Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

Kwasababu hufahamu faida zake.
Kwa upande wangu wangu napenda sana mbwa wa kisasa, ukitaka tukosane mpige mbwa wangu.
Mbwa waliwahi kunisaidia sana, nilikuwa nimehamia nyumba mpya na nikiwa mgeni wa mazingira, nilikuwa sijaimarisha ukuta, vibaka walikuja usiku wako zaidi ya 4, kilichowapata hawatasahau na walisababisha watu kuogopa kuja kwangu hata mchana japo huwa nawafunga.

Mimi nafuga kibiashara na hata polisi walikuwa wateja wangu.
Hawa viumbe wanalipa sana hasa ukiwa na mbegu bora na orginal.

Tahadhari, kama sio mzoefu usiingie kwenye biashara hii kichwakichwa utapoteza pesa. Upate washauri wakushauri mbegu bora.

Kulikoni kufuga koko wala mavi, fuga hawa mbwa wa kisasa ili wakizaa warudishe gharama na waendelee kujitunza
vipi kuhusu magonjwa?na process za kuwasafirisha pamoja na capital ya kuanzia?
 
largest-dogs-mastiff-puny.jpg.838x0_q80.jpg
largest-dog-breeds-new.jpg.653x0_q80_crop-smart.jpg
largest-dogs-great-dane.jpg.838x0_q80.jpg
largest-dogs-dane_0.jpg.838x0_q80.jpg
largest-dogs-english-mastiff.jpg.838x0_q80.jpg
Mbona hii ya mwisho imekaa kaa kama kitimoto
 
vipi kuhusu magonjwa?na process za kuwasafirisha pamoja na capital ya kuanzia?
1. Magonjwa yapo, lkn ukizingatia kinga 3 za awali na ukazingatia kuchanja kichaa kila mwaka, na kuwapa dawa za minyoo kila baada ya muda stahiki hutapata shida ya magonjwa.
Lazima uwe na daktari wa kuwatembelea kwa muda flani.
Pia ni vyema ukajifunza kuchoma sindano hasa ya minyoo pia utaepusha gharama.

2. Kusafirisha kutoka eneo moja kwenda lingine si changamoto kubwa. Tengeneza box la mbao kama yale ya kusafirishia nyanya au wavu wa chuma.
Lkn kama unavusha mkoa au mpaka wa nchi lazima uwe na kadi ya chanjo toka daktari
3. Mtaji hasa wa kununulia ndio gharama.
Hapa tz mbwa mzuri eg. German shephard ni sh 1.2ml
Kuna chakula maalum kilichotengezwa tayari..pedgree au unga maalum, lkn chakula muhimu zaidi ni protini itokanayo na wanyama yaani nyama, hicho ndicho chakula kikuu lkn sio kila siku.
Mkuu inahitaji utulivu kutoa somo na mpangilo wa chakula lkn sio ngumu kufuga
 
Ninao kumi ninawatunza kwa gharama kubwa kwa mwezi wanakula chakula cha 4m
hivi hiyo ni akili kweli?
wenyewe wanaingiza shngp wakila msosi wa mil 4?
unafanya kazi gani mkuu?
na wewe unakula chakula cha shngp?
napatwa na ukakasi juu ya hili...
maana naona sifa za kijinga ndio zimetawala hapa..
 
hivi hiyo ni akili kweli?
wenyewe wanaingiza shngp wakila msosi wa mil 4?
unafanya kazi gani mkuu?
na wewe unakula chakula cha shngp?
napatwa na ukakasi juu ya hili...
maana naona sifa za kijinga ndio zimetawala hapa..
Ni Ulaya pekee watalisha mbwa 10 kwa 4ml/month, hapa kaongezea chumvi
 
hivi hiyo ni akili kweli?
wenyewe wanaingiza shngp wakila msosi wa mil 4?
unafanya kazi gani mkuu?
na wewe unakula chakula cha shngp?
napatwa na ukakasi juu ya hili...
maana naona sifa za kijinga ndio zimetawala hapa..
alichokiongea jamaa yupo sahihi kabisa kaka tena kwa wengine inaweza kuwa bei rahis sana kutumia kwa mbwa hyo kwa mwezi
 
Mtoa mada hii chai imepoa asee

Eti mbwa walikula mtu? Hakuna mbwa anaeweza kula mtu asee
 
nataka kujua return of that feed to those beasts,what is his gain?
wengi huweka mbwa wa aina hizo kwenye nyumba zao ili ku avoid,kutafuta walinzi hasa wa mashirika ambao wengi huwa siyo waaminifu na kuiba mali za tajiri.
pia mtu kulisha mbwa kiasi hicho inadepend na income yake ya mwezi ndugu
 
Back
Top Bottom