Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Na wakijua upo flexibe namna hii, watakazwa hadi waridhike.
Mkuu za kuambiwa obvious ongeza na zako..mtu akisema hivi jua kajitafuta na ana uwezo kipato...mwanamke kulombwa atalombwa tu,,,kama ni nature yake..ku flirt ndo kila wakat wengine hawalombwi kutokana na access ya kila kitu anapata kwa mwanaume wake ila haimaniish ha flirt wala hacheki cheki ovyo ,,,tafuta hela mpe access ya mahitaji yake usimchunge sana,,acha hela imchunge ase...
 
Kwamba kuna Jambo kubwa zaidi ya Kuchepuka kwenye ndoa?
Kuchepuka saivi umekua mchezo wa kawaida, ukitaka kujiponesha na hili acha kumchunguza mkeo/mmeo.
Kuna mtu wa heshima sana mitaa hii alimwekea waifu wake kale ka app kanakoonesha mesej za waifu, akaishia kumdunda wife mpaka akakimbia.
 
Mie nachepuka mara moja moja.. ila siku huyu kipenz changu akichepuka.. mimi na yeye BAAASI..

KUCHAPIWA hasa kwa sisi WANAUME inauma jamani... daaah .. huwa nawaza mengi namna alivyokuwa anakunjwa kunjwa ... eeeeh
 
Kuna Mwenzio huku..

 
Piga chini faster yasije yakakukuta mengine.
Mimi nilipoona TV inaonyesha chenga tuu sikuchukua time nikapiga chini fastaaa akaniletea na nyodo.
Sasa hivi anahaha tuu huko alipo,anashindwa atarudije maana alinitamkia shombo.
Kiukweli free life ni super, nguo za zamani zoote zinanibana kwa sasa.
Ila siachi kuoa,naoa akizingua nae napiga chini hawajaumbwa na mimi
 
Tatizo ulioa mke wa mtu
Mwanamke ambaye hujamtoa bikra huyo sio mke wako mzee
Sisi wazaz wenu tukiwaambia ukweli mnatuona wabaya
Pambaneni na hali zenu sasa vijana wa ovyo
Kwamba ukioa bikra hutosalitiwa!
 
Hata umtoe makongoros chunya ndani ndani akifika kinondoni akaanza kukufanyia aliokufanyia, brother ukimwi unakuita brother, mke wa mtu hatombwi kwa condom maana jamaa anatombakumkoleza na kukukomoa wewe sababu mke wa mtu hana sababu ya kutembea nje akarudia mara kwa Mara kama hakukolezwa majamaa huwa wanawapakia Vicks kingo...Kaa kitaalam masta
Viks kingo inasaidia nini
 
Katika pitapita za mtaani nikaingia kwenye mgahawa mmoja.

Nikaagiza zangu ugali na mlenda na samaki nikatupa macho ya ushushushu nikaona pisi inakula chips inakula wali nyama ipo peke Yake.
Msosi wangu ukaja nikala baada ya hapo nikashushia na Coca Cola ya bariiidi.

Uzalendo ulinishinda nikachukuwa soda yangu Hadi kwenye Meza ya Yule dada nikaanza maongezi ya Salamu na mambo mengine ya kuanza kufungua stori za badae nikachukuwa namba Yake ya simu.Nikalipa msosi wangu nikasepa.

Ilipiti siku mbili ndio nikamcheck katika Salam za hapa na pale akanikumbuka Sasa nikaomba siku nionane nae sehemu lakini nilimuuliza UNA MEME YAANI UMEOLEWA akaniambia ndio Nina mume asee nikazuga kama naongea na MTU mwingine alafu nakamwambia subiri nakupiga dakika kadhaa.

Hadi Leo hii sijamtafuta Tena Zaidi ya yeye kutuma meseji na kupiga simu hovyo Ila simu Yake nimeblock hivyo akipiga simu naona.

Bro kama uliwahi Kula mke WA mtu lazima wako nae aliwe ili maumivu yaweze kubalance Sasa wewe kaa chini alafu jiulize hivi ulikuwa mademu wangapi na upo ndani ya ndoa wengine wake Za watu lakini huwenda hawajakwambia kama wameolewa.

Au pengine ulikula wake Za watu kabla ya kumuoa huyo mkeo uliyetomb€wa?

Wacha maumivu ikuingie ili ujifunze na akili ikomae.

Huyo ndio unayefanana nae mkuu.
Mzinzi ataenda Na mzinzi mwenzie.
 
Kwanini uumpe hela, kwanini yeye asikupe wewe hela ?

Dhana kwamba mke apewe hela mbaya sana .Afanye kazi kama unavyofanya wewe na Alete maokoto juu ya meza kama unavoleta wewe….: ndio principal ya maisha

By the way ukishachapiwa… huyo mtu
Sio wako tena hata ulkisamehe…: your family is no longer safe and you will not have proper family

Piga chini immediately , by now umechelewa kupiga chini

Sehemu unayopita wewe ni haramu kupita mtu mwingine unless umekufa.
 
Wakuu,

Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.

Nimechapiwa mke wangu.

Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.

Wife katoka job, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku.

Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.

Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.

Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, haki yake alipata, ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.

Imagine mpaka walipanga kununua simu mpya ambayo wangetumia wakiwa kazini tu na ibaki hukohuko.

Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten.

Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
😅😅 Kuchapiwa ni FACT/UHALISIA bro sio THEORY/STORY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom