Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kwa hiyo Zanzibar burdani kama kawaida. Pombe na kadhalika kw wenye nazo
Mahoteli yote yale mengine hata bara hakuna mfano wake, watalii wanatoka dunia nzima kwenda kustarehe Zanzibar halafu unashangaa starehe Zanzibar?
Simba.
 
Arsis tu naomba kujua kuhusu mizimu na matambiko, je ni vitu kweli vipo na vina athari katika maisha ya binadamu na je kama sijawahi kushiriki huko ila labda mababu walikuwa waki Fanya hizo Mila na Mimi sizifanyi inaweza kuniletea athari? Ukijibu hili najua wengi utapata faida(elimu) kubwa
Vipo sana, ni njia mojawapo wa watu kujiendeshea na kujiendelezea maslahi yao kisiasa au kiuchumi. Ni ushetani.

Zinaathiri kisaikolojia zaidi ya uhalisia. Sala na kumuabudu Mwenyezi Mungu mmoja ndio suluhisho pekee. Sidhani kama kuna babu atakae mjukuu wake ateseke.
Simba.
 
Vipo sana, ni njia mojawapo wa watu kujiendeshea na kujiendelezea maslahi yao kisiasa au kiuchumi. Ni ushetani.

Zinaathiri kisaikolojia zaidi ya uhalisia. Sala na kumuabudu Mwenyezi Mungu mmoja ndio suluhisho pekee. Sidhani kama kuna babu atakae mjukuu wake ateseke.
Simba.
Je hiyo mizimu ni kweli inaexist au ni majini waasi ndio wanawacheza shere binadamu na kujigeuza aura za mababu kwa njia ya kioo kama alivyofanyiwa Bi.s kwa upande wa simba? Maana kuna hadithi watu wanasema wameona aidha mzimu wa Mtu aliyekufa zamani?
 
Naam naam naam.... Elim inafika🤝

Toka nimeanza kuusoma huu uzi nimefaidika vingi sana!!!

Nimepata elim ambayo hata mwalim wangu wa kiroho hana🤔
Moja ya Siri kubwa niloipata kupitia mtoa mada... "Macho ya kiroho na mdomo havikai pamoja, ukifumba mdomo unafungua macho na ukifumbua mdomo unafunga macho"

Pia kupitia mikasa ya Arsis leo kwa mara ya kwanza nimeweza kufanya communication kupitia telepathy na viumbe wa kiroho kwa kutaka mm, na kuuliza vitu vingi nikajibiwa in wonderful way.... Majini wanaelim wallah🤝

Pia nimepata elim kuhusu Pete,,, kuwa ni medium of communication tu na sio zaidi ya hapo, haya mambo ningejulia wapi🙏🙏🙏🙏
(Pia nimejua jinsi spiritual masters wanavyofanya kaz na majini.... Ushetwan na uchamungu, (giza na nuru)


Sahv hata kubishana nimekuwa mzito sana.... Na baadae nahisi ntakuwa sio mzungumzaji kabisa, maana Kumbe kusikiliza kuna faida kuliko kuzungumza, elim ni raha ukitafuniwa Kama hv 🚶🚶
 
FDah, tukapiga salad na supu, kweli ile ni Mfalme wa supu, mule ndani kuna kibaridi cha kiyyozi lakini kijasho chembamba kikaanza kunitoka.
H2; Siku zote tukija hapa tunakunywa supu, llakini hii hya leo kiboko, nasikia joto.
H1: joto au nanihii hizo, hakuna mtoto mdogo haoa sema kweli tu.
H2; Wewe umesema huyu mwanao halafu unaongea upuuzi mbele yake?
H1; Mwanangu tukiwa na mamake huko kwao, huku sisi wote watu wazima, nipishe huko. Kuchangia mababu huko, mimi huyu halali yangu kunioa. Na bahati yake nimeolewa, jinhadsome hili bado bachela, hatukubali. Safari hii hatuondoki Unguja bila kukupa mke. Tena muulize huyu H2, niliposikia nikamwambia huyu tumjulishe nannihii niliokwambisa H2, sitaki kutaja majina. Tena leo anakuja kwa ajili yetu disko na ndugu yake mashoga zake wakiunguja. Meneja leo usikose Disko, nikujulishe na vifaa vilivhyoenda shule kama wewe.
Meneja; Hao si ndio hatari, mimi nataka kuku wa kienyeji, sigtaki vita vyua kila siku nyumbani.
H 1; Vita vya nini mkiwa wote wasomi mnaelewana liugha, huyu I love you, yule I love you more.

Tukacheka,

H1: Simba na wewe ushaoa au bado nikupe mke hukohuko Dar?
Mimi; Tayari nimeoa na watotowawili sasa.
H2; Umewahi sana kuoa wewe?
Mimi; Nimeoa exactly siku ya birthday yangu ya miaka 18.
H1; Sasa kilichokuwahisha nini? Kwanza ungeisoma dunia.
Wazazi walishafanya mipango yao, mimi nikaona poa tu.
H2; Huyu sio mngazija? Tabia za wazee wa kingazija hizo.
Mimi; Hapana sio Mngazija.
H2: basi wazee wa kingazija hata hio kumi na nane hufikishi, ukishabalehe tu unaozwa mbio mbio.
Mimi; Hata sisi kwetu hivyhivyo sema sheria za nchi siku hizi zinabana,
Hq: hamjui sheroa nyinyi, sheria miaka 14 tu unaruhusiwa kuoa na kuolea.
Mimi: Yeah, sheria za kiusoma, tulingojwa tumalize form IV gtu ili tuozwe nadi ikawa coincidence na boirthday yangu.
H1: hapo sawa. Asikudanganye mtu, sheria ya Tanzania ndo ani miaka 14 tu. Huyo H2 najidai, muulize aliolewa wazee wakingazija wamemuoza ana mika mingapi?
H2; Mie nilikua 15 nilipoolewa, 16 mtoto wa kwanza.

H1; Meneja, hii supu, kwanza msilete chakula, wacha niende nje huko garden au beach nikanyoshe migiuu kidogo anipigwe na fresh air.
Maneja: kuna sehemu nje mnaweza kuletewa chakula huko.
H2: napajua, basi vinngiune tutamalizia huko lakini tupeni kama nusu saa ndio mlete. Wacha huyu bibi akanyooshe miguu.

Meneja akasema vizuri huku ananhyanyuka, akasema tutakutana huko. Ile kuondoka tu.
H2: Husewmi una yako tu, unasingizia kunyoosha miguu.

H1 hakujibu akanyanyuka, twendeni simba achana na huyo, kazowe kukaa ndani kama yai, akitoka yeye analiwa tu, ndio anachokijua hicho. Tukanyuka, akatuacha mimi na He, nyinyi ytangulieni mimi nakuja, nikaona kaelekea resepshen, tukaenda beach na H2, kweli kuna sehemu nzuri saja ya kukaa na kula, yaani kuzuri pametulia, mimi ningejua toka jana ningekua nakula huku nje.

H2: Wewe; utamzowea huyo, ana hyake utayaona sasa hivi, anajidai hanywi wine, bado muda wake huyo, wine anapiga vizuri na ma wiski anapiga, muone hivyp hivyo huyo, anajida mwanangu sijui nini, kiroho chote kipo kwa manager.

Mara akaja H1;

H1; Usimsikilize huyo kiini cha yai, kishatoka nje lazima aliwe. Na wine zile na supu ile. Kwanza huyu meneja kwanini siku zote anatuficha hii supu?
H2; Na wewe nae huelewi? kasema ni mfame wa supu, sio malkia wa supu. Hipo ilikua kwa ajili ya simba hapa, fungua akili zako, hio ni zaidi ya supu ya pweza.
H1: Ndicho unachokijua wewe hicho. Akafungua pochi akatoa hanja akchoma. Hiki ndicho kilichonitoa nje, mie mapombe yenu na chakula bila apitaiza siwezi.
H2; Nilijua tu. Huoni haya?
H1; Wakumuonea haya nani huyo Simba? uso wake tu uanonesha wamo huyo, wewe unamunaje mtoto wa Ilala huyo, si umesema kwenu Ilala?
Mimi: Ndio.
H1: Piga ganja usione haya, hakuna mamako wala babako hapa, chukulia sisi marafiki zako ingawa wakubwa kwako.

Tukakaa kaa nje, kikaletwa chakula tukala pale, hata mimi nili enjoy zaidi kula nje.

Baada ya h1 ndio akasema sasa H2 twende zetu tukapumzike ndani, Dieko tutaenda sita au saba usiku. Simaba uje huko, uje ujionee vitoto vya Kiunguja, na miziugu kibao huko. Usikose kuja Simba wetu, nikawaambia poa. Tukaondoka wote, wao wakaelekea chumbani kwao na chumbani kwangu.

Kufika chumbani ikabidi kwanza nipumzike ile kupumzika kikweli, ile supu na ile chakula si mchezo, baharini na upepo ule kijasho kinanitoka. Niakasema hii nitamuuliza meneja tukiwa pekeetu. Wale ma mama hawajanikuta enzi za Usimba.

Nikakoga fresh nikajituoa kitandani, hata nilipolala sijijui, nastuka naona time kusali alfajiri, nikashukuru, Mwenyezi Mungu kaniepusha na shari za usiku. Nikasali, nikasema wacha niende beach, Aisee nikakuta wazungu kibao tayari wapo beach, wenbye kutembea wenye kuogelea wenye kufanya jogging, na mimi nikaunga mkumbo wa kuogelea baharini noikaogelea sana, mpaka nilipoona hoi, nikajisuuza kwenye shower nikaende akupiga breakfast nikaebda chumbani nipige simu simu zangu za muhimu nikapiga piga simu. Nikampigia na mwenyeji wangu Nikamwabia leo asihangaike chakula mchana kwa ajili yangu, mimi nitakula hoteli, Tukakubaliana nitakwenda nikipata nafasi lakini siendi kwa chakula. Nikatoka noikaenda nje kuzunguka nje ya beach, nikaona wnyeji wenhyeji wenyeji, nikatembea sana kama masaa mawili nikapenda sana mandhari ya kule, ni pazuri sana. Pametulia.

mchana mchana nikarudi chumbni kwangu, ile nafika tu, simu ya hoiteli ikaigta, nikajua meneja. Tukasalimiana ple.
Meneja: Simba jana ukawakaimbia kina mama.
Mimi: Sikuwakimbia, supu yako na msosi ndio umenifanya nikimbie, nimelala sina habari kabisa.
Meneja; Mimi ingejua sio kazi nisingeenda nimeenda saa tisa uiku, nililala pia kustuka nikaone ninde kwa kazi zangu, nikaonana nao, wenyeji walisema watakuja wamme walikua sigta, wanawake wanne na wanaume wawili, wote sijuani nao, tukabadalishana namba tu, lakini wanaonesha watu na heshima zao, ni vijana wotw umri wangu au zaidi kidogo, ni wagtu wema kwa ujumla na wame enjoy sana.

Mimi: Hata leo nilikua sipo nimerudi muda huu, niliamua nikatenbee tembee kwa miguu, ndio niliwaambia rese[shen ukirudi wanijulishe, ndio wamenoijulisha nikakupigia.

Mimi; Poa, baadae nigtaenda mjini kabisa huko lakini nitachelewa sana kurudi, kuna sehemu nimealikwa, pengine kurudoi asubuhi.

Meneja; Ukihitaji gari ya kukupeleka na kukurudisha muda wowote ule, waambie resepshen tu. Tukaagana.

Mimi nikajua hapo hajanambia ukweli wote, kwani najua system za milango ya hoteli kubwa, unajulikana upo au haupo chumbani kwa kadi tu zile za kufungulia milango. Lakini nikajifanya sielewi kitu, nikakaa kimya tu.
Simba
...

Nikakaa kaa kidogo nikaagiza gari ya kunipeleka mjini. Gari ya hoteli ikanipeleka, nikawaambia wao warudi tu, nikihitaji gari watajulishwa.

Kwanza nilidhani hoteli wana magari mengi, maana kila siku nabadilishiwa dereva na gari, kumbe zile gari za watu binafsi zinapewa tenda tu hoteli wakizihitaji na mara nyingi hazipaki hoteli kasoro mbili tatu tu.

Alinijulisha dereva mmoja katika kupiga nae story ya gari. Anasema masharti ya hoteli ni ubandike nembo ya hoteli yao na namba zao za simu, ikitokea kazi yoyote wanakupigia na hauruhusiwi dereva kuchukua pesa au kuomba pesa kwa watalii au abiria wa hoteli unaowapakia na lazima wakuwekee GPS hoteli wajue uko wapi, ili wakupigie ile gari ya karibu na alipo mteja wao. Nikawaelewa sana hoteli.

Kufika kwa Sheikh, kama kawaida tukasalimiana nae mara na vijana wake wakaja kama walinitaimu hivi, palikua kimya kimya leo. Sheikh akanambia, Simba twende tukatete kidogo.

Tukaenda ukumbini akaagiza kahawa ikaletwa pale.

Sheikh; Kwanza hongera sana, kijana wangu huyo swahiba yako kanambia jana Bi S. alikuita ndani mkaongea sana akatoka mwenyewe kukusindikiza mpaka unaondoka.
Mimi; Sasa hongera ya nini si kawaida hio? Sheikh nilifikiri unanipa hongera labda mmenipatia mke wa Kiunguja.
Sheikh; Akachka sana, Simba wewe unaongea kama babu yako. Hapa ukitaka mke ni kutuamrisha unataka wa saizi gani tukuoze, hata leo. Sikumaanisha hilo Simba, nilimaanisha mule ndani kwake nilivyosikia, haingii mwanamee, labda mwanamke tena wanaokaa muda mrefi ni wale wanawake wa matawi ya juu, hawa mwenzngu na mie wakimaliziwa shida hakuna maongezi tena.
Mimi; Unaonesha unamjua sana Bi S.
Sheikh; Mimi namjua toka mumewe wa kwanza nawafahamu wanawe na mumewe wa kwanza, kwani yule tulikua tunakaa nae hukuhuku mjini fuoni kahamia baada ya kuolewa na K, zamani lakini. Mumewe wa kwanza siku vikimtoka anakuja hapa kwangu, nasikia anaofisi hapo Hoteli ya Bwawani anafanya biashatra zake, yule bwana alibahatika akapewa kazi ya kuuza karafu zote nje ya Zanzibar, ilikua hiuzwi karafu bila kupitia kwake. Si unajua watawala wenyewe walijiwekea vigtega uchumi na wakawaweka watu wao karibu. Yule bwana alikua Karibu sana na marehemu karume, mambi ya intelijensia haya na kwa kua yeye ni Mpoemba aksoigezwa pembeni, akawa yuko pamoja na kina amani na Ali kulinda usalama wao, ni mtaalamu kwenye masuala ya kuihami familia kubwa hizi, alifundishwa Ulaya, alipelekwa na Waingereza ili aje kua mlinzi wa Sultani, lakini wakati anarudi hapa hajakaa sana Mapinduzi yakafanyika, inasemekana yeye alikua taryari anagtumiwa na Afro Shirazi kutokea hajapelekwa Uingereza, mambo ya intelijensia, wanajua wenyewe. Baada ya mapingduzi ndio akawa karfibu sana na Mzee Karume, kabala hajauliwa akjawa kahamishiwa kwa wanawe, ni bahati yake nzuri au ahadi ya Karume ilikua imeshafika, maana angekuwepo yule angekuwepo na Mzee Karume au na yeye anageuliwa au angeuliwa yeye mzee Karume akasalimika, ndio kazi yake, alkini kiezi mitatu kabla ya kifom akawa na kina Amani, waikua watukutu sana wale, Mzee Karume akaona awawekee huyu ana nidhamu atawaweka sawa, ndio wameshikana udugu wa hiari na kina Ali na Amani mpaka leo hii. Na hule Bi S, wamejuana wakati yupo na kina Amani wakaoana, inasemekana na yeye ni mtu wa hukohuko intelijensia.

Mara ndio tunasikia yupo fuoni ana kilinge cha kibuki, sasa kimekua ndio kikubwa kinabeba wenye vibuki wale wanene sio hawa vibuki mwenzangu na mie.
Mimi: Sheikh, sasa wewe ilikuaje unapeleka watu wakatibiwe huko na wewe ni Sheikh, roqya si zinatoisha?
Sheoikh; Swadakta. Huyu binti aliletwa kwangu na ndugu zake wakanielezea alivyo, nikawa namfanhyia dua, lakini tatizo likwa hakai hapa, anaishi Bara huko na Ulaya. Ndio huko ikawa mambi tena ndugu zake wanassikia hatulizani. Wakaja kwangu, wakauliza kama kuna DSheikh yoyote ikawa mimi kunahuti Sheikh Ali nafahamu, yeye anafanya dua kwa wanaohitaji Qur'an na anasaidia wengi kutoa majini ana elimu ya majini ya kiwakwao Pemba huko. Ndio nikawajulisha nao huko, huko sasa Bwana Ali akasema huyu ana matatizo ya maruhani ya Kikwao Kingazija, ndugu zake walipokuja kunieleza nikawambia nyie wangazija mnaniuliza mimi? Wakasema Sheikh sisi tunamfahami Bi S kwa mambo hayo lakini wewe unatushauri vipi? Nikawaambia Bi S hata mimi nimesikia sifa zakw qati wazito wazito wanafanikiwa mambi yao. lakini sina ujuzi wa tiba zao za Kingazija, nendeni mkajionee, Ndio wakenda huko wakawa wanasalina wenyewe na ndugu yao na Mzee Ali ikafikia mimi kuongea na babu yako gtanga, nadhani kutpokea hapo unayagfahamu yote mpaka wa leo hii.
Mimi; Nimeelewa.
Sheikh; Sasa bwana Simba angalia sana huko maana wakikufanhya mgeni wa heshima kuna waliloliona kwako, mawili, au tamaa zao za kifedha maana huko ni mamboi ya fedha tu au DSimba hio pete yako imewatisha, maana hio hata mimi naiona ni thamni sana, hilo jiwe la kifahari. Niliiona hio akibvaa babu yako, isije kua ina mambo mazito kakuachia nayo babu yako na wao wameyaona, nikaona nikutahadharishe Simba wasikutoe kwenye mstari wale majini yao ya kibuki ni starehe tu na starehe yao kunwa ni pombe na bangi. Wengine huko hawana jini wala shetani wanapayiamo wapate kunywa mbele ya wamume zao bila kificho, maana wameoata sababu kua sio wanywao, anaekuntywa ni kibuki.

Wana hila sana hawa wanawake, kwa hio Simba baba, wewe mgeni wangu lazima nikupe tahadhari, ingawa siyajui kiukwli haswa lakini yasemwayo yapo.
Mimi; Nimekuelewa, amini nipo salama niomebee na dua niondoke Zanzibar salama. <i,i Sheikh sikai sana namchukua swahiba yangu akanitembeze kidogo, lakini niruhusu leo nimtilie mafuta kwenye gari.
Sheikh: hata kidogo, kama hayatoshi huko mnakokwenda atatitia yeye mafuta, usithubutu gtena kusema hilo Simba.
Mimi; Nisameh Sheikh wangu lakini nagfsi inanisuta, sijazoea kukirimiwa namna hii.
Sheikh; Kwa babu yako mimi naenda na watu wanne watano, na hakuna hata siku moja hatujala au kulala kifahari na hakuna tulipohitaji cha ukubwa wowote ikawa ni muhali kwake, tunatamani tufany ikrima kwako mwaka mzima. Huyajui yaliotupeleka mpaka tukajuana na babu yakeo, muulize mwenyuewe. Yule Bwana Mwenyei Mungu ampe umri mrefu na amsidishie imani, simba mjue babu yako vilivyo, rothi utu wake usirithi mali zake, utakua umeirithi hazina kubwa sana. Yuyle ni hazina inayotembea. Mimi natamani ungekuepo hapa, nisingekubali singenambia nikuruhusu ukae hoteli uione dunia.
Mimi; Kumbe mliongea?
Sheikh: Mimi kila siku naongea nae bavu yako kabla hujaa na toka umekuja, si lazima nimfahamishe tumekuchukua wapi tumekuwacha wapi? Unguja kubwa hii usiione hivi.
Mimi; Kwanini?
Sheikh; Huoni ushaanza kauli za kutafutiwa mke hapa? Huo sisi tunasema upepo wa karafuu ushakupata. Akacheka.
Mimi; Sawa Sheikh, wacha niende.

Tukaagana plae, nikatoka nje na mwanae.
Mimi: leo mi i sina pa kwenda kwa saa hizi, labda wewee unipeleka sehemu za kupita pita ytu lakini sitaki za kushuka au upo bize mshikja.
Kijana: Simba mimi leo nilikua nakusubiri nikwambie nikatembee hotelini kwa Kiwangwa, ile hote naiona paa tu na pake pakuengesha magari, natamani kweli niione ndani ilivyo.
Mimi; Usijali tutaenda wote.
Kijana; Ngoj nikupitishe mitaa ya stone town nikuzungushe kidogo halafu tuelekee.
Mimi; Poa.
Akanipitisha mitaa, mimi naona vichpchoro tu, matra kaingia huku matra katokea huku, hapo mwanamng nio ngome kongwe, pale Bet alajaib, ile ndio foro, hutaki kwenda ku daivu na vijana paleee mbele.
Mimi; Hio naipenda sana, lakini siku nyingine.
Akazunguka unguka ananiosha kila sehemu, hii ndio skuli ya Fodhani, pale jumba la mfalme, hii peoples nini sijui, mara tukagtokea hospitali ya mnazi Mmoja, hii ndio mnazi mmoja, hospitali yetu kubea huku, mbele kidogo, pale ndio maisara, kule ikulu, kule sijui nini, mpaka tukapita mtaa kama kageuza tukawa tunarudi kwa njia nyingine lakini sio vichochoroni, Hapa ndio markiti, pale mbele darajani, mbelke kidolom akanionesha viwanja vya mazoezi ya mpira, , jalafu kule ng'ambo ile ndio hoteli ya bwawani, alioijenga karume. Mwisho tukaelekea, sehemu kibao siwezi kuzikumbuka majina.

Kufika hoteli yetu, nikaingia nae nikachukua kadi yangu resepshen, nikamwambia twende gtukapoige kahawa hapo ukumbini, tukaenda ytukaagiza kahawa tukaletewa. Kukaa kidogo meneje kaja. Tukasalimiana pale, tukajulishana.

Mimi; Huyu mtoto wa Sheikh... ndio ukisikia nimeenda mjini ujue niko kwao. Ndio mwenyeji wangu mjini. Nimemleta ataembee hoteli, anasema hoteli yenu anishia parking tu.
Meneja; Kwanini ndugu yangu, si ungeingia tu kujionea.
Kijana; panatisha, mitaani huko tunaambiwa ukikanyaga ndani tu laki.
Meneja akacheka, ikiwa hivyo unafikiri serikali itaruhusu?
Kijana: Wanaokuja wazungu tu kutoka nje hawataki kero.
Meneja; Basi leo mgeni wangu wacha mimi nitakupa mtu akutembeze pote, utajionea Wazanzibari kibao wapo, wamekuja kutembea tu, bila kulipa senti tano, msitishane njooni hteli hii mjoionee anytime, tena hapa kwetu tuna bei za Watanzania, ni nafuu kwenye kila kitu kasoro disko tu, beo yetu kwenye disko kama hujajipanga utalia.
Kijana; Shilingi ngapi kiingilio disko?
Meneja; Laki moja kichwa kimpoja na vinywaji ndani bei ileile ya wageni, huko hakuna bei ya Mzanzibari, tumefanya makusudi hatutaki fujo liwe jingi ukumbi wetu sio mkiubwa sana, uijengwa kwa ajili ya wageni wa hoteli labda na wageni zao wawili wattu, lakini sasa ingawa bei hio unajaa Wazanzibari.
Mimi; Usinambie.
Meneja; Kweli Wazanzibari wanaoukuja Ijumaa na Jumamosi wanawazidi wageni kwa sana. tena wanatumia hao, mpaka mimi nashangaa, kisiwa hiki [pesa zinagtoka wapi?
Kijana; Kuna watu watu Unguja wamekaa wanakula kodi za nyumba tu na wengi wanatumiwa na ndugu zao wako nje huko.
Mimi: Basi meneja mtafutie mtu amtembeze itakua vozuri, mimi kidogo naingia ndani, akimaliza kutenbea tutakula chochote Restaurant pale, mimi na yeye. Mtanistua chumbani Meneja.

Meneja; Twende swahiba,

Wakaondoka na mimi nikaenda zangu chumbani, nikaanza kupiga piga simu zangu, nikaji[pumzisha kama baada ya 1 hour nikapigiwa simu ya hoteli.
Meneja; Kishatembezwa njoo mle, mimi nahudumia wageni kidogo.

Nikatoka, nikaenda nae rrestaurant tuka[pewa menu pale tukaagiza tukala.
Kijana: Leo nimepatembea sana. Kitu nilichoona ni beach yu wameipendesesha zaidi kwa vile vibanda vibanda vya makutoi, na wakuwashangaa ni hao wageni wa nje, wanavyojianika huko. Kama samaki wa kubanika.

Mimi; Umewaona Wazanzibari?
Kijana: kibao tu ma beachboiy huko, wengine wamevaa Kimasai lakini nawajua watoto wa Kiunguja, wenyewe weusi halafu wanapoigwa na jua mchana huu.
Mimi; Utafutaji mgumu.
Kijana; sana, hayasemeki na vigtoto vya kikena vyenyewe vinajifanya vizungu.

Tukaongeaongea baada ya kula nikamwabia twende hukohuko nje tukanywe kahawa, tukatoka nje tukaagiza kahawa ikaletwa tukawa tunakunywa pale mastori yanaendelea tu. Kijana akasema roho yangu leo imetulia, hanambii kuhusu hii hoteli, haina makubwa sana.
Mimi; Unayoyaona wewe ya kawaida kwa watalii ni makubwa sana, wao linawatia wazzimu hilo changa la bahari na jua hili. Si unaona walivyojaa baharini? Yaanoi mtu anapata usingizi kabisa juani?
Kijana; Ndio ajabu yenyewe hio, wacha nikafanye mamboi yangu mengine au unasafari yoyote DSimba?
Mimi; Kwa leo sina kabisa, tutatazama kesho, nitaamua niondoke kesho au Jumatatu.

Tukatoka, nikamsindikiza mpaka kwenye gari akaondoka, nikarudi chumbani kwangu nipige pige simu.
Nikapigapiga simu kwa wtau wote muhimu maana najua usiku naweza nisipate nafasi. Kumaliza nikaone ninede nikatembee tembee nje maana kushaanza kuingia magharibi magharibi, nilisig)fiwa kuona panavyopendeza jua linapozama.

Kutoka nje beach nikawakuta Bi H1 na H2 sehemu ile yuliokaa jana. Wanapiga kahawa na bangi.

Tukasalimiana pale.
H1; jana ukatifanya nini? Palikolea huko sio kawaida, wachumba wa kumwaga. Wazungu ndio usiseme maana nilikua nawapona wanahaha kujipeleka peleka kwa vijana wa Kiatanzania, na ile sijui mishoga haina habari ya mzungu wala Mtamnzania mwenzao.
H2; Lile gtrupu moja walikua kama sita, hivi ile mishoga kabisa inaonesha wazi, hata mizungu mingine ndio ilikua inacheza na kuongea nao, na yenyewe nmishoga tu. si nilikuonesha wawili nikakwambia jamaa zako wakingazija hao.
h1L Jmaa zako wewe hao, mimi kwetu jhakuna mashoga. Mie nimemuona yule Bi nani gtu, kujifanya mtoto mdogo na kiguo kile, hana haya yule.
H2; Wewe mwenyewe hujajiona?
H1; Sisi tutampata wapi kwa umri yule, sisi yule wanae kiumri. Ukikiona kama kitoto kidpohgo.
H2; Anatumia fedha yake.
H1; Na fedha pae ndio kwao, mtua anaepiga sho[pping Paris na Newyork mwenzako huyo?
H2; Mumewe nani yule?
H1; Mumewe alikua...hajaolewa tena.
H2; Ndio, kumbe yule ndio alikua mumewe, ndio maana basi, maana yule bwana kaacha mali nyingi hata Dar ana majumba Karikaoo yanaingiza kodi tu.
H1; Sasa ni Dar tu? Mpaka Dubai ana majumba halafu wanawe ni wawili tu alioza na huyu mama, wale wake zake wengoine hajazaa nao. Huyu mndie mkewe wa kwanza.
H2; Hao wengine walikua wake wa starehe tu, maana yule bwana umri ulikua ushakwenda tena.
H1: Simba mbona hujaja jana?
Mimi; Nimepitoiwa na usingizi mzito kustuka alafajiri. Ile supu si mchezo.
H1; Leo una plani gani, leo kunanoga zaidi huko, maana sisi tumealikwa shughuli mjini huko alkini hatukeshi saa saba au nane tunaridi disko hapa, najua na nusu au zaidi ya watu wataokuja shughulini watataka waje disko. Leo tujoin basi, wewe si unakaa hapa? Hulipi kiingillo.
Mimi; Nafahamiu, leo kama sijapitiwa na usingizi nitakuja, maana mamboi hya kuamka saa saba au nane za usiku kwenda Disko inataka moyo.
H2; Wewe si nend mapema kabla hujalala.
H1; Sie tukija usiku tukukute huko, kama hujaja leo tunakuja kukugoingea mlango wako.
Mimi; Hakuna shaka, leo mgeni wenu disko huko.
H2; Tena uje, wachumba wa jana aliowalte huyu bibi wametamani sana kukuona.
H1; Wizi wale si wanajua kijana anae kaa hapa si wa kawaida, huoni walivyokua wanajingongesha kwa Meneja?
H2; Na huyu Meneja kwanini haoi mpaka sasa? Kijana handsome ana kazi nzuri, ana kisomo chake.
H1; Huyi agtaoa mwaka huu huu anajipanga, unajua hawa wasomi waoga sana wa maisha. Mitaani huko hawapawezi, huko kwetu na Simba hapa. toto la Ilala.
Mimi; Nyinyi hamjanambia mnakaa wapi?
Ha1; Tupo wilaya moja Ilala, lakini kata tofauti. Huyu bibi anakaa kariakoo, mimi nakaa Upanga kama unapajua kwa msuya?
Mimi; Napajua sana.
H1; karibu sana nyumbani, mimi nyumba yangu inayofata ya Msuya ni jirani yangu ubavu kwa ubavu.
H2; Wala usiende Simba, huyo hakutakii mema, mumewe huyo mwanajeshi, nyumba yake huyo inalindwa na wanajeshi. Ukienda kwake sheia za kijeshi tu. Mguu sawa, mguu upoande.
H1: simsikilize huyo, mume wangu ukijuana nae utampenda, wala hutomjua kama Mwanajeshi laba umuone kavaa nguzo za Kijeshi.

Mimi: Tutakutana Dar, tutatembeleana huko msijali, na nyinyi karibuni Ilala, ilala yenyewe orijino.
H2; Unataka utugombanishe na mkeo?
Mimi; kwanini?
H2: Akikuuliza umejua wapi hawa wanawake utasema nini?
Mimi; Si nitamwambia ukweli, tumejuana hoteli niliofikia?
H1; Wewe H2 sema usitagune tafune maneno. Simba kakzimia huyo na supu za jana sijui zina nini, huyu jana kidogo amshike kwa nguvu Menejea akalale nae. Au ingekua sehemu kimya kama hivi angembaka.
H2: Sio wewe uliesema akija simba nameneja yukawabake wakijifanya ishara hawazioni?
H1; Jana ningewabaka kweli, ile supu lazima niijue siri yake. mchezo ulikua alfajiri ntuliporudi kulala, niliwashwa vinaya sana. Kidogo nitoke nije kumgoingea huyu Simba anikune.

Mimi; Kwaherini basi tutaonana nikija disko.

Nikaondoka nikawawacha pale wanapiga bangi zao.

Kurudi nikakutazama simu nikakkuta miss call mbili zote za Bi S. Nikampigia.
Bi S, Simba hali yako?
Mimi; Salama tu.
Bi S. Nasikia upo hoteli moja na Hw na H2 na mejuana huko?
Bi S; tafadhali usiwaambie kama unajuana na mimi kama bado hujawaambia. Hao gtuko nao pamoja kwenye kibuki leo, kama kukujua wakujue kivyao, maana wakijua wewe ni Mkubwa wangu heshima itapungua kwangu.
Mimi; Usijali, sijawaambia wala simwambii mtu.
Bi S; Saa ngapi unakuja, maana ukija huku leo usipite kwenye geti uani, shughuli yetu inafanyika pale na wanaume hawaruhusiwi, pita mlango mdogo wa mbele, kabla hujaja nijulishe nimweke mgtu akusubiri, lakini suikose kuja kabisa. Mie nakupoigi S sio ndama.
Mimi; Sawa BS, nije saa ngapi?
BS; ukija mapema baa da ya kusali isha tu ndio vizuri maana hawa wanaokuja leo ni kidogp 20 tu, ikiwa hivyo mata nyingi wanaondoka mapema wakimaliza ada za muhimu gtu, hawakai tena kufanya sherehe ndefu, saa sita wanaanza kuondoka mpaka asaa saba panakua kimya kabisa.
Mimi' Sawa; Nigtakujulisha.
Bi S; Samahani kwa kukwambia hahyo, ukija tutaongea zaidi.
Mimi; Poa.

Bi S. alikua hajui, mimi ja angu nione nini tu kinaendelea, isiwe kuhadoigthiwa tu, nikaanza kuhisi anaendelea kuhakikisha siri zao hazigtoki. Nikasema ngja, hanijui yule Bi S. Nikamwita Jini 1. hajachelea, dakika tu nasiki mlango unagongwa. Nikwambwabai pita. najua huyo hata mlango ukiwa na loki yeye anapita, si kivuli tu, zamani nilikua sielewi. Akaingia tena kaufungua mlango. Tiukasalimiana pale.

Jini 1: hya sema Simba
Mimi; Bi S kanipigia kasema nipite mlangoi wa mbele, sasa shughuli nitaionaje na mimi kuja kote huko niione hio shushuli yao?
Jini 1: usijali, tutakupa njia ya kufanya, sasa leo umstuae zaidi yeye na heshima kwako izidi, maana kama ana mashaka mashaka fulani hivi na wewe.
Mimi' Mashaka gani?
Jini1; kilichomtokea na wewe hakikuwahi kumtokea anafikiri watu wanataka kumnyang'anya ukubwa wake.
Mimi; Majini wake wa Kingazija hamwambii, mjini wake wamemueleza lakini yeye ndio bado haijamkaa kichwani hapati jibu. Sasa leo mwambie asiwe na wasiwasi wewe, haupo hapo kwa ajili hyake, wewe unaweza kuzimiliko koo zote za kibuki na zote wakubwa wao wanakuhesshimu. Yaani mti wasiwasi. Vizuri umeniigta. Sikiliza Simba leo tutamchezea mchezo yule hajawahi kuuona waa kuufikiria toka azaliwe. Mzingaombwe yote wanayowafanyia wateja wake na majini zake, leo watatia heshima zaidi kwako. Nisikilize kwa makini.

Jini 1: ukifika kwake, shuka mbali kidogo na gari, agana kabisa na dereva ndani ya gari. Ukishuka tu kwenye gari, igeuze pete yako nje ndani, namna hii akanionesha kwa pete yake, halafu kifunike kigto chke na kidole gumba chaka hivi, jisd lisibaki nje hata kidogo, alipofanya vile nikawa simuoni. Umeelewa, nimeelewa ka sijaelewa.

Jini 1; Sasa fanya wewe, usiiachie mpaka nikwambie.

Nikafanya kama aivyonambia kama dakika moja akanambia iachie, akasema...
Jini 1; inafanya kazi vizuri kabisa nilikiua sikuoni lakini wewe unaniona. Hio zawadi yako kutoka kwa Arsis, kuanzia leo ukifanya hivhyo hakuoni mtu wala jini, hata liwe la aina ipi. Ukiachia yu unaonekana. Sawa?
Mimi: Sawa, lakini sijaelewa igtasaidia nini?
Jini 1: Wewe ukishuka nje ya gari jifiche namna hio, halafu ingia pita kule kule mlango mkujwab ujwaone wageni wote utawaona wote wa na vijini vyao, halafu ingia ndani kwa Bi s, nenda chumba kile alichokupelka kwanza, kaa pale achi pete mpigie simu mwabie ushafika mwache aingie akukute chumbani. Halafu mwabie si kawaida yako wewe kuitwa na wachini wakoo maana umekuja ili umuite ili hadhi yako isigtiliwe shaka, kama aliokua nayo. Hapo ugtakua umemmaliza yeye na ndama wake. Na wewe hapo utaonekana wewe lakini atakiuwepo Simba mkubwa pembeni yako, wao watamuona wewe humuoni, ni majegajega tu, kama usemavyo. na mimi nitakuwepo usiwe na shaka, hawana lolote wale, wizi mtupu. Utajionea, sasa leo ndio fursa yako muulize yule bi S kila kitu, leo hakufichi wala hababaishi hata neno moja, baada ya kumfanyia hivyo, kwa sababu akipinda maneno ndama wake atamkanya mbele yako. Kwaheri tutaonana kwenye shughuli ya kibuki, safari njema.

Akaondoka zake.

...
 
Je hiyo mizimu ni kweli inaexist au ni majini waasi ndio wanawacheza shere binadamu na kujigeuza aura za mababu kwa njia ya kioo kama alivyofanyiwa Bi.s kwa upande wa simba? Maana kuna hadithi watu wanasema wameona aidha mzimu wa Mtu aliyekufa zamani?
Ni vijini tu hivyo vinacheza na akili za watu kwa kutumiwa na watu, wanaowaita na kuwapa ada zao, hao ndio wanaabudu majini wa kishetani na kuwaamini, ni mashetani wenzao.
Simba.
 
Yaliyopita yepi hayo na wewe umeoa na at 18!?aahh simba acha kukuza mambo nasi, yan teeneger una yepi ya kutuuuuubu namna hiyo 😂😂
Zipo nyuzi hapa JF, mwambie Nourhan akupe link aliweka vipande vya screenshot kwenye uzi huu. Au waliokwisha visoma watakupa link.

Hivi visa vilianzia huko nikakumbushwa, wewe umeshaachana nako huko si mambo mema kuyarudia, ni ushetani wa hali ya juu.

Pata elimu hapa ya kuushinda ushetani. Ushetani na wema umbali wake ni sawa unene wa unywele wako mmoja.
Simba.
 
Arsis we mtoto tu unapiga hadithi za kutunga na majini yako ya uongo.

Ngoja nikupe kisa kimoja cha umahiri wa wenzako, wenye uwezo wa kutibu (by now you should know hadithi sipendi).

Kuna wahuni wala mirungi tu kutoka Mombasa wakisema wanatibu sio mzaha.

Kuna mama wa wakisomali (asili yake ya kuzaliwa Tanzania) namajua mtoto wake kaolewa na rafiki yangu.

Huyo mama alipata stoke akawa ame paralyse upande mmoja. Mmombasa akamwambia binamu yangu anaekula na mirunngi huyu namtibu jamaa akuamini side effect ya stroke unatibu vipi.

Wakapanga apelekewe yule mama nyumbani kwake ila akamwambia binamu yangu lazima awepo ana nguvu na waende na nazi.

Siku ilipofika binamu yangu anatuelelezea kazi yake siku hiyo ilikuwa kupiga adhana wakati jamaa anasoma dua zake.

Wamesoma quran we baadae akamwambia yule mama asimame, binamu yangu asimame ule upande wa mama ulio-paralyse. Amshike mkono na kuunyosha andelee kupiga adhana huku yeye anasoma

Kasheshe ilipoanza sasa hadi kumtisha binamu yangu wakati kaushika mkono wa mgonjwa. Yule Mmombasa nazi akaiweka juu ya bega la yule mama ambao umeshikwa. Halafu akaanza kupiga Quran.

Jamaa anakwambia sikuamini huku napiga adhana, na wakati jamaa anasoma Quran ile nazi ikawa inashuka kutoka begani kwa yule mama kuelekea mkononi.

Nazi imeshuka yenyewe mpaka kwenye viganja vya mkono taratibu. Ilipofika kwenye viganja vya mkono; jamaa akaikamata halafu akaipiga chini paa.

Akamwambia yule mama tembea mzima, kapona. Jamaa anasema kidogo nizimie nimeona nini hiki.

Shida sasa yule mama wakisomali alipopona anasema sasa ntaanza kuvaa skuna tu. Mmbosa akwambia mshikaji wangu si unaona shida zao badała ya kuwaza kumrudia mungu, yeye anawaza kuvaa skuna tena.

Kasheshe ilikuwa vipi wakati binamu yangu anatupa story tuko watu kibao kama maskami, anavyomnanga mshikaji wake alivyomchawi. Mara tu simu yake ikaita mbele yetu. Aliepiga yule Mmombasa anamwambia Siami ndugu yangu usineseme wewe mtu wangu ukinisema vibaya tu mimi huku nachomwa.

100% true story (majina ya wengine nimeyaweka kapuni, ilikuwa Leicester UK).

Will be deleted in 10 minutes
Mada yako inahusiana nini na utoto wangu?

Umenikumbusha mwanafalsafa mmoja aliielezea hilo dongo lako, linaitwa " Ad hominem fallacy".

Huo wako tafsiri yake ni, uongo wa ad hominem ni uongo wa kawaida wa kimantiki ambapo badala ya kushambulia na kuipinga hoja. unampinga mleta hoja kwa kushambulia tabia, nia, au sifa nyingine ya mtu anaeileta hio hoja.


Mimi nafurahi na naona raha zaidi ukizishambia mada na hoja zangu, zinasaidia wengi kupata uelewa wa ziada, lakini ukinishambullia mimi binafsi inanisaidia ni mimi, au wewe au awanaotusoma?

Nakushauri shambulia mada, mimi sina muda wa kushambiliana na watu binafsi humu. Nikiona mada yako kwangu haijanikalia sawa nitaishambulia mada yako kielimu yangu ya kitoto kwa muono wako.

Nipo tayari kupata elimu zaidi ya yangu ninayoijengea hoja hapa.
Simba.
 
Nikakaa kaa kidogo nikaagiza gari ya kunipeleka mjini. Gari ya hoteli ikanipeleka, nikawaambia wao warudi tu, nikihitaji gari watajulishwa.

Kwanza nilidhani hoteli wana magari mengi, maana kila siku nabadilishiwa dereva na gari, kumbe zile gari za watu binafsi zinapewa tenda tu hoteli wakizihitaji na mara nyingi hazipaki hoteli kasoro mbili tatu tu.

Alinijulisha dereva mmoja katika kupiga nae story ya gari. Anasema masharti ya hoteli ni ubandike nembo ya hoteli yao na namba zao za simu, ikitokea kazi yoyote wanakupigia na hauruhusiwi dereva kuchukua pesa au kuomba pesa kwa watalii au abiria wa hoteli unaowapakia na lazima wakuwekee GPS hoteli wajue uko wapi, ili wakupigie ile gari ya karibu na alipo mteja wao. Nikawaelewa sana hoteli.

Kufika kwa Sheikh, kama kawaida tukasalimiana nae mara na vijana wake wakaja kama walinitaimu hivi, palikua kimya kimya leo. Sheikh akanambia, Simba twende tukatete kidogo.

Tukaenda ukumbini akaagiza kahawa ikaletwa pale.

Sheikh; Kwanza hongera sana, kijana wangu huyo swahiba yako kanambia jana Bi S. alikuita ndani mkaongea sana akatoka mwenyewe kukusindikiza mpaka unaondoka.
Mimi; Sasa hongera ya nini si kawaida hio? Sheikh nilifikiri unanipa hongera labda mmenipatia mke wa Kiunguja.
Sheikh; Akachka sana, Simba wewe unaongea kama babu yako. Hapa ukitaka mke ni kutuamrisha unataka wa saizi gani tukuoze, hata leo. Sikumaanisha hilo Simba, nilimaanisha mule ndani kwake nilivyosikia, haingii mwanamee, labda mwanamke tena wanaokaa muda mrefi ni wale wanawake wa matawi ya juu, hawa mwenzngu na mie wakimaliziwa shida hakuna maongezi tena.
Mimi; Unaonesha unamjua sana Bi S.
Sheikh; Mimi namjua toka mumewe wa kwanza nawafahamu wanawe na mumewe wa kwanza, kwani yule tulikua tunakaa nae hukuhuku mjini fuoni kahamia baada ya kuolewa na K, zamani lakini. Mumewe wa kwanza siku vikimtoka anakuja hapa kwangu, nasikia anaofisi hapo Hoteli ya Bwawani anafanya biashatra zake, yule bwana alibahatika akapewa kazi ya kuuza karafu zote nje ya Zanzibar, ilikua hiuzwi karafu bila kupitia kwake. Si unajua watawala wenyewe walijiwekea vigtega uchumi na wakawaweka watu wao karibu. Yule bwana alikua Karibu sana na marehemu karume, mambi ya intelijensia haya na kwa kua yeye ni Mpoemba aksoigezwa pembeni, akawa yuko pamoja na kina amani na Ali kulinda usalama wao, ni mtaalamu kwenye masuala ya kuihami familia kubwa hizi, alifundishwa Ulaya, alipelekwa na Waingereza ili aje kua mlinzi wa Sultani, lakini wakati anarudi hapa hajakaa sana Mapinduzi yakafanyika, inasemekana yeye alikua taryari anagtumiwa na Afro Shirazi kutokea hajapelekwa Uingereza, mambo ya intelijensia, wanajua wenyewe. Baada ya mapingduzi ndio akawa karfibu sana na Mzee Karume, kabala hajauliwa akjawa kahamishiwa kwa wanawe, ni bahati yake nzuri au ahadi ya Karume ilikua imeshafika, maana angekuwepo yule angekuwepo na Mzee Karume au na yeye anageuliwa au angeuliwa yeye mzee Karume akasalimika, ndio kazi yake, alkini kiezi mitatu kabla ya kifom akawa na kina Amani, waikua watukutu sana wale, Mzee Karume akaona awawekee huyu ana nidhamu atawaweka sawa, ndio wameshikana udugu wa hiari na kina Ali na Amani mpaka leo hii. Na hule Bi S, wamejuana wakati yupo na kina Amani wakaoana, inasemekana na yeye ni mtu wa hukohuko intelijensia.

Mara ndio tunasikia yupo fuoni ana kilinge cha kibuki, sasa kimekua ndio kikubwa kinabeba wenye vibuki wale wanene sio hawa vibuki mwenzangu na mie.
Mimi: Sheikh, sasa wewe ilikuaje unapeleka watu wakatibiwe huko na wewe ni Sheikh, roqya si zinatoisha?
Sheoikh; Swadakta. Huyu binti aliletwa kwangu na ndugu zake wakanielezea alivyo, nikawa namfanhyia dua, lakini tatizo likwa hakai hapa, anaishi Bara huko na Ulaya. Ndio huko ikawa mambi tena ndugu zake wanassikia hatulizani. Wakaja kwangu, wakauliza kama kuna DSheikh yoyote ikawa mimi kunahuti Sheikh Ali nafahamu, yeye anafanya dua kwa wanaohitaji Qur'an na anasaidia wengi kutoa majini ana elimu ya majini ya kiwakwao Pemba huko. Ndio nikawajulisha nao huko, huko sasa Bwana Ali akasema huyu ana matatizo ya maruhani ya Kikwao Kingazija, ndugu zake walipokuja kunieleza nikawambia nyie wangazija mnaniuliza mimi? Wakasema Sheikh sisi tunamfahami Bi S kwa mambo hayo lakini wewe unatushauri vipi? Nikawaambia Bi S hata mimi nimesikia sifa zakw qati wazito wazito wanafanikiwa mambi yao. lakini sina ujuzi wa tiba zao za Kingazija, nendeni mkajionee, Ndio wakenda huko wakawa wanasalina wenyewe na ndugu yao na Mzee Ali ikafikia mimi kuongea na babu yako gtanga, nadhani kutpokea hapo unayagfahamu yote mpaka wa leo hii.
Mimi; Nimeelewa.
Sheikh; Sasa bwana Simba angalia sana huko maana wakikufanhya mgeni wa heshima kuna waliloliona kwako, mawili, au tamaa zao za kifedha maana huko ni mamboi ya fedha tu au DSimba hio pete yako imewatisha, maana hio hata mimi naiona ni thamni sana, hilo jiwe la kifahari. Niliiona hio akibvaa babu yako, isije kua ina mambo mazito kakuachia nayo babu yako na wao wameyaona, nikaona nikutahadharishe Simba wasikutoe kwenye mstari wale majini yao ya kibuki ni starehe tu na starehe yao kunwa ni pombe na bangi. Wengine huko hawana jini wala shetani wanapayiamo wapate kunywa mbele ya wamume zao bila kificho, maana wameoata sababu kua sio wanywao, anaekuntywa ni kibuki.

Wana hila sana hawa wanawake, kwa hio Simba baba, wewe mgeni wangu lazima nikupe tahadhari, ingawa siyajui kiukwli haswa lakini yasemwayo yapo.
Mimi; Nimekuelewa, amini nipo salama niomebee na dua niondoke Zanzibar salama. <i,i Sheikh sikai sana namchukua swahiba yangu akanitembeze kidogo, lakini niruhusu leo nimtilie mafuta kwenye gari.
Sheikh: hata kidogo, kama hayatoshi huko mnakokwenda atatitia yeye mafuta, usithubutu gtena kusema hilo Simba.
Mimi; Nisameh Sheikh wangu lakini nagfsi inanisuta, sijazoea kukirimiwa namna hii.
Sheikh; Kwa babu yako mimi naenda na watu wanne watano, na hakuna hata siku moja hatujala au kulala kifahari na hakuna tulipohitaji cha ukubwa wowote ikawa ni muhali kwake, tunatamani tufany ikrima kwako mwaka mzima. Huyajui yaliotupeleka mpaka tukajuana na babu yakeo, muulize mwenyuewe. Yule Bwana Mwenyei Mungu ampe umri mrefu na amsidishie imani, simba mjue babu yako vilivyo, rothi utu wake usirithi mali zake, utakua umeirithi hazina kubwa sana. Yuyle ni hazina inayotembea. Mimi natamani ungekuepo hapa, nisingekubali singenambia nikuruhusu ukae hoteli uione dunia.
Mimi; Kumbe mliongea?
Sheikh: Mimi kila siku naongea nae bavu yako kabla hujaa na toka umekuja, si lazima nimfahamishe tumekuchukua wapi tumekuwacha wapi? Unguja kubwa hii usiione hivi.
Mimi; Kwanini?
Sheikh; Huoni ushaanza kauli za kutafutiwa mke hapa? Huo sisi tunasema upepo wa karafuu ushakupata. Akacheka.
Mimi; Sawa Sheikh, wacha niende.

Tukaagana plae, nikatoka nje na mwanae.
Mimi: leo mi i sina pa kwenda kwa saa hizi, labda wewee unipeleka sehemu za kupita pita ytu lakini sitaki za kushuka au upo bize mshikja.
Kijana: Simba mimi leo nilikua nakusubiri nikwambie nikatembee hotelini kwa Kiwangwa, ile hote naiona paa tu na pake pakuengesha magari, natamani kweli niione ndani ilivyo.
Mimi; Usijali tutaenda wote.
Kijana; Ngoj nikupitishe mitaa ya stone town nikuzungushe kidogo halafu tuelekee.
Mimi; Poa.
Akanipitisha mitaa, mimi naona vichpchoro tu, matra kaingia huku matra katokea huku, hapo mwanamng nio ngome kongwe, pale Bet alajaib, ile ndio foro, hutaki kwenda ku daivu na vijana paleee mbele.
Mimi; Hio naipenda sana, lakini siku nyingine.
Akazunguka unguka ananiosha kila sehemu, hii ndio skuli ya Fodhani, pale jumba la mfalme, hii peoples nini sijui, mara tukagtokea hospitali ya mnazi Mmoja, hii ndio mnazi mmoja, hospitali yetu kubea huku, mbele kidogo, pale ndio maisara, kule ikulu, kule sijui nini, mpaka tukapita mtaa kama kageuza tukawa tunarudi kwa njia nyingine lakini sio vichochoroni, Hapa ndio markiti, pale mbele darajani, mbelke kidolom akanionesha viwanja vya mazoezi ya mpira, , jalafu kule ng'ambo ile ndio hoteli ya bwawani, alioijenga karume. Mwisho tukaelekea, sehemu kibao siwezi kuzikumbuka majina.

Kufika hoteli yetu, nikaingia nae nikachukua kadi yangu resepshen, nikamwambia twende gtukapoige kahawa hapo ukumbini, tukaenda ytukaagiza kahawa tukaletewa. Kukaa kidogo meneje kaja. Tukasalimiana pale, tukajulishana.

Mimi; Huyu mtoto wa Sheikh... ndio ukisikia nimeenda mjini ujue niko kwao. Ndio mwenyeji wangu mjini. Nimemleta ataembee hoteli, anasema hoteli yenu anishia parking tu.
Meneja; Kwanini ndugu yangu, si ungeingia tu kujionea.
Kijana; panatisha, mitaani huko tunaambiwa ukikanyaga ndani tu laki.
Meneja akacheka, ikiwa hivyo unafikiri serikali itaruhusu?
Kijana: Wanaokuja wazungu tu kutoka nje hawataki kero.
Meneja; Basi leo mgeni wangu wacha mimi nitakupa mtu akutembeze pote, utajionea Wazanzibari kibao wapo, wamekuja kutembea tu, bila kulipa senti tano, msitishane njooni hteli hii mjoionee anytime, tena hapa kwetu tuna bei za Watanzania, ni nafuu kwenye kila kitu kasoro disko tu, beo yetu kwenye disko kama hujajipanga utalia.
Kijana; Shilingi ngapi kiingilio disko?
Meneja; Laki moja kichwa kimpoja na vinywaji ndani bei ileile ya wageni, huko hakuna bei ya Mzanzibari, tumefanya makusudi hatutaki fujo liwe jingi ukumbi wetu sio mkiubwa sana, uijengwa kwa ajili ya wageni wa hoteli labda na wageni zao wawili wattu, lakini sasa ingawa bei hio unajaa Wazanzibari.
Mimi; Usinambie.
Meneja; Kweli Wazanzibari wanaoukuja Ijumaa na Jumamosi wanawazidi wageni kwa sana. tena wanatumia hao, mpaka mimi nashangaa, kisiwa hiki [pesa zinagtoka wapi?
Kijana; Kuna watu watu Unguja wamekaa wanakula kodi za nyumba tu na wengi wanatumiwa na ndugu zao wako nje huko.
Mimi: Basi meneja mtafutie mtu amtembeze itakua vozuri, mimi kidogo naingia ndani, akimaliza kutenbea tutakula chochote Restaurant pale, mimi na yeye. Mtanistua chumbani Meneja.

Meneja; Twende swahiba,

Wakaondoka na mimi nikaenda zangu chumbani, nikaanza kupiga piga simu zangu, nikaji[pumzisha kama baada ya 1 hour nikapigiwa simu ya hoteli.
Meneja; Kishatembezwa njoo mle, mimi nahudumia wageni kidogo.

Nikatoka, nikaenda nae rrestaurant tuka[pewa menu pale tukaagiza tukala.
Kijana: Leo nimepatembea sana. Kitu nilichoona ni beach yu wameipendesesha zaidi kwa vile vibanda vibanda vya makutoi, na wakuwashangaa ni hao wageni wa nje, wanavyojianika huko. Kama samaki wa kubanika.

Mimi; Umewaona Wazanzibari?
Kijana: kibao tu ma beachboiy huko, wengine wamevaa Kimasai lakini nawajua watoto wa Kiunguja, wenyewe weusi halafu wanapoigwa na jua mchana huu.
Mimi; Utafutaji mgumu.
Kijana; sana, hayasemeki na vigtoto vya kikena vyenyewe vinajifanya vizungu.

Tukaongeaongea baada ya kula nikamwabia twende hukohuko nje tukanywe kahawa, tukatoka nje tukaagiza kahawa ikaletwa tukawa tunakunywa pale mastori yanaendelea tu. Kijana akasema roho yangu leo imetulia, hanambii kuhusu hii hoteli, haina makubwa sana.
Mimi; Unayoyaona wewe ya kawaida kwa watalii ni makubwa sana, wao linawatia wazzimu hilo changa la bahari na jua hili. Si unaona walivyojaa baharini? Yaanoi mtu anapata usingizi kabisa juani?
Kijana; Ndio ajabu yenyewe hio, wacha nikafanye mamboi yangu mengine au unasafari yoyote DSimba?
Mimi; Kwa leo sina kabisa, tutatazama kesho, nitaamua niondoke kesho au Jumatatu.

Tukatoka, nikamsindikiza mpaka kwenye gari akaondoka, nikarudi chumbani kwangu nipige pige simu.
Nikapigapiga simu kwa wtau wote muhimu maana najua usiku naweza nisipate nafasi. Kumaliza nikaone ninede nikatembee tembee nje maana kushaanza kuingia magharibi magharibi, nilisig)fiwa kuona panavyopendeza jua linapozama.

Kutoka nje beach nikawakuta Bi H1 na H2 sehemu ile yuliokaa jana. Wanapiga kahawa na bangi.

Tukasalimiana pale.
H1; jana ukatifanya nini? Palikolea huko sio kawaida, wachumba wa kumwaga. Wazungu ndio usiseme maana nilikua nawapona wanahaha kujipeleka peleka kwa vijana wa Kiatanzania, na ile sijui mishoga haina habari ya mzungu wala Mtamnzania mwenzao.
H2; Lile gtrupu moja walikua kama sita, hivi ile mishoga kabisa inaonesha wazi, hata mizungu mingine ndio ilikua inacheza na kuongea nao, na yenyewe nmishoga tu. si nilikuonesha wawili nikakwambia jamaa zako wakingazija hao.
h1L Jmaa zako wewe hao, mimi kwetu jhakuna mashoga. Mie nimemuona yule Bi nani gtu, kujifanya mtoto mdogo na kiguo kile, hana haya yule.
H2; Wewe mwenyewe hujajiona?
H1; Sisi tutampata wapi kwa umri yule, sisi yule wanae kiumri. Ukikiona kama kitoto kidpohgo.
H2; Anatumia fedha yake.
H1; Na fedha pae ndio kwao, mtua anaepiga sho[pping Paris na Newyork mwenzako huyo?
H2; Mumewe nani yule?
H1; Mumewe alikua...hajaolewa tena.
H2; Ndio, kumbe yule ndio alikua mumewe, ndio maana basi, maana yule bwana kaacha mali nyingi hata Dar ana majumba Karikaoo yanaingiza kodi tu.
H1; Sasa ni Dar tu? Mpaka Dubai ana majumba halafu wanawe ni wawili tu alioza na huyu mama, wale wake zake wengoine hajazaa nao. Huyu mndie mkewe wa kwanza.
H2; Hao wengine walikua wake wa starehe tu, maana yule bwana umri ulikua ushakwenda tena.
H1: Simba mbona hujaja jana?
Mimi; Nimepitoiwa na usingizi mzito kustuka alafajiri. Ile supu si mchezo.
H1; Leo una plani gani, leo kunanoga zaidi huko, maana sisi tumealikwa shughuli mjini huko alkini hatukeshi saa saba au nane tunaridi disko hapa, najua na nusu au zaidi ya watu wataokuja shughulini watataka waje disko. Leo tujoin basi, wewe si unakaa hapa? Hulipi kiingillo.
Mimi; Nafahamiu, leo kama sijapitiwa na usingizi nitakuja, maana mamboi hya kuamka saa saba au nane za usiku kwenda Disko inataka moyo.
H2; Wewe si nend mapema kabla hujalala.
H1; Sie tukija usiku tukukute huko, kama hujaja leo tunakuja kukugoingea mlango wako.
Mimi; Hakuna shaka, leo mgeni wenu disko huko.
H2; Tena uje, wachumba wa jana aliowalte huyu bibi wametamani sana kukuona.
H1; Wizi wale si wanajua kijana anae kaa hapa si wa kawaida, huoni walivyokua wanajingongesha kwa Meneja?
H2; Na huyu Meneja kwanini haoi mpaka sasa? Kijana handsome ana kazi nzuri, ana kisomo chake.
H1; Huyi agtaoa mwaka huu huu anajipanga, unajua hawa wasomi waoga sana wa maisha. Mitaani huko hawapawezi, huko kwetu na Simba hapa. toto la Ilala.
Mimi; Nyinyi hamjanambia mnakaa wapi?
Ha1; Tupo wilaya moja Ilala, lakini kata tofauti. Huyu bibi anakaa kariakoo, mimi nakaa Upanga kama unapajua kwa msuya?
Mimi; Napajua sana.
H1; karibu sana nyumbani, mimi nyumba yangu inayofata ya Msuya ni jirani yangu ubavu kwa ubavu.
H2; Wala usiende Simba, huyo hakutakii mema, mumewe huyo mwanajeshi, nyumba yake huyo inalindwa na wanajeshi. Ukienda kwake sheia za kijeshi tu. Mguu sawa, mguu upoande.
H1: simsikilize huyo, mume wangu ukijuana nae utampenda, wala hutomjua kama Mwanajeshi laba umuone kavaa nguzo za Kijeshi.

Mimi: Tutakutana Dar, tutatembeleana huko msijali, na nyinyi karibuni Ilala, ilala yenyewe orijino.
H2; Unataka utugombanishe na mkeo?
Mimi; kwanini?
H2: Akikuuliza umejua wapi hawa wanawake utasema nini?
Mimi; Si nitamwambia ukweli, tumejuana hoteli niliofikia?
H1; Wewe H2 sema usitagune tafune maneno. Simba kakzimia huyo na supu za jana sijui zina nini, huyu jana kidogo amshike kwa nguvu Menejea akalale nae. Au ingekua sehemu kimya kama hivi angembaka.
H2: Sio wewe uliesema akija simba nameneja yukawabake wakijifanya ishara hawazioni?
H1; Jana ningewabaka kweli, ile supu lazima niijue siri yake. mchezo ulikua alfajiri ntuliporudi kulala, niliwashwa vinaya sana. Kidogo nitoke nije kumgoingea huyu Simba anikune.

Mimi; Kwaherini basi tutaonana nikija disko.

Nikaondoka nikawawacha pale wanapiga bangi zao.

Kurudi nikakutazama simu nikakkuta miss call mbili zote za Bi S. Nikampigia.
Bi S, Simba hali yako?
Mimi; Salama tu.
Bi S. Nasikia upo hoteli moja na Hw na H2 na mejuana huko?
Bi S; tafadhali usiwaambie kama unajuana na mimi kama bado hujawaambia. Hao gtuko nao pamoja kwenye kibuki leo, kama kukujua wakujue kivyao, maana wakijua wewe ni Mkubwa wangu heshima itapungua kwangu.
Mimi; Usijali, sijawaambia wala simwambii mtu.
Bi S; Saa ngapi unakuja, maana ukija huku leo usipite kwenye geti uani, shughuli yetu inafanyika pale na wanaume hawaruhusiwi, pita mlango mdogo wa mbele, kabla hujaja nijulishe nimweke mgtu akusubiri, lakini suikose kuja kabisa. Mie nakupoigi S sio ndama.
Mimi; Sawa BS, nije saa ngapi?
BS; ukija mapema baa da ya kusali isha tu ndio vizuri maana hawa wanaokuja leo ni kidogp 20 tu, ikiwa hivyo mata nyingi wanaondoka mapema wakimaliza ada za muhimu gtu, hawakai tena kufanya sherehe ndefu, saa sita wanaanza kuondoka mpaka asaa saba panakua kimya kabisa.
Mimi' Sawa; Nigtakujulisha.
Bi S; Samahani kwa kukwambia hahyo, ukija tutaongea zaidi.
Mimi; Poa.

Bi S. alikua hajui, mimi ja angu nione nini tu kinaendelea, isiwe kuhadoigthiwa tu, nikaanza kuhisi anaendelea kuhakikisha siri zao hazigtoki. Nikasema ngja, hanijui yule Bi S. Nikamwita Jini 1. hajachelea, dakika tu nasiki mlango unagongwa. Nikwambwabai pita. najua huyo hata mlango ukiwa na loki yeye anapita, si kivuli tu, zamani nilikua sielewi. Akaingia tena kaufungua mlango. Tiukasalimiana pale.

Jini 1: hya sema Simba
Mimi; Bi S kanipigia kasema nipite mlangoi wa mbele, sasa shughuli nitaionaje na mimi kuja kote huko niione hio shushuli yao?
Jini 1: usijali, tutakupa njia ya kufanya, sasa leo umstuae zaidi yeye na heshima kwako izidi, maana kama ana mashaka mashaka fulani hivi na wewe.
Mimi' Mashaka gani?
Jini1; kilichomtokea na wewe hakikuwahi kumtokea anafikiri watu wanataka kumnyang'anya ukubwa wake.
Mimi; Majini wake wa Kingazija hamwambii, mjini wake wamemueleza lakini yeye ndio bado haijamkaa kichwani hapati jibu. Sasa leo mwambie asiwe na wasiwasi wewe, haupo hapo kwa ajili hyake, wewe unaweza kuzimiliko koo zote za kibuki na zote wakubwa wao wanakuhesshimu. Yaani mti wasiwasi. Vizuri umeniigta. Sikiliza Simba leo tutamchezea mchezo yule hajawahi kuuona waa kuufikiria toka azaliwe. Mzingaombwe yote wanayowafanyia wateja wake na majini zake, leo watatia heshima zaidi kwako. Nisikilize kwa makini.

Jini 1: ukifika kwake, shuka mbali kidogo na gari, agana kabisa na dereva ndani ya gari. Ukishuka tu kwenye gari, igeuze pete yako nje ndani, namna hii akanionesha kwa pete yake, halafu kifunike kigto chke na kidole gumba chaka hivi, jisd lisibaki nje hata kidogo, alipofanya vile nikawa simuoni. Umeelewa, nimeelewa ka sijaelewa.

Jini 1; Sasa fanya wewe, usiiachie mpaka nikwambie.

Nikafanya kama aivyonambia kama dakika moja akanambia iachie, akasema...
Jini 1; inafanya kazi vizuri kabisa nilikiua sikuoni lakini wewe unaniona. Hio zawadi yako kutoka kwa Arsis, kuanzia leo ukifanya hivhyo hakuoni mtu wala jini, hata liwe la aina ipi. Ukiachia yu unaonekana. Sawa?
Mimi: Sawa, lakini sijaelewa igtasaidia nini?
Jini 1: Wewe ukishuka nje ya gari jifiche namna hio, halafu ingia pita kule kule mlango mkujwab ujwaone wageni wote utawaona wote wa na vijini vyao, halafu ingia ndani kwa Bi s, nenda chumba kile alichokupelka kwanza, kaa pale achi pete mpigie simu mwabie ushafika mwache aingie akukute chumbani. Halafu mwabie si kawaida yako wewe kuitwa na wachini wakoo maana umekuja ili umuite ili hadhi yako isigtiliwe shaka, kama aliokua nayo. Hapo ugtakua umemmaliza yeye na ndama wake. Na wewe hapo utaonekana wewe lakini atakiuwepo Simba mkubwa pembeni yako, wao watamuona wewe humuoni, ni majegajega tu, kama usemavyo. na mimi nitakuwepo usiwe na shaka, hawana lolote wale, wizi mtupu. Utajionea, sasa leo ndio fursa yako muulize yule bi S kila kitu, leo hakufichi wala hababaishi hata neno moja, baada ya kumfanyia hivyo, kwa sababu akipinda maneno ndama wake atamkanya mbele yako. Kwaheri tutaonana kwenye shughuli ya kibuki, safari njema.

Akaondoka zake.

...

...Alipoondoka Jini 1 nikajitayarisha nikavaa vizuri, nikapiga rakaa zangu za kumuomba Mwenyezi Mungu anilinde na shari za usiku, kama saa tatu kasorobo usiku nikawapigia resepshen wanitayarishie gari, nikatoka nikaanza safari yangu. Nikamwambia Dreva anipeleke fuoni.
Dereva; Fuoni kubwa fuoni ipi unaenda boss?

Mimi: kwa Bi S mngazija.
Dereva; Hapo maarufu sana, leo baada ya magharibi niliwapeleka madada wawili kutokea hapahapa hoteli, upo nao?
Mimi' Ndio, tupo pamoja.
Dereva; Chukulia umefika.
Mimi; Usishushe pale getini, nishushe mbele kidpgp nataka nitembee kidogo nikienda.
Dereva; Poa boss, sehemu kama sili sio kila mtu akuone ukiinhgia.
Mimi; Kwanini?
Dereva; Bi S, maarufu anatinu watu yule bibi kwa kutumia majini, maarifu sana watu wengi tunawapeleka na matatizo yao. Anajulikana sana, wewed ukitaja Bi S tu, bia hio mngazija, kila mtu anamjua.

Tukafika, akapitiliza kama nilivyomwabia, mbele kidogo nikwambia hapa panatosha. Ahsante usinisubiri, nikihitaji gari nitawapia hoteli. Nikashuka ,yeye akaondoka zake. Nikaigeuza pete yangu nikaiziba kito kama nilivyoelekezwa, ilikua kiya pale hakuna watu watu, nikarudi taratibu huku najiuliza sionekani kweli? Mbona mimi najiona kila kitu?

Kufika getini ndio nikajua sionekani, kuna watu wamesimama pale, ibabidi niwakwepe, nikafungua geti nikaingia ndani, nasikia vigoma vinapigwa.

Nikatazama tazama uani, hakuna anaeniona maana hakuna kabisa anaenistukia, nikaona Bi S amekaa juu ya kiti kikubwa kavaa yale maguo yake ya kibuki, kavaa na kilemba, wengine wanacheza cheza huko, waliopandisha majini kichwani wamepandisha, nikaanza kuona watu wengine waawili wawili, wengine watatu watatu, nikajua ndio vivuli vywnyuwe vhya kijini. Nikamuona Dokta kakaa pembeni, kimya hachezi wala haoneshi kupandisha kitu lai9ini nikaona ana vibuli vingi vingi tu, alikua kakaa na wale mabibi niliopo nao hoteli na wanawake wengine wawili, wala sio watu wazima, vijana tu kama wale ma anti niliokua nao hoteli.

Nikaingia ndani, kulikua kuna watu ukumbini ukumbini wasichana wasicha, hawakuniona kabisa, maana kwa Unguja wangeniona lazima wangenisalimia, nikawapita kimya kimya mpka kile chumba cha Bi S, chenye mazulia ya thamani.

Kufika nikatoa zawadi nilikua nimembebea chupoa ya mafuta mazuri, nilifikiria tu nimepelekee zawadi, bahati niulikua na chuoa yangu ya mafuta ya kiume sijayafungua, nikaitoa nikaiweka juu ya kimeza. Nikampigia simu, kama dakika mbili hivi akajibu. Tukasalimiana pale.
Bi S, samahani simu ilikua na watoto ndani niliwaambia wasikilie ikija simu yangu waniletee haraka, natumai hawakuchelewa kuipokea. Umepiga mara ngapi?
Mimi; Hawakuipokea, umeipokea wewe, naona hawakuchelewa kukuletea.
Bi S. Uko wapi Simba? Mboina umehelewa?
Mimi; Nipo kwako chumba cha ndama mulaki, njoo haraka, wacha shughuli zote hapo.

Nikatoa ile sauti ya kuamrisha, maana Jini 1 alishanambia mimi ndio baba lao huku.
Bi S; sasa hivi nakuja.

Kidogo akaja ndani, mimi nimekaa juu ya kocho, ile kuingia tu, Bi S akapiga magoti, nimekuja Simba, nipo chini ya amri yako.
Mimi; Kaa sehemu yako.

Akakaa vizuri.

Bi S;. Leo ni heshima kubwa mimi kuitwa nawewe, nikajua anaeongea ni ndama.
Mimi; Usijali, nataka kuongea na Bi S, wewe kaa pembeni.
Bi S; kama akajitingisha kidogo, akatoa salaam.

Nikamuitika, nikamwambia kwanza pokea zawai yaki hio nimekuletea. Huku namuonesha boksi la perfume juu ya meza. Akaichukjua, akasema Ahsante sana Simba nashukuru sana. Naam.
Mimi; Sikiliza Bi sofia, nataka unieleze kinachoendelea hapa.
Bi S. hapa leo tunashughuli ya Binti mmoja anatokea Dar, lakini ni mtoto wa hapahaoa Unguja tena wazazi wake tunaujamaa nao. Ni mngazija, Ni binti msomi Daktari tatizo lake sio kubwa sana.

Nikaguna kuashiria namsikiliza aendelee kuongea.

Bi S. Huyu binti ytagtizo lake mwili wake umekua kama chekeche, ana milango chungu nzima ya kupitia vivuli, vinaingia na kutoka vipendavyo. Bila uwepo sisi na Majini ya kwa mama zake huko angekua na matizo mengi sana, sisi tunamlinda na kumkinga sana.

Tupo sisi wa uoande wa babake na wapo wa upande wa mamake. Pia huyu binti ana kivuli cha mtu kimempenda sana, hicho inabidi tukimaliza tatizo lake tuingie nalo mkataba liondoke, limwache huyu binti aendelee na maisha yake.

Tatizo lake lipi?

Bi S; Kwanza mradi kishakubali kututambua sisi kwa mara ya kwanza leo, basi wale wa upoande wa mama zake watakua wapo lakini watakua chini yetu, itakua hakuna vita sisi na wao, na angeanza kuwatambua wao ingekua hivyohivyo kwa isi, wao ndio wangekua na kauli kwake. Sisi na hao wa upande wa mamake hatuna shida nae, mradi atutambue na akubali mila na jado yake hatumuingilii mambo yake tena tutamsaidia sana, mfani tuna uhusiano mkubwa na nyinyi simba, mahali amabapo sisi hatupo tunawasiliana na nyinyi, kama kunauwekano wowote wa kumfanyia wepesi linafanyika hilo.

Mimi; Nyinyi leo mnafanya nae nini?
Bi S; leo tunamtambulisha kwa wenzake na yeye anatutambua sisi rasmi, tutamfundisha njia ya kutuita popote anaotuhitaji, ndio tumemaliza kazzi yake. Itabaki kazi yake ya Kojani, ana vijini vyua kikojani, tumeshaongea na wakubwa zao huko kojani, wamesema wao wapo tayari kuondoka lakini paka wakavuliwe na aliewakabidhi kwa huyu hukohuko Kojani, hawataki vita na sisi. Aende kwa majini wa mamake akawatambue huko komoro kama anavyofanya na sisi hapa, ikisha hayo ndio sasa tufanye kila njia tuingie mikataba na huyu mtu alienae. Yupo pazuri. Ndio hilo mkuu.

Mimi; Ni huyo tu leo au kuna wengine?
Bi S; Huyo tu mkuu ndio kwa mara ya kwanza, wengine ni ada za kawaida tu, wazoefu wote. Unajua ukishatukubali sisi unakua kwenye jumuia kwa hio kila sherehe ukialikwa lazima uhudhurie, hivi tumealika watu kidogo tu kwa sababu mwezi ujao tulipanda shetehe kubwa ya kuwaleta wengi watutambue. Wengine kutoka hapa, kutoka Kenya na mpaka Oman huko watakuwepo mwei ujao. Karibu sana simba, usije ghfla d))safari hii, chukulia kua tumekualika na uwe mgani wetu mwanza moaka mwisho. Hio ni sherehe kubwa sana, watu zaidi ya 200 watakuwepo.

Mimi; Kuna ada zipi zinatiolewa?

Bi S; Kama leo kuna ada kubwa ya huyu Dokta, ni chani chake kikubwa na wengine wpte wanachangi tu hicho chanoi lakini kitakua kimoja tu.

Mimi; naona kuna vyakula na vinywaji vimeandaliwa, nani analipia hizo gharama?
Bi S; Vyakula tunpikisha siku hizi na kila mmoja anakuja na zawadi ya chakula, tunakula wote. Lakini vile vya muhimu vyote vyote naagiza mimi, Mimi ndio naratibu nani aje nini. Vintw)ywaji, ni lazima kila mmoja alete kinwaji chake, cha chano na cha ndama mulaki. Akileta zaidi sio vibaya lakini haipungui vvinywaji vitatu vya whiskey.

Mimi; maio yoyote ya gharama?
Bi S; Yule mwenye shughuli yake analipa million 5, na waalikwa wote kila mmoja million 1, hzio wanazileta kabla siku mbili tatu. Ili zifanya maandalizi.
Mimi; Maandalizi gani?

Bi S; Mimi kupikisha vyakula vile muhimu, si unajua wangazija hawana dogo, wakitoka hapa wanataka kila mmoja aaondoke nna sinia la kutoka shughulini. na kuandaa chano kikubwa na gharama zingine z dawa dawa za kufukiza.
Mimi; Na bangi analeta nani? Nimeona watu wanavuta nbangi hapo uani?
Bi S; Ile sio laima kila mmoja anakuja na yake, wameigfanya kama lazima wasikose, lakini hata mimi sivuti kabisa wala ndama havuti. ndama yeye whiskey tu.
Mimi; Mboina unamtaja ndama tu? na wewe?
Bi S; Samahani, mimi na ndama na mume wangu tunakunywa whiskey, sema mume wangu yeye anapuliza huwa namchukulia namwekea.

Mimi; Sawa, una swali lolote? Mimi naondoka sas hivi lakinimkimaliza ada zenu nitarudinataka uongee nao huyo mnaenfanyoia leo na wengine walimsindikiza hapahapa chumbani kwako, mimi hamtaniona lakini nitakuwepo.

Biu S; Sawa mkuu nimekuelewa.
Mimi; haya nenda, mimi nitaondoka mwenye kama nilivyokuja.

Bi S akaondoka, ile anaondoa tiu nikaigeuza pete nikaificha kito nikatoka ukumbini, niliona mlango nilipingia nikajua huu unaona moja kwa moja uyanayoendelea uani, nikaufungua nikakuta hakuna mtu, niakaingia nikauloki kwa ndani, kuna kitanda na viti dirisha lipo moja kwa moja wanapofana sherehe, lina kioo, nikajua zikizimwa taa haoni mytu ndani, sikuwasha taa kabisa nikasogeza kiti dirishani, huku bado nimezuwia pete yangu nikaanza kuangalia show sasa.

...
 
...Alipoondoka Jini 1 nikajitayarisha nikavaa vizuri, nikapiga rakaa zangu za kumuomba Mwenyezi Mungu anilinde na shari za usiku, kama saa tatu kasorono usiku nikawapigia resepshen wanitayarishie gari, nikatoka nikaanza safari yangu. Nikamwambia Dreva anipeleke fuoni.
Dereva; Fuoni kubwa fuoni ipi unaenda boss?

Mimi: kwa Bi S mngazija.
Dereva; Hapo maarufu sana, leo baada ya magharibi niliwapeleka madada wawili kutokea hapahapa hoteli, upo nao?
Mimi' Ndio, tupo pamoja.
Dereva; Chukulia umefika.
Mimi; Usishushe pale getini, nishushe mbele kidpgp nataka nitembee kidogo nikienda.
Dereva; Poa boss, sehemu kama sili sio kila mtu akuone ukiinhgia.
Mimi; Kwanini?
Dereva; Bi S, maarufu anatinu watu yule bibi kwa kutumia majini, maarifu sana watu wengi tunawapeleka na matatizo yao. Anajulikana sana, wewed ukitaja Bi S tu, bia hio mngazija, kila mtu anamjua.

Tukafika, akapitiliza kama nilivyomwabia, mbele kidogo nikwambia hapa panatosha. Ahsante usinisubiri, nikihitaji gari nitawapia hoteli. Nikashuka ,yeye akaondoka zake. Nikaigeuza pete yangu nikaiziba kito kama nilivyoelekezwa, ilikua kiya pale hakuna watu watu, nikarudi taratibu huku najiuliza sionekani kweli? Mbona mimi najiona kila kitu?

Kufika getini ndio nikajua sionekani, kuna watu wamesimama pale, ibabidi niwakwepe, nikafungua geti nikaingia ndani, nasikia vigoma vinapigwa.

Nikatazama tazama uani, hakuna anaeniona maana hakuna kabisa anaenistukia, nikaona Bi S amekaa juu ya kiti kikubwa kavaa yale maguo yake ya kibuki, kavaa na kilemba, wengine wanacheza cheza huko, waliopandisha majini kichwani wamepandisha, nikaanza kuona watu wengine waawili wawili, wengine watatu watatu, nikajua ndio vivuli vywnyuwe vhya kijini. Nikamuona Dokta kakaa pembeni, kimya hachezi wala haoneshi kupandisha kitu lai9ini nikaona ana vibuli vingi vingi tu, alikua kakaa na wale mabibi niliopo nao hoteli na wanawake wengine wawili, wala sio watu wazima, vijana tu kama wale ma anti niliokua nao hoteli.

Nikaingia ndani, kulikua kuna watu ukumbini ukumbini wasichana wasicha, hawakuniona kabisa, maana kwa Unguja wangeniona lazima wangenisalimia, nikawapita kimya kimya mpka kile chumba cha Bi S, chenye mazulia ya thamani.

Kufika nikatoa zawadi nilikua nimembebea chupoa ya mafuta mazuri, nilifikiria tu nimepelekee zawadi, bahati niulikua na chuoa yangu ya mafuta ya kiume sijayafungua, nikaitoa nikaiweka juu ya kimeza. Nikampigia simu, kama dakika mbili hivi akajibu. Tukasalimiana pale.
Bi S, samahani simu ilikua na watoto ndani niliwaambia wasikilie ikija simu yangu waniletee haraka, natumai hawakuchelewa kuipokea. Umepiga mara ngapi?
Mimi; Hawakuipokea, umeipokea wewe, naona hawakuchelewa kukuletea.
Bi S. Uko wapi Simba? Mboina umehelewa?
Mimi; Nipo kwako chumba cha ndama mulaki, njoo haraka, wacha shughuli zote hapo.

Nikatoa ile sauti ya kuamrisha, maana Jini 1 alishanambia mimi ndio baba lao huku.
Bi S; sasa hivi nakuja.

Kidogo akaja ndani, mimi nimekaa juu ya kocho, ile kuingia tu, Bi S akapiga magoti, nimekuja Simba, nipo chini ya amri yako.
Mimi; Kaa sehemu yako.

Akakaa vizuri.

Bi S;. Leo ni heshima kubwa mimi kuitwa nawewe, nikajua anaeongea ni ndama.
Mimi; Usijali, nataka kuongea na Bi S, wewe kaa pembeni.
Bi S; kama akajitingisha kidogo, akatoa salaam.

Nikamuitika, nikamwambia kwanza pokea zawai yaki hio nimekuletea. Huku namuonesha boksi la perfume juu ya meza. Akaichukjua, akasema Ahsante sana Simba nashukuru sana. Naam.
Mimi; Sikiliza Bi sofia, nataka unieleze kinachoendelea hapa.
Bi S. hapa leo tunashughuli ya Binti mmoja anatokea Dar, lakini ni mtoto wa hapahaoa Unguja tena wazazi wake tunaujamaa nao. Ni mngazija, Ni binti msomi Daktari tatizo lake sio kubwa sana.

Nikaguna kuashiria namsikiliza aendelee kuongea.

Bi S. Huyu binti ytagtizo lake mwili wake umekua kama chekeche, ana milango chungu nzima ya kupitia vivuli, vinaingia na kutoka vipendavyo. Bila uwepo sisi na Majini ya kwa mama zake huko angekua na matizo mengi sana, sisi tunamlinda na kumkinga sana.

Tupo sisi wa uoande wa babake na wapo wa upande wa mamake. Pia huyu binti ana kivuli cha mtu kimempenda sana, hicho inabidi tukimaliza tatizo lake tuingie nalo mkataba liondoke, limwache huyu binti aendelee na maisha yake.

Tatizo lake lipi?

Bi S; Kwanza mradi kishakubali kututambua sisi kwa mara ya kwanza leo, basi wale wa upoande wa mama zake watakua wapo lakini watakua chini yetu, itakua hakuna vita sisi na wao, na angeanza kuwatambua wao ingekua hivyohivyo kwa isi, wao ndio wangekua na kauli kwake. Sisi na hao wa upande wa mamake hatuna shida nae, mradi atutambue na akubali mila na jado yake hatumuingilii mambo yake tena tutamsaidia sana, mfani tuna uhusiano mkubwa na nyinyi simba, mahali amabapo sisi hatupo tunawasiliana na nyinyi, kama kunauwekano wowote wa kumfanyia wepesi linafanyika hilo.

Mimi; Nyinyi leo mnafanya nae nini?
Bi S; leo tunamtambulisha kwa wenzake na yeye anatutambua sisi rasmi, tutamfundisha njia ya kutuita popote anaotuhitaji, ndio tumemaliza kazzi yake. Itabaki kazi yake ya Kojani, ana vijini vyua kikojani, tumeshaongea na wakubwa zao huko kojani, wamesema wao wapo tayari kuondoka lakini paka wakavuliwe na aliewakabidhi kwa huyu hukohuko Kojani, hawataki vita na sisi. Aende kwa majini wa mamake akawatambue huko komoro kama anavyofanya na sisi hapa, ikisha hayo ndio sasa tufanye kila njia tuingie mikataba na huyu mtu alienae. Yupo pazuri. Ndio hilo mkuu.

Mimi; Ni huyo tu leo au kuna wengine?
Bi S; Huyo tu mkuu ndio kwa mara ya kwanza, wengine ni ada za kawaida tu, wazoefu wote. Unajua ukishatukubali sisi unakua kwenye jumuia kwa hio kila sherehe ukialikwa lazima uhudhurie, hivi tumealika watu kidogo tu kwa sababu mwezi ujao tulipanda shetehe kubwa ya kuwaleta wengi watutambue. Wengine kutoka hapa, kutoka Kenya na mpaka Oman huko watakuwepo mwei ujao. Karibu sana simba, usije ghfla d))safari hii, chukulia kua tumekualika na uwe mgani wetu mwanza moaka mwisho. Hio ni sherehe kubwa sana, watu zaidi ya 200 watakuwepo.

Mimi; Kuna ada zipi zinatiolewa?

Bi S; Kama leo kuna ada kubwa ya huyu Dokta, ni chani chake kikubwa na wengine wpte wanachangi tu hicho chanoi lakini kitakua kimoja tu.

Mimi; naona kuna vyakula na vinywaji vimeandaliwa, nani analipia hizo gharama?
Bi S; Vyakula tunpikisha siku hizi na kila mmoja anakuja na zawadi ya chakula, tunakula wote. Lakini vile vya muhimu vyote vyote naagiza mimi, Mimi ndio naratibu nani aje nini. Vintw)ywaji, ni lazima kila mmoja alete kinwaji chake, cha chano na cha ndama mulaki. Akileta zaidi sio vibaya lakini haipungui vvinywaji vitatu vya whiskey.

Mimi; maio yoyote ya gharama?
Bi S; Yule mwenye shughuli yake analipa million 5, na waalikwa wote kila mmoja million 1, hzio wanazileta kabla siku mbili tatu. Ili zifanya maandalizi.
Mimi; Maandalizi gani?

Bi S; Mimi kupikisha vyakula vile muhimu, si unajua wangazija hawana dogo, wakitoka hapa wanataka kila mmoja aaondoke nna sinia la kutoka shughulini. na kuandaa chano kikubwa na gharama zingine z dawa dawa za kufukiza.
Mimi; Na bangi analeta nani? Nimeona watu wanavuta nbangi hapo uani?
Bi S; Ile sio laima kila mmoja anakuja na yake, wameigfanya kama lazima wasikose, lakini hata mimi sivuti kabisa wala ndama havuti. ndama yeye whiskey tu.
Mimi; Mboina unamtaja ndama tu? na wewe?
Bi S; Samahani, mimi na ndama na mume wangu tunakunywa whiskey, sema mume wangu yeye anapuliza huwa namchukulia namwekea.

Mimi; Sawa, una swali lolote? Mimi naondoka sas hivi lakinimkimaliza ada zenu nitarudinataka uongee nao huyo mnaenfanyoia leo na wengine walimsindikiza hapahapa chumbani kwako, mimi hamtaniona lakini nitakuwepo.

Biu S; Sawa mkuu nimekuelewa.
Mimi; haya nenda, mimi nitaondoka mwenye kama nilivyokuja.

Bi S akaondoka, ile anaondoa tiu nikaigeuza pete nikaificha kito nikatoka ukumbini, niliona mlango nilipingia nikajua huu unaona moja kwa moja uyanayoendelea uani, nikaufungua nikakuta hakuna mtu, niakaingia nikauloki kwa ndani, kuna kitanda na viti dirisha lipo moja kwa moja wanapofana sherehe, lina kioo, nikajua zikizimwa taa haoni mytu ndani, sikuwasha taa kabisa nikasogeza kiti dirishani, huku bado nimezuwia pete yangu nikaanza kuangalia show sasa.

...
Leta vitu Simbaa
 
Zipo nyuzi hapa JF, mwambie Nourhan akupe link aliweka vipande vya screenshot kwenye uzi huu. Au waliokwisha visoma watakupa link.

Hivi visa vilianzia huko nikakumbushwa, wewe umeshaachana nako huko si mambo mema kuyarudia, ni ushetani wa hali ya juu.

Pata elimu hapa ya kuushinda ushetani. Ushetani na wema umbali wake ni sawa unene wa unywele wako mmoja.
Simba.
Kwa hiyo Corazon ndio basi tena? Ni neno la kilatin sio? Nimelisikia.kwenye tamthilia moja ya kale kidogo (90's) inaitwa "No one but you"
 
Hapo sasa ndipo inaposemekana kwamba Ke wa kwanza kwenye Mwanzo 1:27 alikuwa ni Lilith. Ke aliyeshindwa kutawalika na Adam. Lilith aliruka na kwe nda zake na baadae inasemekana alifuatwa na malaika watatu wakimsii arudi lakini alikataa. Later aliolewa na Sumael. Tumuombe Arsis atujuze tupate uelewa wake juu ya kadhia hiyo.
 
...Alipoondoka Jini 1 nikajitayarisha nikavaa vizuri, nikapiga rakaa zangu za kumuomba Mwenyezi Mungu anilinde na shari za usiku, kama saa tatu kasorobo usiku nikawapigia resepshen wanitayarishie gari, nikatoka nikaanza safari yangu. Nikamwambia Dreva anipeleke fuoni.
Dereva; Fuoni kubwa fuoni ipi unaenda boss?

Mimi: kwa Bi S mngazija.
Dereva; Hapo maarufu sana, leo baada ya magharibi niliwapeleka madada wawili kutokea hapahapa hoteli, upo nao?
Mimi' Ndio, tupo pamoja.
Dereva; Chukulia umefika.
Mimi; Usishushe pale getini, nishushe mbele kidpgp nataka nitembee kidogo nikienda.
Dereva; Poa boss, sehemu kama sili sio kila mtu akuone ukiinhgia.
Mimi; Kwanini?
Dereva; Bi S, maarufu anatinu watu yule bibi kwa kutumia majini, maarifu sana watu wengi tunawapeleka na matatizo yao. Anajulikana sana, wewed ukitaja Bi S tu, bia hio mngazija, kila mtu anamjua.

Tukafika, akapitiliza kama nilivyomwabia, mbele kidogo nikwambia hapa panatosha. Ahsante usinisubiri, nikihitaji gari nitawapia hoteli. Nikashuka ,yeye akaondoka zake. Nikaigeuza pete yangu nikaiziba kito kama nilivyoelekezwa, ilikua kiya pale hakuna watu watu, nikarudi taratibu huku najiuliza sionekani kweli? Mbona mimi najiona kila kitu?

Kufika getini ndio nikajua sionekani, kuna watu wamesimama pale, ibabidi niwakwepe, nikafungua geti nikaingia ndani, nasikia vigoma vinapigwa.

Nikatazama tazama uani, hakuna anaeniona maana hakuna kabisa anaenistukia, nikaona Bi S amekaa juu ya kiti kikubwa kavaa yale maguo yake ya kibuki, kavaa na kilemba, wengine wanacheza cheza huko, waliopandisha majini kichwani wamepandisha, nikaanza kuona watu wengine waawili wawili, wengine watatu watatu, nikajua ndio vivuli vywnyuwe vhya kijini. Nikamuona Dokta kakaa pembeni, kimya hachezi wala haoneshi kupandisha kitu lai9ini nikaona ana vibuli vingi vingi tu, alikua kakaa na wale mabibi niliopo nao hoteli na wanawake wengine wawili, wala sio watu wazima, vijana tu kama wale ma anti niliokua nao hoteli.

Nikaingia ndani, kulikua kuna watu ukumbini ukumbini wasichana wasicha, hawakuniona kabisa, maana kwa Unguja wangeniona lazima wangenisalimia, nikawapita kimya kimya mpka kile chumba cha Bi S, chenye mazulia ya thamani.

Kufika nikatoa zawadi nilikua nimembebea chupoa ya mafuta mazuri, nilifikiria tu nimepelekee zawadi, bahati niulikua na chuoa yangu ya mafuta ya kiume sijayafungua, nikaitoa nikaiweka juu ya kimeza. Nikampigia simu, kama dakika mbili hivi akajibu. Tukasalimiana pale.
Bi S, samahani simu ilikua na watoto ndani niliwaambia wasikilie ikija simu yangu waniletee haraka, natumai hawakuchelewa kuipokea. Umepiga mara ngapi?
Mimi; Hawakuipokea, umeipokea wewe, naona hawakuchelewa kukuletea.
Bi S. Uko wapi Simba? Mboina umehelewa?
Mimi; Nipo kwako chumba cha ndama mulaki, njoo haraka, wacha shughuli zote hapo.

Nikatoa ile sauti ya kuamrisha, maana Jini 1 alishanambia mimi ndio baba lao huku.
Bi S; sasa hivi nakuja.

Kidogo akaja ndani, mimi nimekaa juu ya kocho, ile kuingia tu, Bi S akapiga magoti, nimekuja Simba, nipo chini ya amri yako.
Mimi; Kaa sehemu yako.

Akakaa vizuri.

Bi S;. Leo ni heshima kubwa mimi kuitwa nawewe, nikajua anaeongea ni ndama.
Mimi; Usijali, nataka kuongea na Bi S, wewe kaa pembeni.
Bi S; kama akajitingisha kidogo, akatoa salaam.

Nikamuitika, nikamwambia kwanza pokea zawai yaki hio nimekuletea. Huku namuonesha boksi la perfume juu ya meza. Akaichukjua, akasema Ahsante sana Simba nashukuru sana. Naam.
Mimi; Sikiliza Bi sofia, nataka unieleze kinachoendelea hapa.
Bi S. hapa leo tunashughuli ya Binti mmoja anatokea Dar, lakini ni mtoto wa hapahaoa Unguja tena wazazi wake tunaujamaa nao. Ni mngazija, Ni binti msomi Daktari tatizo lake sio kubwa sana.

Nikaguna kuashiria namsikiliza aendelee kuongea.

Bi S. Huyu binti ytagtizo lake mwili wake umekua kama chekeche, ana milango chungu nzima ya kupitia vivuli, vinaingia na kutoka vipendavyo. Bila uwepo sisi na Majini ya kwa mama zake huko angekua na matizo mengi sana, sisi tunamlinda na kumkinga sana.

Tupo sisi wa uoande wa babake na wapo wa upande wa mamake. Pia huyu binti ana kivuli cha mtu kimempenda sana, hicho inabidi tukimaliza tatizo lake tuingie nalo mkataba liondoke, limwache huyu binti aendelee na maisha yake.

Tatizo lake lipi?

Bi S; Kwanza mradi kishakubali kututambua sisi kwa mara ya kwanza leo, basi wale wa upoande wa mama zake watakua wapo lakini watakua chini yetu, itakua hakuna vita sisi na wao, na angeanza kuwatambua wao ingekua hivyohivyo kwa isi, wao ndio wangekua na kauli kwake. Sisi na hao wa upande wa mamake hatuna shida nae, mradi atutambue na akubali mila na jado yake hatumuingilii mambo yake tena tutamsaidia sana, mfani tuna uhusiano mkubwa na nyinyi simba, mahali amabapo sisi hatupo tunawasiliana na nyinyi, kama kunauwekano wowote wa kumfanyia wepesi linafanyika hilo.

Mimi; Nyinyi leo mnafanya nae nini?
Bi S; leo tunamtambulisha kwa wenzake na yeye anatutambua sisi rasmi, tutamfundisha njia ya kutuita popote anaotuhitaji, ndio tumemaliza kazzi yake. Itabaki kazi yake ya Kojani, ana vijini vyua kikojani, tumeshaongea na wakubwa zao huko kojani, wamesema wao wapo tayari kuondoka lakini paka wakavuliwe na aliewakabidhi kwa huyu hukohuko Kojani, hawataki vita na sisi. Aende kwa majini wa mamake akawatambue huko komoro kama anavyofanya na sisi hapa, ikisha hayo ndio sasa tufanye kila njia tuingie mikataba na huyu mtu alienae. Yupo pazuri. Ndio hilo mkuu.

Mimi; Ni huyo tu leo au kuna wengine?
Bi S; Huyo tu mkuu ndio kwa mara ya kwanza, wengine ni ada za kawaida tu, wazoefu wote. Unajua ukishatukubali sisi unakua kwenye jumuia kwa hio kila sherehe ukialikwa lazima uhudhurie, hivi tumealika watu kidogo tu kwa sababu mwezi ujao tulipanda shetehe kubwa ya kuwaleta wengi watutambue. Wengine kutoka hapa, kutoka Kenya na mpaka Oman huko watakuwepo mwei ujao. Karibu sana simba, usije ghfla d))safari hii, chukulia kua tumekualika na uwe mgani wetu mwanza moaka mwisho. Hio ni sherehe kubwa sana, watu zaidi ya 200 watakuwepo.

Mimi; Kuna ada zipi zinatiolewa?

Bi S; Kama leo kuna ada kubwa ya huyu Dokta, ni chani chake kikubwa na wengine wpte wanachangi tu hicho chanoi lakini kitakua kimoja tu.

Mimi; naona kuna vyakula na vinywaji vimeandaliwa, nani analipia hizo gharama?
Bi S; Vyakula tunpikisha siku hizi na kila mmoja anakuja na zawadi ya chakula, tunakula wote. Lakini vile vya muhimu vyote vyote naagiza mimi, Mimi ndio naratibu nani aje nini. Vintw)ywaji, ni lazima kila mmoja alete kinwaji chake, cha chano na cha ndama mulaki. Akileta zaidi sio vibaya lakini haipungui vvinywaji vitatu vya whiskey.

Mimi; maio yoyote ya gharama?
Bi S; Yule mwenye shughuli yake analipa million 5, na waalikwa wote kila mmoja million 1, hzio wanazileta kabla siku mbili tatu. Ili zifanya maandalizi.
Mimi; Maandalizi gani?

Bi S; Mimi kupikisha vyakula vile muhimu, si unajua wangazija hawana dogo, wakitoka hapa wanataka kila mmoja aaondoke nna sinia la kutoka shughulini. na kuandaa chano kikubwa na gharama zingine z dawa dawa za kufukiza.
Mimi; Na bangi analeta nani? Nimeona watu wanavuta nbangi hapo uani?
Bi S; Ile sio laima kila mmoja anakuja na yake, wameigfanya kama lazima wasikose, lakini hata mimi sivuti kabisa wala ndama havuti. ndama yeye whiskey tu.
Mimi; Mboina unamtaja ndama tu? na wewe?
Bi S; Samahani, mimi na ndama na mume wangu tunakunywa whiskey, sema mume wangu yeye anapuliza huwa namchukulia namwekea.

Mimi; Sawa, una swali lolote? Mimi naondoka sas hivi lakinimkimaliza ada zenu nitarudinataka uongee nao huyo mnaenfanyoia leo na wengine walimsindikiza hapahapa chumbani kwako, mimi hamtaniona lakini nitakuwepo.

Biu S; Sawa mkuu nimekuelewa.
Mimi; haya nenda, mimi nitaondoka mwenye kama nilivyokuja.

Bi S akaondoka, ile anaondoa tiu nikaigeuza pete nikaificha kito nikatoka ukumbini, niliona mlango nilipingia nikajua huu unaona moja kwa moja uyanayoendelea uani, nikaufungua nikakuta hakuna mtu, niakaingia nikauloki kwa ndani, kuna kitanda na viti dirisha lipo moja kwa moja wanapofana sherehe, lina kioo, nikajua zikizimwa taa haoni mytu ndani, sikuwasha taa kabisa nikasogeza kiti dirishani, huku bado nimezuwia pete yangu nikaanza kuangalia show sasa.

...
...

Ile natazama nikaachia pete, ndani kiza na mlango nimefunga nikajua dirishani hawaoni, ni kama hatua nne kutoka kwangu Bi S kakaa juu ya kiti chake akini nikamuona hana raha, kile kitendo cha kumuita ndani kama kimemtia hofu fulani na bado anajiuliza nimefikaje pale, naamini hata yeye hana ujanja huo au wa kichawi, baada ya maelezo yake kule ndani nikajua ni mpigaji, tu. Hesabu za haraka haraka nikaona kapiga mililioni 25, kila mtu anakuja na chakula, tena anawaambia yeye waje na nini. Kila mtu anakuja, kwa uchache na chupa tatu za whiskey, mbili hapo hazigusi kabisa, yeye yake anaruhusiwa kunywa ni moja tu, na wengi si wanywaji kihivyo na mibangi ile hawamalizi hata nusu chupa ya whiskey. Hesabau za haraka kwa watu ishirini na mwenye sherehe yake mmoja, kapiga kama million 20 net, gharama zake hazifiki million 5 kwa hesabu yoyote ile. lakini tuchukulie millioni 5 ghrama zake.

Nikaendelea kutazama, nikaona kaomba kitezo cha moto, akaanza kama anamwita ndama, kuja ndama akauliza...

Bi S; haya sasa ngoma tumkaribishe mwenye shughuli lakini kabla hajaja hapa leteni chano ili wakija tuwakabidhi wenye chano chao.

Likaletwa sinia lina vyakula vingi vidogo vidogo, matunda kila kila namna, mpaka tende na halwa zipo, mpaka pipi zipo. Sinia limesheheni, na maua maua sijui vichupa chupa vina nini, ni zuga tu. Lilipowekwa mbele ya Bi S. akaletwa dokta mbele yake akawekewa kitezo cha moto mbele yake, ukatiwa ubani kibao.

Bi S; haya mizimu ya jadi ya ndama mulaki, mliopo karibu yake njooni tusemezane, kama dakta... akasema kwa kurudia rudia kama mara tano hivi, huku Bi S anaita na kusema sema. Mara nikamuona Dokta kama anakakamaa hivi akapiga kelele. Baada ya kelele akaanza kutazama tazama kila upande huku anatingisha kichwa kama anakubali kitu.
Bi; S; haya jitambulishe tukujue nani uliekuja.

Dokta akaanza kama kutabasamu hivi akaonesha mkono kujielekezea mwenyewe.
Bi S; sema nani umekuja chano chako hicho hapo tumekutayarishia, na hizo chupa kwenye chano vinhywaji vyako hivyo Dokta... kakuletea.

Kuambiwa vinywaji vyako, akatabasamu akachukua chupa moja ya whiskey haijafunguliwa akampa Bi S. Akamwashiria aifungue.

Bi S. akaifungua pale akamkabidhi, kupewa kwana za akainusa akaiweka mdomoni akaipiga kidogo kama anaisikilizia, akaongeza mara ya pili, akakaa kidogo akaipiga mara ya tatu, akatingisha kichwa kama kakubali.

Bi S; haya sema, huyu kishatambua uwepo wenu na yupo tayari sasa kua kiti chenu, sasa mwacheni afanye mambo yake na mumtimizie haja zake. Jini akaendelea kukubali akaanza kusema..

Dokta: tayari, tayari tayari. Sisis hatuna neno, sasa tumedurahi, mambo mengine hgatusemi mbele a watu tutaongea na wewe peke yako halafu utamwambia huyu, na yeye huyu anatusikia, anajua kila kitu kinachoendelea, Umefahamu Ndama?

Bi S; Nimefahamu sana, sasa pokeeni chano chote hicho, haki yenu hiyo, sasa muwe na m)uhusianoi mzuri wote mliokuwe[o, nyote mtafanyiwa ada zenu na huyu sasa awe huru kjufanya maboi yake.

Dokta" tayari, tayari. Sisis sasa naondoka baadae taongea na wewe tu na yeye. Usiku huu.

Bi S; haya nendeni kwa amani chukueni na chano chenu.
Dokta; Hii weka wewe, huyu kiti bado yupo hapa tafanya sherfehe, leo wacha yeye nafurahi tu. Anafanya kitu kizuei na kikubwa sana, mjulishe na wote na sisi tumekwisha onana na wenzeti wote, tunajuana sana. Sisi sio kama nyinyi.
Bi Sawa, kwaherini.

Dokta akajikakamua hapo akatazama ztazama kote akarudi kwa wenzake walipokaa kwanza. Kila mmoja akaanza kumpa gongera, wakanyanyuka wakawa wanamfata wanampa hongera,wanamkumbatia, wenye kumtunza pesa wanamtunza, wenye kumpa awadi yoyote waliokuja nayo wanampa. Mmoja akaaza kusema kwa sauti; Ndugu zangu tumakaribishe kwa hali na mali yeye vibuki wake, Huyu sasa ni mwenzetu, ndugu yetu kwa lolote lile tuwe nae, kama tulivyo sisi na zaidi, na wewe Dokta, karibu, sisi sote tuchukulie ni kama wewe, tu kitu kimoja. Bi S na ndanma ndio kiongozi wetu na muunganishi wetu, unachotaka kwa mmoja wetu kama hakukugfanyia mjulishe Bi S, yeye anajua la kiufanya. Mi i ni msaidizi wa Bi S, akiwa hapatikani au kuna lolote lile unaweza kulifikisha kwangu. Karibu sana.


Wakaanza kupiga vigelevigele na shangwe, wakaanza kunywa whiskey, inafunguliwa moya safi, anakunywa mooja inazungushe kila mtu anapiga funda mpaka inamfikia Dokta ana[piga funga, inappoishia inafunguliwa nyingine, ikaend hivyuo mpaka kila mtu kisha kunywa.
Bi S. haya jamani, mwenye kucheza acheze mwenye kula ale, mimi ina bidi niende ndani na mtoto atakuja kuwaita nigtaoongea nao kama kawaida. Ila watakaokuja kwanza nikiwaita, aje Dokta na wewe msaidizi wangu na fulani na fulani, wakawa jumla watanoi na bi S. wa sita.

Nikamwacha bi S aende na mimi nikabana pete yangu nikafungua mlango taratibu nikatoka, gapakuwepoi na mtu ukumbini, nikaingia kwa bi S, nikakuta hayupo ndani nikajua labda kaenda kukjisaidia au vipi, nikaka kwenye kochi huku nimeficha pete yangu baada ya muda kidogo Bi S karudi nikamuona kapitiloiza mpaka mlangoni akamwigta binti mmoja akamwambia haya kawaiata tumalize, shughuli ya leo sio ndogo.

ule mtoto aakatoka Bi S kurudi kukaa, mimi nikanyuka nikatoka mlangoni nikagoinga, akasema pita. Nikaingia.

Bi S. Simba umekuja?

Mimi; Nipo muda wote wa sgerehe, nilikua na nyinyi nadshangaa hamnioni.
Bi S; Sema kweli, mbona mambi makubwa haya. Ulisema wasikuone sasa wakija nimeita si watakuona, nikamwabia ngoja nitoke, wewe kaa tu wasubiri nikafungua mlango nikaiminya pete nikarfudi ndani sikukaa lakini nikasimama pembeni najua hapa hata wakija hawafiki. Haijapita dakika tatu wakaingia wakakaa.


Bi S akaanza kuweka kitezo akatia ubani akapandisha nikafahamu sasa ni ndama yupo. Akasema wewe Dokta kaa hapo.

Bi S; Sikiliza kwa makini. kwanza tumefurahi na vibuki wao wa ukoo wamefurahi sana umeamu kuwatambua. Kama ulivyoambiwa, mimi sina haja hya kurudia isipokua fanya safari uende Kojani vikaondolewe vijini vichafu vya kipemba tumeshakubaliana nao virudishwe kwao vikakabidhiwe huko, wewe nenda na sisi tutakuwepo usiogope, hio ni kazi hio ya muda mchache tu. Sawa?
Dokta; Sawa.
...
 
Kwa hiyo Corazon ndio basi tena? Ni neno la kilatin sio? Nimelisikia.kwenye tamthilia moja ya kale kidogo (90's) inaitwa "No one but you"
Hio ID ndio Basi, ni Arsis sasa.

Corazon Espinado ni nyimbo alioipiga Carlos Santana. Santana huyo ni ukoo wa Simba. Nyimbo zake nyingi zina mambo ya majegajega ukizisikiliza. Kama Black magic Woman.
Simba.
 
Hapo sasa ndipo inaposemekana kwamba Ke wa kwanza kwenye Mwanzo 1:27 alikuwa ni Lilith. Ke aliyeshindwa kutawalika na Adam. Lilith aliruka na kwe nda zake na baadae inasemekana alifuatwa na malaika watatu wakimsii arudi lakini alikataa. Later aliolewa na Sumael. Tumuombe Arsis atujuze tupate uelewa wake juu ya kadhia hiyo.

Huyo ni shetani.
Simba.
 
Kwa Kiarabu ni; Bidaa
Kwa Kingereza ni; heresy.

Umeridhika au bado?

Sasa na wewe rudia post zangu unapokuta alama ya kuuliza jibu ukweli wako. Nbona unakwepa maswali yangu? Yamelenga kutoa elimu.
Simba.
Mkuu, hii hali ya kuhisi kutembelewa na vitu mwilini kama wadudu au sisimizi lakini hakionekani kitu. Unafahamu lolote kuhusu hilo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom