meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,355
- 2,932
Niliwahi kuzifaidi sana
Hahhahhahaha Aiseee tafadhali sana kama uliweza kuscreenshot fanya siku moja hutupia oone tunavyokimbiana humu😂😂😂😂
mpe ujuzi mtoa mada njia ulizopita naye apite humo mkuu
Niliwahi kuzifaidi sana
We ndio maaana mjanjamjanja hiviUmenikumbusha mambo ya command...
cmd command enter
ping slash colon enter
mara paap mitambo inakaa sawa watu wanaendelea kufanya kazi, enzi hizi hukooo kapilimposhi na katumba kwa mwanagati.
Ila watu wa IT Tuko kama Kobe, ukiona kimya ujue tunatunga sheria tukiinua kichwa tushafanya mambo.
Kumbe sio mahaba pekee, hata kwenye IT upoUmenikumbusha mambo ya command...
cmd command enter
ping slash colon enter
mara paap mitambo inakaa sawa watu wanaendelea kufanya kazi, enzi hizi hukooo kapilimposhi na katumba kwa mwanagati.
Ila watu wa IT Tuko kama Kobe, ukiona kimya ujue tunatunga sheria tukiinua kichwa tushafanya mambo.
Mfupa hauna ulimi.Yaalaah nimeandika hivyo, daah ulimi haina mfupa, nimejisahau ....
Hongera kwa kujaribu.!Daah, hongereni sana Admins, nimejaribu kusaka vulnerabilities kwenye jamiiforums ila nimesanda.View attachment 1194369
Ndio mkuudonlucchese mkuu umetumia termux?
Haujaivaunataka ku hack mtandao kwa TERMUX? shame on you kidogo ningeona KALI LINUX hapo ningejua unajaribu jaribu ila TERMUX tena kwa android??
poor you na vi command uchwara
![]()
Daah, hongereni sana Admins, nimejaribu kusaka vulnerabilities kwenye jamiiforums ila nimesanda.View attachment 1194369
Huwa inafanyiwa Distributed Denial of Service Attack na wahuni wa lumumba
Sasa hivi kuna firewalls,IDS,IPS, ambazo zinakagua packets kabla hazijaingia kwenye machine hivyo sio rahisi kufanya DDoS attack. Labda utumie slowloris ambayo husend SYN to server then SYN-ARK from server then haito send ARK kucomplete 3 way handshake kwa kufanya hivyo utakuwa na 150 useles requests ambapo ni mzigo kwa serverDDOS attack mbaya sana.
Daah, hongereni sana Admins, nimejaribu kusaka vulnerabilities kwenye jamiiforums ila nimesanda.View attachment 1194369
Ndio maana wanahangaika nazo!Codes za jf zimechapwa na mzungu mzee sio IT wa IFM
Asingesema hili!Wewe ni asiyejulikana??