Nilipata ajali na Mungu akaninusuru

Nilipata ajali na Mungu akaninusuru

Asanteni Sana Ndugu zangu. Katika mazingira ya kazi Kuna mengi. Mwaka wa Jana nilifanikiwa kukamata Pamba Tani 11 na ikataifishwa. Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa barabarani gari likiwa linatembea. Nimepata shida Sana. Mungu amesema niendelee kuwepo kuwepo kwanza. Nadhani nimepata nafasi ya kurekebisha makosa yangu hapa DunianiView attachment 1752185View attachment 1752186View attachment 1752187View attachment 1752188View attachment 1752194View attachment 1752196
Kwa sasa ninachoweza kusema ni POLE, mengine tutaongea ukipona.
 
Unajikuta unaleta uraia mwema kwenye dili ukipata dili piga hii nchi ishakuwa shamba la bibi hapo ungeelewana nao wakakukatia chako ungekuta sahivi unavimba tu ona sasa


Unahangaika na matibabu.ungetukuta wana wa Manzese kwenye dili zetu halafu unatuletea habari za kike kuropoka na umbea kutuchoma. Siongei masihara sikufichi nasema ukweli tungekutia bisibisi za tumbo
 
Asanteni Sana Ndugu zangu. Katika mazingira ya kazi Kuna mengi. Mwaka wa Jana nilifanikiwa kukamata Pamba Tani 11 na ikataifishwa.

Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa barabarani gari likiwa linatembea.

Nimepata shida Sana. Mungu amesema niendelee kuwepo kuwepo kwanza. Nadhani nimepata nafasi ya kurekebisha makosa yangu hapa DunianiView attachment 1752186View attachment 1752194
View attachment 1752196
Mtendaji wa Kata tulikuonya kwamba Usaliti ni laana
 
Unaishi kwenye nchi ambayo ubaradhuli ni sifa kuu ya wenye nacho na walio juu ya wengine...

Na bahati mbaya awamu uliyounga mkono iliendekeza aina hii ya ubaradhuli kiasi waliokuwa na mikono ya chuma walikandamiza haswa waliokuwa na miili ya mabua...

Pole sana
 
Back
Top Bottom