Pierreeppah
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 1,563
- 1,988
Wanaopenda tecno huwa wanapata shida wasizozijua. Mojawapo ni kamera zinachoka zinakosa ubora baada ya mda miezi kadhaa tangu ununue. Pili ukisev namba za simu ktk phone book zinapotea moja moja bila we kujua, unakuta umemsev jina la mtu, baadaye akikupigia inakuja namba tu unalazimika kumwuliza upya na kusev upya. Afu betri inakuwa imara kwa miezi ya mwanzo baadae unajikuta chaji inaisha fasta. Ram watakuambia ni GB 2 lakini zinajaa fasta kwa apps chache tu nk nk.... Lakini mtumia tecno ataganda nayo ilimradi haizimi na hatagundua hayo maisha yake yote, hadi atakapotumia brand nyingine ndo atajua ilivo hovyo.