Nimeamua kubadili brand ya simu rasmi

Nimeamua kubadili brand ya simu rasmi

Natoa ofa kwa watu wawili tu mimi naishi india ninandugu yako anakuja bongo tarehe ishirini kwaiyo wanaotaka iyo oppo waagize kama ni online mimi nampa ndugu yangu awabebe bureee tu asa kuna wengine watakuja humu wataanza kusema utapeli ndio maana tunaogopa kutoa misaada humu Mda mwingine yani siitaji unitumie pesa kama unaweza kununua online maybe ebey then ili iwe rahisi kupata mzigo wako
f014078ef5533dc25733c800ac2186cc.jpg
bei hiyo chini angalia kwenye late ya Tanzania Sh Kama laki mbili ukishika hii cm mtu anasema iPhone 6plus yani ni copy right
 
Baada ya kuwa mshabiki wa kampuni ya simu pendwa za tecno kwa kipindi kirefu, nmefanikiwa kubadili brand na kuhamia Oppo phones.

Hii imetokana na Tecno kutubadilishia gia angani kwa kuuza simu zenye ubora mdogo kwa pesa ndefu kuliko dhamira halisi iliowaingiza sokoni. In short wanabadili makasha ila mostly hardwares wanazotumia ni cheap sana na hawaoneshi nia ya ku improve zaidi ya kubadili kamera tu kila siku.

Kuanzia leo sitaki hata kusikia habari za tecno, nimekuwa very satisfied na brand ya oppo phones.

Nmenunua oppo a33f na bibie nimemnunulia a37f. Camera excellent, battery optimization hatari sana, soc ni sawa na highend phone brands ni qualcomm sio mediatek, ram optimization safi, storage iko fast pia haijai haraka kama kule.

Tukija kwenye bei ni as cheap as hizo tecno ila unapata kitu nzuri zaidi aisee. Najua kuna wale mliochoshwa na tecno ila hamna mbadala nawashauri chekini oppo phones wako tununu!

Regards,
Extrovert.

Cc: Chief-Mkwawa

A37f
View attachment 501226

A33f
View attachment 501227
Nimeulizia maduka ya posta DSM na Arusha hawana. Extrovert
 
Natoa ofa kwa watu wawili tu mimi naishi india ninandugu yako anakuja bongo tarehe ishirini kwaiyo wanaotaka iyo oppo waagize kama ni online mimi nampa ndugu yangu awabebe bureee tu asa kuna wengine watakuja humu wataanza kusema utapeli ndio maana tunaogopa kutoa misaada humu Mda mwingine yani siitaji unitumie pesa kama unaweza kununua online maybe ebey then ili iwe rahisi kupata mzigo wako fasta tu
3c530f0ba6fa4d7b0cdb0b295085af46.jpg
ukipenda bei yake uku iko chini Kama laki mbili naa
hio ni laki 3 naa mkuu, rupia moja ya india ni kama tsh 34 ya Tanzania hivyo hapo inakuja around 326,000

na simu za watu wa chini India ni samsung ikifuatiwa na xiaomi then lenovo. oppo na vivo ni wa nne na Tano.
 
hamia Xiaomi....

Hapa nina Redmi note 4 ina week mkononi Brand new phone nimenunua Online kwa $161 madukani hapa Bongo kule Posta ni 750k au tizama Jumia market utaona simu hii ni Khatarii

Xiaomi Wakifika Tanzania TECNO watahama simu zao ni SUPER QUALITY

Tecno simu ambayo hata Ukiitafuta Gsm arena haipo wala Phone arena

wala si Amazon ,ebay wala Aliexpress wala Alibaba...HAKUNA TECNO kabisa

simu gani hiyo?
duh!kumbe JUMIA walinipiga,nilinunua redmi 3S laki tano wakati wewe umepata notr 4 kwa $161?umeinunua lini hiyo?
 
aah

,niliachaga kutumia samsung kwasababu wanafyatua matoleo kama EMBE,hujui ipi ni ipi wanamaliza herufi tu mpaka sasa unaweza kuuziwa clone kwa bei ya original.


Kama embe ukimaanisha nini mkuu?
Kuuziwa simu clone ni kukosa kwako elimu (ujinga) yakuweza kutambua simu ipi ni ipi na si Kosa la Samsung,
 
aah

,niliachaga kutumia samsung kwasababu wanafyatua matoleo kama EMBE,hujui ipi ni ipi wanamaliza herufi tu mpaka sasa unaweza kuuziwa clone kwa bei ya original.
Mbona ziko tofauti sana!!!hauko makini tu.

Kuna s series
Kuna note series
Kuna A series
Kuna C series
Kuna j series.

Hizo zote zina mionekano tofauti kulingana na herufi, ungesema ukifika dukani unalewa maana kila simu ni nzuri, ningekuelewa.
 
Natoa ofa kwa watu wawili tu mimi naishi india ninandugu yako anakuja bongo tarehe ishirini kwaiyo wanaotaka iyo oppo waagize kama ni online mimi nampa ndugu yangu awabebe bureee tu asa kuna wengine watakuja humu wataanza kusema utapeli ndio maana tunaogopa kutoa misaada humu Mda mwingine yani siitaji unitumie pesa kama unaweza kununua online maybe ebey then ili iwe rahisi kupata mzigo wako
f014078ef5533dc25733c800ac2186cc.jpg
bei hiyo chini angalia kwenye late ya Tanzania Sh Kama laki mbili ukishika hii cm mtu anasema iPhone 6plus yani ni copy right
Oppo ni hatari sana.
 
aah

,niliachaga kutumia samsung kwasababu wanafyatua matoleo kama EMBE,hujui ipi ni ipi wanamaliza herufi tu mpaka sasa unaweza kuuziwa clone kwa bei ya original.
Samsung ni jipu sasa unatumia nn mbadala wa mkorea mkuu?
 
Ushawah tumia tekno ao unatoa povu tu...
And tecno gan ambayo ushatumia ww..

Mm mtumiaj mzur wa tecno na sijaona baya lolote
 
Ushawah tumia tekno ao unatoa povu tu...
And tecno gan ambayo ushatumia ww..

Mm mtumiaj mzur wa tecno na sijaona baya lolote[/QUOTNjmeongela tecno kwasababu ni kampuni ambayo Inacm mpk za bei ya chini hata Tanzania mwenye khali ya chini anaweza kumiliki japo zipo na za bei ghali nadhani nimesomekq
 
aah

,niliachaga kutumia samsung kwasababu wanafyatua matoleo kama EMBE,hujui ipi ni ipi wanamaliza herufi tu mpaka sasa unaweza kuuziwa clone kwa bei ya original.
Samsung kampuni nzuri Sana ila huu ndio ubaya wake ndio maana awawezi kuwa Kama wenzao iPhone mfano Samsung iliyotoka mwaka jana mwanzoni saivi iko cheap Sana ila iPhone ya mwaka jana unaweza kuitumia mpk mwakani kwasababu wanatoa cm mbili tatu mwa mwaka mfano iPhone 6 na 6s and 6plus wamemaliza
 
Oppo ni copycat ya iPhone...

Ni simu nzuri sana... Sio China tu bali UK zinauza sana na nchi nyingine kama Australia.

Tecno Wereva hazitambuliki kabisa kimataifa... Hata ukicheki reviews za simu kuanzia GSMARENA,CNET,PHONEDOGS,PHONEARENA,TECHRADAR na nyingine kibao... Tecno haitambuliki.

Kiufupi hata China kwenyewe Tecno hawaitambui.

Enjoy OPPO.
Unajua kweli kufanya marketing..unalipwa sh ngapi?Yaani simu itengenezwe china halafu eti haijulikani..acha fix zako za kipimbi hizo..huna hela ya kununua iphone ..simple
 
Back
Top Bottom