Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Yes , that is how you gonna feed the Ego of bitch
Iyo ilitokea kipindi Cha nyuma manzi tumepiga tu stori kidogo kwenye basi tukabadilishana mawasilano niliposhuka nikamuachia buku Saba then nikakausha sikumtafuta kabisa kama wiki ivi akaanza kunitafuta yeye asee aliniganda uyo anabembeleza kinoma 🤣
 
Iyo ilitokea kipindi Cha nyuma manzi tumepiga tu stori kidogo kwenye basi tukabadilishana mawasilano niliposhuka nikamuachia buku Saba then nikakausha sikumtafuta kabisa kama wiki ivi akaanza kunitafuta yeye asee aliniganda uyo anabembeleza kinoma 🤣
So ulikuja ukachinja?
 
Unakuta unamtongoza mwanamke na unamuambia nakupa 20000 yeye anakuambia sijiuzi

Halafu baada ya muda kidogo anakuambia niazime 10000 .sasa unabaki unajiuliza hivi huyu anajielewa kweli .

Jamani wanawake ifike hatua mjitambue kwasasa hakuna wahongaji wapo wanunuaji.
Kwa hio hajiuzi huku anaomba hela kwa hio hela anaomba ya nini huduma, huduma ipi kwa kufanya kazi ipi?
 
Sema ulitumia principal nzuri sasa mtoa mada amezingua kumuita Malaya angemtumia hela na asimuombe kitu
Mkuu unajua kwanini nimemuuliza hivyo huyu manzi? Aliniudhi kinomanoma nikabidi nimuulize kwani mboni unanionyesha viashiria km wewe ni malaya? Akaanza kuwaka
 
Naelewa iyo ilinikuta sema Mimi nilikuwa naludisha hapo hapo kabla atujaachana nilipoona muamala umegoma nikamkaba anitumie iyo Hela akatuma chapu dah maisha Aya nikawaza ingekuwa vipi elf amsini yangu ingeenda 🤣
Nayeye ilikua ivo ivo,,sasa io siku alikutana na voda fasta,,ni kama alishaandaa kwenye menu ilibaki send tu🤣,,ye alkua anasema nenda nakutumia sio hapo hapo
 
Back
Top Bottom