Nimeamua kubadili brand ya simu rasmi

Nimeamua kubadili brand ya simu rasmi

Mi natafuta oneplus 3t maana nasikia zinakaa na chaji tofauti na samsung. Natumia samsung lakn wanazingua sana kwenye chaji hasa hii s6 edge
kama battery ni kigezo achana na hio oneplus nayo pia ni kimeo tafuta simu hizi
-xiaomi redmi note 4 version ya snapdragon 625
-motorola moto z play yenye snapdragon 625
-samsung galaxy A7 ya mwaka 2017 (inauzwa ghali sana na specs za midrange)
-huawei mate 8
-samsung galaxy j7 version ya 2016 (vyema usubirie ya 2017)

hizo simu zote zinapitisha masaa 8 kwenye heavy usage, na siku mbili au tatu matumizi ya kawaida.
 
kama battery ni kigezo achana na hio oneplus nayo pia ni kimeo tafuta simu hizi
-xiaomi redmi note 4 version ya snapdragon 625
-motorola moto z play yenye snapdragon 625
-samsung galaxy A7 ya mwaka 2017 (inauzwa ghali sana na specs za midrange)
-huawei mate 8
-samsung galaxy j7 version ya 2016 (vyema usubirie ya 2017)

hizo simu zote zinapitisha masaa 8 kwenye heavy usage, na siku mbili au tatu matumizi ya kawaida.

shukrani mkuu ntanunua moja ya hizo simu. asante
 
Mi nna bahati mbaya na simu za ghali. Kila nikinunua hua zinakufa kwenye mazingira ya kutatanisha..!! Sasa hivi natumia tu tecno mradi mawasiliano bana. Hii ata ikifa wala siumii natupa huko nachukua nyingine..
 
Mchina ni assembler ila brand ni ya india mkuu, uzuri ni brand inayouza zaidi ulaya so gsm arena utatukuta.
Kwan kila kitu kinachotengenezwa na china n cha kizush??? Kwan kampun ya apple mbona iko china na simu za iphone zinatengenezwa na zinauzwa dunian kote,,, inshu sio china kuna makampun makubwa yameweka viwanda vyake china na kutengeneza bidhaa na kuuza dunian kote coz n base ya industrialization.... Ndo maana kuna product zinazalishwa china n grade 1 na haziwez kuuzwa nchi nyingine ambazo uchum wao uko chin,,, mfano kuna product za home theatre za sony grade ya 1 inakuwa inauzwa bei kubwa hivyo ikitengenezwa inapelekwa kuuzwa kwenye nchi ambazo ziko vizur za ulaya huko.. Lkn unaweza kununua product io io ambayo imetengenezwa na kampun hilo hilo ikija huku kwetu inauzwa bei ya chin na quality yake inalingana na fedha yetu na uchumi wetu,,,, mfano mwingine n hizo simu za samsung,, simu ya samsung j 5 prime ambayo anatumia m2 wa marekan n tofaut ya huku kwetu coz kwao imetengenezwa kwa kulingana na soko na uchumi wa inchi io vivyo hivyo huku kwetu africa.
 
one plus one unaijua?oppo ndio kampuni mama ya one plus.
One plus 3 iko kwenye level ya iPhone 7 na Samsung s7 kwenye specs na hardware zake pia zina ubora wa juu ila haina jina kubwa. Mwanzo ziliuzwa kwa invitation tu ila toleo la oneplus 3 unaweza kununua online
 
Nahitaji kioo cha oppo R7 vp kinaweza patkana???
 
walipoanza kutengeneza soc za 64bit waliacha kabisa kutengeneza za 32bit hivyo soc za 64bit ni mpya na zina nguvu, cortex a53 ina nguvu kuliko cortex a7 na cortex a72 ina nguvu kuliko cortex a15

japo sio technical ila ndio uhalisia wa soki simu ya 64bit ina nguvu kuliko 32bit.

pia android walieka runtime mpya inaitwa art ambayo ilireplace ya zamani dalvik ambayo ni 32bit, kama umetumia android zamani enzi kabla ya kitkat utaona ilikuwa slow sana, ni soc za 64bit na art ndio zimefanya simu kuwa na speed.

pia kuna mambo mengine technical kama security, issue za madeveloper etc
Unaizungumziaje tecno mpya ya camon cx
 
Yeah nimekubali, wako safi. Oppo ni brand ya India lakini sema zinazalishwa China.
Mmhhh Oppo ninayoijua mimi au nyingine?

Hawa jamaa enzi hizooo walikuwa wanatengeneza mp3 na mp4 huko Uchina...wakishindana na Meizu n.k
 
Mkuu umeingiza mzigo umekudodea nn? Naona unaanza kutangaza kwa kuwasagia wenzio, any way mie pia sijawahi kutumia Tecno wala uwawei yaani bora kutumia kitochi cha Nokia
Sifanyi biashara mkuu, laiti kama ningekuwa nafanya pia nisingetumia nguvu kuuza hii simu maana inajiuza yenyewe kwa ubora wake ikikutana na mtu anaejua simu.
 
Kwan kila kitu kinachotengenezwa na china n cha kizush??? Kwan kampun ya apple mbona iko china na simu za iphone zinatengenezwa na zinauzwa dunian kote,,, inshu sio china kuna makampun makubwa yameweka viwanda vyake china na kutengeneza bidhaa na kuuza dunian kote coz n base ya industrialization.... Ndo maana kuna product zinazalishwa china n grade 1 na haziwez kuuzwa nchi nyingine ambazo uchum wao uko chin,,, mfano kuna product za home theatre za sony grade ya 1 inakuwa inauzwa bei kubwa hivyo ikitengenezwa inapelekwa kuuzwa kwenye nchi ambazo ziko vizur za ulaya huko.. Lkn unaweza kununua product io io ambayo imetengenezwa na kampun hilo hilo ikija huku kwetu inauzwa bei ya chin na quality yake inalingana na fedha yetu na uchumi wetu,,,, mfano mwingine n hizo simu za samsung,, simu ya samsung j 5 prime ambayo anatumia m2 wa marekan n tofaut ya huku kwetu coz kwao imetengenezwa kwa kulingana na soko na uchumi wa inchi io vivyo hivyo huku kwetu africa.
Wachache wanaelewaga hili.
 
Samsung note 2 niliwahi kuwa nayo ilikuwa atleast
Samsung zenye android gingerbread nyingi zilikuwa zinatunza chaji mfano S2, Infuse 4G, Galaxy S, note 1 ila kuanzia android jelly bean ndio majanga ya betri hafifu yalishika hatamu.
 
Back
Top Bottom