Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kuhusu kuoneshwa mbona nakumbuka sio lazima mtu apelekwe mapangoni kujifunza hayo yote,,mtu akiwa kapewa mkoba wa uganga anaanza kwa kuumwa sana tu. Kama malaria huku akiwa kwenye ndoto wale wote waliokuwa waganga wa tangulizi anawaona nakupewa masharti yakufanya ili awe mganga.

Baada ya kupewa mizimu yake na majini yake lazima upewe jini ambalo ni uganga wako. Ndiye anaitwa kiti na pia humuona ndotoni sio live.

Halafu ukianza kusimikwa uganga unatakiwa uwe unafamilia tayari. Watoto wako ndio ukoo wako kuna mmoja au mjukuu wako utamridhisha.

HAlafu unakuwa unaona hadi mtu akienda kwa waganga au mtu fulani wakaribu wanataka kumuua au chochote kizuri au kibaya .
BAsi ukioa unaletewa wengine wakukuelekeza na wazee waukoo uganga ulipo basi unaanza kutibu.

Ila uganga kwanza nikama unabii tu ila mtu kuishi mapangoni kufanya nini kama ni pete zauganga kama umeshaoa mke au kuolewa na mme wamtakao basi. Ukiwamke namume unaanza kuoteshwa nani wakukupa kila kitu sasa sijui wengine wanaenda kuishi mapangoni kufanya nini na huku majini yanakufuata at the right time . Na mtu huanza kuona nakuelezea wale wenye shida nakuwaelekeza mganga wakuwasaidia kwa mana bado hajawa kamili.

Na uganga halisi huwezi kulala na familia yako. Hiyo hapana hata ukiuliza watu wengi . Ambao wamekuwaga waganga .

Sijui kwa wale ambao wengi waliupataje huo uganga .
Binafsi nina uzoefu wa kipekee wa mambo hayo. Nitaichukua hii post na kuijibu kule kwa kina.
Simba.
 
Sio nia, labda hajaliona au mimi sijaliona, lipo post namba ngapi?
Nakuliza hapa wala usirudi nyuma kutafuta post.
1.pete ya nabii sulayman ipo wapi
2.je alikuwa anaitumia kwa dhumuni gani
3.nani aliye itengeza
4.sanduku la agano lipo wapi kwa sasa
 
Nakuliza hapa wala usirudi nyuma kutafuta post.
1.pete ya nabii sulayman ipo wapi
2.je alikuwa anaitumia kwa dhumuni gani
3.nani aliye itengeza
4.sanduku la agano lipo wapi kwa sasa
Arsis anafahamu pete ilipo lakini kagoma kabisa kusema iko wapi. Lakini anasema ipo,imefichwa.

Kuhusu pete ilitumika vipi na sanduku liko wapi, subiri Arsis atakuja kujibu. Mimi sina jibu la hayo, sijawahi kuyauliza kwa Arsis.

Labda Shehe wa Nourhan atakupa majibu kwa elimu yake ya ...
Simba.
 
Ukweli humweka mtu huru au sio?

Utaona tu nikikujibu.
Simba.
Wewe ni muislam mie mkristu halafu unajua dua zako mie sio kama wewe wewe ni mganga mie naona tu vitu kwa mtu mwenye hitaji nakumwelekeza akatibiwe mahali basi. Sasa nikikuambia jambo maana mie bado nasaidiwa mambo na watu ambao nao ni wanao yao huoni majini yako yataniandama nikikuelekeza ukawa na nguvu zaidi ya hapo kama msaada maana kuna vyakutoa nanaogopa kusema nisirudiwe nalo .
 
Arsis anafahamu pete ilipo lakini kagoma kabisa kusema iko wapi. Lakini anasema ipo,imefichwa.

Kuhusu pete ilitumika vipi na sanduku liko wapi, subiri Arsis atakuja kujibu. Mimi sina jibu la hayo, sijawahi kuyauliza kwa Arsis.

Labda Shehe wa Nourhan atakupa majibu kwa elimu yake ya ...
Simba.
Ndio kawaida yako mara arsis mara simba mnaruka maswali
 
Hiyo ipo, inatibu kila ugonjwa wa ngozi. Jana kuna mtu kaweka namba hapa kwenye uzi na kasema znamba zipo, nimesoma uzi wanaiita Zainab Clay au kitu kama hivyo, tumia search ya JF utauona na utapata namba.
Simba.
Freemasons na illuminati ni tawi lipi huko ujinini kuzimu akhera!!?

Je ni Mungu muumba ndio kawaweka !!?na Kwa lengo lipi!!?
 
Kuhusu kuoneshwa mbona nakumbuka sio lazima mtu apelekwe mapangoni kujifunza hayo yote,,mtu akiwa kapewa mkoba wa uganga anaanza kwa kuumwa sana tu. Kama malaria huku akiwa kwenye ndoto wale wote waliokuwa waganga wa tangulizi anawaona nakupewa masharti yakufanya ili awe mganga.

Nianze kwa kupunguza maswali, ili nijibu kila kipande kipekee, tuelewane zaidi.

Sijafahamu "kuhusu kuoneshwa" unamaanisha nini?

kama umenisoma vizuri, utaona kua sikupelekwa mapangoni kufundishwa chochote. labda kama unaongelea wengine kua wanapelekwa kufundishwa. Nilipelekwa mapangoni kurithishwa rafiki za babu yangu na nilipelekwa "kufunguliwa macho" kwa mujibu wa babu yangu.

Hayo ya kuumwa mimi hayajanikuta labda ndio maana kabla kuingizwa mapangoni babu yangu alinipa dawa za kupaka, kuna kila uwezekano ilikua kinga ya kuumwa".

D- Sikupewa masharti yoyote nilipokua mapangoni zaidi ya kuambiwa pete niliopewa nisiivue nikawacha nje ya mkebe iliokuja nao.

Mapangoni nilikabidhiwa bakora na pete. Sharti la pete ndio kama nilivyolieleza hapo juu, bakora sikupewa sharti bali nilielekezwa nisiilaze chini, niwe naisimamisha, hata kama hakuna pa kuiegemeza itasimama yenyeeewe, ndivyo ilivyo hadi leo hii.
Simba.
 
Mwanzo 2:21-23
[21]BWANA Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
And the LORD God caused a deep sleep to fall upon Adam, and he slept: and he took one of his ribs, and closed up the flesh instead thereof;
[22]na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
And the rib, which the LORD God had taken from man, made he a woman, and brought her unto the man.
[23]Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
And Adam said, This is now bone of my bones, and flesh of my flesh: she shall be called Woman, because she was taken out of Man.
Huko ndiko walikotoa tulio, Lidafo, Etugrul Bey, Nourhan na mashehe zao. Kwenye Qur'an hakuna kua Adam ni mtu wa kwanza kuumbwa na hakuna Hawa.

Hawa wanemtoa wapi?.

Arsis kaanza kuwafundisha Qur'an, wanashindwa kumjbu hata salam.

Ustadh anaingia darasani wanafunzi wanachomoka, kiwango cha Arsis cha juu sana. Tena naona anakwenda taratibu sana, anasema wanafunzi wake akienda mbio hawatamuelewa kabisa. Adam na Hawa tu wanashindwa kujibu, wanababaika na kitabu wanacho mbele yao.
Simba.
 
Kuna uhusiano gani kati ya viumbe na dhana mfano pete bangili mkufu pamoja na vito
Mapambo tu. Kuna majini wa kishetani wanataka hivyo vitu wanavifanyia uchawi unakua chini ya himaya yao, kama shehe wake Nourhan ili apate ubwabwa wa bure kila wiki.

Kuna pete za mawasiliano kwa teknolojia ya hali ya juu baina ya majini na watu, hii wale majini wakubwa, wazuri na wabaya wanaitumia. Kama vile binadam wazuri wanatumia simu na wabaya wanatumia simu.
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom