Nimeamua kubadili brand ya simu rasmi

Nimeamua kubadili brand ya simu rasmi

Hilo najua.

"Za kisasa" haina maana "nzuri zaidi".

Ndiyo maana mpaka kesho Prince Charles anaponda modern art, particularly modern architecture with its boxy gray monstrosities.

After all, the second law of thermodynamics equates the direction of the arrow of time woth the increase of disorder, not order. As anyone who has conducted the most basic experiment to demonstrate Brownian motion could attest to.

As Sir Arthur Eddington said, you simply cannot contradict the second law of thermodynamic s.

So "Usasa" could be very overrated and detrimental to your well being if not properly filtered.

You dig?
Sio Kiranga huyu??
 
Naomba tofauti yake na oppo A57
Kaka a57 ni hatari zaidi. Ina home button kama ya samsung vile vile Ram ni 3GB huku SSD ikiwa 32GB, processor qualcom msm 8940 snapdragon 435, Selfie camera 16mp which means selfie zitakuwa hatari mno. Primary camera ni 13mp very reasonable. Plus display ni 5.2 inches.
Kiufupi a57 ni zaidi ya hizi model nilizonazo
 
Kaka a57 ni hatari zaidi. Ina home button kama ya samsung vile vile Ram ni 3GB huku SSD ikiwa 32GB, processor qualcom msm 8940 snapdragon 435, Selfie camera 16mp which means selfie zitakuwa hatari mno. Primary camera ni 13mp very reasonable. Plus display ni 5.2 inches.
Kiufupi a57 ni zaidi ya hizi model nilizonazo
Oppo a57 ni bei gani?
 
Na hozi sim sina spear parts zake kama scree na vingine
Maana nilishaletewaga sim kutoka south Africa ikapasuka screen nilitafuta kila maali sikuzipata nilizunguka sana kariakoo lakini wapi mwisho wa siku ikabidi ninunue tekno wereva
 
Na hozi sim sina spear parts zake kama scree na vingine
Maana nilishaletewaga sim kutoka south Africa ikapasuka screen nilitafuta kila maali sikuzipata nilizunguka sana kariakoo lakini wapi mwisho wa siku ikabidi ninunue tekno wereva
Spare ni changamoto mkuu, labda mtandaoni maana hazipo kwenye mzunguko wa simu wa bongo. Ila ulitakiwa uitunze sasa mkuu, unaonekana ww ni mzembe katika utunzaji wa vitu vizuri!
 
Spare ni changamoto mkuu, labda mtandaoni maana hazipo kwenye mzunguko wa simu wa bongo. Ila ulitakiwa uitunze sasa mkuu, unaonekana ww ni mzembe katika utunzaji wa vitu vizuri!
Si uzembe ilikuwa bahat mbaya, na huwa inatokea sana tuu unakuwa mwangalifu ila inakuja kutokea tuu umejisahau kidogo kitu kipo sakafuni
 
Sio siri naenjoy kaka.


63cc75be70930289d10a052d35c7aad2.jpg
Weka jina la duka au namba za simu tumcheki.
 
Baada ya kuwa mshabiki wa kampuni ya simu pendwa za tecno kwa kipindi kirefu, nmefanikiwa kubadili brand na kuhamia Oppo phones.

Hii imetokana na Tecno kutubadilishia gia angani kwa kuuza simu zenye ubora mdogo kwa pesa ndefu kuliko dhamira halisi iliowaingiza sokoni. In short wanabadili makasha ila mostly hardwares wanazotumia ni cheap sana na hawaoneshi nia ya ku improve zaidi ya kubadili kamera tu kila siku.

Kuanzia leo sitaki hata kusikia habari za tecno, nimekuwa very satisfied na brand ya oppo phones.

Nmenunua oppo a33f na bibie nimemnunulia a37f. Camera excellent, battery optimization hatari sana, soc ni sawa na highend phone brands ni qualcomm sio mediatek, ram optimization safi, storage iko fast pia haijai haraka kama kule.

Tukija kwenye bei ni as cheap as hizo tecno ila unapata kitu nzuri zaidi aisee. Najua kuna wale mliochoshwa na tecno ila hamna mbadala nawashauri chekini oppo phones wako tununu!

Regards,
Extrovert.

Cc: Chief-Mkwawa

A37f
View attachment 501226

A33f
View attachment 501227
Sisi wengine tunaendelea na zilizopendwa zetu za IPHONE S4 'HAKUNA MATATA KABISA' nyie endeleeni kubanjiliwa pesa kila kunapokucha.
 
Baada ya kuwa mshabiki wa kampuni ya simu pendwa za tecno kwa kipindi kirefu, nmefanikiwa kubadili brand na kuhamia Oppo phones.

Hii imetokana na Tecno kutubadilishia gia angani kwa kuuza simu zenye ubora mdogo kwa pesa ndefu kuliko dhamira halisi iliowaingiza sokoni. In short wanabadili makasha ila mostly hardwares wanazotumia ni cheap sana na hawaoneshi nia ya ku improve zaidi ya kubadili kamera tu kila siku.

Kuanzia leo sitaki hata kusikia habari za tecno, nimekuwa very satisfied na brand ya oppo phones.

Nmenunua oppo a33f na bibie nimemnunulia a37f. Camera excellent, battery optimization hatari sana, soc ni sawa na highend phone brands ni qualcomm sio mediatek, ram optimization safi, storage iko fast pia haijai haraka kama kule.

Tukija kwenye bei ni as cheap as hizo tecno ila unapata kitu nzuri zaidi aisee. Najua kuna wale mliochoshwa na tecno ila hamna mbadala nawashauri chekini oppo phones wako tununu!

Regards,
Extrovert.

Cc: Chief-Mkwawa

A37f
View attachment 501226

A33f
View attachment 501227
Umeamua mkuu kutangaza biashara.
 
Back
Top Bottom