Nimefail kui-hack jamiiforums

Nimefail kui-hack jamiiforums

Umenikumbusha mambo ya command...
cmd command enter
ping slash colon enter
mara paap mitambo inakaa sawa watu wanaendelea kufanya kazi, enzi hizi hukooo kapilimposhi na katumba kwa mwanagati.

Ila watu wa IT Tuko kama Kobe, ukiona kimya ujue tunatunga sheria tukiinua kichwa tushafanya mambo.

Woooiiiii mnizoeee tuu jamanii ndo nilivyo....

Nikikunwa lazima nipige uyowee najua napata likes nyingi tuu humu ila like ya huyu kaka Maxence Melo inanipaga upako najikuta tuu lazima niandike kusema Senkyuuu Maxy, najua pia wengi wanapata like yako ila kwangu mie naitunuku like yako.

Mnaokwazikwa na quotes zangu mkishindwa kuvumilia kimya kimya bila kujibu dhihaka, fanya kuniweka kwenye ignored list yako, hamtanisoma tena maana nashindwa kujizuia kueksipresi mai filingi heheheeeee.

Nikutakie majukumu na uwajibikaji mwema Melo, cheers !!

Matata K.
 
Umenikumbusha huko marekani kuna cia alipewa kazi ya kwenda kumchunguza mwanamke badala ya kwenda kumchunguza yeye alimuoa kabisa

Wanawake ni moja ya nguvu za asili za dunia, kushindana nazo yahitaji utumie busara, akili, utulivu na ujipange sawasawa heheheehehehee.

Raha sana kuzaliwa mwanamke.
 
Hahhaha we kasie yani mtu ahack JF then asiingie pm hahahaha huyo sijui atakua anatafuta nini mimi nikiweza kuhack lazima tu niende pm kwa Watu maana ndo kitu mhimu sana kwa hacker yeyeto wa jf 😂😂😂😂

Hatariii na akizipata awe na kifua cha kumeza yote ya humo akae kimyaaa. Akithubutu kujitokeza tuu hata na anonymity ya vipi kuweka wazi PM hadharani atadukuliwa yeye na PM zote kwa upya aahahahahahahhaahaaa
 
We ndio maaana mjanjamjanja hivi
if ...then else if ...../catch exception naziona nyingi sana kwenye story zako 🙌🏿


Aaahahahhahaaaaa mie hata sio mjanja mjanja ni mpolee tuu tena hata siongeagi niko mkimyaaaa.

Hiyo taaluma niliiacha kitambo sana tangu enzi za floppy disk eehehehehee, hatukuwahi hata kufikiri iko siku kutakuwa na tiny flash au memory card zenye uwezo wa kuhifadhi madude kwa kiwango kikubwa na soft copy storage in the air.....

Technology is running so fast, nimechemsha kwenda nayo, am retired.

Nimebaki na Mahaba tuu hehehee.
 
Kila system inauwezo wa kuwa exploited na ndio maana hata makampuni makubwa kama twitter yanalia.
Hata JF inaweza kuwa exploited endapo tu resources na knowledge ya huyo exploiter itazidi JF systems.

2020 Uchaguzi Day tutashuhudia JF ikiwa slow sababu lazima wahuni kutoka China waje kuidondosha kama 2015 maana JF ishaprove to be a powerful tool.
 
Hahahahaha jamiii forum hawako secured sema kinachowalinda hawa watu wana firewall za kutosha utumiii pcks kwenye server yao ovyoooo ....inachambua kama mchele ila sio kwmaba wako secured 100%


Baada ya tukio walilolipata mwaka fulan hivi ndio wakajua kuna ulazima wa kufanya kitu

Nice try
 
Kwanza kabisa unacho fanya ni kosa unless uwe staff wa JF na unaruhusa.
Pili scanning tool unayotumia sio rafiki, NIKTO walau ningekuelewa kwa mbaali..
Tatu hujafail kuhack manake hata kuanza hujaanza.
nmap ni tool nzuri kufanya network scanning,banner grabbing sema tuu kama utatumia techniqes ukafanya scanning za ku evade IDS,FIREWALLS,IPS, utapata info za kutosha kwnye hio system
 
Kwanini apewe ban mkuu?

Huyu itabidi apewe kazi jf
Mchawi mpe mtoto akulelee
Ni sahihi kufikiria kumpa kitengo JF. Lakini mtu kama huyu ni kazi sana kumdhibiti ili asithubutu kufanya kile alichoshindwa kufanya akiwa nje ya JF.

Pia ban baimstahili maana kajaribu kuonesha wengi kuwa tupo salama kwa muda huu hadi pale mambo yatakapokuwa tofauti na sasa
 
Back
Top Bottom