Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Mpo busy na kupe, mtakufa masikini wallah. Wanawake wa sasa tumia akili sana kwenda nao sawa, bahati mbaya tunakitaka kipapa, wamesema hawauzi ila hawatoi bure...noma sana!!
ERoni unataka nini eti..🤣🤣🤣🤣🤣😆
 
Wacha nisome comment zote za wadau humu alaf namie ndio niandike ya kwangu ila kiufupi asilimia 98 ya wanawake ni njaa na wanauza nyapu na ukichunguza kwa makini wengi wao ni masingle maza wameshazalishwa wana njaa kingese😂😂
 
Hivi mnawatoaga wapi wanawake wa hivyooo?
Wapo mtaani kwenye cycle tu ya maisha unakutana nao, hata mie nilikuaga naona kama hadithi tu ila imenitokea kwa wanawake wawili mwezi uliopita tu wamejiweka katika mazingira ya uuzaji wa papa yaani ndiyo wanawake tunao kutana nao kwa sasa, wanauza direct na indirect..
 
Wacha nisome comment zote za wadau humu alaf namie ndio niandike ya kwangu ila kiufupi asilimia 98 ya wanawake ni njaa na wanauza nyapu na ukichunguza kwa makini wengi wao ni masingle maza wameshazalishwa wana njaa kingese[emoji23][emoji23]
Pia kuna wake za watu hasa kizazi hiki cha 2000's wanaomba sana hela duuh mpaka unajiuliza huyu mumewe hamu hudumii au ana shida gani.. Kadada kameolewa ila kuomba omba hela mabachela sasa mpaka kero.
 
Pia kuna wake za watu hasa kizazi hiki cha 2000's wanaomba sana hela duuh mpaka unajiuliza huyu mumewe hamu hudumii au ana shida gani.. Kadada kameolewa ila kuomba omba hela mabachela sasa mpaka kero.
Wanawake walio wengi wana njaa zisizokwisha mkuu!!! Dawa yao ni hit and run hakuna kuweka kambi
 
Mama Samia ni chombo cha neema kwa Tanzania — uongozi wake ni taa ya matumaini, dira ya maendeleo na alama ya hekima. 2030 tupo tayari
 
Hee
Wapo mtaani kwenye cycle tu ya maisha unakutana nao, hata mie nilikuaga naona kama hadithi tu ila imenitokea kwa wanawake wawili mwezi uliopita tu wamejiweka katika mazingira ya uuzaji wa papa yaani ndiyo wanawake tunao kutana nao kwa sasa, wanauza direct na indirect..
Hee poleni sana jamani mahusiano siku hizi yamekuwa kituu cha hovyoo kbsaa..sijui tutakuwaa na generation ya mtindo ganii🙌🙌
 
Sasa elfu mbili ya vocha unalia liaa hapaa ndo nyie mnaishia kubaka mbuzii na kuku
 
Sasa elfu mbili ya vocha unalia liaa hapaa ndo nyie mnaishia kubaka mbuzii na kuku
Elfu 2 ya kitu kidogo wewe huyu hataki elfu 2 jinga wewe nikikuonyesha mkeka alionipa na hio siku ya kwanza tu utanyoosha mikono juu, ndio na huyo mbuzi si ni yule mama yako anaejiuza pale maeneo wahuni wanabaka tu wanavyotaka kisha wanalipa
 
Broski huyo utakua ulimtoa Badoo, ndiyo mbanga zao hizo! Unatakiwa ucheze kama Pele
Sio huko umekosea sana sijawahi kukanyaga huko kabisa ndio wapi huko?, in short hizo dating sites zote unazozijua sijawahi zitumia hata moja mpaka hapa nilipo kwa hio nitoe huko mimi nnachukua namba physically yaan nikikutana na mama yako nikamuelewa nitachukua namba kisha tutazungumza baadae vizuri ili anielezee matatizo yako
 
Kijana tafuta bwana akupunguze upwiruu maana hao ndo wanahudumiaa si huwezi kutoa elfu 2 utapewa mamilion.
 
Kijana tafuta bwana akupunguze upwiruu maana hao ndo wanahudumiaa si huwezi kutoa elfu 2 utapewa mamilion.
Unajua wewe kajamaa kadogo ni mjinga sana, endelea hivyo hivyo nikushushie makwenzi ili uzidi kua mfupi sana
 
Hakuna yeye ndio kakomalia bando anataka bando nikamwambia tulia yeye kashika bango anataka bando ndio tuchat taa nyekundu ikawaka huyu ndio walewale ila hataka ku-disclose the fact kua ni muuzaji mzuri tu
muuzaji kwa kuomba bundle la 500 , ushamwita majina yote haya? Aloooh!
 
Kuna mmoja nilikutana nae siku ya kwanza,nikaomba mzigo akaniambia mpaka anichunguze Bado mapema Sana ndo anipe mzigo,nikamwambia fresh
Kesho akanicheki anataka nimuongezee 10k anataka kwenda kununua mzigo,
Nikamwambia Bado mapema Sana kumpa 10k.
Hajajibu sms mpaka kesho
 
Sio huko umekosea sana sijawahi kukanyaga huko kabisa ndio wapi huko?, in short hizo dating sites zote unazozijua sijawahi zitumia hata moja mpaka hapa nilipo kwa hio nitoe huko mimi nnachukua namba physically yaan nikikutana na mama yako nikamuelewa nitachukua namba kisha tutazungumza baadae vizuri ili anielezee matatizo yako
Hahahaaaaa We mata****** mkuu
 
Back
Top Bottom