayosemeafanya mambo ingia pm ya faiza foxy tuprintie humu..yule mama bibi anajitiaga mjuaji sana..Nimpate pcha yake akijisaidia nampost humu..acha ban nipewe.
nioneshe tuninayo mbona hayo unayosemea
kam uko serious, nicheki mkuu,Nifundishe python mama kasinde
Huwa inafanyiwa Distributed Denial of Service Attack na wahuni wa lumumbaJF hua inakua hacked tu wakati wa uchaguzi
Reference: 2015
Hahhaha we kasie yani mtu ahack JF then asiingie pm hahahaha huyo sijui atakua anatafuta nini mimi nikiweza kuhack lazima tu niende pm kwa Watu maana ndo kitu mhimu sana kwa hacker yeyeto wa jf 😂😂😂😂Ila asiingie PM zetu tuu hehehehee.
hhahahahahhaaha sawa wewe Endelea kupiga ma command 💻 ya kutosha...Yaalaah nimeandika hivyo, daah ulimi haina mfupa, nimejisahau ....
Hahhaha we kasie yani mtu ahack JF then asiingie pm hahahaha huyo sijui atakua anatafuta nini mimi nikiweza kuhack lazima tu niende pm kwa Watu maana ndo kitu mhimu sana kwa hacker yeyeto wa jf![]()