Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kupitia uzi huu nimegundua mambo kadhaa
1. Asilimia kubwa ya waumini wa Kiislam wanaamini katika stori za kufikirika na ni wepesi sana kushikwa kiakili hasa mtu anapotunga hadithi na kuihusianisha na dini yao.
2. Watu wengi wana matatizo na wanaamini yanaweza kutatuliwa kiroho na si kwa juhudi binafsi na akili! Kupitia uzi huu wa kufikirika nimeshangaa kuona watu wanaandika maombi yao kwa mtunzi eti awafikishie kwa huyo jini! Huu ni zaidi ya wendawazimu.
3. Uislam na shirki ni ndugu wa damu.
Mengine ntaendelea kuandika...
Tupe ushahidi, huo "wa Uislam na shirki". wacha porojo.

Kwanza kama wewe ni nkristo basi elewa kuwa automatic unafanya ushirikina. Au utatu siyo kushirikisha?
 
(a)
Yohana 14
1 Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.
2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.
3 Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.
4 Nami niendako mwaijua njia.
5 Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
......................

(b)
قُلْ مَا كُنتُ بِدْعًا مِّنَ الرُّسُلِ وَمَا أَدْرِي مَا يُفْعَلُ بِي وَلَا بِكُمْ ۖ إِنْ أَتَّبِعُ إِلَّا مَا يُوحَىٰ إِلَيَّ وَمَا أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ
[ AL - AH'QAAF - 9 ]
Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.
................

Hivi ukiwa umetulia bila ushawishi wowote toka nje.
Ukisikiliza kwa umakini hizo kauli (a) na (b)
Utamwamini yupi?
Iko hivi hiyo ay hapo juu ndio inathibitisha ukweli wa mtume Muhammad (s.a.w) kwamba yeye ni binadamu tu na wala si chichote mbele ya mola wake,kwa maana cheo chake ni utume kufikisha ujumbe wa Allah tu,kwahiyo wale wajinga wengine ambao husema ooh Muhammad kafa mtahukumiwa na nani,jibu ni moja ni Allah,yeye ndiye Mola wetu na wenu na ndio mmiliki wa siku ya malipo

Tuje kwa Yesu ,ni sahihi kabisa kusema yeye ni ndimi na njia ya kwendea kwa Mungu,kwasababu huwezi mjua Mungu bila mafundisho ya Yesu,kwahiyo ili mjue na kumwabudu Mungu vizur basi uifuate njia ya Yesu ambayo alisema yeye ni mwana wa adam na ametumwa kufikisha ujumbe wa Allah,sasa kama wewe unamwabudu Yesu basi hujafuata njia yake usitarajie uzima wa milele


Lakini pamoja na Yesu kuwa njia bado kuna watu hawakumwamini juu ya habar ya dhambi,kwa maana akasema itabidi aende ili huyo atakaye kuja aje afafanue juu ya dhambi,na hukumu na haki,kwahiyo hapo Yesu anakiri bado kuna mambo hajayatimiza


Yohana 16:7-9
[7]Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.
Nevertheless I tell you the truth; It is expedient for you that I go away: for if I go not away, the Comforter will not come unto you; but if I depart, I will send him unto you.
[8]Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.
And when he is come, he will reprove the world of sin, and of righteousness, and of judgment:
[9]Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;
Of sin, because they believe not on me;

Kwahiyo kwa kauli ya Yesu tunaona bado njia yake haikuaminiwa na akakiri huyo atakaye kuja ndio atawadhibitishia juu ya mambo hayo

Je huyo ni nani?

Ingawa mnasema huyo roho mtakatifu,kiukweli huyo ni Muhammad rehema na amani ziwe juu yake

Hoja iko nyepesi,ikiwa Yesu akiwa halisi hakuaminiwa je huyo roho ambayo ambaye ni wa sirini ataaminiwa vipi?

Habar ya dhambi,hukumu na sheria ipo ndani ya qur'an,je Yesu hakumkusudia Muhammad?

Kuna mengi hamyajui

Asante
 
Viumbe hawa katika ulimwengu wa roho ni werevu sana na wanatafuta namna ya kukubalika na wanadamu. Wanaujua uwezo wa ajabu wa mwanadamu lakini pia wanajua mapungufu yake. Tupo kwenye ushindani wa falme na mamlaka, vita hii ni kubwa sana na inapiganwa kati ya wanadamu. Na kati ya silaha kubwa sana anazotumia adui wa wanadamu ni UWONGO. Ndio maana nasema tuwe na tahadhari kubwa.
Kwa upande mmoja nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani lakini upande wa pili, naamini binadam ni hatari zaidi ya hao viumbe wasioonekana. Kwa sababu ushetani upo kwa binadam na majini na shetani wa kibinadam ni hatari zaidi kuliko wa kijini.
 
Inatokea post namba 1341

Vionjo vya Arsis 3 Kumwokoa Msukule 1 F.

Kufika Inn by the sea, tukawakuta wengi wengi wapo nje pale garden, tukasalimiana na yule mama.Mee Ali akawamwambia huyu ndio ulikua unaongea nae kwa simu.
Mama: Kumbe kijana kabisa nilifikiri mtu mzima kama mimi.
Mzee Ali: basi hata sauti huisikii?
Mama: Simu baba, sikujua kabisa kama kijana kabisa.

Tukasalimiana na wengine. tukamaliza kusalimiana.

Mzee Ali kwenye gari nilimwabia hatukai, akasema hata mkewe kamwabia tusikae wala tusile kitu. Basi tukaagana nao baada ya kuwaeleza kuhusu chakula cha mchna kesho, mzee Ali akasisitiza wasikose kuja kwa muda, chakula kitakua tayari watu wakishuka kusali tu mchana. Tukaondoka.


Siku ya pili, kweli babu alikua kachinjisha ng'ombe, wapishi hukohuko alikoagiza apikiwe biriani wakaja na masufuria ao, kila kitu tayari, mapema kabisa. Wakaja na masamaki kibao, ya kuchoma ya kuoka. makachumbari, mapilipili ya kusaga. wakatayarisha msosi, Tuliporudi kusali tu, watu kibao, Mzee Ali aksema kuna vijana wametokea msikitini watapiga dua kidogo halauy tutakula, Ikawa hivyo. Baada ya kula maongezi kidogo, wengi wanaona mbona kazi tulioitiwa haifanyiki, lakini wanashindwa kuuliza, mwenye kahawa anapiga, mwenye chai ya rangi, mwenye chai ya maziwa, mwenye anjari ya Tanga nyeusi , nyeupe, wanapiga pale kwa raha zao huku wanadhangaa shangaa.

Wakati vyombo vichafu vinakusanywa, bwana mmoja mtu mzima, anaonesha mtu anaenukia noti, akasema mimi ndio kaka yao mkubwa, hawa wote ni wadogo zangu, wanangu, wajukuu, wake zangu. Hajabaki mtu wa ukoo labda waliopo nje ya Tanzania na mtoto wetu alietuleta hapa. Sasa nini kinaendelea hapa?

Babu: Tumemaliza kazi, hapana kinachoendelea kwa sasa tuagane lakini naomba wewe bwana mkubwa na mama mwenye mwanae na vijana wawili mmoja wa kike na mmoja wa kiume mbaki mwisho kuondoka. Wengine waende tu wakapumzike nje kwenye magari, wasiondoke wawasuniri, nyie mnaobaki mtaenda kuwaelekeza cha kufanya. Yule mzee akasema kama ni hivyo nipeni kahawa, wakakaa na babu wanakunywa kahawa, ikawa watu wanatoka wanakwenda kwenye basi lao kubwa lililowaleta na wengine kwenye coaster, ikawa kuna mama moja sio mzee sana, kavaa vizuri kipesa pesa, mashabu manene manene, vidolenoi, mabangili mahereni anakwenda mlangoni hatoki na wenzake anarudi ndani anawafata wengine wakitoka, anatoka akifika mlangoni anarudi mpaka wote wakaisha akabaki yeye na wale walioambiwa wabaki, wengine washaingia kwenye mabasi huko nje.

Babu: basi jamani ruksa nendeni tu, maagizo yenu ya nini cha kufanya mtaondoka hapa na bwana aAli atawaelekeza huko.

Tukaagana nao, wakaanza kuondoka, cha ajabu, yule mama alievaa kitajiri, na madhahabu kibao, ikawa anakuja mpaka mlangoni anarudi ndani, anakaa ananyayuka anaenda mlangoni anarudi. Mimi nikashangaa kwanza, Mzee Ali akawa anacheka tu kichinichini. Babu anakunywa kahawa yake kama hajui kinachoendelea. Wenzake wote wakatoka. Mara yule mama mlangoni akaanza kusema...

Yule Mama; Jamani nipisheni niende wenzangu wataniacha na magari.
Babu; Mwacheni mgeni aondoke, anasema kuelekea mlangoni.
Mama Yule; Ahsanteni , ile anatoka akarudi ndani. sasa nitatokaje, wamejaza maji namna hii, nini hiki, ziwa au bahari? kumbe mpo baharini kabisa?
Babu; Njoo mama, pita huku mlango mwingine, akamuonesha mlango, akamwambia mjukuu wake mmoja msindikize mbele lakini usimshike mkono, mwache aende kama ataondoka, wakaenda, sisi tunawaona, mara wakarudi.

Mama yule; Huko ndio siendi kabisa, watu wangu wanachomwa moto mnataka kunichoma na mimi?

Babu; Ali kawaite yule mzee na yule mama wapo nje wanamsubiri.

Mzee Ali akaenda akawaita wakarudi.

Yule mama; Jamani bora mlivyokuja, nyie mmepirta hapa hapa? Na maji yote haya?

Wale wakawa wanashangaa, hakuna maji hata tobne, Sisi wote tuliopo pale hatuoni maji anayaona peke yake.

Babu; Njooni mkae hapa. wakakaa.

Babu; Haya nenda mama hawa watakuja,
Mama Yule: Baba hapatokeki hapa, mie nakufa leo jamani.
Babu; Bwana na mama na Sheikh Ali, huyu ndio mtu wenu aliewaleta mpaka huku, anajua huyu mtoto wenu yuko wapi, ongeeni nae vizuri.

Yule Mzee; kwanza hebu niongezeni kahawa.

Akapewa kahawa, yule mama mwenye mtoto kama kapigwa bumbuazi anatazama lakini haamini anachokisikia.
Yule Mzee; Akamwita kwa jina yule mwanamke,
Mama yule: Ndio baba, huku anapiga magoti.
Yule mzee; simama, haya sema unajuwa "fulani" yuko wapi?
Mama Yule: Aaah baba, mambo makubwa sana haya.
Babu: Sema moja , usitupotezee muda, unajua hujui?
Mama Yule: Najua baba.
Babu: haya waambie hawa yuko wapi na wanampata vipi?
Mama Yule; Yupo Bunju Huko Dar, kwani hapa tuko wapi?
Babu: Wewe wacha kuuliza maswali, wewe jibu unachoulizwa.
Babu: Muulixeni, mimi atanitia hasira.
Mama; Sharifu ongea nae wewe baba.
Mzee Ali: Sema mama yuko wapi fulani?
Mama yul: YUpo bunju baba.
Mee Ali: kwa nani?
mama Yule: kwa washirika wetu baba.
Mzee SAli: Washirika wenu wangapi?
Mama yule: Huko Bunju mimi nawafahamu wawili.
Mzee Ali: Mlimchukuwa wapi?
Mama Yule; mwanza mabatini baba.
Mzee Ali: Kwa nani?
Mama Yule: kwa washirika wetu baba.

Mzee; Ngoja Sheikh, napomba wakaitwe nje kwenye gari akaanza kutaja majina, akamwambia mama wa yule mtoto.
Babu: Huyu hawezi kwenda sasa hivi, Simba nenda wewe kawaite.
Mimi: Nipe mjina mzee.

Mzee akanza kutaja majina kama watu sita hivi, akasema hao watatu wanawe wa kuwazaa mwenyewe huyu, hao wengine ndugu zake wote.
Babu; Simba waite hao waambie waje na vijana wote wa karibu waliokuja nao.

Nikaenda kuwaita, wakaja watu kama kumi hivi.

Itaendelea.
 
Yesu hakuongea Kiswahili, tafuta biblia kwa kugha yake uone kama kuna "Yesu" mule .
Nakuhakikishia hutokuta Yesu wala Jesus mule.
Endelea kutafta mahali wakristo wamepata jina Yesu lakini kwa jina hilo mapepo yanatoka.. viwete wanatembea.. wagonjwa wanapona.. wafu wanafufuliwa..

Mnafocus na vitu visivyo na maana as if mkionyeshwa mtaamini.. msipoteze wakati
 
Inatokea post namba 1341

Vionjo vya Arsis 3 Kumwokoa Msukule 1 F.

Kufika Inn by the sea, tukawakuta wengi wengi wapo nje pale garden, tukasalimiana na yule mama.Mee Ali akawamwambia huyu ndio ulikua unaongea nae kwa simu.
Mama: Kumbe kijana kabisa nilifikiri mtu mzima kama mimi.
Mzee Ali: basi hata sauti huisikii?
Mama: Simu baba, sikujua kabisa kama kijana kabisa.

Tukasalimiana na wengine. tukamaliza kusalimiana.

Mzee Ali kwenye gari nilimwabia hatukai, akasema hata mkewe kamwabia tusikae wala tusile kitu. Basi tukaagana nao baada ya kuwaeleza kuhusu chakula cha mchna kesho, mzee Ali akasisitiza wasikose kuja kwa muda, chakula kitakua tayari watu wakishuka kusali tu mchana. Tukaondoka.


Siku ya pili, kweli babu alikua kachinjisha ng'ombe, wapishi hukohuko alikoagiza apikiwe biriani wakaja na masufuria ao, kila kitu tayari, mapema kabisa. Wakaja na masamaki kibao, ya kuchoma ya kuoka. makachumbari, mapilipili ya kusaga. wakatayarisha msosi, Tuliporudi kusali tu, watu kibao, Mzee Ali aksema kuna vijana wametokea msikitini watapiga dua kidogo halauy tutakula, Ikawa hivyo. Baada ya kula maongezi kidogo, wengi wanaona mbona kazi tulioitiwa haifanyiki, lakini wanashindwa kuuliza, mwenye kahawa anapiga, mwenye chai ya rangi, mwenye chai ya maziwa, mwenye anjari ya Tanga nyeusi , nyeupe, wanapiga pale kwa raha zao huku wanadhangaa shangaa.

Wakati vyombo vichafu vinakusanywa, bwana mmoja mtu mzima, anaonesha mtu anaenukia noti, akasema mimi ndio kaka yao mkubwa, hawa wote ni wadogo zangu, wanangu, wajukuu, wake zangu. Hajabaki mtu wa ukoo labda waliopo nje ya Tanzania na mtoto wetu alietuleta hapa. Sasa nini kinaendelea hapa?

Babu: Tumemaliza kazi, hapana kinachoendelea kwa sasa tuagane lakini naomba wewe bwana mkubwa na mama mwenye mwanae na vijana wawili mmoja wa kike na mmoja wa kiume mbaki mwisho kuondoka. Wengine waende tu wakapumzike nje kwenye magari, wasiondoke wawasuniri, nyie mnaobaki mtaenda kuwaelekeza cha kufanya. Yule mzee akasema kama ni hivyo nipeni kahawa, wakakaa na babu wanakunywa kahawa, ikawa watu wanatoka wanakwenda kwenye basi lao kubwa lililowaleta na wengine kwenye coaster, ikawa kuna mama moja sio mzee sana, kavaa vizuri kipesa pesa, mashabu manene manene, vidolenoi, mabangili mahereni anakwenda mlangoni hatoki na wenzake anarudi ndani anawafata wengine wakitoka, anatoka akifika mlangoni anarudi mpaka wote wakaisha akabaki yeye na wale walioambiwa wabaki, wengine washaingia kwenye mabasi huko nje.

Babu: basi jamani ruksa nendeni tu, maagizo yenu ya nini cha kufanya mtaondoka hapa na bwana aAli atawaelekeza huko.

Tukaagana nao, wakaanza kuondoka, cha ajabu, yule mama alievaa kitajiri, na madhahabu kibao, ikawa anakuja mpaka mlangoni anarudi ndani, anakaa ananyayuka anaenda mlangoni anarudi. Mimi nikashangaa kwanza, Mzee Ali akawa anacheka tu kichinichini. Babu anakunywa kahawa yake kama hajui kinachoendelea. Wenzake wote wakatoka. Mara yule mama mlangoni akaanza kusema...

Yule Mama; Jamani nipisheni niende wenzangu wataniacha na magari.
Babu; Mwacheni mgeni aondoke, anasema kuelekea mlangoni.
Mama Yule; Ahsanteni , ile anatoka akarudi ndani. sasa nitatokaje, wamejaza maji namna hii, nini hiki, ziwa au bahari? kumbe mpo baharini kabisa?
Babu; Njoo mama, pita huku mlango mwingine, akamuonesha mlango, akamwambia mjukuu wake mmoja msindikize mbele lakini usimshike mkono, mwache aende kama ataondoka, wakaenda, sisi tunawaona, mara wakarudi.

Mama yule; Huko ndio siendi kabisa, watu wangu wanachomwa moto mnataka kunichoma na mimi?

Babu; Ali kawaite yule mzee na yule mama wapo nje wanamsubiri.

Mzee Ali akaenda akawaita wakarudi.

Yule mama; Jamani bora mlivyokuja, nyie mmepirta hapa hapa? Na maji yote haya?

Wale wakawa wanashangaa, hakuna maji hata tobne, Sisi wote tuliopo pale hatuoni maji anayaona peke yake.

Babu; Njooni mkae hapa. wakakaa.

Babu; Haya nenda mama hawa watakuja,
Mama Yule: Baba hapatokeki hapa, mie nakufa leo jamani.
Babu; Bwana na mama na Sheikh Ali, huyu ndio mtu wenu aliewaleta mpaka huku, anajua huyu mtoto wenu yuko wapi, ongeeni nae vizuri.

Yule Mzee; kwanza hebu niongezeni kahawa.

Akapewa kahawa, yule mama mwenye mtoto kama kapigwa bumbuazi anatazama lakini haamini anachokisikia.
Yule Mzee; Akamwita kwa jina yule mwanamke,
Mama yule: Ndio baba, huku anapiga magoti.
Yule mzee; simama, haya sema unajuwa "fulani" yuko wapi?
Mama Yule: Aaah baba, mambo makubwa sana haya.
Babu: Sema moja , usitupotezee muda, unajua hujui?
Mama Yule: Najua baba.
Babu: haya waambie hawa yuko wapi na wanampata vipi?
Mama Yule; Yupo Bunju Huko Dar, kwani hapa tuko wapi?
Babu: Wewe wacha kuuliza maswali, wewe jibu unachoulizwa.
Babu: Muulixeni, mimi atanitia hasira.
Mama; Sharifu ongea nae wewe baba.
Mzee Ali: Sema mama yuko wapi fulani?
Mama yul: YUpo bunju baba.
Mee Ali: kwa nani?
mama Yule: kwa washirika wetu baba.
Mzee SAli: Washirika wenu wangapi?
Mama yule: Huko Bunju mimi nawafahamu wawili.
Mzee Ali: Mlimchukuwa wapi?
Mama Yule; mwanza mabatini baba.
Mzee Ali: Kwa nani?
Mama Yule: kwa washirika wetu baba.

Mzee; Ngoja Sheikh, napomba wakaitwe nje kwenye gari akaanza kutaja majina, akamwambia mama wa yule mtoto.
Babu: Huyu hawezi kwenda sasa hivi, Simba nenda wewe kawaite.
Mimi: Nipe mjina mzee.

Mzee akanza kutaja majina kama watu sita hivi, akasema hao watatu wanawe wa kuwazaa mwenyewe huyu, hao wengine ndugu zake wote.
Babu; Simba waite hao waambie waje na vijana wote wa karibu waliokuja nao.

Nikaenda kuwaita, wakaja watu kama kumi hivi.

Itaendelea.
Mambo yanazidi kupamba shusha vitu simba Arsis
 
Iko hivi hiyo ay hapo juu ndio inathibitisha ukweli wa mtume Muhammad (s.a.w) kwamba yeye ni binadamu tu na wala si chichote mbele ya mola wake,kwa maana cheo chake ni utume kufikisha ujumbe wa Allah tu,kwahiyo wale wajinga wengine ambao husema ooh Muhammad kafa mtahukumiwa na nani,jibu ni moja ni Allah,yeye ndiye Mola wetu na wenu na ndio mmiliki wa siku ya malipo

Tuje kwa Yesu ,ni sahihi kabisa kusema yeye ni ndimi na njia ya kwendea kwa Mungu,kwasababu huwezi mjua Mungu bila mafundisho ya Yesu,kwahiyo ili mjue na kumwabudu Mungu vizur basi uifuate njia ya Yesu ambayo alisema yeye ni mwana wa adam na ametumwa kufikisha ujumbe wa Allah,sasa kama wewe unamwabudu Yesu basi hujafuata njia yake usitarajie uzima wa milele


Lakini pamoja na Yesu kuwa njia bado kuna watu hawakumwamini juu ya habar ya dhambi,kwa maana akasema itabidi aende ili huyo atakaye kuja aje afafanue juu ya dhambi,na hukumu na haki,kwahiyo hapo Yesu anakiri bado kuna mambo hajayatimiza


Yohana 16:7-9
[7]Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.
Nevertheless I tell you the truth; It is expedient for you that I go away: for if I go not away, the Comforter will not come unto you; but if I depart, I will send him unto you.
[8]Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.
And when he is come, he will reprove the world of sin, and of righteousness, and of judgment:
[9]Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;
Of sin, because they believe not on me;

Kwahiyo kwa kauli ya Yesu tunaona bado njia yake haikuaminiwa na akakiri huyo atakaye kuja ndio atawadhibitishia juu ya mambo hayo

Je huyo ni nani?

Ingawa mnasema huyo roho mtakatifu,kiukweli huyo ni Muhammad rehema na amani ziwe juu yake

Hoja iko nyepesi,ikiwa Yesu akiwa halisi hakuaminiwa je huyo roho ambayo ambaye ni wa sirini ataaminiwa vipi?

Habar ya dhambi,hukumu na sheria ipo ndani ya qur'an,je Yesu hakumkusudia Muhammad?

Kuna mengi hamyajui

Asante
Jiulize.. kwa habari ya dhambi ushawahi kujizuia usitende dhambi hata siku moja ukaweza?

Huo ujumbe ambao Yesu alileta( kwamba yeye ndiye njia kweli na uzima na watu wamuamini yeye.. yaani yesu..) ili waweze kumjua mungu.. maana dhambi ili watengenisha watu na mungu wao hapo kabla yesu hajaja..

Alivyokuja akataka kila mtu amwamini yeye maana katika yeye peke yake ndio tunapata ondoleo la dhambi..

Ni kuamini yesu alizaliwa.. alisulubiwa kwa dhambi zetu mpaka kufa na siku ya tatu Mungu akamfufua kutoka kwa wafu na amepaa mbinguni ndipo unakuwa huru na dhambi.. Maana unakuwa umeachilia maisha yako kwa yesu..

Warumi 5:6.,7.,8.,10.,12.,14.,16.,17.,18.,19.,21.
6. Kwa maana hapo tulipokuwa hatuna nguvu, wakati ulipotimia, Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.

7. Kwa kuwa ni shida mtu kufa kwa ajili ya mtu mwenye haki; lakini yawezekana mtu kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu aliye mwema.

8. Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.

10. Kwa maana ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti ya Mwana wake; zaidi sana baada ya kupatanishwa tutaokolewa katika uzima wake.

12. Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi;

14. walakini mauti ilitawala tangu Adamu mpaka Musa, nayo iliwatawala hata wao wasiofanya dhambi ifananayo na kosa la Adamu, aliye mfano wake yeye atakayekuja.

16. Wala kadiri ya yule mtu mmoja aliyefanya dhambi si kadiri ya kile kipawa; kwa maana hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja ikaleta adhabu; bali karama ya neema ilikuja kwa ajili ya makosa mengi, ikaleta kuhesabiwa haki.

17. Kwa maana ikiwa kwa kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala katika uzima kwa yule mmoja, Yesu Kristo. 18. Basi tena, kama kwa kosa moja watu wote walihukumiwa adhabu, kadhalika kwa tendo moja la haki watu wote walihesabiwa haki yenye uzima.

19. Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki.

21. ili kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala katika mauti, vivyo hivyo kwa njia ya haki neema itawale hata uzima wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu.
 
Kupitia uzi huu nimegundua mambo kadhaa
1. Asilimia kubwa ya waumini wa Kiislam wanaamini katika stori za kufikirika na ni wepesi sana kushikwa kiakili hasa mtu anapotunga hadithi na kuihusianisha na dini yao.
2. Watu wengi wana matatizo na wanaamini yanaweza kutatuliwa kiroho na si kwa juhudi binafsi na akili! Kupitia uzi huu wa kufikirika nimeshangaa kuona watu wanaandika maombi yao kwa mtunzi eti awafikishie kwa huyo jini! Huu ni zaidi ya wendawazimu.
3. Uislam na shirki ni ndugu wa damu.
Mengine ntaendelea kuandika...
kujudge dini nzima kwa kutazama mwenendo wa baadhi ya watu si namna bora ya kutazama mambo...
 
Watu wanajiuliza inawezekanaje umuamini yesu alafu usitende dhambi wakati tunaona watu wameokoka na wanatenda dhambi

Katika kumuanini Yesu kuna kitu cha muhimu sana kinajitokeza.. kuzaliwa mara ya pili.. Roho ya mtu ndio inageuzwa.. mtu yoyote aliyezaliwa mara ya pili haweziiiii kutenda dhambi..

Kwasababu ya hii👇

Tito 2:11.,12.
11. Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa;

12. nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa;

kwa maana nje ya hapo kwa kufwata sheria ya mwili(ile usiibe usiseme uongo usizini) bila hicho nilicho andika hapo juu hutoboi
 
Inatokea post namba 1373

Vionjo vya Arsis 3 Kumwokoa Msukule 1 F.

Walipoingia uani wote.

Mzee; jamani hapa kuna tatizo, sio dogo, nimewaita na nyinyi mshuhudie kinachoendelea. Bwana Ali ndelea.

Babu: Subiri Sheikh Ali. Nyie wote mnajua kwanini mmekuja Tanga? Wakaanza kujibu wanajua, kuwa wamekuja kwa mganaga kutazama kama fulani yuko wapi.

Babu: haya; We mama sasa sema tena unyooshe maneno, unamuona huyu, babu akonesha kulia kwake, yule mama akatazama, alichokiona hata mimi sijakiona.
Mama Yule: ndio baba.
Kama hhukuonyoosha maneno si uliona kafanya nini nje kule?
Mama Yule: Ndio baba. Nanyoosha maneno.
Babu: Haya ana waeleze.
Mama Yule; Dada, baba, wanangu ndugu zangu naomba masamaha, mimi najua fulani yuko wapi na nafahamu alipo toka alivyopotea.Ni mimi na washirika wenzanhhu ndio tulimficha Mwanza na sasa tumemuweka Bunju.
Mzee: kwanini?
Mama Yue: mambo ya kidunia baba,fulani gtunataka tumvue kivuli chake ili tukitumie kwa biashara zetu.
Mzee: kwanini yeye?
Mama Yule:kwa sababu anaweza kufanya kazi za biashara vizuri.
Babu: Huyu atawacheleshja, we mama. Sema yote kuhusu huo ushorika wenu la sivo nawaambia hawa wakushugghulikie.
Mama: Yule" Nimekoma baba. Sisis ushrika eetu ni mkubwa sana, kanda ya ziwa mimi ni tatu kwa cheo, sijaanza leo jamani, toka mdogo, nimepanda mpaka nimefikia hapo.

Yule mama akawa anaongea kama kuna mtu anamuuliza sisi hatusikii.

Mama yule: Nilifundishea hio kazi na jirfani yangu, mama fulani, (akamtaja jina), huyu dada anamjuwa, tulia nae jirani. Ndio nikaanza kuzoea mpka nilipokua mzoefu nikaanza kutoa kafara za damu, nafanya na kazi zingine ninazoagozwa, kila kwenye ushirika wakubwa wanavyopungua ndio tunapanada cheo, miaka mingi jamni. Sasa nilikua nifanye kazi hii nikawe mkubwa kabisa kwa sababu tulishafanya njama ya kuwaondoa wale wakubwa waliopo juu yangiu. Mmoja leo kishachomwa mbele huko. Alikuja kunisaidi, na wengine wa hapahapa Tnga, na wao wamechimwa. Qalikua wawili. Jana tulikua nao wote lakini nyinyi hamuwezi kuwaona.

Ndio jamani, tupo wengi na hapoa wamekuja wngi sana, wameshindwa kabisa kuingia wala kusogea. Kuna viumbe wacha Mungu sana haooa, wakubwa sana.hawahngeki. Sisi tunahongana sana damu. Hawa wa hapa sio wa hivyo, mimi siwajui kabisa sijawahi kukutana nao, nimeanza kuktana nao jana. Ilikua leo nisije lakini wakanifanya nije, kuanzia kule hoteli, ningekataa wangeniaibisha kulekule. Nikaona nije nitaongea kwa mkubwa wao, sasa hapa hakuna mkubwa wote wakubwa. Ndio, sijui sasa huko Bunju. Ndio wapo, huyu hapa mmoja.

Ile huyu hapa mmoja akamuonesha mwane wa kikea aliwepo pale katika waliokuja.

Mama yule: Wengiune wawili wapo kwenye gari, mnawajua lakini hamjui kama tuko kwenye ushirika, ni fukani na fulani. Wanawake ni sisi tu, mimi na huyu.
Babu: haya wewe mxhawi mwenzao kawaite.

Akatoka ule binti, mremb kabisa kavaa kisasa, huwezi kuamini ni mtoto wa yule mama, akarudi na mztu mzima mmoja na kijan mmoja, wote wamepeneza. Yulezee akasema tumekwisha leo. Yule kijana, si nilikwambia tusije hii safari? akajibu, ulikua una uwezo wa kukataa kwa watu wale? Yule kijana kimya.
Babu: haya, mwanao kishaletwa toka leo alfairi lakini hayupo hayupo hapa, wao washirika wao wa Bunju wote wamuliwa na mashetani wao. Yupo mwanao wpo na wengine saba, hao ndio wanaweza kupona, wengine walikwisha haribiwa kabisa, wameuliwa na wao, maana wao wameshakuwa wahawi kabisa.walikua wawili. Huyu mwanamke anajua wale wote wametoka wapi, huyu ni mkubwa sna anajua mengi sana. Sasa Bwana mzee, tunataka wewe na vijana waeili mfatane na Ali na huyu mama mwenye mtoto na huyu mchawi mkanlete mtoto wenu, wale wengine wawacheni mpaka wapatikane watu wao. Hii ifanyike sasa hivi hawapo mbali sana, isi tunawasubiri hapa, Haya simba nenada nao watakuja rafiki zako kuonesha walipo.


Haya. tuka0ondoka gari tatu ya Mzee Ali, ya yule mzee boss na uta kia ammoja, babu akasema hawa hawana ujanja wawacheni wakake kwenye basi wasibiri hawana pakwenda, msiwe na shka.

Tukaondoka, ile natoka naona Jiniq ananisubiri mangni, tukaondoka nae kwenye gari moja, ikawa mimi na jini na Mzee Ali tumepanda garo moja ya mbele wengine wantifata mpka njia ya kwenda Pangani, kuna sehemu tukaingia kushoto baharini kabla ya kufika ufukweni, tukasimamisha magari tukaenda kwa miguu kama dakaia tatu, tukakuta nyumba ya kienyeji, akatoka mwenyeji wetu, kumuona namjua, Jini Bakora. Nikashangaa.

Jini bakora: Simba mgeni wenu yupo hapa, mmoja wengine wamesafirishwa kwenda kwetu, Njooni ndani mumchukue, msiospe, yumeshaanza kumpa dawa, msimsemeshe mpaka mfike kwa babu yako simba. Sawa?

Tukaingia ndani, tukamkuta kijana, hansome lakini kachafuka, manyeele, mandevu, anauka, yule mamake akaanza kulia akataka kumkimbilia Mzee Ali akamzuwi akamwambia usimsemeshe, yule kijana ikawa anatutazama kama anashangaa, kapigwa na butwaa. Akapakiwa kwenye gari letu tukatangukia, ananuka ajabu ya Mungu, wote sisi kimya tukarudi nae mpaka mjini kwa babu.

Itaendelea:
 
Inatokea post namba 1373

Vionjo vya Arsis 3 Kumwokoa Msukule 1 F.

Walipoingia uani wote.

Mzee; jamani hapa kuna tatizo, sio dogo, nimewaita na nyinyi mshuhudie kinachoendelea. Bwana Ali ndelea.

Babu: Subiri Sheikh Ali. Nyie wote mnajua kwanini mmekuja Tanga? Wakaanza kujibu wanajua, kuwa wamekuja kwa mganaga kutazama kama fulani yuko wapi.

Babu: haya; We mama sasa sema tena unyooshe maneno, unamuona huyu, babu akonesha kulia kwake, yule mama akatazama, alichokiona hata mimi sijakiona.
Mama Yule: ndio baba.
Kama hhukuonyoosha maneno si uliona kafanya nini nje kule?
Mama Yule: Ndio baba. Nanyoosha maneno.
Babu: Haya ana waeleze.
Mama Yule; Dada, baba, wanangu ndugu zangu naomba masamaha, mimi najua fulani yuko wapi na nafahamu alipo toka alivyopotea.Ni mimi na washirika wenzanhhu ndio tulimficha Mwanza na sasa tumemuweka Bunju.
Mzee: kwanini?
Mama Yue: mambo ya kidunia baba,fulani gtunataka tumvue kivuli chake ili tukitumie kwa biashara zetu.
Mzee: kwanini yeye?
Mama Yule:kwa sababu anaweza kufanya kazi za biashara vizuri.
Babu: Huyu atawacheleshja, we mama. Sema yote kuhusu huo ushorika wenu la sivo nawaambia hawa wakushugghulikie.
Mama: Yule" Nimekoma baba. Sisis ushrika eetu ni mkubwa sana, kanda ya ziwa mimi ni tatu kwa cheo, sijaanza leo jamani, toka mdogo, nimepanda mpaka nimefikia hapo.

Yule mama akawa anaongea kama kuna mtu anamuuliza sisi hatusikii.

Mama yule: Nilifundishea hio kazi na jirfani yangu, mama fulani, (akamtaja jina), huyu dada anamjuwa, tulia nae jirani. Ndio nikaanza kuzoea mpka nilipokua mzoefu nikaanza kutoa kafara za damu, nafanya na kazi zingine ninazoagozwa, kila kwenye ushirika wakubwa wanavyopungua ndio tunapanada cheo, miaka mingi jamni. Sasa nilikua nifanye kazi hii nikawe mkubwa kabisa kwa sababu tulishafanya njama ya kuwaondoa wale wakubwa waliopo juu yangiu. Mmoja leo kishachomwa mbele huko. Alikuja kunisaidi, na wengine wa hapahapa Tnga, na wao wamechimwa. Qalikua wawili. Jana tulikua nao wote lakini nyinyi hamuwezi kuwaona.

Ndio jamani, tupo wengi na hapoa wamekuja wngi sana, wameshindwa kabisa kuingia wala kusogea. Kuna viumbe wacha Mungu sana haooa, wakubwa sana.hawahngeki. Sisi tunahongana sana damu. Hawa wa hapa sio wa hivyo, mimi siwajui kabisa sijawahi kukutana nao, nimeanza kuktana nao jana. Ilikua leo nisije lakini wakanifanya nije, kuanzia kule hoteli, ningekataa wangeniaibisha kulekule. Nikaona nije nitaongea kwa mkubwa wao, sasa hapa hakuna mkubwa wote wakubwa. Ndio, sijui sasa huko Bunju. Ndio wapo, huyu hapa mmoja.

Ile huyu hapa mmoja akamuonesha mwane wa kikea aliwepo pale katika waliokuja.

Mama yule: Wengiune wawili wapo kwenye gari, mnawajua lakini hamjui kama tuko kwenye ushirika, ni fukani na fulani. Wanawake ni sisi tu, mimi na huyu.
Babu: haya wewe mxhawi mwenzao kawaite.

Akatoka ule binti, mremb kabisa kavaa kisasa, huwezi kuamini ni mtoto wa yule mama, akarudi na mztu mzima mmoja na kijan mmoja, wote wamepeneza. Yulezee akasema tumekwisha leo. Yule kijana, si nilikwambia tusije hii safari? akajibu, ulikua una uwezo wa kukataa kwa watu wale? Yule kijana kimya.
Babu: haya, mwanao kishaletwa toka leo alfairi lakini hayupo hayupo hapa, wao washirika wao wa Bunju wote wamuliwa na mashetani wao. Yupo mwanao wpo na wengine saba, hao ndio wanaweza kupona, wengine walikwisha haribiwa kabisa, wameuliwa na wao, maana wao wameshakuwa wahawi kabisa.walikua wawili. Huyu mwanamke anajua wale wote wametoka wapi, huyu ni mkubwa sna anajua mengi sana. Sasa Bwana mzee, tunataka wewe na vijana waeili mfatane na Ali na huyu mama mwenye mtoto na huyu mchawi mkanlete mtoto wenu, wale wengine wawacheni mpaka wapatikane watu wao. Hii ifanyike sasa hivi hawapo mbali sana, isi tunawasubiri hapa, Haya simba nenada nao watakuja rafiki zako kuonesha walipo.


Haya. tuka0ondoka gari tatu ya Mzee Ali, ya yule mzee boss na uta kia ammoja, babu akasema hawa hawana ujanja wawacheni wakake kwenye basi wasibiri hawana pakwenda, msiwe na shka.

Tukaondoka, ile natoka naona Jiniq ananisubiri mangni, tukaondoka nae kwenye gari moja, ikawa mimi na jini na Mzee Ali tumepanda garo moja ya mbele wengine wantifata mpka njia ya kwenda Pangani, kuna sehemu tukaingia kushoto baharini kabla ya kufika ufukweni, tukasimamisha magari tukaenda kwa miguu kama dakaia tatu, tukakuta nyumba ya kienyeji, akatoka mwenyeji wetu, kumuona namjua, Jini Bakora. Nikashangaa.

Jini bakora: Simba mgeni wenu yupo hapa, mmoja wengine wamesafirishwa kwenda kwetu, Njooni ndani mumchukue, msiospe, yumeshaanza kumpa dawa, msimsemeshe mpaka mfike kwa babu yako simba. Sawa?

Tukaingia ndani, tukamkuta kijana, hansome lakini kachafuka, manyeele, mandevu, anauka, yule mamake akaanza kulia akataka kumkimbilia Mzee Ali akamzuwi akamwambia usimsemeshe, yule kijana ikawa anatutazama kama anashangaa, kapigwa na butwaa. Akapakiwa kwenye gari letu tukatangukia, ananuka ajabu ya Mungu, wote sisi kimya tukarudi nae mpaka mjini kwa babu.

Itaendelea:
Safiii Simba wewe endelea na story shusha episode simba.
Hii ya kumuokoa mtu aliyechukuliwa kichawi wanasemaga huwa ni ngumu sana mara nyingi huwa ataakiokolewa akili zake zinakuwa hazipo sawa kuna ukweli kwenye hili Arsis
 
Imebidi nifurahi tu. Ama hujuwi Qur'an au unapotosha kwa makusudi? Mbona umenukuu kipande tu Wapi katajwa Muhammad hapo?

Kwanini ume "quote out of context"?

Hapo Qur'an inatukumbusha, wewe na mimi, aliyoambiwa Musa. Hujui Musa alikosa nini tukupe darsa ?
Soma tafsiri kuanzia aya ya 53, hii hapa:
40:53. Na kwa hakika tulimpa Musa uwongofu, na tukawarithisha Wana wa Israili Kitabu, 53

54. Ambacho ni Uwongofu na Ukumbusho kwa wenye akili. 54

55. Basi subiri. Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni kweli. Na omba msamaha kwa dhambi zako, na umtakase Mola wako Mlezi kwa kumhimidi jioni na asubuhi. 55

Kijana, unalijua kosa la Musa? Au niendeleze darsa?
Safi sana... Ungekuwa karibu soda 3 zingekuhusu kabisa😁😁😁😁

We noma Sana, umejua kunifrahisha
 
Inatokea post namba 1380

Vionjo vya Arsis 3 Kumwokoa Msukule 1 G.

Tulivyofika nyumbani uani pale wakaondolewa watu wote tukabaki sisi wenye shughuli na wale wanawake wachawi wawili na wale wanaume wachawi. Yule Mzee na vijana wawili wa kiume wakaambiwa wabaki, mama mtu na wengine wote wakaondolewa kwenda kwenye basi nje., Wakaambiw awtaitwa. Uani pale akaja Bakora na tenga, ndani lina majani, mizizi, mua maua hivi ya porini.

Babu; Simba nenda upande wa pili kuna dawa zilichemshwa ziletwa ndoo zote mbili, waambie hawa washenzi wazibebe hapo mlangoni waje nazo.
Simba waambie wakupe na mfuko niliwapa, uje nao hapa.

Nikaja na mfuko maji ndoo mbili zikaleta mlangoni wale wachawi wa kiume wakazita pale.

babu: haya wewe mwanamke na nyinyi mbwa mnajua cha kufanya sitaki mpate sinda japa kwangu na sitaki kusikia mtu anaguna au anasema chochote kama hajaulizwa. Wakaguna tu kukubali masharti ya babu.

Yule mama na mwanae wa kike wakamvua nguo tyule kijana babu akatoa viwmze akaviweka, aksema wanajua cha kufanya hawa wawacheni,

Jamaa wakaanza kumyoa nywwele zote, kipatra, ndevu mpaka nyewe za makwapani na chini huko kijana kumaliza kunyolea akaanza kuogeshewa na yale maji, ndoo ya kwanza ikaisha, ndoo ya pili ikaisha, boila sabuni kulikua na bakuli lina udongo babu akawapa, ile ndio ikawa sabuni kumaliza baabu akwaambiwa wale wanawake, maji hayo ya bombani mlete mumuogeshe, huyu anataka awe kama kabla hamjachukua. Mnajua cha kufanya. Wakawa wanleta maji wanamuogesha, kama mara saba hivi, Kumaliza Babu akachukua majani na mua yale aliokuja na yo Bakora, akmwabia yule mama tia haya kweny ndoo ya maji, yakatiwa akamwabia msugulie mwili mzima, na wewe mbwa, akamwabia yule bingti, Ile wanachukua yale majani na na muaa kutoka kwenye ndooi wamsugukie, wakaanza kulia, kama wanaungua, kusema wanashindwa, kuguna wanshinwa wanalia bila sauti huku wanakung'uta mikono yao. wakamsugua yule mtoto mpaka babu akasema basi leteni maji mengine, sitaki maji yapungua hapa.

Aapewa yule binti kama vijiti, akaambiwa kinywa cheke kiwe kisafi, unajua cha kufanya si umeelekezwa? Akajibu kwa kichwa huku anapiga magoti, akaanza kama kumpigisha mswaki wa miti, akmsugua. Ikafia time yule kijana akwa hataki yule mwanamke hata amsogelee babu akasema mwache akampa mwenye we mswaki, ytule kijana akaanza kujisugiua meno.

bau akacheka, akamwabia Ali kazi moja tumemaliza Sheikh Ali. Bado sasa kzi kubwa iliobali ya haw aambwa.

Akamwabia yule kijana, aliepoendeza, wewe neda sasa hibvi nakupa mtu ukamnunulie nguo huyu za kuvaa, wewe si unajua anapenda nguo zipi huu? Akaitikia kwa kichwa haya, harka, babu akamwita mwanae mmoja nae yeye kijana mtanshati kabisa. Akamwabia fatana nae huyu mpeleke madukani mkamnunue nguo, sitaki ngo za kutumika ziwe mpoya tena ziwe nzuri kabisa, a ghali

Hule kijana akacheka akasema kila moja ya huyu na yangu moja Mzee. babu akmwabia yule kijana umesikia kasemaje, yulle akaitika, babu akmwabia haya sasa ingea nae huyu atakupeleka, fanyeni haraka. Walipoondoka.
babu akasema haya nyie mbwa ondokeni mkasubiri kwenye basi, kazi yenu haijaisha. Wakatoka mtu na mamake.

babu akanambia sasa mpeke bafu akoge mwenyewe na sabuni na kila kitu, mwache mwenyewe, mpeleke huku, asiende huko kwa mamake.

Nikamchukua upande wa babu yuko tupu kabisa nikamuonesha bafu akawa na tabasamu. Nikamwacha nikaa nje uani namsubiria.

Mzee ALI akanifata.
Mzee Ali: Nimeambiwa nije kukuwa na wewe nione kinachenelea na huyu mzee anakuja, mara akahja nayule mzee, tukaaa nao, mimi niaagiza kahawa.
Mzee; Mabo haaya ningekua mtotomdogo ninegesema naota.
Mzee Ali: Mimi mpaka sasa siamini kinacoendelea. Simba nini kinaendelea?
Mimi: Si mnajonea wenyewe?
Mzee; Hawa mbwa kuanzia leo sina ukoo nao kabisa.
Mimi: Mnajua kwanini babu kawawacha qotw hawa mpaka sasa?
Mzee: hatujuwi.
Mimi; Waulizeni wenyewe watawaambia, mimi sitaki kutia langu. kazi haiajaisha hii, alkini pale tulipopataka tumefikia, sema kiuna kazi za kusafisha zinahitajika.

Tumekaa pale. mara yule kijana akgonga mlangi wa bafu kwa ndani maana mimi niliufunga kwa nje.
Mimi; Mzee mwanao anagonga mfungulie umsikilize.


mzee kufungua, kijana akawa anaona haya kutoka, Mzee akasema subiri nakuja.
Mzee: Hawei kutoka bila nguo.

Mimi ; Mwabie babu.

mzee akasema, babu kasema subirini kidogo anakuja mwenyewe.


Babu akaja, akaingia kwake akatoka na kikoi na taulo, mpya kabisa, hazijatumika, Akawaambia haya, hii taulo ajifutie hiki kikoi avae, aje tukae na e hapa. Kishapona huyo bado mazonge mzonge tu, kuongea atapata shida kidogo lakini ndani ya siku saba atapona kabisa huyo. Walikua hawa mbwa hawajamuharibu bado, walikuwa wanataka kivuli chake kabla ya kumhat)ribi.

Mzee: Wanakifanyia nini?
Babu: Wanamvakisha mtu mwingine, walitaka avalishe yule kija aliekwenda kununua nguo, Msijali mtayajua yotem mimi nataka leo waseme wenyewe yote. Wataiungama kila kitu wale leo. haondiki mtu hapa.
Mzee: kazi ilituleta Tanga ndio hii, mimi nipo tayari kukaa hata mwzi hapa, sina haraka, Nitafutieni mke tu Tanga.
babu: MNke wa Tanga utakjua huondoki kabisa wewe.

Tukasheka, mara yule kijana akatoka, kama mzima vile anatabasamu lakini haongei, akaa chini, Bakra akamwabia babu, ile dawa yake nimekuja nayo, hii hapa. Babu akipookea majani fulani hivi, akmwabia kula hii, akala, akamwabia umeuona rafiki yako si mnajuana? Huku anamuonesha Bakora.

Kijana; Akatingisha kichwa kuashiria anamjua.

Bakora: Rafiki yangu huyu, tuko nae Binju huko leo wiki nalisha madwa tu.
Mzee: Sheikh wewe hatujawahi kuonana, mbona kama nakufahamu?
Bakora: Unaifahamu bwana, jana si tukia wote Mkonge pale, tukaongea sana, umesahau?
Mzee. Ndio ndio. Nguo ulizovaa jana na hizi za leo umebadilika.
Bakotra: Sasa hoteli kama ile kanzu zetu hizi haziedani napo kabisa.
mzee: kwanini bwana. Mbi)na warabu na kanzu kote bwana.
Babu akawa anampoa majani anakula, kabla ya kumpa lakini anayosomea. Htujakaa sana wakarudi na nguo, yule kijana hakuruhusiwa kuingia huku akaja y)ntoto wa babu tu na kibegi cha mkoni.

Hizi hapa nguo, Babu haa mpe mwenzako nenda nae ndani kwako akavae. Mpambe bwana wamasahau.

Itaendelea.
 
Wacha kuruka ruka.
Kama ujumbe wa watu wote Allah huwa anasema kama hapa.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُلُوا مِن طَيِّبَاتِ مَا رَزَقْنَاكُمْ وَاشْكُرُوا لِلَّهِ إِن كُنتُمْ إِيَّاهُ تَعْبُدُونَ
(AL - BAQARA - 172)
Enyi mlio amini! Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni, na mumshukuru Mwenyezi Mungu, ikiwa kweli mnamuabudu Yeye tu.
...
Hiyo 47:17 ana amrishwa mtu mmoja ambaye ni Muhammadi.
Kama hutaki kuielewa hebu tuambie hii Aya anaambiwa Nabii gani maana hakuna jina
قُلْ مَا كُنتُ بِدْعًا مِّنَ الرُّسُلِ وَمَا أَدْرِي مَا يُفْعَلُ بِي وَلَا بِكُمْ ۖ إِنْ أَتَّبِعُ إِلَّا مَا يُوحَىٰ إِلَيَّ وَمَا أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ
[ AL - AH'QAAF - 9 ]
Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.

Leo hadi utaje dhambi za Muhammadi.
Wewe wacha porojo, wewe umeamini? Huo ujumbe kwa tulioamini tu, sio kwa watu wote.

Amini basi na wewe ukuhusu, ujumbe mwema huo.

Hivi huelewi hata unachokisoma?

Unajaribu kumfundisha samaki kuogelea? Unanchekesha.
 
Jiulize.. kwa habari ya dhambi ushawahi kujizuia usitende dhambi hata siku moja ukaweza?

Huo ujumbe ambao Yesu alileta( kwamba yeye ndiye njia kweli na uzima na watu wamuamini yeye.. yaani yesu..) ili waweze kumjua mungu.. maana dhambi ili watengenisha watu na mungu wao hapo kabla yesu hajaja..

Alivyokuja akataka kila mtu amwamini yeye maana katika yeye peke yake ndio tunapata ondoleo la dhambi..

Ni kuamini yesu alizaliwa.. alisulubiwa kwa dhambi zetu mpaka kufa na siku ya tatu Mungu akamfufua kutoka kwa wafu na amepaa mbinguni ndipo unakuwa huru na dhambi.. Maana unakuwa umeachilia maisha yako kwa yesu..

Warumi 5:6.,7.,8.,10.,12.,14.,16.,17.,18.,19.,21.
6. Kwa maana hapo tulipokuwa hatuna nguvu, wakati ulipotimia, Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.

7. Kwa kuwa ni shida mtu kufa kwa ajili ya mtu mwenye haki; lakini yawezekana mtu kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu aliye mwema.

8. Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.

10. Kwa maana ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti ya Mwana wake; zaidi sana baada ya kupatanishwa tutaokolewa katika uzima wake.

12. Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi;

14. walakini mauti ilitawala tangu Adamu mpaka Musa, nayo iliwatawala hata wao wasiofanya dhambi ifananayo na kosa la Adamu, aliye mfano wake yeye atakayekuja.

16. Wala kadiri ya yule mtu mmoja aliyefanya dhambi si kadiri ya kile kipawa; kwa maana hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja ikaleta adhabu; bali karama ya neema ilikuja kwa ajili ya makosa mengi, ikaleta kuhesabiwa haki.

17. Kwa maana ikiwa kwa kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala katika uzima kwa yule mmoja, Yesu Kristo. 18. Basi tena, kama kwa kosa moja watu wote walihukumiwa adhabu, kadhalika kwa tendo moja la haki watu wote walihesabiwa haki yenye uzima.


19. Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki.

21. ili kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala katika mauti, vivyo hivyo kwa njia ya haki neema itawale hata uzima wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu.
Sasa kuhusu hizi habar za dhambi za kurithi,,katika uislamu hakuna hizi porojo

Kwahiyo sina cha kukomenti hapa

Labda kidogo nitie neno hapa,je baada ya kusulubiwa Yesu kwa imani yenu,je dhambi zimekoma au hazifanywi tena?

Ukristo ni changamoto sana
 
Jiulize.. kwa habari ya dhambi ushawahi kujizuia usitende dhambi hata siku moja ukaweza?

Huo ujumbe ambao Yesu alileta( kwamba yeye ndiye njia kweli na uzima na watu wamuamini yeye.. yaani yesu..) ili waweze kumjua mungu.. maana dhambi ili watengenisha watu na mungu wao hapo kabla yesu hajaja..

Alivyokuja akataka kila mtu amwamini yeye maana katika yeye peke yake ndio tunapata ondoleo la dhambi..

Ni kuamini yesu alizaliwa.. alisulubiwa kwa dhambi zetu mpaka kufa na siku ya tatu Mungu akamfufua kutoka kwa wafu na amepaa mbinguni ndipo unakuwa huru na dhambi.. Maana unakuwa umeachilia maisha yako kwa yesu..

Warumi 5:6.,7.,8.,10.,12.,14.,16.,17.,18.,19.,21.
6. Kwa maana hapo tulipokuwa hatuna nguvu, wakati ulipotimia, Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.

7. Kwa kuwa ni shida mtu kufa kwa ajili ya mtu mwenye haki; lakini yawezekana mtu kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu aliye mwema.

8. Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.

10. Kwa maana ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti ya Mwana wake; zaidi sana baada ya kupatanishwa tutaokolewa katika uzima wake.

12. Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi;

14. walakini mauti ilitawala tangu Adamu mpaka Musa, nayo iliwatawala hata wao wasiofanya dhambi ifananayo na kosa la Adamu, aliye mfano wake yeye atakayekuja.

16. Wala kadiri ya yule mtu mmoja aliyefanya dhambi si kadiri ya kile kipawa; kwa maana hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja ikaleta adhabu; bali karama ya neema ilikuja kwa ajili ya makosa mengi, ikaleta kuhesabiwa haki.

17. Kwa maana ikiwa kwa kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala katika uzima kwa yule mmoja, Yesu Kristo. 18. Basi tena, kama kwa kosa moja watu wote walihukumiwa adhabu, kadhalika kwa tendo moja la haki watu wote walihesabiwa haki yenye uzima.


19. Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki.

21. ili kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala katika mauti, vivyo hivyo kwa njia ya haki neema itawale hata uzima wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu.
Kumbe Mungu anakufa?
. Kizungumkuti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom