Nimeamua kubadili brand ya simu rasmi

Nimeamua kubadili brand ya simu rasmi

Dunia kweli inazunguka, zamani ilikuwa ukiwa na cm kubwa kila mtu anakuona una pesa una miliki bonge la cm, ikafika mahali ukiwa na cm kubwa wewe ni mshamba una hela ndogo unabeba simu kubwa, cm ndogo zikawa ndio za maana una onekana mambo safi, leo tena cm kubwa ndio safi, ukiwa nayo wewe mkali una jiweza tukaleta na tablet kabisa, dunia duara.
 
Iphone ni parefu.... Tecno ni majanga nashindwa kuelewa mleta thread aliwezaje kuwavumilia mda wote huo....

Samsung pamoja na kutengeneza mabomu ila siwahami ng'o...... Ndiyo kwanzaa nimechukua Samsung Galaxy S7 Edge... Ipo tu kwenye droo nimeipumzisha.....
Mkuu basi hiyo ambayo unayo sasa niuzie maana nimeichoka hii s3 iko superslow iko na 4.3jellybean inanikera acha tu
 
Dunia kweli inazunguka, zamani ilikuwa ukiwa na cm kubwa kila mtu anakuona una pesa una miliki bonge la cm, ikafika mahali ukiwa na cm kubwa wewe ni mshamba una hela ndogo unabeba simu kubwa, cm ndogo zikawa ndio za maana una onekana mambo safi, leo tena cm kubwa ndio safi, ukiwa nayo wewe mkali una jiweza tukaleta na tablet kabisa, dunia duara.
Fashion life cycle inaenda ikijirudia stages.
 
Back
Top Bottom