Kuna mengi ya kueleza hapa, ila muda hautosh....
Kiutaratibu kama unataka kutafuta makosa kwenye mifumo ya computer lazima uweke miundombinu ya kuweza kufanya hayo majaribio yako. Hiyo miundombinu inatengenezwa kwa kufanya somekind of virtualization. (Hapa kwenye virtualization Sasa unasimulate the entire structure namna web app/system inavofanya kazi) maana unaweza kudesign networking structure ya JF, arrangement ya servers, Routers, firewalls nk).
Ukidesign hivo na kujua server inafanya vipi kazi inabd pia ujue namna ya kureverse, na unaweza ukafanikiwa kureverse lakin isiwe na msaada sana kwako kama hujui decryption/encryption (cryptography).
NB: kukushauri tu kama unataka kuhack web apps jifunze vizur programming kama python, php, js, perl, Java,shell scriting na ruby.
Jifunze kufanya virtualization Tena kwenye PC yenye uwezo mkubwa sana ili uweze kufurahia tendo.
Jifunze database na models mbalimbali za kumanipulate databases kama vile ORMs
Jufunze Linux OS zinazotumika na mambo ya security mfano.. KaliLinux (Kali sana), Parrot Os, arch strike nk.
Jifunze kupiga attacks kwenye Samurai Web test framework, Damn vulnerable, mutillidae na pia ujifunze kutumia Ile kitu inaitwa Burp Suite .