comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,472
- 11,565
Unategemea kuhack JF kwa CMD prompt??? facebook nimehack jf ni rahisi sana kuihack lakini ni useless kwangu
Skidie, green hats 😆😆Umejipaisha mno kujiita hacker, jiite script kiddie ndo jina linalokufaa
Mkuu karibu kule github kwenye channel yetu ya bomgohackerzAaah aaah aaah kumbe wazee wa DDoS attack mpo mpaka huku![]()
Sikutaka kubishana mkuu, kwenye termux nina lazymux,python, lolcat, slowloris,etc. Tools nyingi sana ila jamaa anajifanya alwataniTermux mzee inaweza kwa sababu ni family ya hiyo Linux kwa Android![]()
Kwa which tools? Then hiyo sio cmd prompt mzeeUnategemea kuhack JF kwa CMD prompt??? facebook nimehack jf ni rahisi sana kuihack lakini ni useless kwangu
Where did I say I was a hacker bruh?Umejipaisha mno kujiita hacker, jiite script kiddie ndo jina linalokufaa
Haujaivaunataka ku hack mtandao kwa TERMUX? shame on you kidogo ningeona KALI LINUX hapo ningejua unajaribu jaribu ila TERMUX tena kwa android??
poor you na vi command uchwara
![]()
Ni kwenye heading ya post hii uliweka verb ya "hack", noun = hacker,nilikuwa nakukumbusha tu bado upo level ya script kiddieWhere did I say I was a hacker bruh?
wewe ni mwanamke kweli...?Umenikumbusha mambo ya command...
cmd command enter
ping slash colon enter
mara paap mitambo inakaa sawa watu wanaendelea kufanya kazi, enzi hizi hukooo kapilimposhi na katumba kwa mwanagati.
Ila watu wa IT Tuko kama Kobe, ukiona kimya ujue tunatunga sheria tukiinua kichwa tushafanya mambo.
SawaNi kwenye heading ya post hii uliweka verb ya "hack", noun = hacker,nilikuwa nakukumbusha tu bado upo level ya script kiddie
A script kiddie is basically someone who wants to be a hacker but lacks the actual knowledge of how to actually hack anything. A script kiddie will use, you guessed it, scripts made by actual hackers and crackers in order to get the look of a hacker. They will basically just run the script and it will do whatever it was programmed for. The kiddie actually doesn't do anything but they get the gratification of "hacking" or taking down a website.
A script kiddie isn't seen in a good light within the hacking community. They're seen as outcasts because they flaunt their hacking skills from using the hard work of actual hackers writing up scripts for themselves and friends. A script kiddie typically is a younger person, in junior high or high school, and wants to take a short cut on the learning of what to do in order to hack something.
Heheheh acha kumkatisha tamaa !!Ni kwenye heading ya post hii uliweka verb ya "hack", noun = hacker,nilikuwa nakukumbusha tu bado upo level ya script kiddie
A script kiddie is basically someone who wants to be a hacker but lacks the actual knowledge of how to actually hack anything. A script kiddie will use, you guessed it, scripts made by actual hackers and crackers in order to get the look of a hacker. They will basically just run the script and it will do whatever it was programmed for. The kiddie actually doesn't do anything but they get the gratification of "hacking" or taking down a website.
A script kiddie isn't seen in a good light within the hacking community. They're seen as outcasts because they flaunt their hacking skills from using the hard work of actual hackers writing up scripts for themselves and friends. A script kiddie typically is a younger person, in junior high or high school, and wants to take a short cut on the learning of what to do in order to hack something.
Dogo kaza butiSawa
I agree to disagree, yani mtu akijua programming anaweza kuhack vizuri tu, anaweza kutengeneza program yake akaipachika codes za ku monitor pc za ambao wataiingiza kwa kutilia msisitizo watu wazime anti virus wanapo install program yake au waiweke kwenye exception ya threatsSo unaweza kuprograme ila hacking usijue
Hahaha, dogo? Nafkiri itakua syntax error, mzee mimi sio mtu wa IT, wachache wakina Mzigua90 wanafahamu kile nafanya mzee. I do this for fun, Linux nilicheza nayo enzi hizo, mambo ya kuemulate ma dreamware etc.
alrightI agree to disagree, yani mtu akijua programming anaweza kuhack vizuri tu, anaweza kutengeneza program yake akaipachika codes za ku monitor pc za ambao wataiingiza kwa kutilia msisitizo watu wazime anti virus wanapo install program yake au waiweke kwenye exception ya threats