The Ape
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 330
- 476
Next time usikurupuke kujibu post za watu bila kuelewa.Unajua kweli kufanya marketing..unalipwa sh ngapi?Yaani simu itengenezwe china halafu eti haijulikani..acha fix zako za kipimbi hizo..huna hela ya kununua iphone ..simple
Umeielewa hiyo comment yangu?... Wapi nimeiponda iPhone?
Unaelewa maana ya copycat au ndo kujifanya mjuaji...
Unaujua uwezo wangu waki fedha?... Sometimes ni bora ukae kimya kuliko kuanza kutoa matusi kwa mtu usiyemjua.
Naona kusema Tecno hazitambuliki ndio imekuuma sana sio?... Huo ndio ukweli.
Jaribu kufatilia kabla haujaja kutukana watu usiowajua... Wachina wanatumia sana Xiaomi,Oneplus,Huawei na Oppo na simu kutoka kampuni nyingine kubwa.
Tafuta Reviews za simu kuanzia YouTube mpaka kwenye google utaona Tecno zinafanyiwa review Nigeria tu.Na ndo Makao Makuu yao hapo,China bado hazijulikani.
Pole sana bwana Tecno.