Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Huu uzi umenifanya niwe na mtazamo tofaut kidogo na hawa wanawake na mishangazi na mabinti wanao jitanda tanda baibui au kuvaa mahijab na ma abaya..😂😂
Nimeanza kuwaona kama wana vuvuli vivuli tu vya majini kama vibuki flan hiv kila nikikutana nao, nakaa kwa tahadhari 😆😆😆.
Kuna mmoja leo chombo kikali almanusura ni make a move , ila kuona tu kavaa ushungi ,nikakumbuka hii stori nikajituliza 😅
Inabidi kua mwanagalifu sana, bila mabinti, uasherati na zinaa ni uchafu kwa imani zote. hata wasio amini Mungu.
Simba.
 
Race inazaa racism.

Huwa nakwepa sana maswali ya kibaguzi. Sasa mtu ushaona Mdigo halafu unauliza race. Chukulia alikua mzungu.
Simba.
Mtu kutaka kujua kujifunza ndio imekuwa racism tena wengi wanadai kuyaona majini watu lakini watu wapo wa rangi tofauti na ni ukweli usiopingika,kama una mtazamo huo basi Nature ndio imeleta racism,kwa ninavyoelewa mimi racism ina maana tofauti na swali langu
 
Simba naomba mshauri mume wangu cha kufanya kwenye upande wa rizki, anaweza kukaa hata mwaka mzima hajaingiza hata thumni.huu mzigo nimeubeba zaidi ya miaka 15 sasa bdo sijamkatia tamaa ila kibinadamu inachosha.....sisi ni wakristo lakini kwa maustadhi tumeenda sana na kwengine alienda mwenyewe! Hata kazi hapati wakati mwingine unaiona kazi hii hapa anafanya interview hapati. Tunajua ni uchawi na muhusika ni mtu wake wa karibu sanaa! Natamani umuelekeze afanye nini ili hii nuksi imtoke aishi km wanaume wengine japo watu wanaotuzunguka hawajui hali yake kwasbabu Mimi nafanya kazi na kuziba mapengo yote ila kuelemewa kupo kwasbabu kipato hakitoshi....natangulza shukrani zangu
Pole sana..umejuaje kama ni uchawi dada angu?. Na mmemjuaje huyo mchawi? Au na nyie ndio mshamezeshwa sunu na waganga njaa wawachune pesa kwa kuwaambia mambo mnayopenda kuyasikia?.
 
Pole sana.

Ushauri wa kwanza ni ibada na nyote kuacha maasi.
Simba
Asante sana, nashukuru kwa Ushauri na tutafanyia kazi pia tunajitahdi kutokufanya maasi lkn kwasbabu sisi ni binadamu kuteleza kupo.

Ombi langu km Kuna tiba unaweza kuelekeza akafanya mwenyewe msaidie. Hapa namuongelea Baba wa familia watoto wanasoma haingizi hata mia anaweza kukaa zaidi ya mwaka kama mwanaume anaumia sana.....na pia iko wazi inajulikana ni uchawi wa mtu wake wa karibu. Kwa wachungaji, mashekhe kufunga nk yote anafanya
 
Yeah! unaweza kutuelezea kwa mujibu wa Arsis inafanyaje kazi
Hii Sheikh ukiisoma Qur'an imeielezea vizuri na maulamaa wa Kiislaam wamefafanua kisomi, kasoro ni lugha tu tofauti.

Mfano Surat Israai (Bani Israel) au ukisoma popote kwene Qur'an neno )Jowz) pair. Hata Kisa cha adam na pair yake iliokua Peponi, wengi wameitafsiri nimkewe (Hawa) sijui wamemtoa wapi., Kwa mujibu wa Arsis hio ni quantum physics. Pia utaipata kwenye Yassin na sehemu zingine.

Arsis anasema hii Maulamaa wa Kiislam kwa miaka mingi sana wanaijua quantum physics, majina tu yanapishana, Arsis amechomekea anasema hata hilo neno Quantum linatokana na Kiarabu Antum.

Elimu ni bahari
Simba.
 
Pole sana.

Ushauri wa kwanza ni ibada na nyote kuacha maasi.
Simba
Inaonyesha bwana Arsis majibu yako ni mepesi. Mtu yoyote anaweza kujibu hivyo. Kama hawana maasi je? Tunajua mawazo.ya binadamu yanazurura sana. Macho.yanaona. jioni tunasali kushukuru ya siku. Asubuhi tunasali kuanza siku. Wewe kama mtaalam una majibu gani ya ziada?
 
Asante sana, nashukuru kwa Ushauri na tutafanyia kazi pia tunajitahdi kutokufanya maasi lkn kwasbabu sisi ni binadamu kuteleza kupo.

Ombi langu km Kuna tiba unaweza kuelekeza akafanya mwenyewe msaidie. Hapa namuongelea Baba wa familia watoto wanasoma haingizi hata mia anaweza kukaa zaidi ya mwaka kama mwanaume anaumia sana.....na pia iko wazi inajulikana ni uchawi wa mtu wake wa karibu. Kwa wachungaji, mashekhe kufunga nk yote anafanya
Mwenyezi Mungu atunusuru sote na atuweke mbali sana na maasi.
Simba.
 
Mtu kutaka kujua kujifunza ndio imekuwa racism tena wengi wanadai kuyaona majini watu lakini watu wapo wa rangi tofauti na ni ukweli usiopingika,kama una mtazamo huo basi Nature ndio imeleta racism,kwa ninavyoelewa mimi racism ina maana tofauti na swali langu
Nimejaribu kukufahamisha kwa masimamo wangu, sio wako.Kama nimekosea nisamehe sana.
Simba.
 
Kama huwaoni sura inakuwaje unajua kama wanakuja kwa sura tofauti tofauti
Swali zuri sana hilo.

Kwanza kwa sauti zao, halafu ile uwepo wao tu ukishauzoea unajua hapa yupo fulani. Binadam tuna hisia za ajabu sana. Hatujui kuzitumia tu. Arsis ananipa sana masomo ya hisia za ibinadam. Mimi kichwa changu tu cha mawaya ya magari. Lakini hachoki tutaleta hivyo vipande visobisogo kiila tunavypendelea.

Hujawahi kuhisi kama mtu fulani nyuma yako ukigeuka ikawa ni kweli, ni huyo huyo uliemuhisi?
Simba.
 
Unaposema mtu huoni sura yake unamaanisha haipo au hiyo sura inakuwaje mpaka haionekani huku mwili ukionekana,nimejikita bado.kule k/koo uliposema kuna wengine sura zao ulikuwa huzioni
Sura Ipo na mtu yupo lakini anakua hapendi tutazamane uso kwa uso au nikimuona hivi sura naiona sio nilioiona jana au mapema.
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom