EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,187
- 20,640
Tuseme ni waafrica,Kwanini huzijui sura wakati muda mwingi ulikuwa naoNi kama wadigo wa Tanga, lakini amini usimini sizijui sura zao mpaka leo. Nimeshawaona kwa sura tofauti tofauti. Kuna wakati siwaoni kabisa lakini naelewa kua yupo au wapo. na naelewa ni yupi aliopo.
Simba.