Niliwahi tumia chumvi kuzungushia katika kila angle ya kitanda, usiku nilihangaika sana kulala, ndoto mbaya na taflani kubwa ambayo sijawahi ona

Niliwahi tumia chumvi kuzungushia katika kila angle ya kitanda, usiku nilihangaika sana kulala, ndoto mbaya na taflani kubwa ambayo sijawahi ona

1. Chumvi unatajiwa iwe ya MAWE. Hii inauzwa sana sokoni. Achana na chumvi zile za pakti.

2. Chota kwenye ujazo wa kiganja chako

3. Weka hicho chumvi kwenye ndoo ya kuoga
4 . Nenda unachokitaka kwenye hayo maji

5. Subiri chumvi iyeyuke

6. Kaoge

7. Usijifute maji


Mshana Jr kama Kuna sehemu nimekosea ruksa kunisahihisha
Kuna wengine niliwasikia wanadai maji ya siingie kwenye tundu la choo, ni kama kukinajisisha kifaa kitakatifu cha kuondoa bahati mbaya na mikosi , hivyo hutopata matokeo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ, nimesikia tu lakin.
 
2 Wafalme 2:21
Elisha akaenda kwenye chemchemi ya maji, akatupa chumvi hiyo ndani na kusema, โ€œMwenyezi-Mungu asema hivi: Nimeyafanya maji haya kuwa yenye kufaa; tangu sasa hayatasababisha vifo au kutoa mimba.โ€
Unaona sasa tofauti iliyopo, chumvi iliyotajwa humo ni chumvi ya kutia kwenye mboga na siyo chumvi yenu ya mawe mnayodai.
 
1. Chumvi unatajiwa iwe ya MAWE. Hii inauzwa sana sokoni. Achana na chumvi zile za pakti.

2. Chota kwenye ujazo wa kiganja chako

3. Weka hicho chumvi kwenye ndoo ya kuoga
4 . Nenda unachokitaka kwenye hayo maji

5. Subiri chumvi iyeyuke

6. Kaoge

7. Usijifute maji


Mshana Jr kama Kuna sehemu nimekosea ruksa kunisahihisha
Nakazia:

Sio hivyo tu, hata ikitokea labda una msala kazini, au biashara zako zinaenda sengemnenge.


Chukua vipande viwili, weka kila kipande kwenye soksi kisha nenda zako job.

Utashangaa mambo yatakavyoenda tofauti.

View: https://youtu.be/PLBujeyuWb4?si=be3bt5eyw5iMKXT_
 
Back
Top Bottom