Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Mkuu, hii hali ya kuhisi kutembelewa na vitu mwilini kama wadudu au sisimizi lakini hakionekani kitu. Unafahamu lolote kuhusu hilo?
Nafahamu sana, uchafu au minyoo hio.
Simba.
 
Hapo sasa ndipo inaposemekana kwamba Ke wa kwanza kwenye Mwanzo 1:27 alikuwa ni Lilith. Ke aliyeshindwa kutawalika na Adam. Lilith aliruka na kwe nda zake na baadae inasemekana alifuatwa na malaika watatu wakimsii arudi lakini alikataa. Later aliolewa na Sumael. Tumuombe Arsis atujuze tupate uelewa wake juu ya kadhia hiyo.
Unitag hii mada ikianza.
 
...

Ile natazama nikaachia pete, ndani kiza na mlango nimefunga nikajua dirishani hawaoni, ni kama hatua nne kutoka kwangu Bi S kakaa juu ya kiti chake akini nikamuona hana raha, kile kitendo cha kumuita ndani kama kimemtia hofu fulani na bado anajiuliza nimefikaje pale, naamini hata yeye hana ujanja huo au wa kichawi, baada ya maelezo yake kule ndani nikajua ni mpigaji, tu. Hesabu za haraka haraka nikaona kapiga mililioni 25, kila mtu anakuja na chakula, tena anawaambia yeye waje na nini. Kila mtu anakuja, kwa uchache na chupa tatu za whiskey, mbili hapo hazigusi kabisa, yeye yake anaruhusiwa kunywa ni moja tu, na wengi si wanywaji kihivyo na mibangi ile hawamalizi hata nusu chupa ya whiskey. Hesabau za haraka kwa watu ishirini na mwenye sherehe yake mmoja, kapiga kama million 20 net, gharama zake hazifiki million 5 kwa hesabu yoyote ile. lakini tuchukulie millioni 5 ghrama zake.

Nikaendelea kutazama, nikaona kaomba kitezo cha moto, akaanza kama anamwita ndama, kuja ndama akauliza...

Bi S; haya sasa ngoma tumkaribishe mwenye shughuli lakini kabla hajaja hapa leteni chano ili wakija tuwakabidhi wenye chano chao.

Likaletwa sinia lina vyakula vingi vidogo vidogo, matunda kila kila namna, mpaka tende na halwa zipo, mpaka pipi zipo. Sinia limesheheni, na maua maua sijui vichupa chupa vina nini, ni zuga tu. Lilipowekwa mbele ya Bi S. akaletwa dokta mbele yake akawekewa kitezo cha moto mbele yake, ukatiwa ubani kibao.

Bi S; haya mizimu ya jadi ya ndama mulaki, mliopo karibu yake njooni tusemezane, kama dakta... akasema kwa kurudia rudia kama mara tano hivi, huku Bi S anaita na kusema sema. Mara nikamuona Dokta kama anakakamaa hivi akapiga kelele. Baada ya kelele akaanza kutazama tazama kila upande huku anatingisha kichwa kama anakubali kitu.
Bi; S; haya jitambulishe tukujue nani uliekuja.

Dokta akaanza kama kutabasamu hivi akaonesha mkono kujielekezea mwenyewe.
Bi S; sema nani umekuja chano chako hicho hapo tumekutayarishia, na hizo chupa kwenye chano vinhywaji vyako hivyo Dokta... kakuletea.

Kuambiwa vinywaji vyako, akatabasamu akachukua chupa moja ya whiskey haijafunguliwa akampa Bi S. Akamwashiria aifungue.

Bi S. akaifungua pale akamkabidhi, kupewa kwana za akainusa akaiweka mdomoni akaipiga kidogo kama anaisikilizia, akaongeza mara ya pili, akakaa kidogo akaipiga mara ya tatu, akatingisha kichwa kama kakubali.

Bi S; haya sema, huyu kishatambua uwepo wenu na yupo tayari sasa kua kiti chenu, sasa mwacheni afanye mambo yake na mumtimizie haja zake. Jini akaendelea kukubali akaanza kusema..

Dokta: tayari, tayari tayari. Sisis hatuna neno, sasa tumedurahi, mambo mengine hgatusemi mbele a watu tutaongea na wewe peke yako halafu utamwambia huyu, na yeye huyu anatusikia, anajua kila kitu kinachoendelea, Umefahamu Ndama?

Bi S; Nimefahamu sana, sasa pokeeni chano chote hicho, haki yenu hiyo, sasa muwe na m)uhusianoi mzuri wote mliokuwe[o, nyote mtafanyiwa ada zenu na huyu sasa awe huru kjufanya maboi yake.

Dokta" tayari, tayari. Sisis sasa naondoka baadae taongea na wewe tu na yeye. Usiku huu.

Bi S; haya nendeni kwa amani chukueni na chano chenu.
Dokta; Hii weka wewe, huyu kiti bado yupo hapa tafanya sherfehe, leo wacha yeye nafurahi tu. Anafanya kitu kizuei na kikubwa sana, mjulishe na wote na sisi tumekwisha onana na wenzeti wote, tunajuana sana. Sisi sio kama nyinyi.
Bi Sawa, kwaherini.

Dokta akajikakamua hapo akatazama ztazama kote akarudi kwa wenzake walipokaa kwanza. Kila mmoja akaanza kumpa gongera, wakanyanyuka wakawa wanamfata wanampa hongera,wanamkumbatia, wenye kumtunza pesa wanamtunza, wenye kumpa awadi yoyote waliokuja nayo wanampa. Mmoja akaaza kusema kwa sauti; Ndugu zangu tumakaribishe kwa hali na mali yeye vibuki wake, Huyu sasa ni mwenzetu, ndugu yetu kwa lolote lile tuwe nae, kama tulivyo sisi na zaidi, na wewe Dokta, karibu, sisi sote tuchukulie ni kama wewe, tu kitu kimoja. Bi S na ndanma ndio kiongozi wetu na muunganishi wetu, unachotaka kwa mmoja wetu kama hakukugfanyia mjulishe Bi S, yeye anajua la kiufanya. Mi i ni msaidizi wa Bi S, akiwa hapatikani au kuna lolote lile unaweza kulifikisha kwangu. Karibu sana.


Wakaanza kupiga vigelevigele na shangwe, wakaanza kunywa whiskey, inafunguliwa moya safi, anakunywa mooja inazungushe kila mtu anapiga funda mpaka inamfikia Dokta ana[piga funga, inappoishia inafunguliwa nyingine, ikaend hivyuo mpaka kila mtu kisha kunywa.
Bi S. haya jamani, mwenye kucheza acheze mwenye kula ale, mimi ina bidi niende ndani na mtoto atakuja kuwaita nigtaoongea nao kama kawaida. Ila watakaokuja kwanza nikiwaita, aje Dokta na wewe msaidizi wangu na fulani na fulani, wakawa jumla watanoi na bi S. wa sita.

Nikamwacha bi S aende na mimi nikabana pete yangu nikafungua mlango taratibu nikatoka, gapakuwepoi na mtu ukumbini, nikaingia kwa bi S, nikakuta hayupo ndani nikajua labda kaenda kukjisaidia au vipi, nikaka kwenye kochi huku nimeficha pete yangu baada ya muda kidogo Bi S karudi nikamuona kapitiloiza mpaka mlangoni akamwigta binti mmoja akamwambia haya kawaiata tumalize, shughuli ya leo sio ndogo.

ule mtoto aakatoka Bi S kurudi kukaa, mimi nikanyuka nikatoka mlangoni nikagoinga, akasema pita. Nikaingia.

Bi S. Simba umekuja?

Mimi; Nipo muda wote wa sgerehe, nilikua na nyinyi nadshangaa hamnioni.
Bi S; Sema kweli, mbona mambi makubwa haya. Ulisema wasikuone sasa wakija nimeita si watakuona, nikamwabia ngoja nitoke, wewe kaa tu wasubiri nikafungua mlango nikaiminya pete nikarfudi ndani sikukaa lakini nikasimama pembeni najua hapa hata wakija hawafiki. Haijapita dakika tatu wakaingia wakakaa.


Bi S akaanza kuweka kitezo akatia ubani akapandisha nikafahamu sasa ni ndama yupo. Akasema wewe Dokta kaa hapo.

Bi S; Sikiliza kwa makini. kwanza tumefurahi na vibuki wao wa ukoo wamefurahi sana umeamu kuwatambua. Kama ulivyoambiwa, mimi sina haja hya kurudia isipokua fanya safari uende Kojani vikaondolewe vijini vichafu vya kipemba tumeshakubaliana nao virudishwe kwao vikakabidhiwe huko, wewe nenda na sisi tutakuwepo usiogope, hio ni kazi hio ya muda mchache tu. Sawa?
Dokta; Sawa.
...
...
Bi S; aya jamaa, sasa mwenye swali au ushauri au chochote kile anachotaka kujua amuulize au amfahamishe Dokta hapa.

Msidizi wa Bi S.; Mimi naitwa... nina mengi ya kukuuliza lakini mengine yanamuhiu huyo kibuki wako, ukiweza ajibu, tutajua na yeye yupo hukiuweza usijibu. Sawa?
Dokta akatimgisha kichwa kuashiria sawa.
Msidizi; Hpa hata hatugtingishi vichwa ka mijusi, hapa ukiulizwa kama ni wewe dokta au jini jibu unaloulizwa ka sauti, ili kila mmoja wetiu aelewe umejibu nini. Sawa;
Dokta; Saawa, kiupole hivi.
Msaidizi; Haya twambie shida zako nini mpka ukafika hapa, usione haya, kama ni jini aje ajibu pia.

Kusema hivyo nikamuona Dokgta kama anajikakamua kwa kujinyoosha hivoi, akatazama huku na kule kwa wote, kufika nilipokua mimi kama akatazama zaidi kidogo, nikaona huyu jini ananiona nini, akaendelea kiuzungusha shingo akaytazama chumba kizima...
Dokta: Sasa hapa sisi tumekuja tunaweza kuongea vizuri, pale watu wengi na hii kiti yetu ina siri nyingoi haipendi kila mtu ajue. Nyinyi wawili, akawaonesha Kina BH nawao walikuwepo, nyinyi hii kiti yegtu anaishi mnapoishi nyinyui kuanzia sasa nyinyi ndio wenyeji wake kule, mgtamjulisha ukoo wote. Sawa, walakibu sawa.
Dokta: lakini mjue, nyinyi mna uzoefu mzuri sana.Mumuelekeze kila kitu huko. Siri muhimu sana, kama kawaida yegtu, hagtuongei jambo la mwenztu kwa mtu mwengone yoyote mpaka aliseme mwenyewe au akuytume ummwambi fulani, Sawa? Wakaitika, sawa, Mimi ni kibui wa ukoo wenu Ndama Mulaki na najua kila kitu yenu, kila shereha hapa mimi nakuja bila huyu Daktari. Muulizeni huyu Mkuu atawaeleza, nyinyi bado hamfahamu. Sasa huyu asifichwe kikao aua sherehe yoyote inayuohusu ndama, aua hapa au huko bara.
Bi H; Sawa.
Msaidizi; Haya tueleze shida zilikuanini, usifiche kitu, tupo wenyewe tu hapa, wote tuna viapo vya siri.
Bi S. Anajua huyo, asingejua asingesema chochote.
Msaidizi; Nafahamu sana lakini nataka na yeye huyu Dokta aysikie yamuingie, maana Ndama alisema anasikia kila kitu., sio kama wale wengine hawasikii jini likipanda, huyiu hana tpfauti na mimi na wewe Bi S.
Bi S; Huhyu ni mkubwa kuliko nyinyi Bi H 1na Bi H2, kwa hio akija Dar huyu mnamzowesha ya kibinadam tu, lakini kwa cheo cha Kindama huyu ni mkubwa sana. Mumuheshimu na analosema yeye mlifate, mjue limetoka kwa wakubwa. Huyu hta kama mimi sijaja kuna shughuli huko basi muelewe ndio nipo akiwepo. Sawa?
Wte wakajibu sawa.

Dokta: Matatizo hya huyu binti ni mengi sana, mstahamili kusikiliza, siwezi eleza yote tutaeleza yale makubwa na mengi yametatuliwa bila yeye kkujua.
Kwanza huyu ana kivuli cha mtu kimempenda kuanzia utotoni wakatiu anasoma hapo shule ya Forodhani, kikawa nae toka siku hizo mpaka leo hii, lakini yule hana madhara mengine yoyote kwake, anamlinda sana huyu, tatizo lake ana wivu, hataki huyu aolewe na hataki mila zetu za jadi, yeye anataka awepo yeye na huyu ashike ibada.

lakini sisi tumepambana nae sana mika mingi mpak atukakubaliana zamani sisi na yeye tutamlinda huyu ingawa hatutambui sisi wala yeye. Tupo sisi Ndama wa upande wa baba yake na wapo vibuki wa upamnde wa mama yaake, sisi haturihusiwi kuytaja jina lao, mwenyewe anajua huyu. Tulikua tunashindana nanai awahi hiki kiti ile awe na kauli, leo sisi tumekua wa kwanza, kisheria za Kibuki, sasa sisi ndio tuna kauli ya kwana na ytukiitwa tunapanda sosi mpaka tuwaite wale ikibidi ndio watapanda, lakini sio hapa, hapoa hatiuwezi kuwaita hii sherehe yetu, wao haiwahusu, tumewaalika, waone tunavyokabishiwa chano wameshaondoka, hapa ndani hawawezi kuoingia. Sawa?

Wpte wakaitika sawa. Akaendelea; Huyu amepoteza pesa nyingi kaenda kila mahali kutafuta raha yake lakini wengi wahuni na waovu, wengine wanamtaka yeye, lakini huyu Mungu kamjaalia na sisi tunalinda, wote wameshindwa, wale wanaomtaka huyu, huyo kijanwa Kiarabu anaempenda na rafiki zake wanawapiga vita wale vibaya sana na sisi tunasaidia. Halafu huyu aliolewa aliolewa na mume wa kwanza, walikua wanasoma pamoja, ytule mwanamme mamake aliona kama mwanae anachukuliwa yeye ataku hana hadhi tena, kila kitu itakua mkewe. Akafanya fitna nyingi, moa)pka kwa waganga, na sisi tukaona hana haja ya kuishi nae, tukafanya kila njia awachane na yule mwanamme, wana myoyo mmoja. Baada ya kuachana huyu, ytule mama riho yake imetulizana. lakini mtu mwenye ila yake hawachi tabia mbaya.

Huyu ameza mtoto wa kike, na akawa babake anakwenfda kila wiki kumuona na hata alipoanza kukua yule mtoto babake akaoa mke, huyo alimkomesha yule mama, alitaka kumuingilia kishirikina kama huyu, akakuta yule mwanamke mshiriikina kuliko yeye akatulizwa, sasa akaanza kumuandama binti ya huyu, lakini huyo sisi tukazuia mashambulizi yote, ni wetu huyo, hawqezi kumfanya lolote, na asingetia akili angeendelea tungemlaza kitandani. Tulimsamehe hana mtoto wa kike wa kumtazama. Angepata tabu binti yake huyu. Tukamkanya mara nyingi kwenye ndoto, yule mama akawa anaogopa, sasa kafanya toba, amekua mtu wa ibada, anajuta yote aliofanya zamani...
... ndio mpaka sasa anahangaika kwa waganga wana nchezea, sasa ana vojini vya kikojani, lakini hivyo tayari tumekubaliana na wakubwa zao ataenda huyu viakachukuliwe huko, watajua wenyewe watawafanya nini, lakini sasa hawamsogelei tena wa[po kwa mbali wantazzzama tu, kuondoka hawawezi kumuingia huyu hawawezi.Mmeelewa? haya anaetaka kuuliza aulize.

Bi S; sasa huyu binti tunataka aoleewe anakosa t)raha ya kua na mume na umri unakwenda lazima apate watoto wengine.
Dokta; Hio gtayari sisi tumefanya makubaliano, huyu akitoka hapa anakwenda Kojani, siku moja anamaliza huko, halagu aende akafanye ada ya wale wengine, akimaliza tunaingia mkataba na yule Mwarabu wake, akitulizana yule, huyu ataolewa na kuzaa apendavyo, lakini sasa kazi yake atafanya vizuri bila matatizo, akimaliza hayo mengine tabadilika kabisa maisha yake. Ni mtu mkubwa sana huyu, msimuone hivi. Hya lete ile kinywaji yangu.
Bi S; Chukua hii yangu mimi nakuruhusu, akatoa chupa la whisky limeywewa kama robo, Dokta aakalishika akapiga tatu kidpogo kidogo.
H1: Mimi na maswali yangu.
Dokta; Haya uiza.
H1; Tukikupati mchumba sas utaolewa?
Dokta; Mchiumbaatasubiri nimalize hii shughuli iliosemwa hapa, lakini nitafurahi, maana anaume wengi wananitaka, wanakimbia wenyewe, hata simu hawanipigii.
Bi S; Huyu ngijeni amalie ada zake, wala hamna haja ya kumtafutia mchumba, wachumba watagingana kwake, cheza na ndama wewe? haya kama mmeliza maswali aondoke aua mnasemaje?
He: bado ytuna maswali.
Bi S; Wewe jisemee wewe tu kama una maswali, wote wana midomo yao hapa.
H2; Sawa. Mimi kuna sidekick yangu huko Datr sasa siielewi elewi imekua ngumu kuipata ninapoitaka.
Bi S; Mbina hii safari kakufanyia yeye?
H2; kwa mbinde.
Bi S: hilo tatizo mimi nalielewa, ni dogo tu. Tutaongea pekeetu.siwe na shaka. Unamwaga mtama kwenye kuku wengi? Atachukuliwa kabisa. uanze kulia kulia. Jitu lina fedha lile nani ataliacha? Anagombaniwa yule watu wanaenda mbio wawe nae. Wewe kama unapewa millioni kumi, wenzako wapo tayari kua nae kwa laki tano tu. Umeelewa?
H2: Ndio.

Bi S haya jamani, huyu binti tusimchoshe zaidi. aganaeni ane na mimi jipate kupumzika maana hii kazi huyu si ndogo. Ina maajabu mengi sana lakini siruhusiwi kuyatatamka kwa yeyote, ni siri yangiu peke yangu.

Wakaagana pale, akamwabia Dokta, wewwe nenda kwenye herehe uani unisubiri usiondoke, nyinyi wengine mkipenda kaeni mkipenda iunodokeni, mimi nigtakuja huko nikisha koga bila ndama. haya kwaherini.

Wakatoka wote na mimi nikatoka nyuma hyao, ile wanaenda zao tu, mimi nikagonga mlangfo.

Bi S; Ingia.

Bilipingia akastuka, kumbe upo?
Mimi; Nilikua na nyinyi naelewa kila kitu kilichoongewa hapa na mimi nimekuja nina yangu yakuongea nawewe.
Bi S; Naam Simba.

Nimeona unampa cheo yeye ndio awe anafanya kazi zako kwa kule bara. Ndio au sio?
Bi S; Ndio.
Mimi; Futa ile kauli yako, na usimpe kazi yoyote katika kazi zenu na nataka akimaliza ada mlizoahidiana, nyiyte mkae nae mbali kabisa, msifanye kabisa mchezo wenu kwa huyu Dokta. Mimi gtoka nije hapoa nimekuja kwa ajili hyake, mmeelewa?
Bi S[ ka ma aanfikiri aksema ameelewa.
Mimi; Mlizokwisha chukua kwake ada zanu zote, ziwe ndio mwisho msimwingiza zaidi na muwe mbali kabisa, na huyo kija wa Kiarabu soisi tumeshamdhibiti ana ukoo wa simba yule, Sasa atatulizana kabisa na hara)tamuingilia tena huyu na wala hatajitoikez)eza tena. Umeelewa?
Bi S; Ndio nimeelewa, ndama anajua hilo na eote kwenu huko wanajua nawewe uelewe. Huyo sio wa vikao vyuenu na vijini vyako ulivyomwekea leo viongee vikirudia tena tunaviua vyote. Tunaelewa kila mchezo wako.
Bi S; Nimeelewa, wasamheini na mi i nisameheni, nilifikiri tupo pamoja.
Mimi; Tupo pamoja kwenye mambi ya heri, sio ya kudhulumu watu, enedelea na mambo yako na wajinga wenzako. Tazama umei wako unakwenda, anza kufanya toba hujachelewa kabisa. Mali ulizonazo hata kweng)Da Hija unaogopa. Zote umechuma kwa uongo mtupu. Nakuomnya na nikiondoka hapa sitaki kusikia chochote kutoka kwako, nikaiminya pete nikajuua hanioni nimemea kajitupoa kwenye goidoro kama mytu aliezimia ;akini yuko macho anatazama kila mahali hanioni, nikafungua mlango nikatoka nkje, hivuo hivyo kimya kimya. Nikaingia kile chumba nilikuwemo nikapoiga simu gari ya hiteli, wakasema dakika kumi tu, kuna gasri karibu hapo. Nikawambia haya itamikua maisubiri nje kama hawajanikuta wanipigie simu yangu.

Nilipomaliza nikatoka kupitia uani hakuna anaeniona, nikato nje nikaenda kukaa pembeni huko, nau)isubiri gari.

Nimekaa pale nikawa nawaza ujasiri na maneno yale nimeyatoi wapi, nikasema lo lazima vijini vinambie ukweli. Sijakaa san ikaona gari inakuja, niakenda ili inione kwa mbele, iliponiona ni dereva amabae kishawahi kunichukua. Nikapanda tukaondoka.

Dereva: Wapi boss?
Mimi; Nikamwabia hoteli tu, kwani hawajakwambia walipokwambia uje kunichukua?
Dere va: wamenambia boss nataka kuhakikisha tu maana leo Jumamosi viwanja vingi.
Mimi: usijali, palepale hoteli...
Dereva; Okay Boss.

Tukaenda kimya kimya, ile kugfika tu resepshen akanipa bahasha akanambia meseji yako hio kutoka kwa Meneja.

Nikaenda chumbani kwangu , kufika nikaifungua bahasha, kaandika, Salaam Simba, Mimi Meneja... Tafadhali ukipata ujumbe huu ukirudi hata saa ngapi nipigie, leo kina mama wale wanasema tusikuache ukalala watakua disco na wageni wao wa mjini. Nipigie Simba ukija, wakati wowote.

Nikampigia, simu ikata mat)ra moja yu ya pili ikapokelea, tukasalimiana pale.
Meneja: umepata ujumbe wangu?
Mimi; Nimepata Meneja, nambie.
Meneja; Sima wale kina dada wameniomba sana uwe nao leo, unajua mimi nipo kazini hapa siwezi kukaa nao zaidi ya kika tano , kuna mambo mengi ya kufanya. naomba sana uwepo, wamnesema leo wao watarudi kati asaa saba mapak saba na nusu watakua Disvco. halafu simba leo kumekucha, wazungu vijana vijana kibao, na hao nawajua lazima wakeshe Disco.

Mimi; Ndio kwanza narudi nitatazama ahali ya hewa wacha nipumzike kidgo ndio kwanza nimeingia.
Meneja; Sawa, mradi ujumbe nimeufikishe, kama huwei kwenda usijikalifishe, mjumbe hauliwi.

Mim; Poa, kama hajaniona wasinihangaishe, maana sijui nikijiyupa kama nitaweza tena kwenda.

Binafsi nilikua naweza kwenda lakini nilikuwa najizuia na mambo hayo. Saa ile ile nikaamua kesho sina sababu ya kukaa, mambo yalionileta nimemaliza. Ile sijakaa sawa, mlango ukagongwa, ile staili uliogongwa nikajua Jini 1 tu huyo. Nikaufungua akaingia, tukasalimiana.
Jini 1 nimekuwahi kabla hujalala. Umejionea mambo ya kibuki? Ujambazi mtupu na wanawwake wale wote hawajijui kabisa.
Mimi; gtena umefanhya vizuri kuja, nilikua na kigtu kimenikaa rohoni nikasema mpaka niwaulize, kama wewe huna jibu muulize Arsis.
Jini 1; Arsis anasikia maongezoi yetu yote, usiwe na shaka. Uliza tu.
Mimi; Lewo pale niliongea maneno mpka mwenyewe nikajishangaa, nani kati yenu aliyegfanya vile?
Jini q: hakuna kati yetu ni wewe mwenyuwe nafsi yako imeiona dhulma inayofanyika, hata mimi nilikushangaa nikadikiri Arsis anaonhgea lakini kakataa kabisa. Mimi nilikuwepo pale.
Mimi: hivi ni kweli niliyoyasema?
Jini q: Mimi nilikwambia wewe baada ya leo utaogopewa Unguja nzima. Hivi Bi S, huko ulipoondoka wewe alipitiwa na usingizi mzito kama kazimia.Alipoamka, akmtuma mtoto amwitie Dokta oeke yake ndani kwake. Dokgta kuja;
Bi S; Sikiliza Dokta, leo nilikupa jukumu zigto la kuwa wewe ufanywe kiongozi kule Dar, lakini nimejifikiri nimeoana tutakubebesha mzigo mzito, haya ni mazito sana, mwenyewe yako hujyamaliza tukubebeshe na mengine, nikaona sio vyema ingawa hufanyi bure u)ingekulipa vizui tu kakini nimeona nikujulishe kua mpango ule haupo tena, ishi maisha yako kama utakavyo kwa amani, wala usichukulie vibaya. Umenielewa?
Doikta; Nimekuelewa sana, hata mimi nilishangaa mbina napewa kazi amabyo siijui, lakini nikasema haya, kama ndio uzima wangu untaka iwe hivyo nikakubali lakini imenikaa moyoni, maana mimi nina majukumu ya kazi a)za watu. Nikaona nitaelew avizui baadae. Nshukuru u,elifikiria hilo na ukaone halinifai.
Bi S; Usijali mama, tuko pamoja, wewe hadhi yako ni kubwa kuliko nilivyotaka mimi, wenyewe wakubwa wamekuja wakanikanya. Sasa subiri dakika mbili tu nakuja.

Jini 1; Bi S, akanyanyuka akaingia ndani kama dakika tatu akarudi na bahasha limenona akampa Dokta, na hizi mama ile amana yako uliotupa kufanyia sherehe, bahati michango ya wagtu imetosheleza kufanya kila kitu nimeona nikuwekee nikupe kabla hujaondokam ni haki yako. Dokgta akawa anashangaa shangaa.Bi S. IUsishangae mama , wanasema kiendacho kwa mganga hakirirudi lakini mimi sio mganga, Dokta, mimi ni mkuu wa vibuki vya Ndama Mulaki, kazi zote na ada zote wanaamua wao, tukaona baada ya sherehe ada yako haijatumika, itakua si vizuri mimi kubaki nayo, mwenyewe unahitaji bado kusafiri. Na hizo safatri zako za Kojani na Comoro kama umepungukiwa nipigie wakati wowote, faida gani mimi ya ku kabisa hayo.a mkubwa wenu? Pokea mama. Dokta akapokea akaanza kulia na Bi S. nae akalia. Moyoni mwangu najisemea analilia Million 5 zimemponyoka.

Mimi; Nikacheka. dah sikutegemea hayo.
Jini 1; Nani alitegemea, wote tumebaki hoi, sasa unakua babu yako, nafasi imeikataa dhulma maana ulipokua unaongea pale, yale maneno yamemuingia Bi S. Sasa tusubiri aanze toba tu. Hongera Sa Simba.

Mimi; Hata sijui niseme ahsante au niseme nini, sielewi sielewi. Yule mama hakasiriki akaniletea madhara, maana licha ya majini yao ya Kingazija, nasiki yule yupo kwenye intelijensia yao.
Jini 1; Yule hata akiwepo kwenye ingteljensia, atakuheshimu na kukuwaza maisha, uliyoyafanya pale si madogo, kwanza ile ya kuwepo na kuyajua yote hukumtisha yeye tu, umeyatisha mpaka majini yao. Halafu leo Simba alikua na walinzi wake wengine wanne, jumla walikua watano, lakini ni picha tu, Ndama Mulaki walikua wanaombea Bi S asifanye makosa, nahisi wao ndio wamemwabie arudishea pesa, ka a)simwenyewe kajirudi.

Mimi'; Ahsante swali langu lilinokaa moyoni hilo tu, la ile ngubvu na maneno yale nimeyatoa wapi?
Jini 1; Wewe kama Arsis anavyosema bado hujijui, utajijua siku xinavyokwenda, bila wewe masikini hya Mungu kishateseka muda mrefu watu wanajitoea tu kipato chake cha halali na hapa ndio alikua kishapigwa, fukiria migharam aykumletea bibie mizaadi mipombe ya ghali boksi zima, safari yake na miliioni tano juu. Sasa huko kumsaidia au kummaliza?
mimoi;Daa, inafikirisha sna, kwaheri wacha nipumzike. Akaondoka Jini 2, nikaingia nikakoga nikasali sala zanf))gu za usiku nikamuomdhukuru Mwenyezi Mungu kw yote na nikamuomba anilinde na shari za usiku namchana. Nikaingia kulala usingizi mzito, nastuja saa nne asubuhi, nikasema hizi Jumapili kama zimeji-tune kichwani unalala mtu bila kujijua, Nikatawadha nikasali sala yangu ya alfajiri ilionipita nikiwa nimelala, nikavaa nikaenda kwenye breakfast. Nikapiga breakfast huku najisemea leo nitafute usafiri niondoke. Unguja ni njema.
...
 
Nakubaliana na mtazamo wako,,lkn ebu tuangalie logic hapa,,tunaamini kwa waislamu Mungu ni mmoja,tunaamini malaika wake,tunaamini vitabu vyake vyote,tunaamini mitume wake wote na hatutofautishi hata mmoja,,hiyo ndio imani ya kiislamu

Kwahiyo tunaamini mafundisho ya Allah ni yale yale isipokuwa mabadiliko ya sheria chache,kwahiyo ni sahihi kuamini yale yote walitumwa nayo mitume kwakuwa lengo ni lile

Tunaamini vitabu vyote kabla ya baadhi havijachezewa na mikono ya wanadamu na kutolewa hili na kuingizwa hili,ndio leo yanazuka mambo na porojo nyingi

Zamani kwakuwa watu wote walikuwa wanamwini mungu mmoja,hata waislamu waliruhusiwa kuwaoa wakristo na hao wake kubakia na ukristo wao,lkn leo itikadi zimebadilika,haabudiwi mungu mmoja tena ila nafsi tatu na mambo kama hayo

Ila ukiacha ubinafsi wa dini,mafundisho ya uislamu yana logic sana hata akili ya mwanadamu inaafikiana nayo

Asante
Hata kule kwenye Creed of Nicaea 325 kulikuwa na logic yake kufikia hatma ya utatu mtakatifu. Askofu Aurus alifikiria tofauti na wenzake akaishia kufukuzwa na mafundisho yake yakachomwa moto. Hadithi juu ya hadithi.
 
Upo tayari kuua na kula nyama ya wanao na watu wengine?

Au hujapitia vionjo vya Arsis, kisa cha kumuokoa msukule wa Unguja na kisa cha kumuokoa msukule wa Mwanza?
Simba.
Mimi naitaj mali na fedha na utajirimkubwa, hayo mengine siyajali ntayafanya kama nakunywa maji.
 
...
Bi S; aya jamaa, sasa mwenye swali au ushauri au chochote kile anachotaka kujua amuulize au amfahamishe Dokta hapa.

Msidizi wa Bi S.; Mimi naitwa... nina mengi ya kukuuliza lakini mengine yanamuhiu huyo kibuki wako, ukiweza ajibu, tutajua na yeye yupo hukiuweza usijibu. Sawa?
Dokta akatimgisha kichwa kuashiria sawa.
Msidizi; Hpa hata hatugtingishi vichwa ka mijusi, hapa ukiulizwa kama ni wewe dokta au jini jibu unaloulizwa ka sauti, ili kila mmoja wetiu aelewe umejibu nini. Sawa;
Dokta; Saawa, kiupole hivi.
Msaidizi; Haya twambie shida zako nini mpka ukafika hapa, usione haya, kama ni jini aje ajibu pia.

Kusema hivyo nikamuona Dokgta kama anajikakamua kwa kujinyoosha hivoi, akatazama huku na kule kwa wote, kufika nilipokua mimi kama akatazama zaidi kidogo, nikaona huyu jini ananiona nini, akaendelea kiuzungusha shingo akaytazama chumba kizima...
Dokta: Sasa hapa sisi tumekuja tunaweza kuongea vizuri, pale watu wengi na hii kiti yetu ina siri nyingoi haipendi kila mtu ajue. Nyinyi wawili, akawaonesha Kina BH nawao walikuwepo, nyinyi hii kiti yegtu anaishi mnapoishi nyinyui kuanzia sasa nyinyi ndio wenyeji wake kule, mgtamjulisha ukoo wote. Sawa, walakibu sawa.
Dokta: lakini mjue, nyinyi mna uzoefu mzuri sana.Mumuelekeze kila kitu huko. Siri muhimu sana, kama kawaida yegtu, hagtuongei jambo la mwenztu kwa mtu mwengone yoyote mpaka aliseme mwenyewe au akuytume ummwambi fulani, Sawa? Wakaitika, sawa, Mimi ni kibui wa ukoo wenu Ndama Mulaki na najua kila kitu yenu, kila shereha hapa mimi nakuja bila huyu Daktari. Muulizeni huyu Mkuu atawaeleza, nyinyi bado hamfahamu. Sasa huyu asifichwe kikao aua sherehe yoyote inayuohusu ndama, aua hapa au huko bara.
Bi H; Sawa.
Msaidizi; Haya tueleze shida zilikuanini, usifiche kitu, tupo wenyewe tu hapa, wote tuna viapo vya siri.
Bi S. Anajua huyo, asingejua asingesema chochote.
Msaidizi; Nafahamu sana lakini nataka na yeye huyu Dokta aysikie yamuingie, maana Ndama alisema anasikia kila kitu., sio kama wale wengine hawasikii jini likipanda, huyiu hana tpfauti na mimi na wewe Bi S.
Bi S; Huhyu ni mkubwa kuliko nyinyi Bi H 1na Bi H2, kwa hio akija Dar huyu mnamzowesha ya kibinadam tu, lakini kwa cheo cha Kindama huyu ni mkubwa sana. Mumuheshimu na analosema yeye mlifate, mjue limetoka kwa wakubwa. Huyu hta kama mimi sijaja kuna shughuli huko basi muelewe ndio nipo akiwepo. Sawa?
Wte wakajibu sawa.

Dokta: Matatizo hya huyu binti ni mengi sana, mstahamili kusikiliza, siwezi eleza yote tutaeleza yale makubwa na mengi yametatuliwa bila yeye kkujua.
Kwanza huyu ana kivuli cha mtu kimempenda kuanzia utotoni wakatiu anasoma hapo shule ya Forodhani, kikawa nae toka siku hizo mpaka leo hii, lakini yule hana madhara mengine yoyote kwake, anamlinda sana huyu, tatizo lake ana wivu, hataki huyu aolewe na hataki mila zetu za jadi, yeye anataka awepo yeye na huyu ashike ibada.

lakini sisi tumepambana nae sana mika mingi mpak atukakubaliana zamani sisi na yeye tutamlinda huyu ingawa hatutambui sisi wala yeye. Tupo sisi Ndama wa upande wa baba yake na wapo vibuki wa upamnde wa mama yaake, sisi haturihusiwi kuytaja jina lao, mwenyewe anajua huyu. Tulikua tunashindana nanai awahi hiki kiti ile awe na kauli, leo sisi tumekua wa kwanza, kisheria za Kibuki, sasa sisi ndio tuna kauli ya kwana na ytukiitwa tunapanda sosi mpaka tuwaite wale ikibidi ndio watapanda, lakini sio hapa, hapoa hatiuwezi kuwaita hii sherehe yetu, wao haiwahusu, tumewaalika, waone tunavyokabishiwa chano wameshaondoka, hapa ndani hawawezi kuoingia. Sawa?

Wpte wakaitika sawa. Akaendelea; Huyu amepoteza pesa nyingi kaenda kila mahali kutafuta raha yake lakini wengi wahuni na waovu, wengine wanamtaka yeye, lakini huyu Mungu kamjaalia na sisi tunalinda, wote wameshindwa, wale wanaomtaka huyu, huyo kijanwa Kiarabu anaempenda na rafiki zake wanawapiga vita wale vibaya sana na sisi tunasaidia. Halafu huyu aliolewa aliolewa na mume wa kwanza, walikua wanasoma pamoja, ytule mwanamme mamake aliona kama mwanae anachukuliwa yeye ataku hana hadhi tena, kila kitu itakua mkewe. Akafanya fitna nyingi, moa)pka kwa waganga, na sisi tukaona hana haja ya kuishi nae, tukafanya kila njia awachane na yule mwanamme, wana myoyo mmoja. Baada ya kuachana huyu, ytule mama riho yake imetulizana. lakini mtu mwenye ila yake hawachi tabia mbaya.

Huyu ameza mtoto wa kike, na akawa babake anakwenfda kila wiki kumuona na hata alipoanza kukua yule mtoto babake akaoa mke, huyo alimkomesha yule mama, alitaka kumuingilia kishirikina kama huyu, akakuta yule mwanamke mshiriikina kuliko yeye akatulizwa, sasa akaanza kumuandama binti ya huyu, lakini huyo sisi tukazuia mashambulizi yote, ni wetu huyo, hawqezi kumfanya lolote, na asingetia akili angeendelea tungemlaza kitandani. Tulimsamehe hana mtoto wa kike wa kumtazama. Angepata tabu binti yake huyu. Tukamkanya mara nyingi kwenye ndoto, yule mama akawa anaogopa, sasa kafanya toba, amekua mtu wa ibada, anajuta yote aliofanya zamani...
... ndio mpaka sasa anahangaika kwa waganga wana nchezea, sasa ana vojini vya kikojani, lakini hivyo tayari tumekubaliana na wakubwa zao ataenda huyu viakachukuliwe huko, watajua wenyewe watawafanya nini, lakini sasa hawamsogelei tena wa[po kwa mbali wantazzzama tu, kuondoka hawawezi kumuingia huyu hawawezi.Mmeelewa? haya anaetaka kuuliza aulize.

Bi S; sasa huyu binti tunataka aoleewe anakosa t)raha ya kua na mume na umri unakwenda lazima apate watoto wengine.
Dokta; Hio gtayari sisi tumefanya makubaliano, huyu akitoka hapa anakwenda Kojani, siku moja anamaliza huko, halagu aende akafanye ada ya wale wengine, akimaliza tunaingia mkataba na yule Mwarabu wake, akitulizana yule, huyu ataolewa na kuzaa apendavyo, lakini sasa kazi yake atafanya vizuri bila matatizo, akimaliza hayo mengine tabadilika kabisa maisha yake. Ni mtu mkubwa sana huyu, msimuone hivi. Hya lete ile kinywaji yangu.
Bi S; Chukua hii yangu mimi nakuruhusu, akatoa chupa la whisky limeywewa kama robo, Dokta aakalishika akapiga tatu kidpogo kidogo.
H1: Mimi na maswali yangu.
Dokta; Haya uiza.
H1; Tukikupati mchumba sas utaolewa?
Dokta; Mchiumbaatasubiri nimalize hii shughuli iliosemwa hapa, lakini nitafurahi, maana anaume wengi wananitaka, wanakimbia wenyewe, hata simu hawanipigii.
Bi S; Huyu ngijeni amalie ada zake, wala hamna haja ya kumtafutia mchumba, wachumba watagingana kwake, cheza na ndama wewe? haya kama mmeliza maswali aondoke aua mnasemaje?
He: bado ytuna maswali.
Bi S; Wewe jisemee wewe tu kama una maswali, wote wana midomo yao hapa.
H2; Sawa. Mimi kuna sidekick yangu huko Datr sasa siielewi elewi imekua ngumu kuipata ninapoitaka.
Bi S; Mbina hii safari kakufanyia yeye?
H2; kwa mbinde.
Bi S: hilo tatizo mimi nalielewa, ni dogo tu. Tutaongea pekeetu.siwe na shaka. Unamwaga mtama kwenye kuku wengi? Atachukuliwa kabisa. uanze kulia kulia. Jitu lina fedha lile nani ataliacha? Anagombaniwa yule watu wanaenda mbio wawe nae. Wewe kama unapewa millioni kumi, wenzako wapo tayari kua nae kwa laki tano tu. Umeelewa?
H2: Ndio.

Bi S haya jamani, huyu binti tusimchoshe zaidi. aganaeni ane na mimi jipate kupumzika maana hii kazi huyu si ndogo. Ina maajabu mengi sana lakini siruhusiwi kuyatatamka kwa yeyote, ni siri yangiu peke yangu.

Wakaagana pale, akamwabia Dokta, wewwe nenda kwenye herehe uani unisubiri usiondoke, nyinyi wengine mkipenda kaeni mkipenda iunodokeni, mimi nigtakuja huko nikisha koga bila ndama. haya kwaherini.

Wakatoka wote na mimi nikatoka nyuma hyao, ile wanaenda zao tu, mimi nikagonga mlangfo.

Bi S; Ingia.

Bilipingia akastuka, kumbe upo?
Mimi; Nilikua na nyinyi naelewa kila kitu kilichoongewa hapa na mimi nimekuja nina yangu yakuongea nawewe.
Bi S; Naam Simba.

Nimeona unampa cheo yeye ndio awe anafanya kazi zako kwa kule bara. Ndio au sio?
Bi S; Ndio.
Mimi; Futa ile kauli yako, na usimpe kazi yoyote katika kazi zenu na nataka akimaliza ada mlizoahidiana, nyiyte mkae nae mbali kabisa, msifanye kabisa mchezo wenu kwa huyu Dokta. Mimi gtoka nije hapoa nimekuja kwa ajili hyake, mmeelewa?
Bi S[ ka ma aanfikiri aksema ameelewa.
Mimi; Mlizokwisha chukua kwake ada zanu zote, ziwe ndio mwisho msimwingiza zaidi na muwe mbali kabisa, na huyo kija wa Kiarabu soisi tumeshamdhibiti ana ukoo wa simba yule, Sasa atatulizana kabisa na hara)tamuingilia tena huyu na wala hatajitoikez)eza tena. Umeelewa?
Bi S; Ndio nimeelewa, ndama anajua hilo na eote kwenu huko wanajua nawewe uelewe. Huyo sio wa vikao vyuenu na vijini vyako ulivyomwekea leo viongee vikirudia tena tunaviua vyote. Tunaelewa kila mchezo wako.
Bi S; Nimeelewa, wasamheini na mi i nisameheni, nilifikiri tupo pamoja.
Mimi; Tupo pamoja kwenye mambi ya heri, sio ya kudhulumu watu, enedelea na mambo yako na wajinga wenzako. Tazama umei wako unakwenda, anza kufanya toba hujachelewa kabisa. Mali ulizonazo hata kweng)Da Hija unaogopa. Zote umechuma kwa uongo mtupu. Nakuomnya na nikiondoka hapa sitaki kusikia chochote kutoka kwako, nikaiminya pete nikajuua hanioni nimemea kajitupoa kwenye goidoro kama mytu aliezimia ;akini yuko macho anatazama kila mahali hanioni, nikafungua mlango nikatoka nkje, hivuo hivyo kimya kimya. Nikaingia kile chumba nilikuwemo nikapoiga simu gari ya hiteli, wakasema dakika kumi tu, kuna gasri karibu hapo. Nikawambia haya itamikua maisubiri nje kama hawajanikuta wanipigie simu yangu.

Nilipomaliza nikatoka kupitia uani hakuna anaeniona, nikato nje nikaenda kukaa pembeni huko, nau)isubiri gari.

Nimekaa pale nikawa nawaza ujasiri na maneno yale nimeyatoi wapi, nikasema lo lazima vijini vinambie ukweli. Sijakaa san ikaona gari inakuja, niakenda ili inione kwa mbele, iliponiona ni dereva amabae kishawahi kunichukua. Nikapanda tukaondoka.

Dereva: Wapi boss?
Mimi; Nikamwabia hoteli tu, kwani hawajakwambia walipokwambia uje kunichukua?
Dere va: wamenambia boss nataka kuhakikisha tu maana leo Jumamosi viwanja vingi.
Mimi: usijali, palepale hoteli...
Dereva; Okay Boss.

Tukaenda kimya kimya, ile kugfika tu resepshen akanipa bahasha akanambia meseji yako hio kutoka kwa Meneja.

Nikaenda chumbani kwangu , kufika nikaifungua bahasha, kaandika, Salaam Simba, Mimi Meneja... Tafadhali ukipata ujumbe huu ukirudi hata saa ngapi nipigie, leo kina mama wale wanasema tusikuache ukalala watakua disco na wageni wao wa mjini. Nipigie Simba ukija, wakati wowote.

Nikampigia, simu ikata mat)ra moja yu ya pili ikapokelea, tukasalimiana pale.
Meneja: umepata ujumbe wangu?
Mimi; Nimepata Meneja, nambie.
Meneja; Sima wale kina dada wameniomba sana uwe nao leo, unajua mimi nipo kazini hapa siwezi kukaa nao zaidi ya kika tano , kuna mambo mengi ya kufanya. naomba sana uwepo, wamnesema leo wao watarudi kati asaa saba mapak saba na nusu watakua Disvco. halafu simba leo kumekucha, wazungu vijana vijana kibao, na hao nawajua lazima wakeshe Disco.

Mimi; Ndio kwanza narudi nitatazama ahali ya hewa wacha nipumzike kidgo ndio kwanza nimeingia.
Meneja; Sawa, mradi ujumbe nimeufikishe, kama huwei kwenda usijikalifishe, mjumbe hauliwi.

Mim; Poa, kama hajaniona wasinihangaishe, maana sijui nikijiyupa kama nitaweza tena kwenda.

Binafsi nilikua naweza kwenda lakini nilikuwa najizuia na mambo hayo. Saa ile ile nikaamua kesho sina sababu ya kukaa, mambo yalionileta nimemaliza. Ile sijakaa sawa, mlango ukagongwa, ile staili uliogongwa nikajua Jini 1 tu huyo. Nikaufungua akaingia, tukasalimiana.
Jini 1 nimekuwahi kabla hujalala. Umejionea mambo ya kibuki? Ujambazi mtupu na wanawwake wale wote hawajijui kabisa.
Mimi; gtena umefanhya vizuri kuja, nilikua na kigtu kimenikaa rohoni nikasema mpaka niwaulize, kama wewe huna jibu muulize Arsis.
Jini 1; Arsis anasikia maongezoi yetu yote, usiwe na shaka. Uliza tu.
Mimi; Lewo pale niliongea maneno mpka mwenyewe nikajishangaa, nani kati yenu aliyegfanya vile?
Jini q: hakuna kati yetu ni wewe mwenyuwe nafsi yako imeiona dhulma inayofanyika, hata mimi nilikushangaa nikadikiri Arsis anaonhgea lakini kakataa kabisa. Mimi nilikuwepo pale.
Mimi: hivi ni kweli niliyoyasema?
Jini q: Mimi nilikwambia wewe baada ya leo utaogopewa Unguja nzima. Hivi Bi S, huko ulipoondoka wewe alipitiwa na usingizi mzito kama kazimia.Alipoamka, akmtuma mtoto amwitie Dokta oeke yake ndani kwake. Dokgta kuja;
Bi S; Sikiliza Dokta, leo nilikupa jukumu zigto la kuwa wewe ufanywe kiongozi kule Dar, lakini nimejifikiri nimeoana tutakubebesha mzigo mzito, haya ni mazito sana, mwenyewe yako hujyamaliza tukubebeshe na mengine, nikaona sio vyema ingawa hufanyi bure u)ingekulipa vizui tu kakini nimeona nikujulishe kua mpango ule haupo tena, ishi maisha yako kama utakavyo kwa amani, wala usichukulie vibaya. Umenielewa?
Doikta; Nimekuelewa sana, hata mimi nilishangaa mbina napewa kazi amabyo siijui, lakini nikasema haya, kama ndio uzima wangu untaka iwe hivyo nikakubali lakini imenikaa moyoni, maana mimi nina majukumu ya kazi a)za watu. Nikaona nitaelew avizui baadae. Nshukuru u,elifikiria hilo na ukaone halinifai.
Bi S; Usijali mama, tuko pamoja, wewe hadhi yako ni kubwa kuliko nilivyotaka mimi, wenyewe wakubwa wamekuja wakanikanya. Sasa subiri dakika mbili tu nakuja.

Jini 1; Bi S, akanyanyuka akaingia ndani kama dakika tatu akarudi na bahasha limenona akampa Dokta, na hizi mama ile amana yako uliotupa kufanyia sherehe, bahati michango ya wagtu imetosheleza kufanya kila kitu nimeona nikuwekee nikupe kabla hujaondokam ni haki yako. Dokgta akawa anashangaa shangaa.Bi S. IUsishangae mama , wanasema kiendacho kwa mganga hakirirudi lakini mimi sio mganga, Dokta, mimi ni mkuu wa vibuki vya Ndama Mulaki, kazi zote na ada zote wanaamua wao, tukaona baada ya sherehe ada yako haijatumika, itakua si vizuri mimi kubaki nayo, mwenyewe unahitaji bado kusafiri. Na hizo safatri zako za Kojani na Comoro kama umepungukiwa nipigie wakati wowote, faida gani mimi ya ku kabisa hayo.a mkubwa wenu? Pokea mama. Dokta akapokea akaanza kulia na Bi S. nae akalia. Moyoni mwangu najisemea analilia Million 5 zimemponyoka.

Mimi; Nikacheka. dah sikutegemea hayo.
Jini 1; Nani alitegemea, wote tumebaki hoi, sasa unakua babu yako, nafasi imeikataa dhulma maana ulipokua unaongea pale, yale maneno yamemuingia Bi S. Sasa tusubiri aanze toba tu. Hongera Sa Simba.

Mimi; Hata sijui niseme ahsante au niseme nini, sielewi sielewi. Yule mama hakasiriki akaniletea madhara, maana licha ya majini yao ya Kingazija, nasiki yule yupo kwenye intelijensia yao.
Jini 1; Yule hata akiwepo kwenye ingteljensia, atakuheshimu na kukuwaza maisha, uliyoyafanya pale si madogo, kwanza ile ya kuwepo na kuyajua yote hukumtisha yeye tu, umeyatisha mpaka majini yao. Halafu leo Simba alikua na walinzi wake wengine wanne, jumla walikua watano, lakini ni picha tu, Ndama Mulaki walikua wanaombea Bi S asifanye makosa, nahisi wao ndio wamemwabie arudishea pesa, ka a)simwenyewe kajirudi.

Mimi'; Ahsante swali langu lilinokaa moyoni hilo tu, la ile ngubvu na maneno yale nimeyatoa wapi?
Jini 1; Wewe kama Arsis anavyosema bado hujijui, utajijua siku xinavyokwenda, bila wewe masikini hya Mungu kishateseka muda mrefu watu wanajitoea tu kipato chake cha halali na hapa ndio alikua kishapigwa, fukiria migharam aykumletea bibie mizaadi mipombe ya ghali boksi zima, safari yake na miliioni tano juu. Sasa huko kumsaidia au kummaliza?
mimoi;Daa, inafikirisha sna, kwaheri wacha nipumzike. Akaondoka Jini 2, nikaingia nikakoga nikasali sala zanf))gu za usiku nikamuomdhukuru Mwenyezi Mungu kw yote na nikamuomba anilinde na shari za usiku namchana. Nikaingia kulala usingizi mzito, nastuja saa nne asubuhi, nikasema hizi Jumapili kama zimeji-tune kichwani unalala mtu bila kujijua, Nikatawadha nikasali sala yangu ya alfajiri ilionipita nikiwa nimelala, nikavaa nikaenda kwenye breakfast. Nikapiga breakfast huku najisemea leo nitafute usafiri niondoke. Unguja ni njema.
...
Baada ya breakfast nikatembea kidogo baharini huku nawaza yaliopitika jana, nawaza alivyonambia Jini 1, nikawa na maswali mengi kuliko majibu, nikamuita Jini 1 wakati natembea tembea baharini, haijapita muda nikaona mwanamke ananipungia mkono kutoka kibanda kimoja cha wazi kilichopo ufukweni, kutazama vizuri nikaona ni Jini 1. Nikaenda alipo,.

Jini 1; Umeniita nile upepo wa bahari?
Mimi; Hapana, kuna mengi nawaza kuhusu kisa cha jana na ulionambia kuna vitu havijaniingia akilini.
Jini 1; Vipi tena hivooo?
Mimi; Leo unaongea Kiunguja?
Jini 1; Si nipo Unguja?

Hiki kijini kilikua kinapenda sana utani, ndio kawaida yake.
Mimi; Mbina upo beach hujavaa kama ki beach beach kama wazungu?
Jini 1; Hao wamevaa au wapo tupu? Mie mamboi hayo siyawezi, kwanaza hapa tulipo unaeniona peke yako na vibwengo tu. hao unaosema wazungu unafikiri wote watu hao? Vingine vijini vyua kishetani hivyo, vitazame vizuri Simba, wewe unaweza kuvijua ukitaka mwenyewe.
Mimi; Kivipi?
Jini 1; Kwani jana ulijuaje kuna vijini vya kibuki ka[achikwa navyo dokta palepale kwa Bi S?
Mimi; Hilo swali langu moja nilitaka kukuuliza, ilikuaje nikamwabia Bi S. Aviondoe vivuli vyake alivyompachika navyo Dokta palepale shughulini?
Jini 1; Ndio maana nakwambia, wewe iuliviona kweli, nyenzo unayo kidoleni huitumii,, hata hapa ukitaka kuviona, wewe jifiche tu utayaona mengi, lakini ngoja gtumalize maswali yako kwanza, maana hata nitakua sikuoni bali najua kama upom hio teknolojia yako uliopewa kwenye hio pete ni kubwa sana, ya kimataifa hio.
Mimi; Na wewe unajua teknolojia?
Jini 1; Hivi wewe kunikuta pangoni kwa babu yako kule ukadhani mimi ni mshamba sana? Mwwenzako nimeenda shule mimi. Unafikiri Arsis andenipa kazi ninhgekua mbumbumbu? Usitake niseme mengi, hayo yana siku yake.
Mimi; Nyie wacheni vituko, kila tukikutana mnaniongezea maswali badala ya kumaliza nilonayo.
Jini 1; Hio kawaida, kwa sababu hutaki kujifunza haraka haraka kuhusu dunia isioonekana, lakini Arsis anasema twende mwendoo huu huu hatujachelewa. Sasa hivi unayaju mengi sana lakini hujiamini tu. Unaona kama unafikiri tu unayajua, unayajua kweli.
Mimi; Hilo moja la vivuli, kweli nillikua naviona kwenye ile shughuli, nilikua naona watu watatu watatu wengine wawili wawili, lakini ni mtu yule yule, ilikua nini ile?
Jini 1; Ndio vivuli vyenyewe hivyo, hivyo vijini ulikua unaviona, wengine wanaita mapepo. Vikitumwa kwa mtu au vikiwepo kwa mtu vinakua kama vivuli vyake, ndio ukisikia mtu anaambiwa wewe una majini wattu, wewe una wanne, ndio hivyo vizuli. Wengine wanakua na jeshi zima, utawaona tu.
Mimi; Hilo nitalielewa si umenambia nyenzo ninayo, halita nipa shida. Lakini nataka unifahamishe zaidi kuhusu picha ulizosema Bi S na ndama walikua wanazona za Simba.
Jini 1; Ningeshangaa sana usingeuliza hilo. Wale walikua wanaona Simba kama wa kweli kabisa, kila kitu, hio mbona ni teknolia ndogo sana. Arsis kai master hio, hio hata majini wajinga wajinga wa kichawi kama wale hawaielewi kabisa. Wewe ukiwa na Arsis muulize akuelekeze kwa kina, akikuelekeza hata wewe utaifanya, kifaa cha mawasiliano unacho. Aaha usinisemeshe mengi.
Mimi; Leo na taarabu unaimba?
Jini 1; Jana ungeenda disko unge enjoy kulikua kuna kibendi cha watu watano cha taarabu, wakisimama disko inapigwa taarabu. Umekosa bure kwenda. Dokta jana kajiwachia huyo, sio kawaida. Mcheo nini kupata millioni 5 usizozitarajia? Tena Mwenyezi Mungu kakulinda hujaenda, maana wale mabibi na yule Daktari wenu na hivyo ipashkuna vyua kishua walivyokuja navyo visingekuwacha. NIkupe umbeya? Dokta jana uzalendo umemshinda kaondoka na kimoja, hivi leo hata kutoka kwake hajatoka, anakwanda na kipashkuna cha kishua, unafanya mchezo wewe na Wangazija wakitaka lao? Sema nikwambie Simba.
Mimi; Daa, hii habari kwanza imenifurahisha lakini inaanza kunipa maswali mengi. Ngoja niende chumbani kwangiu, oipe nusu saa uje, wacha nijifikirie kidogo.
Jini 1; Sawa anakuja, kwaheri.

Akanyanyuka akatembea kama anaelekea hoteli, nikasema ngoja nijaribi alichonambia. Kuificha pete nikatazama wazungu walikua sio mbali na mimi huku nawasogele, nikaanza kuona vivuli, tena nadhani leo kwa kua nilikua natarajia kuona kitu nikaona cllea kabisa, kua waziungu walikuwa wamekaa wanne lakini watu ni wawili tu, mwanamke na mwanamme, wawili wengine walikua wanawake wote wa kijini lakini wazungiu. Hawa ndio wanaonesha wai kabisa sio watyu wa kawaida. Nikapata swali la kuuliza, nikasogea mpaka karibu yao kabisa, nikaona hakuna alieniona kabisa, nikaelekea zangu hoytelini huku kama siamini amini ninchokishuhudia.

Nikaingia ndani, nikaenda kukoga kwanza, nikakaa nikapiga piga simu kwa wife na mzee, wa mwisho nikampia Babu. Baada ya kusalimina pale.
Babu; Vipi Simba, kwema Unguja?
Mimi; Kwema si kwema babu.
Babu; Kuna nini tena?

Nikamweleza mkasa wote mpaka nilivyoongea na Jini 1. Babu kanisikiliza, nilivyomaliza kaanza kucheka.
Babu; Mie naongea na wewe safari yako hii, unanicheka?
Babu; Nimefurahi Simba, umeanza kukomaa. Sasa hayo yote ungeyapata wapi ungekaa kwenye magari tu Ilala?
Mimi: Yantisha babu, sio mchezo. kama hawa wazungu nilioona hapo beach.
Babu; Hivyo vijini vyao vichafu vinakua nao hay))ta hawajijui kama wanavyo, vipo vingi hivyo, karibu kila mtu anavyo hivyo. Hicho kipimo tu. Lakini Simba sio kua umejua hilo ukafanya mchezo, kuna vitu vingine vinatisha kweli kweli, hukuona siku zile unakuja ule mti wa Bakora?
Mimi; Nakumbuka sana babu.
Babu; Sasa hio yako ni zaidi ya mti, maana una control mwenyewe. hio mwenyewe utajua wapi pakuitimia na wa[i usiitumie. Umenielewa?
Mimi; Nimekuelewa babu.
Babu; Usiohgope Simba, hakuna zaidi, wewe sasa kaaa utembee Unguja uione kote, usiwe na haraka ya kurudi Dar, una siku nne sijui tatu bado hoteli hapo.
Mimi; Nilikua nafikiria niondoke leo.

Babu; Uoga tu ulikushika, kaa siku moja au mbili nyingingine bila kazi yoyote, ndio utaiona Unguja.
Mimi; Nitatazama babu. Hay ahsante babu, umenitia nguvu kidogo, kwaheri.
Babau: Anytime Simba.

Nikawa nipo relaxed kidogo, sijakaa sana kuwaza mlango ukagongwa, nikajua Jini 1 huyo, nikamwambia ingia. najua yule mlangfo haumzuii kuinhgia, basi mimi kuna siku nilimwabia Dar awe anakuja kwa kunijulisha asinijie ghafla tu, imechukua mara mbili tatu kuzoea. Siku hizi akija ananigongea au ananipigia simu, haji kwa kunistukiza tu.
Jini 1; Nusu saa ishapita muda, nilikua nangoja umalize simu yako. Nilikuja nikaona unaongea na simu nikaondoka.
Mimi; Sasa mimi sina siri kwenu?
Jini q; Unazo tena sana, mimi ulinambia tuonane baada ya nusu saa, nimekuja unaongea na simu, sasa nikae kusikiliza maongezi yako? Nimekuacha umaliza wala sijui ulichokua unakiongea. Simba niamini, mimi naweza kuwachunguza wengine, wewe siwezi kabisa, wewe ni boss wangu na una uweo wa kujua nipo au sipo bila mimi kukwambia siwei kuja kwa siri bila wewe kujua.
Mimi: Okay endelea ulikua unanieleza ya Meneja.
Jini 1; Si ndio hivyo nilivyokueleza, Juai wle mabini walileta vifaa vingine wakaona Dokta hana habari navyo leo wamekileta hicho kwa kazi hio tu wanefanikiwa ushetani wao.
Mimi; Hapo ndio sijaelewa.
Jini 1; Sikiliza hawa wanawake wenye vibuki wana poesa nyingi sana, wana mabishara makubwa makubwa wana majumba wanapangisha ni watu wakujifaharisha sana. Mali zao wanachuma kutokana na kutumia hivyo vijini vyao vya kibuki, hao wanahakikisha wanawtia mikononi wanaume wenye pesa na makazi makubwamakubwa kupitia wake zao au mahawara zao na wanawatumia hawa vibuki wapya kama Dokta, sasa juzi walimleta Dokyta wakaona hyu hajakaa sawa mpka sherehe yake iishe, mw)ingawa alikuja nao lakini alikua hana raha kabisa, mpaka akzi iliomlta Unguja iishe, kwa hio hawakufosi. sasa jana wkajua kai ake imeisha na sasa ni mwenzao wakaja nae tena lakini wakachukua na kifaa kingine kidogo dog hicho na chenyewe kisomi lakini kina mchumba hakijaolewa n)bado, hicho kimeuaingia ukibuki kindakindaki, hakishindwi kutu hicho kina jucchu wa mali kiwe kama wenzake. Kinafanya kazi nzuri tu benki huko.

Mimi; Endelea, nakusikiliza.

Jini 1; Wangeshindwa kumuingiza Meneja jana wangejua Menneja ni shoga. Lakini huyoi kijana ni mzima 100% hana ushoga hata kidogo, sema ni mgtu wa kazi zake na ana mchmbake mzungu, wanachobishana kuoana m0ka sasa ni dini zao tu, yule mzungu haamini Mungu, huyu ni Muislam safi kabisa, usimuone hivyo. Meneja ni sala tano huyo.
Mimi; Sasa sala tani unasema jana kachukua huyo Mngazija?
Jini 1; Tena jana uliwaniwa wewe, ungeenda na wewe ungeondoka japo na mmoja wao. Bahati yako hujaenda.
Mimi; Na nyie mngeachia nifanye uasherati?
Jini 1; kama humuogopi Mwwenyezi Mungu utatuogopa sisi? Wala hatukuingilii mambo yako binafsi. Sio kazi yetu. Kazi yetu ni kukusaidia kwenye elimu anayokupa Arsis, basi. Kama chuoni huko mnaita "teaching assistants".
Mimi: lakini nikwambie kitu, Maneja hata mimi nilikua nawaza mbona huyu kija naananialika sana kwake, isije kua shoga huyu. Sijaliona baya kwake Mwenyezi Mungu ansamahe lakini ile kuona hana mke ana ana kazi nzuri na anavonialka kwakemuda wowote ule, nikawa najiuliza kimoyomoyo.
Jini 1: Uiwe kabisa na dhana mbaya kwa yeyote Simba, hayo ni mapoungufu makubwa kibinadam, kua na fikra hasi kwa wengine. Fikiri chanya kama babu yako, hata na babako. Huoni babako?
Mimi; kafanya nini?
Jini 1; Tazama mfani mzuri Mshikaji wako, mtaa mzima wanamuona mlei, mvuta bangi, hafai kazi yoyote. babako kamchukua kidogo kidogo kama alivyo, hata wewe hujawahi kumkaribisha kwenu mpka ulipoona babako anamkaribisha kila siku asubuhi kunywa nae kahawa, kaenda nae taratibu bila kumfikiria hasi, mpaka sasa yule anajisu mbele za watu kua yeye ndio tester mkuu wa garage yenu. Unajua garege yenu ina jina kubwa tanzanaia nzima, hakuna asieijua, kuwa tester wa magari gereji yenu sio kitu kidogo.
Mimi; Sijafikiria kihivyo.
Jini 1; Unafikir bila babako kumweka karibu yule angekua kama alivyo sasa. Na sasa hivi toka siku aliotoka pajero kulewa, na yeye alikua kishapunguza kunywa, hgajanywa tena pombe, hatoki kweli msikitini. Unatakiwa na weewe uwe vile.
Mimi; Kama hivyo basoi wale gereji nzima, baba kawaketa kwa mazingoira ya kama mshikaji wangu, mpaka huwa namshangaa.
Jini 1; Usimshangae, ni mtu mwenye mawazo chanya yule, kama babu yako, huo wake ni urithi wa asili wa babu yako, wewe usikirie watu mabaya mpka uyashihidie kwa mwacho yako, hata ukiambiwa na mtu huyu hivi huyu vile, uasikubali mapoaka uyaone au akugfanyie wewe. Umenielewa?
Mimi; Hilo halielewa sana. Basi mawazo tu.
Jini 1; Meneja yupo mpweke sana, wewe kaona kama kapata rafiki wa kua nae karibu, ungeenda alipokuambia uende kwake, angefunguka mengi sana, hana pa kuyatolea. Si unaona alishaanza kufungiuka mambo yaliokua ynawasibu hotelini, sasa yale kakupa kijuuu juu tu, chukua muda uongee nae.
Mimi' Nilikua nafikiria niondoke leo, kazi ya babu si imeisha?
Jini 1; Babu yako wala sio kazi yake ile, alikua anataka wewe uione dunia, wewe umepewa wiki moja, kaa Simba, mimi nakushauri usiwe na haraka ya kwenda Dar. kaa mpaka umalize siku zako.
Mimi; Wacha nibaki leo, kesho Jumatatu, kazi kibao huko. haya Jini q lo nipo, nitaongea na Meneja, ngoja nimepigie nijiweke karibu nae.
Jini 1; Utafanya la maana sana, yule ni kijana msomi halafu ni mwema sana kupigta maelezo. Ukita kujua kama yule ni mwema habu mseme vibaya kwa wagfanya kai wa hapa Hoteli, wa zamani na wapya ujionee mwenyewe.
Mimi; Haya Jini 1 kwaheri.

Jini 1 akaniga akafyungu mlango akatoka. Mimi saa hiyoi hiyo nikapiga simu resepshen nikawaambia ngtaka kuongea na meneja anipigie, maana nilikua sijawahi kumtafuta. Haija poita hata dakika tani Meneja akanipigia. Baada ya kusalimiana pale.
Meneja; Simba, kwema?
Mimi; Kwema, Meneja, leo Juampili unafanya kazi?
Meneja; Hizi kazi za Hoiteli weekend ndio tunakua kazi sio mchezo lakini mi nimeamua nipumzike leo, wapo maassistanyt wangu wakihitaji msaada wananipigia, nawazowesha wao wa handle mambo wenyewe. Niiwadekeze sana. Unfanya nini Simba?
Mimi; Si naongea na wewe na simu?

Meneja akacheka ssna, yaani unaplan gani?
Mimi; Nilikua ina plan isipokua ntaka kwenda mjini nikaonane na Shekh... mwenyeji wangu.

Maneja' kama haiuna cha kufanya njoo basi kwangu tule wote hukuhuku, leo wageni wale watakula huku kwangu, chakula hicho hichi cha hoteli kitaletwa huku, njoo tuwe pamoja, Njoo sasa hivi usikae kae sna chumbani peke yako.
Mimi" Mbona niliytoka nika beach kwa muda, nikaona jua lali z)sana nikarudi ndani. Nakuja. Nawaambia resepshen wanioneshe, sijawahi kuja huko.
Meneja; Okay safi sana, nakusubiri, kahawa nyingi huku, najua unapenda kahawa. Njoo uniokoe huku, nazama.

Nikasikia kama sauti ya kike kwa mbali kabla hajakata simu, mimi ndio nishazama kwako. Nikaona ndio yeleyele. Nikatoka kufika resepshen nikawaambia naomba wanipeleke kwa meneja wakanambi sasa hivi kapi simu, yiule dada anausubiri akaupeleke. Nikamuona yule dada wa Kikenya nikamsalimia, Akanambia twende Mr, Simba. Nikamwabia sijazowea hivyo.
Mkenya: Hujazowea nini Mr. Simba?
Mimi Hio Mr. Simba, odoa Mr. sijazowea kitwa hivyo, niite Simba tu.
Mkenya; Wewe kama biss wetu, hataki kuitwa Sir au Boss, au anasema tumuite Meneja tu inatosha. Nyie Watanzania mpo tofauti sana na sisi.
Mimi; Kwanini? Huku hamna mambi ya ubosi, ukimuona ssistant manager hapa Mkennya yupoi hapa, huyo ni bossy kuliko Meneja wetu. Hivi Mr. Simba Meneja wetu ndugu yako kivipi?
Mimi; Watanzania wote ni ndugu.
Mkenye: You aer not blood related?
Mimi: We are, hata na wewe, we all have blod. Sio blood related hio?
Mkenya; Hio it makes a lot osense, sihai sikio hio. now I know. Kwa hio na mimi ni ndugu yako?
Mimi Ndio, tena wa damu kabisa.

Binti wa kikenya akacheka sana, ikawa tumefika kwa Meneja, ni n-yumba kubw, nzuri, ya kisasa kabisa, kabala hatujaingia katoka yeye ,mlangoni. Simba, karibuni karibuni sana. leo nimefurahi na Martha kaja kwangu.
Mkenya: Boss, mimi nimemleta mr. Simba tu, nipo na kazi nyingi unless mnataka kunipa kazi yoyote hapa?
Meneja; Haoana Martha niliona mmenitembelea kwangu wote. karibuni.
Martha: Mimi narudi basi Biss, Mr. Simba ahsante sana.

Akageuza akarudi zake, Meneja akanikarinisha ndani, ingawa pale nje kulikua na varanda nzurri kuna viti na meza nzuri na nyumba inatazama bahari, binafsi ninge prefer kukaa pale. Tukaingia ndani, sitting room nzuri ya kisasa kabisa, ipo simple, pembeni kuna bonge la schreen kama ncho 6o au zaidi hivi.

Maneja; Karibu Simba, kaa bwana nikuletee kahawa au sema unachopenda, kunakila ktu hapa. Hoteli wananipa priority, pia kuna mhudumu wa hoteli lakini mimi leo nimemwabia mpaka wakati wa kula tutampigia. Leo na serve mimi mwenyewe. Usijali.

Mimi; Kahawa tu. Nyeusi.
Meneja: Nggija nikufanu)*yie espresso, ku a coffee maker hapa, njoo jikoni utembee uone mali za hoteli wanazotujaalia, amka bwana.

Nikaamka nikafatana nae Jikoni, Dah, jiko lile la kisasa kabisa, lipo elegant sio kama majiko yetu. Lipo so neat Akaenda kwenye coffe maker akanionesha inavyofanywa, nikajisema huyu angejua kama nyumani kwangu ipo kubwa na ha kisasa kuliko hio asingehangaika, lakini inabidi ukae kimya tu.

Akachukua yeye kikombe kimoja akanipa na mimi kimoja tukaena kukaa sitrting room. nikmwqmbai Menje kwanini tusikae pale nje?

Meneja, hata mimi napapenda sana pale nje. lakini nimeona vibaya mgeni umekuja kwangu nikukalishe nje.
Mimi Usijali Simba, ile kunialika kwako ni faraja kwangu. Simba wewe sio mgeni wa hoteli, wewe ni mheni wangu binafsi.

Tulipoo kaa tu nje.

Meneja; Simba jana umenitosa tena, wale mabibi wangnibaka mpka nikaamua kuondoka na mheni wao mmoja, hivi yupo ndani chumba cha wageni kalala mpka asasa hivi, kalewa chakari na mabangi yale, kama mjini yule wahuni wangemfanya mdondo. Alikua na mwenake waili, mmoja Dokta huyo wamenambia katoea kwenu Dar, huyo hajalewa ka a huyu na mwenzake. Watakuja kula wote chakula cha mchana maana wale mabibie wanaondoka boiti ya mwisho leo. Muda huu huu watakuja. Imekua vizuri na wewe umekuja ujuane nao...

... Niwasgtukia plan yao nikamlenga hjuyu alielewa, nikamuongeza vunuwaji akawa chakari, nikaja nikamtupa chumba cha wageni, hivi kishaamka lakini ana ma hangover nimempa maji ya madafiu ndimu yatamasaidia kupata nguvu haraka, Ukienda huko ndani hata wewe atakubaka. Kitu cha kwanza kuamka kaanza na bangi. Ni hatari sana, mwanamke mzuri kama tende lakini mambi yake sijaamini. Sasa wale wanafikiria mwanamme kwa kua mwananmke mzuri basi utalala nae tu? hawajui kuna maradhi makubwa makubwa. Mimi Simba nione hivihiviu huu ujinga wa uamalaya mimi sina kabisa, nikitaka hapoa Hoteli kuna kila aina ya wanawake, lakini nitajibu nini kwa Mwenyezi Mungu?
Mimi; Kwanini huoi, majaribu yatakushinda.
Meneja; Mimi nipo njiani kuoa hivi karibuni, machumba wangu hivi sasa anausoma Uislam na umeshaanza kumuingia, anytime atasilimu tuoane. Kwana tumekubaliana nae, yeye anaacha mamboi yake yote na mimi naavha mambo yangu ypote lakini mpaka asilimu tuoane. Alikua hajui kabisa kuhusu Uislam. Wazazi wake ni Wakrisgto lakini wale wasiofata mamboi a Kiimani na yeye kaamua haamini Mungu, anaishi ishi gtu, mpaka nilivyjuana nae mimi akashangaa sitaki kulala nae, nikampa sababu azangu akasema kwa mara ya kwanza anasikia sababu kama hizo, wanaume ewote waliomfukuzia, wnachotaka ni ngono tu. Alishangaa sana. MNilipomwanbia mimi natamani sana kulala nae lakini naogopa Mwenyezi Mungu, yule binti akawa vetry interested, ndio tukawa biyfriend na girl friend mpaka nilivyopata kazi kenya, mimi nilianzia hizi kazi Ulaya, Simba, halafu nikaona tangazo hulo Ulaya kuna hoyeli Kenya wanahitaji manager, nika aplly nikaku balika, nikagfanya kazi Kenya. Nikaletwa hapa.
Mimi; Wene hoteli hii wanayo Kenya pia?
Meneja; Sio hivyo, hii hoyeli ya watu wengie ya kenya watu wengomne, wenye hoteli hizi hawajuani kabisa, mimi hata wakija siwajui mpka nijulishe. Sisi n magement company kubwa gtu i[o Ulaya, inapewa mkataba wa kuendesha hoteli, inakua chini yetu kwa kila kigtu kiuiendesha, mpaka wagteja marketing inafanya kampuni yetu, mimi nipomupande wa managemnet ya hoteli yenyewe lakini mambo meng yana eataalaam wake kwangfu yanapitiua tu, nayasimamia.
Mimi: hapo umenishanganya sana. Kwa hio wewe sio mfanyakazi wa hii hiteli?
Meneja; Mimi sio mfanya kazi wa hili jengo la hoteli, mimi ni mfanya kai inayolihudumia hilo jengo kwa kila kitu. Hao waliolijenga hili ni wawekezaaji wanaoelewa wakishalijenga nani ayalihudumia, sio wao wanaolihiudumia na si kampuni yangu iliolijenga ingawa inawezekana wawekezaji walikua na mwasiliano na kampuni yangu waje namna gani, kwa kua kamuni yangu ia uzoefu mkubwa wa mahoteli ya kitalii duniani. Unajua mfano umeasikia Sheraton?

Mimi; Ndio nimewasikia wana hoyeli yao Dar.
Maneja; Si unaona, lile ni jina tu, sio hoteli yao ile, wao wanaiendesha tu, lile jengo mwenyewe Mtanzania. Haagta hii yetu ukiambiwa kua nWazanzibari wanaimiliki usishngae ingawa mimi sina uhakika. Lakini mara nyingi hawa wawekezqji wa nje lazima wae na partner local.

Mimi; Kwa hi Sherati ni kampuni ya kuendeha hoteli tu i jengo lao?
Meneja; Ndio, pia Sheraton wao wamejikita hoiteli za wafanya biashara zaaidi, sisi za kitalii. Zipo kam[uni nyingi tu zinashondana, mimi kapuni yetu ikaona Zanzibar ni nyumbani nije kuamsha amsha wakati wa off season hoteli isiwe tupu, ndio tuna bei, siri lakini simba, za off season za season na za wenyeji. Wenyeji wao bei zao ni hizo hizo iwe season au off season. Nashukuru Zanzibar toka nimeleywa tumefanikiwa sana kwa hilo, sema wachawi ndio wlitaka kuturudisha nyuma.

Mimi; Nifahamishe kwenye hilo lakini kwanza nipate kahawa kikombe kikubwa hii esspesso ndogo sana.

Ngoja nikatie nikamgtazame na yuk)le pashkuna kama yupo macho aje kupigwa na upepo nje huku.

Meneja akaingia akafanya kahawa faster, akanipa kikombe kikubwa akakaa akasema sasa hivi nimechemsha maji ya moto ukitaka kuonhge za)sema, sakika moja tu kawahawa inakua tayari. Huyo mwanamke nimetimua kaingia kukoga naona madafu na ndimu vimemweka sawa kidogo akili imemrudia.

Meneja; hapa hoteli kulikua na uchawi toka pemeb tatu to)fauti, kwa mujibu wa yule mzee wa Tanga niliojulishwa na babu yako, alukuja siku moja tu akaondoka, kagoma kabisa kukaa, tena aligoma kabisa kuftwa bandarini, kaema anapajua atakuja mwenyewe mapema, baisi kumi na mbili asubuhi nikastuliwa kuna mgeni wangu, mpka sita machana kamaliza kazi akasema anawahi bogti ya jioni kurudi kwake. Tukamlazimisha apelekwe na gari ndio akakubali kwenda nayo, alitaka kuondoka kwa miguu akapandie gai mbele huko.

Mimi; Alfajiri kafika hapa kumi na mbili kuna boti gani?
Maneja; Nilimuuliza hilo, akasema yeye kaja toka jana, akaona aje kuanza hii kazi alfajri hakutaka kusumbua watu usiku.
Huyo mzee ndio akanambia haoa kuna uchawi umetoka penda tatu tofauti.

Mimi; Kazi kweli kweli.

Wakati ananihadithia nikajua huyo Bakora kaja kama mtu.

Meneja; Basi Mzee yule bwana akasema amekwisha hayo hayarudii tena, akatraka moto kwa wingi kwenye jiko alikua na kapu lake ina majaini majani na mizizi mingi tu, akaingia na jiko vyumba vyote kika sehemu akawa anachoma majani na miti, moaka nyumba zote hizi za stfaff akazunguka zunguka mwenye baharibni na nyuma vichakani huko aliporidi akasema kamaliza kazi.
Mimi; Pembe tatu vipi, huo uchawi?
Maneja; Akasema kuna uchawi wa wenyeji waliokua wnaishi hapa jirani walionunuliwa mashamba yao na hawa waliojenga hoteli. Kuna walionyimwa partnership ya hii hoteli na kuna vibwengo bilivyokua hapa pwani, bimeona kama vimeingikwa na mapepo mengine. Ka hio wote walikua wanapiga vita pasifanyike kai hapa labaki gofu tu ndi o wenye kuendelea na mambi yao waendelee na wale walionyimwa partnerhip wamliona kama wao wamekosa baso wakose wote, ndio hayo bwana simba alionie;leza yule mzee.
Mimi; Yakuingia akilini hayo?
Meneja; Sana tena, maana toka aondoke na akatuachia leli ka[u mizizi na majani hyaliobaki akatuambia likotokea tukio lolote nyie chomeni gtu lilipotokea. Basi lile ka[u madawa yale yulimalizia beach huku, ndio matukio yalibaki baki mara moja moja sas hakuna kabisa, zaidi ya mwaka.
Mimi: Matukio gani?

Kabla Meneja hajajibu tukasikia hodi hodi jamani, yule Martha alikua kawaleta wageni yale maanti na wengine wawili

...
 
Nikaanza kuona watu wapo uchi kabisa, nikaanza kuona viumbe vya kiajabu ajabu, ambavyo sio binadam kabisa,
1)Ni viumbe gani hivyo,majini au ni nini?
2)Unaweza kutupa taswira ya hivyo viumbe japo kidogo nasi tutengeneze walau picha za hao viumbe mawazoni
 
Baada ya breakfast nikatembea kidogo baharini huku nawaza yaliopitika jana, nawaza alivyonambia Jini 1, nikawa na maswali mengi kuliko majibu, nikamuita Jini 1 wakati natembea tembea baharini, haijapita muda nikaona mwanamke ananipungia mkono kutoka kibanda kimoja cha wazi kilichopo ufukweni, kutazama vizuri nikaona ni Jini 1. Nikaenda alipo,.

Jini 1; Umeniita nile upepo wa bahari?
Mimi; Hapana, kuna mengi nawaza kuhusu kisa cha jana na ulionambia kuna vitu havijaniingia akilini.
Jini 1; Vipi tena hivooo?
Mimi; Leo unaongea Kiunguja?
Jini 1; Si nipo Unguja?

Hiki kijini kilikua kinapenda sana utani, ndio kawaida yake.
Mimi; Mbina upo beach hujavaa kama ki beach beach kama wazungu?
Jini 1; Hao wamevaa au wapo tupu? Mie mamboi hayo siyawezi, kwanaza hapa tulipo unaeniona peke yako na vibwengo tu. hao unaosema wazungu unafikiri wote watu hao? Vingine vijini vyua kishetani hivyo, vitazame vizuri Simba, wewe unaweza kuvijua ukitaka mwenyewe.
Mimi; Kivipi?
Jini 1; Kwani jana ulijuaje kuna vijini vya kibuki ka[achikwa navyo dokta palepale kwa Bi S?
Mimi; Hilo swali langu moja nilitaka kukuuliza, ilikuaje nikamwabia Bi S. Aviondoe vivuli vyake alivyompachika navyo Dokta palepale shughulini?
Jini 1; Ndio maana nakwambia, wewe iuliviona kweli, nyenzo unayo kidoleni huitumii,, hata hapa ukitaka kuviona, wewe jifiche tu utayaona mengi, lakini ngoja gtumalize maswali yako kwanza, maana hata nitakua sikuoni bali najua kama upom hio teknolojia yako uliopewa kwenye hio pete ni kubwa sana, ya kimataifa hio.
Mimi; Na wewe unajua teknolojia?
Jini 1; Hivi wewe kunikuta pangoni kwa babu yako kule ukadhani mimi ni mshamba sana? Mwwenzako nimeenda shule mimi. Unafikiri Arsis andenipa kazi ninhgekua mbumbumbu? Usitake niseme mengi, hayo yana siku yake.
Mimi; Nyie wacheni vituko, kila tukikutana mnaniongezea maswali badala ya kumaliza nilonayo.
Jini 1; Hio kawaida, kwa sababu hutaki kujifunza haraka haraka kuhusu dunia isioonekana, lakini Arsis anasema twende mwendoo huu huu hatujachelewa. Sasa hivi unayaju mengi sana lakini hujiamini tu. Unaona kama unafikiri tu unayajua, unayajua kweli.
Mimi; Hilo moja la vivuli, kweli nillikua naviona kwenye ile shughuli, nilikua naona watu watatu watatu wengine wawili wawili, lakini ni mtu yule yule, ilikua nini ile?
Jini 1; Ndio vivuli vyenyewe hivyo, hivyo vijini ulikua unaviona, wengine wanaita mapepo. Vikitumwa kwa mtu au vikiwepo kwa mtu vinakua kama vivuli vyake, ndio ukisikia mtu anaambiwa wewe una majini wattu, wewe una wanne, ndio hivyo vizuli. Wengine wanakua na jeshi zima, utawaona tu.
Mimi; Hilo nitalielewa si umenambia nyenzo ninayo, halita nipa shida. Lakini nataka unifahamishe zaidi kuhusu picha ulizosema Bi S na ndama walikua wanazona za Simba.
Jini 1; Ningeshangaa sana usingeuliza hilo. Wale walikua wanaona Simba kama wa kweli kabisa, kila kitu, hio mbona ni teknolia ndogo sana. Arsis kai master hio, hio hata majini wajinga wajinga wa kichawi kama wale hawaielewi kabisa. Wewe ukiwa na Arsis muulize akuelekeze kwa kina, akikuelekeza hata wewe utaifanya, kifaa cha mawasiliano unacho. Aaha usinisemeshe mengi.
Mimi; Leo na taarabu unaimba?
Jini 1; Jana ungeenda disko unge enjoy kulikua kuna kibendi cha watu watano cha taarabu, wakisimama disko inapigwa taarabu. Umekosa bure kwenda. Dokta jana kajiwachia huyo, sio kawaida. Mcheo nini kupata millioni 5 usizozitarajia? Tena Mwenyezi Mungu kakulinda hujaenda, maana wale mabibi na yule Daktari wenu na hivyo ipashkuna vyua kishua walivyokuja navyo visingekuwacha. NIkupe umbeya? Dokta jana uzalendo umemshinda kaondoka na kimoja, hivi leo hata kutoka kwake hajatoka, anakwanda na kipashkuna cha kishua, unafanya mchezo wewe na Wangazija wakitaka lao? Sema nikwambie Simba.
Mimi; Daa, hii habari kwanza imenifurahisha lakini inaanza kunipa maswali mengi. Ngoja niende chumbani kwangiu, oipe nusu saa uje, wacha nijifikirie kidogo.
Jini 1; Sawa anakuja, kwaheri.

Akanyanyuka akatembea kama anaelekea hoteli, nikasema ngoja nijaribi alichonambia. Kuificha pete nikatazama wazungu walikua sio mbali na mimi huku nawasogele, nikaanza kuona vivuli, tena nadhani leo kwa kua nilikua natarajia kuona kitu nikaona cllea kabisa, kua waziungu walikuwa wamekaa wanne lakini watu ni wawili tu, mwanamke na mwanamme, wawili wengine walikua wanawake wote wa kijini lakini wazungiu. Hawa ndio wanaonesha wai kabisa sio watyu wa kawaida. Nikapata swali la kuuliza, nikasogea mpaka karibu yao kabisa, nikaona hakuna alieniona kabisa, nikaelekea zangu hoytelini huku kama siamini amini ninchokishuhudia.

Nikaingia ndani, nikaenda kukoga kwanza, nikakaa nikapiga piga simu kwa wife na mzee, wa mwisho nikampia Babu. Baada ya kusalimina pale.
Babu; Vipi Simba, kwema Unguja?
Mimi; Kwema si kwema babu.
Babu; Kuna nini tena?

Nikamweleza mkasa wote mpaka nilivyoongea na Jini 1. Babu kanisikiliza, nilivyomaliza kaanza kucheka.
Babu; Mie naongea na wewe safari yako hii, unanicheka?
Babu; Nimefurahi Simba, umeanza kukomaa. Sasa hayo yote ungeyapata wapi ungekaa kwenye magari tu Ilala?
Mimi: Yantisha babu, sio mchezo. kama hawa wazungu nilioona hapo beach.
Babu; Hivyo vijini vyao vichafu vinakua nao hay))ta hawajijui kama wanavyo, vipo vingi hivyo, karibu kila mtu anavyo hivyo. Hicho kipimo tu. Lakini Simba sio kua umejua hilo ukafanya mchezo, kuna vitu vingine vinatisha kweli kweli, hukuona siku zile unakuja ule mti wa Bakora?
Mimi; Nakumbuka sana babu.
Babu; Sasa hio yako ni zaidi ya mti, maana una control mwenyewe. hio mwenyewe utajua wapi pakuitimia na wa[i usiitumie. Umenielewa?
Mimi; Nimekuelewa babu.
Babu; Usiohgope Simba, hakuna zaidi, wewe sasa kaaa utembee Unguja uione kote, usiwe na haraka ya kurudi Dar, una siku nne sijui tatu bado hoteli hapo.
Mimi; Nilikua nafikiria niondoke leo.

Babu; Uoga tu ulikushika, kaa siku moja au mbili nyingingine bila kazi yoyote, ndio utaiona Unguja.
Mimi; Nitatazama babu. Hay ahsante babu, umenitia nguvu kidogo, kwaheri.
Babau: Anytime Simba.

Nikawa nipo relaxed kidogo, sijakaa sana kuwaza mlango ukagongwa, nikajua Jini 1 huyo, nikamwambia ingia. najua yule mlangfo haumzuii kuinhgia, basi mimi kuna siku nilimwabia Dar awe anakuja kwa kunijulisha asinijie ghafla tu, imechukua mara mbili tatu kuzoea. Siku hizi akija ananigongea au ananipigia simu, haji kwa kunistukiza tu.
Jini 1; Nusu saa ishapita muda, nilikua nangoja umalize simu yako. Nilikuja nikaona unaongea na simu nikaondoka.
Mimi; Sasa mimi sina siri kwenu?
Jini q; Unazo tena sana, mimi ulinambia tuonane baada ya nusu saa, nimekuja unaongea na simu, sasa nikae kusikiliza maongezi yako? Nimekuacha umaliza wala sijui ulichokua unakiongea. Simba niamini, mimi naweza kuwachunguza wengine, wewe siwezi kabisa, wewe ni boss wangu na una uweo wa kujua nipo au sipo bila mimi kukwambia siwei kuja kwa siri bila wewe kujua.
Mimi: Okay endelea ulikua unanieleza ya Meneja.
Jini 1; Si ndio hivyo nilivyokueleza, Juai wle mabini walileta vifaa vingine wakaona Dokta hana habari navyo leo wamekileta hicho kwa kazi hio tu wanefanikiwa ushetani wao.
Mimi; Hapo ndio sijaelewa.
Jini 1; Sikiliza hawa wanawake wenye vibuki wana poesa nyingi sana, wana mabishara makubwa makubwa wana majumba wanapangisha ni watu wakujifaharisha sana. Mali zao wanachuma kutokana na kutumia hivyo vijini vyao vya kibuki, hao wanahakikisha wanawtia mikononi wanaume wenye pesa na makazi makubwamakubwa kupitia wake zao au mahawara zao na wanawatumia hawa vibuki wapya kama Dokta, sasa juzi walimleta Dokyta wakaona hyu hajakaa sawa mpka sherehe yake iishe, mw)ingawa alikuja nao lakini alikua hana raha kabisa, mpaka akzi iliomlta Unguja iishe, kwa hio hawakufosi. sasa jana wkajua kai ake imeisha na sasa ni mwenzao wakaja nae tena lakini wakachukua na kifaa kingine kidogo dog hicho na chenyewe kisomi lakini kina mchumba hakijaolewa n)bado, hicho kimeuaingia ukibuki kindakindaki, hakishindwi kutu hicho kina jucchu wa mali kiwe kama wenzake. Kinafanya kazi nzuri tu benki huko.

Mimi; Endelea, nakusikiliza.

Jini 1; Wangeshindwa kumuingiza Meneja jana wangejua Menneja ni shoga. Lakini huyoi kijana ni mzima 100% hana ushoga hata kidogo, sema ni mgtu wa kazi zake na ana mchmbake mzungu, wanachobishana kuoana m0ka sasa ni dini zao tu, yule mzungu haamini Mungu, huyu ni Muislam safi kabisa, usimuone hivyo. Meneja ni sala tano huyo.
Mimi; Sasa sala tani unasema jana kachukua huyo Mngazija?
Jini 1; Tena jana uliwaniwa wewe, ungeenda na wewe ungeondoka japo na mmoja wao. Bahati yako hujaenda.
Mimi; Na nyie mngeachia nifanye uasherati?
Jini 1; kama humuogopi Mwwenyezi Mungu utatuogopa sisi? Wala hatukuingilii mambo yako binafsi. Sio kazi yetu. Kazi yetu ni kukusaidia kwenye elimu anayokupa Arsis, basi. Kama chuoni huko mnaita "teaching assistants".
Mimi: lakini nikwambie kitu, Maneja hata mimi nilikua nawaza mbona huyu kija naananialika sana kwake, isije kua shoga huyu. Sijaliona baya kwake Mwenyezi Mungu ansamahe lakini ile kuona hana mke ana ana kazi nzuri na anavonialka kwakemuda wowote ule, nikawa najiuliza kimoyomoyo.
Jini 1: Uiwe kabisa na dhana mbaya kwa yeyote Simba, hayo ni mapoungufu makubwa kibinadam, kua na fikra hasi kwa wengine. Fikiri chanya kama babu yako, hata na babako. Huoni babako?
Mimi; kafanya nini?
Jini 1; Tazama mfani mzuri Mshikaji wako, mtaa mzima wanamuona mlei, mvuta bangi, hafai kazi yoyote. babako kamchukua kidogo kidogo kama alivyo, hata wewe hujawahi kumkaribisha kwenu mpka ulipoona babako anamkaribisha kila siku asubuhi kunywa nae kahawa, kaenda nae taratibu bila kumfikiria hasi, mpaka sasa yule anajisu mbele za watu kua yeye ndio tester mkuu wa garage yenu. Unajua garege yenu ina jina kubwa tanzanaia nzima, hakuna asieijua, kuwa tester wa magari gereji yenu sio kitu kidogo.
Mimi; Sijafikiria kihivyo.
Jini 1; Unafikir bila babako kumweka karibu yule angekua kama alivyo sasa. Na sasa hivi toka siku aliotoka pajero kulewa, na yeye alikua kishapunguza kunywa, hgajanywa tena pombe, hatoki kweli msikitini. Unatakiwa na weewe uwe vile.
Mimi; Kama hivyo basoi wale gereji nzima, baba kawaketa kwa mazingoira ya kama mshikaji wangu, mpaka huwa namshangaa.
Jini 1; Usimshangae, ni mtu mwenye mawazo chanya yule, kama babu yako, huo wake ni urithi wa asili wa babu yako, wewe usikirie watu mabaya mpka uyashihidie kwa mwacho yako, hata ukiambiwa na mtu huyu hivi huyu vile, uasikubali mapoaka uyaone au akugfanyie wewe. Umenielewa?
Mimi; Hilo halielewa sana. Basi mawazo tu.
Jini 1; Meneja yupo mpweke sana, wewe kaona kama kapata rafiki wa kua nae karibu, ungeenda alipokuambia uende kwake, angefunguka mengi sana, hana pa kuyatolea. Si unaona alishaanza kufungiuka mambo yaliokua ynawasibu hotelini, sasa yale kakupa kijuuu juu tu, chukua muda uongee nae.
Mimi' Nilikua nafikiria niondoke leo, kazi ya babu si imeisha?
Jini 1; Babu yako wala sio kazi yake ile, alikua anataka wewe uione dunia, wewe umepewa wiki moja, kaa Simba, mimi nakushauri usiwe na haraka ya kwenda Dar. kaa mpaka umalize siku zako.
Mimi; Wacha nibaki leo, kesho Jumatatu, kazi kibao huko. haya Jini q lo nipo, nitaongea na Meneja, ngoja nimepigie nijiweke karibu nae.
Jini 1; Utafanya la maana sana, yule ni kijana msomi halafu ni mwema sana kupigta maelezo. Ukita kujua kama yule ni mwema habu mseme vibaya kwa wagfanya kai wa hapa Hoteli, wa zamani na wapya ujionee mwenyewe.
Mimi; Haya Jini 1 kwaheri.

Jini 1 akaniga akafyungu mlango akatoka. Mimi saa hiyoi hiyo nikapiga simu resepshen nikawaambia ngtaka kuongea na meneja anipigie, maana nilikua sijawahi kumtafuta. Haija poita hata dakika tani Meneja akanipigia. Baada ya kusalimiana pale.
Meneja; Simba, kwema?
Mimi; Kwema, Meneja, leo Juampili unafanya kazi?
Meneja; Hizi kazi za Hoiteli weekend ndio tunakua kazi sio mchezo lakini mi nimeamua nipumzike leo, wapo maassistanyt wangu wakihitaji msaada wananipigia, nawazowesha wao wa handle mambo wenyewe. Niiwadekeze sana. Unfanya nini Simba?
Mimi; Si naongea na wewe na simu?

Meneja akacheka ssna, yaani unaplan gani?
Mimi; Nilikua ina plan isipokua ntaka kwenda mjini nikaonane na Shekh... mwenyeji wangu.

Maneja' kama haiuna cha kufanya njoo basi kwangu tule wote hukuhuku, leo wageni wale watakula huku kwangu, chakula hicho hichi cha hoteli kitaletwa huku, njoo tuwe pamoja, Njoo sasa hivi usikae kae sna chumbani peke yako.
Mimi" Mbona niliytoka nika beach kwa muda, nikaona jua lali z)sana nikarudi ndani. Nakuja. Nawaambia resepshen wanioneshe, sijawahi kuja huko.
Meneja; Okay safi sana, nakusubiri, kahawa nyingi huku, najua unapenda kahawa. Njoo uniokoe huku, nazama.

Nikasikia kama sauti ya kike kwa mbali kabla hajakata simu, mimi ndio nishazama kwako. Nikaona ndio yeleyele. Nikatoka kufika resepshen nikawaambia naomba wanipeleke kwa meneja wakanambi sasa hivi kapi simu, yiule dada anausubiri akaupeleke. Nikamuona yule dada wa Kikenya nikamsalimia, Akanambia twende Mr, Simba. Nikamwabia sijazowea hivyo.
Mkenya: Hujazowea nini Mr. Simba?
Mimi Hio Mr. Simba, odoa Mr. sijazowea kitwa hivyo, niite Simba tu.
Mkenya; Wewe kama biss wetu, hataki kuitwa Sir au Boss, au anasema tumuite Meneja tu inatosha. Nyie Watanzania mpo tofauti sana na sisi.
Mimi; Kwanini? Huku hamna mambi ya ubosi, ukimuona ssistant manager hapa Mkennya yupoi hapa, huyo ni bossy kuliko Meneja wetu. Hivi Mr. Simba Meneja wetu ndugu yako kivipi?
Mimi; Watanzania wote ni ndugu.
Mkenye: You aer not blood related?
Mimi: We are, hata na wewe, we all have blod. Sio blood related hio?
Mkenya; Hio it makes a lot osense, sihai sikio hio. now I know. Kwa hio na mimi ni ndugu yako?
Mimi Ndio, tena wa damu kabisa.

Binti wa kikenya akacheka sana, ikawa tumefika kwa Meneja, ni n-yumba kubw, nzuri, ya kisasa kabisa, kabala hatujaingia katoka yeye ,mlangoni. Simba, karibuni karibuni sana. leo nimefurahi na Martha kaja kwangu.
Mkenya: Boss, mimi nimemleta mr. Simba tu, nipo na kazi nyingi unless mnataka kunipa kazi yoyote hapa?
Meneja; Haoana Martha niliona mmenitembelea kwangu wote. karibuni.
Martha: Mimi narudi basi Biss, Mr. Simba ahsante sana.

Akageuza akarudi zake, Meneja akanikarinisha ndani, ingawa pale nje kulikua na varanda nzurri kuna viti na meza nzuri na nyumba inatazama bahari, binafsi ninge prefer kukaa pale. Tukaingia ndani, sitting room nzuri ya kisasa kabisa, ipo simple, pembeni kuna bonge la schreen kama ncho 6o au zaidi hivi.

Maneja; Karibu Simba, kaa bwana nikuletee kahawa au sema unachopenda, kunakila ktu hapa. Hoteli wananipa priority, pia kuna mhudumu wa hoteli lakini mimi leo nimemwabia mpaka wakati wa kula tutampigia. Leo na serve mimi mwenyewe. Usijali.

Mimi; Kahawa tu. Nyeusi.
Meneja: Nggija nikufanu)*yie espresso, ku a coffee maker hapa, njoo jikoni utembee uone mali za hoteli wanazotujaalia, amka bwana.

Nikaamka nikafatana nae Jikoni, Dah, jiko lile la kisasa kabisa, lipo elegant sio kama majiko yetu. Lipo so neat Akaenda kwenye coffe maker akanionesha inavyofanywa, nikajisema huyu angejua kama nyumani kwangu ipo kubwa na ha kisasa kuliko hio asingehangaika, lakini inabidi ukae kimya tu.

Akachukua yeye kikombe kimoja akanipa na mimi kimoja tukaena kukaa sitrting room. nikmwqmbai Menje kwanini tusikae pale nje?

Meneja, hata mimi napapenda sana pale nje. lakini nimeona vibaya mgeni umekuja kwangu nikukalishe nje.
Mimi Usijali Simba, ile kunialika kwako ni faraja kwangu. Simba wewe sio mgeni wa hoteli, wewe ni mheni wangu binafsi.

Tulipoo kaa tu nje.

Meneja; Simba jana umenitosa tena, wale mabibi wangnibaka mpka nikaamua kuondoka na mheni wao mmoja, hivi yupo ndani chumba cha wageni kalala mpka asasa hivi, kalewa chakari na mabangi yale, kama mjini yule wahuni wangemfanya mdondo. Alikua na mwenake waili, mmoja Dokta huyo wamenambia katoea kwenu Dar, huyo hajalewa ka a huyu na mwenzake. Watakuja kula wote chakula cha mchana maana wale mabibie wanaondoka boiti ya mwisho leo. Muda huu huu watakuja. Imekua vizuri na wewe umekuja ujuane nao...

... Niwasgtukia plan yao nikamlenga hjuyu alielewa, nikamuongeza vunuwaji akawa chakari, nikaja nikamtupa chumba cha wageni, hivi kishaamka lakini ana ma hangover nimempa maji ya madafiu ndimu yatamasaidia kupata nguvu haraka, Ukienda huko ndani hata wewe atakubaka. Kitu cha kwanza kuamka kaanza na bangi. Ni hatari sana, mwanamke mzuri kama tende lakini mambi yake sijaamini. Sasa wale wanafikiria mwanamme kwa kua mwananmke mzuri basi utalala nae tu? hawajui kuna maradhi makubwa makubwa. Mimi Simba nione hivihiviu huu ujinga wa uamalaya mimi sina kabisa, nikitaka hapoa Hoteli kuna kila aina ya wanawake, lakini nitajibu nini kwa Mwenyezi Mungu?
Mimi; Kwanini huoi, majaribu yatakushinda.
Meneja; Mimi nipo njiani kuoa hivi karibuni, machumba wangu hivi sasa anausoma Uislam na umeshaanza kumuingia, anytime atasilimu tuoane. Kwana tumekubaliana nae, yeye anaacha mamboi yake yote na mimi naavha mambo yangu ypote lakini mpaka asilimu tuoane. Alikua hajui kabisa kuhusu Uislam. Wazazi wake ni Wakrisgto lakini wale wasiofata mamboi a Kiimani na yeye kaamua haamini Mungu, anaishi ishi gtu, mpaka nilivyjuana nae mimi akashangaa sitaki kulala nae, nikampa sababu azangu akasema kwa mara ya kwanza anasikia sababu kama hizo, wanaume ewote waliomfukuzia, wnachotaka ni ngono tu. Alishangaa sana. MNilipomwanbia mimi natamani sana kulala nae lakini naogopa Mwenyezi Mungu, yule binti akawa vetry interested, ndio tukawa biyfriend na girl friend mpaka nilivyopata kazi kenya, mimi nilianzia hizi kazi Ulaya, Simba, halafu nikaona tangazo hulo Ulaya kuna hoyeli Kenya wanahitaji manager, nika aplly nikaku balika, nikagfanya kazi Kenya. Nikaletwa hapa.
Mimi; Wene hoteli hii wanayo Kenya pia?
Meneja; Sio hivyo, hii hoyeli ya watu wengie ya kenya watu wengomne, wenye hoteli hizi hawajuani kabisa, mimi hata wakija siwajui mpka nijulishe. Sisi n magement company kubwa gtu i[o Ulaya, inapewa mkataba wa kuendesha hoteli, inakua chini yetu kwa kila kigtu kiuiendesha, mpaka wagteja marketing inafanya kampuni yetu, mimi nipomupande wa managemnet ya hoteli yenyewe lakini mambo meng yana eataalaam wake kwangfu yanapitiua tu, nayasimamia.
Mimi: hapo umenishanganya sana. Kwa hio wewe sio mfanyakazi wa hii hiteli?
Meneja; Mimi sio mfanya kazi wa hili jengo la hoteli, mimi ni mfanya kai inayolihudumia hilo jengo kwa kila kitu. Hao waliolijenga hili ni wawekezaaji wanaoelewa wakishalijenga nani ayalihudumia, sio wao wanaolihiudumia na si kampuni yangu iliolijenga ingawa inawezekana wawekezaji walikua na mwasiliano na kampuni yangu waje namna gani, kwa kua kamuni yangu ia uzoefu mkubwa wa mahoteli ya kitalii duniani. Unajua mfano umeasikia Sheraton?

Mimi; Ndio nimewasikia wana hoyeli yao Dar.
Maneja; Si unaona, lile ni jina tu, sio hoteli yao ile, wao wanaiendesha tu, lile jengo mwenyewe Mtanzania. Haagta hii yetu ukiambiwa kua nWazanzibari wanaimiliki usishngae ingawa mimi sina uhakika. Lakini mara nyingi hawa wawekezqji wa nje lazima wae na partner local.

Mimi; Kwa hi Sherati ni kampuni ya kuendeha hoteli tu i jengo lao?
Meneja; Ndio, pia Sheraton wao wamejikita hoiteli za wafanya biashara zaaidi, sisi za kitalii. Zipo kam[uni nyingi tu zinashondana, mimi kapuni yetu ikaona Zanzibar ni nyumbani nije kuamsha amsha wakati wa off season hoteli isiwe tupu, ndio tuna bei, siri lakini simba, za off season za season na za wenyeji. Wenyeji wao bei zao ni hizo hizo iwe season au off season. Nashukuru Zanzibar toka nimeleywa tumefanikiwa sana kwa hilo, sema wachawi ndio wlitaka kuturudisha nyuma.

Mimi; Nifahamishe kwenye hilo lakini kwanza nipate kahawa kikombe kikubwa hii esspesso ndogo sana.

Ngoja nikatie nikamgtazame na yuk)le pashkuna kama yupo macho aje kupigwa na upepo nje huku.

Meneja akaingia akafanya kahawa faster, akanipa kikombe kikubwa akakaa akasema sasa hivi nimechemsha maji ya moto ukitaka kuonhge za)sema, sakika moja tu kawahawa inakua tayari. Huyo mwanamke nimetimua kaingia kukoga naona madafu na ndimu vimemweka sawa kidogo akili imemrudia.

Meneja; hapa hoteli kulikua na uchawi toka pemeb tatu to)fauti, kwa mujibu wa yule mzee wa Tanga niliojulishwa na babu yako, alukuja siku moja tu akaondoka, kagoma kabisa kukaa, tena aligoma kabisa kuftwa bandarini, kaema anapajua atakuja mwenyewe mapema, baisi kumi na mbili asubuhi nikastuliwa kuna mgeni wangu, mpka sita machana kamaliza kazi akasema anawahi bogti ya jioni kurudi kwake. Tukamlazimisha apelekwe na gari ndio akakubali kwenda nayo, alitaka kuondoka kwa miguu akapandie gai mbele huko.

Mimi; Alfajiri kafika hapa kumi na mbili kuna boti gani?
Maneja; Nilimuuliza hilo, akasema yeye kaja toka jana, akaona aje kuanza hii kazi alfajri hakutaka kusumbua watu usiku.
Huyo mzee ndio akanambia haoa kuna uchawi umetoka penda tatu tofauti.

Mimi; Kazi kweli kweli.

Wakati ananihadithia nikajua huyo Bakora kaja kama mtu.

Meneja; Basi Mzee yule bwana akasema amekwisha hayo hayarudii tena, akatraka moto kwa wingi kwenye jiko alikua na kapu lake ina majaini majani na mizizi mingi tu, akaingia na jiko vyumba vyote kika sehemu akawa anachoma majani na miti, moaka nyumba zote hizi za stfaff akazunguka zunguka mwenye baharibni na nyuma vichakani huko aliporidi akasema kamaliza kazi.
Mimi; Pembe tatu vipi, huo uchawi?
Maneja; Akasema kuna uchawi wa wenyeji waliokua wnaishi hapa jirani walionunuliwa mashamba yao na hawa waliojenga hoteli. Kuna walionyimwa partnership ya hii hoteli na kuna vibwengo bilivyokua hapa pwani, bimeona kama vimeingikwa na mapepo mengine. Ka hio wote walikua wanapiga vita pasifanyike kai hapa labaki gofu tu ndi o wenye kuendelea na mambi yao waendelee na wale walionyimwa partnerhip wamliona kama wao wamekosa baso wakose wote, ndio hayo bwana simba alionie;leza yule mzee.
Mimi; Yakuingia akilini hayo?
Meneja; Sana tena, maana toka aondoke na akatuachia leli ka[u mizizi na majani hyaliobaki akatuambia likotokea tukio lolote nyie chomeni gtu lilipotokea. Basi lile ka[u madawa yale yulimalizia beach huku, ndio matukio yalibaki baki mara moja moja sas hakuna kabisa, zaidi ya mwaka.
Mimi: Matukio gani?

Kabla Meneja hajajibu tukasikia hodi hodi jamani, yule Martha alikua kawaleta wageni yale maanti na wengine wawili

...
...

Meneja; karibuni karibuni, leo baraka kubwa sana kwangu, kutembelewa na wahashemiwa na madaktari.
+Kusema vile nikatama vizuri nikaona na Dokta yupo nao, nisingemjua kabisa, kavaa jeans na T sirt panapa na viatu flani vya mikanda vipo flat kabisa mikanda myembembea sna akama hajavaa kiatu. katikezea huyo mpaka sahulu ikanishika.

H1; Na wewe Simba ndio nini kutifanyia hivyo, kumbe upo huku umejificha?
H2; Eeeh bwana wewe, jana tukakusubiri sana.
MNimi; Nilipata ujumbe wenu lakini jamani mimi sio mtu wa usiku, mimi kama kuku, ikigika saa tatu uasiku nipo hoi bin taabani, nilitamani kweli niwepo lakini suingizi haukuniruhusu.
H1; Tulitaka tukufate hukohuko chumbani kwako, bahar(ti yake Meneja akatuzuwia, akasema yeye yupo na sisi jana, ndio salama yako.
Dokta; Eeh Simba huyu huyu wa Dar yupo hapa? Au sio yeye huyu? Wallahi jana nilihisi nimeona mtu kama wewe lakini nikaona nimekuwaza tu, moyo haudanganyi, kumbe upo kweli Unguja.
Mimi: Kama ni dico basi itakua nilikuwepo kweli kwa ndoto, maana nilikua na hamu napo kweli, lakini nimelala fofofo, leo nimechelewa kuamka.
Dokta: Wala sijakuona hoteli, nimekuona mjini huko sehemu nyeti kweli kweli, lakini moyo tu ulikua unasema.

Mimi: Basi heri kubwa kama unaniona mpaka kwenye moyo wako. Habri za siku mbili tatu?
Dokta" Poa kabisa, nawasikia hawa mabibi wakitaja Simba, simba, simba yuko wapi, haikunijia kabisa kama ni wewe.
H1; Kumbe mnajuana.
Dokta; Kiasi tu, hivi hata gari langu lipo gereji yao. Tena alinambia yule dereva wenu, gari imetenhgezwa na babako iko poa kabisa, mwenyewe anavyomsifu babako, kaanza kumsifu nusu saa nzima ndio akanambia tatizo sio lile waliofikiria wao, babako kalitambua, ananambia sasa gari ipo bomba kuliko mpya. Mie nikajisemea moyoni kigongo cha kichwa hicho kinanisubiri. Bora nilivyokuona hapa Simba, msiniumize jamani.

Mimi; gari kama ipo gereji yetu usiytie shaka kabisa, tena ikiw mkononi kwa mzee ndio kabisa, Hatuchezi na mizani kabisa.

H1; Duni ya sas kwa oesa? tena gereji za magari, mimi ndio sitaki hata kusikia hawa mafundi.
Mimi; Leta gari zako kwetu, utafurahi na roho yako.
H1; labda uoe kwetu uwe mkwe wangu.
H2; Awe mkweo wakati jana usiku kucha unamtamani ulitaka kumfata ukambake chumbani kwake.
H1; Umekumbusha , kwa nza Meneja huyu mwanahizaya yuko wapi> Hapokei simu yake kabisa, bado anayo au kishaitupa? Jana meneja umejiopolea toto, la Kiunguja lipo chakari umelila kama samaki.
Maneja: Yupo ndani, pita tu alikua bafu nadhani kishatoka, akijua wewe upo hapa lazima aje. Ingia tu usijali, chumba cha mwisho kushoto, utamkuta.
H1 twendeni tukamchukue jamani.


Meneja; karibuni karibuni wageni, mpate kupajua na kwangu siku nyingine mkija masiwe wageni.
Akanyanyuka, njooni derinks zipo hukuhuku, njooni jamani, sikubali muishie nje. Wakanyanyka wakamfata, mimi nikabaki nje, nikaona bora ninyooshe miguu beach kidogo wakati wapo ndani, nikashuka chini kuelekea beach nikamwita Jini 1, maa na ndio sasa kawa partner wangu mkubwa wa umbea na kubadilishana mawazo.

Nikasikia naitwa, Simba, simba, kuteza ma namuona Jini 1 yupo beach kwa kulia yangu, nikampungia mkpno aje. akawa anakuja, na mimi nikatiugfa kibanda cha wazi kitupu nikaenda kukaa akaja.
Jini 1: Ungeniita hata bila kutoa sauti, kishike kito cha pete yako uniite naweza kuja hata kama kuna watu mia, na wote wasinione, nikaongea na wewe kwa kichwani tu, bila yeyote kujua kama tunaongea. Hio lakini kama unadharur tu, vizuri ni hivi ugfanyavyo siku zote.

Jini 1; Umeiona mitoto ya Kiunguja?
Mimi; Nimeiona; Inatisha.
Jini 1 wote wale vibuki, asie na mume ni yule yupo ndani tu, mzuri kuliko wote hawa, yule alinza kulewa toka kwa kibuki huko.
Mimi; na dokta ana mume?
Jini 1; Si ana mume wake wa kijini? Umesahau?
Mimi; Usinichanganye.
Jini 1; nikuchanganye nini sasa?
Mimi; Si mlisema anaweza kuolewa sasa?
Jini1; Ndio makubaliano yalivyuo, akipata mchumba aolewe na yeye hata msogelea tena. Lakini si bado jamani, sasa hata akaiwa na mchumba hawezi kumltea tabu tena, Chaza na Arsis wewe?
Mimi; Anayafanya Arsis hayo?
Jini 2; Unafikiri vibuki ynawahu su hayo, na yule mwarabu na yeye anagewekwa sawa na vibuki awaletee mali. Unafikkiri wamatibuliwa kidogo mipango yao? Wewe waone hawa wageni waliokuja, hawajui lolote wao kinacheondelea, roho yao ipo kwenye pesa na starehe tu. Na huyo mwengoine mwaka wa pili huu yupo nao, mke mdogo wa waziri huyo, waziri haoni hasikii hapo. Tena simtaji mpkam wakwambie wenyewe. Huyo kishajenga jumba la kifahari Unguja, sasa ana mipango ya kujenga hoteli ya kitalii, ndio maana namfayta fata sena Meneja amuelekeze, huyo ndio aliwajulisha hao mashkuna wa Dar kwa Meneja. Huyo yupo hapa hapa Unguja.

Mimi; Aah ndio maana Meneja alaisema leo ugeni mziti wa Waheshimiwa na Madota?
Jini; Itakua alimaanisha huyo pashkuna mwengine.
Mimi; Pashkuna tena?
Jini 1; Vibuki huwaelewi wewe, huyo mwanamme gani waziri au mwenye hela asietaka kumla? Hat kama wewe unahela unamla kama kusukuma mlevi.
Mimi; Hela mwanaharamu.
Jini 1; Hela zake huziwezi huyo wewe. Vibuki hao wana masharti makubwa kabla hajakulia chupi, Labda uwakute wamelewa kama jana na hawana wanaume ndio watake wao tena, kwa kudchagua, sio kila mtu.
Mimi; Dah, nilikuita nataka kujua huyu Dokta jana a;iniona? maana pale anaesem kama alinipma sehemu nyeti, na pale chumbani kwa Bi S niliona kama kanitazama sana halafu akgeuza macho.

Jini 1: Alikuona kweli huyo kabda ulijisahau kito kikawa wazzi kidogo, lakini itakua kwa sekunde moja au mboili kama kivuli chako tu kakiona, usiwe na shaka.
Mimi; kanistua, maana jana nilihisi kama kaniona.
Jini 1; Kama hilo usitie wasi wasi wengine hao wamejaaliwa macho mazuri hawajijui tu, Halina neno hilo. Linatokea.

Mimi; haya ngija nirudi wasinitafute.
JINI 1; wenzako washaanza wine na bangi washatoka nje wote, wamekuona upo huku, mimi hawaoni lakini.

Mimi; haya kwaheri wacha nennde nikasikilize mipasho ya H1.

Akaondoka na mimi nikarudi varanda pale.

H 1: Mpeni simba wine na yeye leo anywe.
Mimi; Hapana ahsanteni.
H 1' mpeni ganaja huyo asikae atanusanifyu hapa.
Mimi. Meneja yuko wapi?
H2; kaenda ndani kuwaambie alete chakula, anakuja sasa hivi.

H21; Enhee bwana wewe nambie gereji yenu iko wapi nilete gari zangu.
Mimi; Tupo tabata, lakini gari tunaifata sisi [popo ilipo, mteja mfalme.
H1: Nyie bei zenu si mtatuliza machoizi, ikiwa huduma za kuchukua gari na kuzirudisha juu yenu.
Mimi; Usiwe na wasiwasi kabisa, bei zetu za kihalali kabisa mwenyewe utashangaa, tena mzee hachukui magari kama hakuna nafasi gereji.
H1; hapo nimeelewa kama hakuna nafasi atayaweka wapi?
Mimi; sikumanisha hivo, nimemaanisha nafasi ya kuyafanyia marekebisho, nagasi ya kuweka magari, hapajai pale, ni eneo kubwa sana.
H1: Nimeelewa. jamani huyo ndio Simba, mtu wa Ilala Dar huyu, hawa wenyeji wetu wa Unguja, huyu Bi T na huyu Bi Sh. Dokta mnajuana tayari. Bi T yupo Bank... Bi Sh ana biashara zake mwenyewe na hivi karibuni anaanza kuje nga beach hotel. Eti Bi Sh itakua kubwa namna hii?
Sh; hapana hii inataka matrillioni, niyatie wapi mimi, tuna kiwanja kidogo eka mbili tu kipo beach tumeona badala ya kukaa bure tufanye hotel.

Mara Meneja akarudi, jamani chkula kitakuja ndani ya nusu saa. Miktaka drinks mshjua wapiu pa kuzipata, Simba nikuletee nini?
Mimi; Niko poa Meneja, nikihitaji kitu nitasema tu, nipo sawa.
H 1: Enhee wewe bibi endelea, na mtaalamu yuko hapa na kishakua mkwe wetu huyu.

dah nikawatazama wale wanawake wawili sisio wajua, kweli walikua wazui na yule waliolala kwa Menejea ni bimba hasa wamesema Muunguja lakini ni toto la Kiarabu tena zuri kweli kweli, yaani ni mzuri kweli, nilimtazama mpka aakajua namtazama akapeleka machi chini.

H2; Mkwe wenu kwa nani tutangaze harusi.
H1; na huyu ananikera saa zingine, kama mtoto mdogo, mkwe ewetu kwa T, hukumkuta kaamkia wapi huyo?
H2; Mie nakushangaa weqe unaelazzimisha mambo, wewe hukumkuta chumba cha wageni kile?
H 1; Ina maana wewe hii nyumba unaijua sana, umejuaje kama chumba cha wageni kile?
H 2; Si mwenyewe Meneja kasema jamani alipotupelekea, akili zako zilikua wapi? Au ulikua hujafungua loki bado?
H 1; Kwani chumba cha wageni kinazuwi nini kua mkwe wetu? na leo huyu T tunamuacha hapahapa kazini asubuhi ataju ameneja namna ya kumpeleka, ikiwezekana amalize saba hapahapa, si unaona nyumba kama hii ikiwa na mwanamke inapendeza na Mashaallah T imemsuit kweli hii. Au unasemaje T?

Akabaki kimya anatabasamu tu.
T; Mie hata sijui kinaendelea nini, kwanza jana niligfikaje hapa sijui. mlinilewesha sana kupita kiasi.
H1; Tulikulewesha sisi au hao vibuki wako?
H2; Vibuki wakiwepo kichwani hata unywe vipi hulewi, huyo kalewa mwenyewe tu, msiwasingizie vibuki.
Sh: hebu wacheni mamboi hya vibuki wengine wapo karibu muda wote mkiwataja watapamda hapa.

Duh si akaanza kupiga kelele yule Sh. Mara kapandisha kweli.

Sh' Salaam, salaam, salaam. Sikilizeni, mimi sitaki kusem manenoi mengi jana nilikuwepo kwenye kikao na Bi S. hapa mgfanye heshima sana, mpo na watu wakubwa sana, msiongee hovyo mambi ya vibuki, msitaje hata kidogo. kwaherini. kama akajivuta nyuma.
Sh: jamani hawajawi hawa hoivyo hoivyuo shauri lenu.
H 1; Watusamehe bure tu. Haya tuelezee habari ya hoteli yako mpya na menejea yiko hapa.
Sh; Meneja anajua kila kitu na kanifahamisha cha kufanya na hivi hata ramani zinayoxhorwa anawapa ushauri wachoraji mara kwa mara, Sema Meneja lile wazo lako zuri sana, sema nalo linataka pesa nyingi sana. Bira lile la pili tupambane na vishoka wa hapahapa mjini.

H 1: Tuelezeni na sisi tukitaka kujenga hoteli tuelewe.

Sh: Waeleze wewe Meneja.

Meneja: Huyu bibi kuna mamboi mawili, mimi nimemshauri ajenge hotel ndogo lakini hya kisasa ingie mkataba na kampuni kama yetu imfnyoe management, atakua hana wasoi wasi wa kusimamia kazi. Njia nzuri ni yeye awakodishe kwa muda mrefu wakiingiza faida au hasara yeye haimuhu, wao wanamlipa tena mbele kila mwaka, Hilo ana wasiwasi nalo kwa kua anasema pesa za ujenzi wa namna hio ni gharama kubwa hana pesa hizi, nikwamambia tukiongea nao wanaweza wao wakatafuta neki ya kuwakopesha, itakua kila mweii wanampa kifuta jaso jasho kidigi mpka deni liishe au atafute wabia kama BH hivi aingize pesa wajenge.

H1: mambo si hayo bwana, pesa ngapi zinatakiwa, tena tunae banker hapa hapa. au sio T?

T. Inawekqnq inategmea hamana zake ni nini na mkopo kiasi gani?
Meneja; Akiingia na kampuni yetu hana haja ya kutafuta dhamana, kamu)pyuni yetu ni kubwa, wana mabeni yao wana dili nayo miaka sasa, hilo suala la dhamana wala litakua halipo, dhana ni hio hoteli yenyewe.

Na la Pili nilimwabia ujenge ya kikawaida lakini iwe na hadhi japo ya nyota tatu, halafu unatafuta management nzuri wanaojua kucheza na vishoka na kucheza na mitandao watafite masoko, nali linawezekana pia. Wala halina wasiwasi,s ema itabiudi asimame dede kusimamia kila kitu yeye mwenyewe, hoteli zina pesa nyingi zinazozunguka.
H 1: Si akupe wewe usimamie ingia nae ubia?
Menje; Mimi bado kufanya hivyo wazo zuri sana hilo, hata mimi natamani niwe na yangu mwenyewe.
H 1; Hivi tukiuza share kwenye umoja wtu tutakosa nillioni 1 au mbili za kuijenga wenyewe?
Sh; Wazo hilo nililiongea na mume wangu akasema wazo zuri ni hilo namba moja au mbili. Tumeamua tunaanza na hilo namba moja tukiona mambo hayaendi tutamkodisha mtu ypypte afanye yeye, soi mdivo hivoi maneja?
Meneja; sawasawa.

H1; Kumbe msha,maliza yote nawaombea kheri.
Sh; Tuashukuru na michoro inachorwa.
H 1; Mkitaka mbia mimi nimewahi.
Dokta: Na mimi wa pili. naona mawazo ni mazuri.
T; Mimi hta sasa hivi nipo tayari mkyaka mbia, mimi wa tatu, najua wapi pakupata pesa.
H 1: Nyoo, unataka kuiba benki?
T; Thubutu nani afungwe? Sema najua njia za kupatia mkopo benki kwa kuongea wale wale wateje wakubwa.
H 1; Labda uwape kalio hilo la kinyamwezi. Nyoie mliona mwarabu gani na mngazoija akawa na kalio kama la huyu T? Tena tukiisha kula yunaenda kuogelea, Meneja ujionee mali zako.
Meneja; Mtachelewa botu ya mwisho.
H1; Hatujakwambia tumeshaambia resepsheni wataufanyie booking ya ndege ya kesho asubihi kuanzzia saa nne kuendelea, sitaki kuamka alfajiri mimi. Leoi tupo, tu vcancel kuondoka leo hakuna mwwajiriwa.
Dokta; Mimi jamani Mwajiriwa, naondoka leo saa kumi, tukishakula tu hapa maana inabidi nieneee kwetu nikawaage. Simba usishau kuongea nao wasiniumize bei.
Mimi; Dokta sina haja ya kuongea nao mie najua nidhamu za kwetu, hakuumizi mtu, na ukiona umeumizwa waambie hii analipa Simba, mimi nitawalipa.

Domkta;; Unajua nishmabia detreva wenu anifate na gari boti ya mwisho, ana b)vituko alichonijibu yule mwehu yule.
Mimi; Kakujibu nini tena?
Dokta: Kasema kwa wewe dokta hata ukitaka nikakungoje bandarini kuanzia sasa hivi mimi nitakusubiri.
H 1: Kakuzimikia huyo Dokta, huyo si ndio akutengezee gari bure?
Dokta:;Miaka yote niliokaa kusoma itakua na faida gani, nikitegemea kulipiwa hata matengezo ya garI?

Nilifurahishwa sana na jibu la Dokta, meza ikabaki kimya kama tumemwagiwa maji ya naridi.

Meneja; Chakula naona kipo gtayari, tutakula ndani humu kuepusha wadudu na nzi hapa nje.
H 1: Umenikumbuhsa swali langu hujajibu Meneja, ile supu yenu ya kithai, mlfalme wa supu zote mnaitia ni na nini ile?
Meneja: kanini uanuliza hivhyo, umeipenda?
H 1: Upwiru, inazidisha mwasho ile.

Meneja ni mtu wa aibu sana akanyanyuka akaingia ndani.
Sh; Huo upepo wa karafuu wala sio supu, Unguja mdarisalama wewe, gtafuta mue wa Kiunguja.
H 1: Nitafutieni, wala si uongo si ipo Muta?

Meneja akatoka, chakula kinakuja ndani ya dakika tano, wagtapitisha nyuma huko kwa jikoni nimewawachia wazi.
H1: mwenye haraka huyo Daktari ndie anawahi boti na kuwaaga nduguze sisi wengine wote leo tupo hapa? Au sio T na Sh?

Sh; Twende wapi Jumapili yote hii? Tupo hapa mpka kesho nyie mnaondoka na sisi tunawapeleka airport tunaenda makwetu.
H2: Huyo T sawa hana mume na wewe mumeo utamwachi bi mkubwa leo?
H2: Thubutu, anakuja hapahapa, nimnyonye damu yote akitoka hapa hata akienda kwa bi mkubwa sina shaka. Huyo T ndio wakumuuliza ana ruhusa ya nini?
T; Nani wa kumuoba riuksa mimi?
Sh; Si lile zee direator la benki?
T; Mnakisia tu, wala hana habari na mimi yule, anayake na mimi na yangu, tunafanya kazi pamoja tu. Ndio haypo anayosema Dokta faida gani ya kwenda shule?

Maneja haya chakula tayari twendeni tukale tutaongea huku tunakula.

Tukanyanyuka tukaingia ndani.

...
 
Kwa hiyo Arsis nikitaka kujua nami nina mazongezonge yanayonikwamisha mambo yangu najuaje? Maana kuna wakati unaona kabisa kuna mikono ya watu kwenye mambo yako
Wepesi sana. Kipimo cha kwanza ni, una sali? Hufanyi ufuska na uasherati?

Ukiwa navo hivo viwili, ukiwa husali na unafanya ufuska na uasherati, usitafute mchawi, mchawi wako ni wewe mwenyewe.
Simba.
 
1)Ni viumbe gani hivyo,majini au ni nini?
2)Unaweza kutupa taswira ya hivyo viumbe japo kidogo nasi tutengeneze walau picha za hao viumbe mawazoni
Majini, yaani viumbe vilivyofichwa au jificha vipo aina nyingi, kuna watu, kuna wanyama na wapo wenye ujanja wa kuijificha ficha zaidi kwa kujigeuza maumbile yao yawe kiajabu ajabu, ili wenye macho yao wawapuuze au wawaogope tu. Ni mazingaombwe tu.
Simba.
 
Hio ID ndio Basi, ni Arsis sasa.

Corazon Espinado ni nyimbo alioipiga Carlos Santana. Santana huyo ni ukoo wa Simba. Nyimbo zake nyingi zina mambo ya majegajega ukizisikiliza. Kama Black magic Woman.
Simba.
Ina maana wewe ndie yule mwenetu wa Imamu Hussein au sijaelews hapa?
 
Majini, yaani viumbe vilivyofichwa au jificha vipo aina nyingi, kuna watu, kuna wanyama na wapo wenye ujanja wa kuijificha ficha zaidi kwa kujigeuza maumbile yao yawe kiajabu ajabu, ili wenye macho yao wawapuuze au wawaogope tu. Ni mazingaombwe tu.
Simba.
Nafurahi kwa kupata majibu yako kwa wakati.Nataka kufahamu hao majini wawili mtu na mama yake wanamuonekano wa race gani na hata hayo majini watu mengine ya k/koo yana muonekano wa race ipi
 
Nafurahi kwa kupata majibu yako kwa wakati.Nataka kufahamu hao majini wawili mtu na mama yake wanamuonekano wa race gani na hata hayo majini watu mengine ya k/koo yana muonekano wa race ipi
Ni kama wadigo wa Tanga, lakini amini usiamini sizijui sura zao mpaka leo. Nimeshawaona kwa sura tofauti tofauti. Kuna wakati siwaoni kabisa lakini naelewa kua yupo au wapo. na naelewa ni yupi aliopo.
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom