Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

H
Hata umtoe makongoros chunya ndani ndani akifika kinondoni akaanza kukufanyia aliokufanyia, brother ukimwi unakuita brother, mke wa mtu hatombwi kwa condom maana jamaa anatombakumkoleza na kukukomoa wewe sababu mke wa mtu hana sababu ya kutembea nje akarudia mara kwa Mara kama hakukolezwa majamaa huwa wanawapakia Vicks kingo...Kaa kitaalam masta
Hahahaha,nomaa mkuu.
 
Pole sana kiongozi, I can feel your pain
Naona unapitia changamoto kubwa inayohitaji solution kutoka kwa wakubwa...
Binafsi nakushauri yafuatayo;
1. Kabla ya hii changamoto ulikuwa unampenda mke wako kwa dhati?
2. Je mke wako alikuwa anakupenda kwa dhati na mnashirikina kwenye mipango ya familia?
3. Kama majibu ya hapo juu ni NDIO; nafikiri usimuache kwanza ILA jitenge naye kitandani kwa muda, Ila aendelee kukaa hapo kwako (nakushauri pia usipanic kwani unayopitia wanapitia wengi kila siku).
4. Jipe muda wa kutafakari vizuri na pata ushauri kwa watu sahihi. Kumbuka wote tunakosea japo wanapokosea wapendwa wetu (wake zetu) tunapanic sana....na kuishia kutoa maamuzi yasiyo sahihi
5. Wanawake wengi WENYE AKILI akikukosea mara moja, ukamsamehe anakuheshim hadi unamuonea huruma; huwezi jua...unaweza kupoteza dhahabu kwa sababu tu imeangukia kwenye kinyesi cha mtoto Kumbe ungeweza ukaiosha na maisha yakaendelea.
6. Mwisho japo sio kwa umuhimu;
Walio wengi hapa jukwaani ni Serengeti boys (hawajaoa hivyo hawana uzoefu wa masuala ya ndoa); hivyo kuwa mwangalifu kuutumia ushauri wao...
Ushauri mzuri, Ndengaso Njoo some hapa, pengine utaondoka na kitu.
 
Mapo
Bandarini nipakupeleka kufanya kazi mwanamke??? Tena mke Serious??? Mle kunamijamaa ikimtongoza mwanamke akawa mugumu kutoa yanakaa kikao yanachangishana pesa!!! Hata 2M hivi .. then mwanamke anaanza kupigwa vibunda TU vya laki laki Kila siku ndani ya wiki Moja kashakojolewa !!! Likimaliza limoja mchezo niuleule mpaka kundi liishe ndio yaanachana Nae michezo hiyo Wanayo mapoti wa bandari Tena hapo ulipotaja Impara terminal Kuna office Yao hao mapoti huenda niwao!!! Ukweli nikwamba bandarini Watu wanapata pesa saaana kwahiyo Kama mkeo hakuwa nakipato kizuri njaa njaa nilazima wamle TU!!! TATIZO NI WW!! Ulimpeleka swala kwenye Simba wenye njaaa Kali!!! Bandarini sio sehemu yakupeka make kufanya Kazi atagogwa TU!!!
Mapoti wa Bandari unamaanisha walinzi wa bandari?
 
Nina mke wa mtu ananisumbua hap ni mshone mumeo ni injinia wa trc anasimamia sgr muda mwingi yuko nje kikaz dad'a ana nyege za kisenge snaa tumepanga kwa aprtmemt moja Hapa bas hata alfajiri anatak aje nimep kimoja nimekatomba mara mbili ila naona kbsa Hapn anaitangenezea majanga
Yatakurudia alafu utakuja kujua maumivu yake, inaumiza sana mwanaume mwenzio anapambania familia wewe unajiona kidume hta kazini unasingizia unaumwa usiende ili ule wake za watu, angalia kesho yako aisee
 
Wakuu,

Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.

Nimechapiwa mke wangu.

Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.

Wife katoka job, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku.

Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.

Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.

Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, haki yake alipata, ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.

Imagine mpaka walipanga kununua simu mpya ambayo wangetumia wakiwa kazini tu na ibaki hukohuko.

Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten.

Tanga kunani Lushoto, nakuja mwisho wa mwezi huu, huyu jamaa kumtoa Busha ni muhimu mahari yangu haikwenda bure bure.
Angalia mizizi isikurudie maana huyo mtu pia anajipanga kwa ajiri yko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom