Niliwahi tumia chumvi kuzungushia katika kila angle ya kitanda, usiku nilihangaika sana kulala, ndoto mbaya na taflani kubwa ambayo sijawahi ona

Niliwahi tumia chumvi kuzungushia katika kila angle ya kitanda, usiku nilihangaika sana kulala, ndoto mbaya na taflani kubwa ambayo sijawahi ona

FORBIDDEN HISTORY

Senior Member
Joined
Jul 28, 2024
Posts
165
Reaction score
347
Sina cha kufaidika kuwadanganya katika hili ila ndio hali ilionipata usiku huo. Wala sikulala na taharuki na wlaa sikulala katika mawazo ya kitanda changu kuwa chumvi ila nilipitia hali ngumu aisee

Ningependa kupata elimu nzuri kuhusu chumvi hii ya mawe, ili tusaidiane namna nzuri ya kuitumia
 
Nisaidie boss wangu namna nzuri ya kuogea na kuleta matokeo chanya🙏
1. Chumvi unatajiwa iwe ya MAWE. Hii inauzwa sana sokoni. Achana na chumvi zile za pakti.

2. Chota kwenye ujazo wa kiganja chako

3. Weka hicho chumvi kwenye ndoo ya kuoga
4 . Nenda unachokitaka kwenye hayo maji

5. Subiri chumvi iyeyuke

6. Kaoge

7. Usijifute maji


Mshana Jr kama Kuna sehemu nimekosea ruksa kunisahihisha
 
1. Chumvi unatajiwa iwe ya MAWE. Hii inauzwa sana sokoni. Achana na chumvi zile za pakti.

2. Chota kwenye ujazo wa kiganja chako

3. Weka hicho chumvi kwenye ndoo ya kuoga
4 . Nenda unachokitaka kwenye hayo maji

5. Subiri chumvi iyeyuke

6. Kaoge

7. Usijifute maji


Mshana Jr kama Kuna sehemu nimekosea ruksa kunisahihisha
Pamoja sana mkuu
 
Miafrika na ujinga:

Screenshot 2025-08-04 122645.png
 
Kuna muda hii chumvi ukiiweka kwenye pembe za chumba au nyumba, Mshana Jr na kikosi chake hawaji ng'ooo utawasikia nje wanatukana tu HUKU wewe upo zako ndani unawacheka kimoyomoyo
Nafikiri siku ile nilipagana nao kivita kiroho ndio maana nikasumbuka vile ila kesho yake nilalala vizuri mnoo
 
Back
Top Bottom