Sozo_
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 2,786
- 4,946
Hakuna unayemkomoa, unajiua mwenyeweHakuna hio kwani wanaoweka ndani hawafi? Wanakufa na wanaziacha wahuni wanaendelea kuzichakata, majuzi hapa yupo ambae kafiwa na mumewe imepita mwezi tu jana kaenda kuliwa hotel fulani watoto kamwachia jirani yake, wakati huo wewe ushaanza kuliwa na funza huko chini mwenzio kashakusahau watu wanaendelea kuimega tu tena wanaimega haswa kukuzidi wewe uliekwisha kufa