Simu za adroid uwa sioni kama kuna tofauti umeluka mkojo umekanyaga mavi ona unanuka sasa ungeamua ios kidogo ingekuwa afueni
Mkuu Moshi kubwa, unaweza kutupatia japo hints maana sipo mbali na moshi naweza kwenda kuziona mara moja kama hutojaliHizi zimetoka straight from Nairobi. Nimechukulia maduka ya mjini Moshi.
Noted with thanks mkuu,nimeshawishika! kuna jamaa alitaka kuniuzia INFINIX, unanishauri vipi ndugu Versus hii OppoMoshi mjini maduka ya stand ya mabasi, ghorofani pale
Noted with thanks mkuu,nimeshawishika! kuna jamaa alitaka kuniuzia INFINIX, unanishauri vipi ndugu Versus hii Oppo
We walk the same path but on different shoesSio ajabu ila ni simu ya long time kidogo ukizingatia kuna version tano mbele yake mpaka sasa.
Kaka mimi nikushukuru sana, naenda kuchukua Oppo na nitaleta mrejesho hapa, naamini Oppo ni hamna copy kaka au unasemaje hapoInfinix sijawahi miliki ila niliona moja kwa jamaa yangu ilikuwa note 2 ni kubwa kwa size ila camera yake ilikuwa mbovu balaa. Mediatek kama kazi.
Sikushauri maana hawana tofauti na tecno. Infinix,tecno,itel = Mchina mwenye asili ya Naijeria huko.
Mchina ni mchina tu..vinginevyo ni kutafuta kujifariji tu!!Kaka mimi nikushukuru sana, naenda kuchukua Oppo na nitaleta mrejesho hapa, naamini Oppo ni hamna copy kaka au unasemaje hapo
Tunasubiri mrejeshoKaka mimi nikushukuru sana, naenda kuchukua Oppo na nitaleta mrejesho hapa, naamini Oppo ni hamna copy kaka au unasemaje hapo
Shukran kakaZipo unique sana na adimu hivyo kopi ni ngumu sana kwa soko la bongo
Basi nawewe ni mwizi utakuja chomwa moto siku mojamm sijahi kununua simu dukani...nanunua za wizi tu,napata ata ipone 7 kwa laki na nusu so sijisumbuagi na upuuzi mingine