Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,449
- 11,318
Ila we lijamaa likatili ko ukakwepa utapeli!!!😂😂🫵Babu Sule mimi mjukuu wa wajukuu
Ila we lijamaa likatili ko ukakwepa utapeli!!!😂😂🫵Babu Sule mimi mjukuu wa wajukuu
Nipatie namba yake niweze kuangalia hio list aliyokutumia niongee nae vizuri, hivi umesema ni bikra na umeshindwa kuifungua?Wakuu haya mambo ya mapenz kiunganish ni hela tu..imagn jana kuna manz bikra kabisa kaniletea geto..nmepambana nayo almost 3hrs ila nmefail mission ila baada ya hapo ananiletea list ya matumiz yake na anakumbushia kila baada ya dk 15 ...hapa hadi kichwa kinaniwaka kwamba naenda tengeneza mdangaji ajae au ni future wife material wa mtu?
Wap washahalalisha hyo biashara kisheria?Utashikwa shati na kupigiwa makelele hapo mpaka uchanganyikiwe umekula halafu hutaki kulipa ataondoka na Simu yako akauze
Now mademu wanauza Papa kama masihara jana nilienda Duka la Dawa Muhimu nikakutana na mrembo nikanunua dawa nikasepa ila nikaona no wacha nirudi.Yaan mkuu acha tu hawa watu wa ajabu kinoma mpaka nimeshangaa huyu mboni km anauza ila anasema hauzi mara yeye sio malaya ila mienendo yake ikafanya taa nyekundu iwake haraka sana
Aah..list nitaizingatia ila naona naenda kupeleka gold digger mpya sokonNipatie namba yake niweze kuangalia hio list aliyokutumia niongee nae vizuri, hivi umesema ni bikra na umeshindwa kuifungua?
Kwa hiyo nisikutumie tena😀😀😀Nani huyo wa kumdanganya utamtumia kwa simu? Usawa huu? Unajidanganya, hata usijaribu.
Kuna mtu aliumbuka hivyoo, don't try this at home.
Lol
Una mastory cousin,ngoja nine inboksi kwanza😂😂😂😂😂
Jamaaa alikunjwa shati, anajifanya mbabe, anashangaa kende zimeminywaa, "unatoa hutoi"
Mdada piga kelelee "mwiziiii huyuu" wapangaji wenzie walio vyumba vingine kujaa shazi pale mlangoni.
Mkaka wa watu, afu mtumishi wa serikali, alijawa na aibu, alijuta kabisaa. Lol
😂😂😂😂
Mkuu nisaidie number yake huyo dada kwenye PM kama hautojali..Wakuu haya mambo ya mapenz kiunganish ni hela tu..imagn jana kuna manz bikra kabisa kaniletea geto..nmepambana nayo almost 3hrs ila nmefail mission ila baada ya hapo ananiletea list ya matumiz yake na anakumbushia kila baada ya dk 15 ...hapa hadi kichwa kinaniwaka kwamba naenda tengeneza mdangaji ajae au ni future wife material wa mtu?
Si rahisiMkuu nisaidie number yake huyo dada kwenye PM kama hautojali..
Ripiti ageni 😂hahahaha dah,
hawauzi lakini hawatoi bure pia
HAWAUZI, NA HAWATOI BURE PIARipiti ageni 😂
Noma sana, wanapenda hela mno.HAWAUZI, NA HAWATOI BURE PIA
😂😂😂Demu Msukuma huyoo..😆.Mlimi huwa nashangaa mtu/ demu hajui kuandika kiswahili vizuri
Huyo ndio mzuri, amekuwa wazi hataki mambo mengi, bao moja 15k ni uwezo wako tu.Now mademu wanauza Papa kama masihara jana nilienda Duka la Dawa Muhimu nikakutana na mrembo nikanunua dawa nikasepa ila nikaona no wacha nirudi.
Nimefika akaniuliza vipi ,nikamwambia nimeshindwa vumilia urembo wako nimerudi kuomba namba akasema sawa akanipa ,,,oya jioni nimakacheki kaboa sijatupia ndoano vizuri akaniwahi "BAO MBILI ELFI 30"
Si mwanetu umeshindwa kutoa bikra eti masaa una hangaika nayo tu...Si rahisi