Nilipata ajali na Mungu akaninusuru

Nilipata ajali na Mungu akaninusuru

kama ulisaidia kuwa chomesha ukasababisha shida siwezi kukupa pole... maana kuna wale watu unaweka sukari yao ndani baada ya kupanda bei mnakuja mnaanza kutaifisha jibu ndo kama lako una simamia ukweli wakati wengine wako wana umia kwa pesa zao.
 
Asanteni Sana Ndugu zangu. Katika mazingira ya kazi Kuna mengi. Mwaka wa Jana nilifanikiwa kukamata Pamba Tani 11 na ikataifishwa.

Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa barabarani gari likiwa linatembea.

Nimepata shida Sana. Mungu amesema niendelee kuwepo kuwepo kwanza. Nadhani nimepata nafasi ya kurekebisha makosa yangu hapa DunianiView attachment 1752186View attachment 1752194
View attachment 1752196
Ndio malipo ya usaliti uliowafanyia wapiga kura
 
Kuna kitu anaficha Kama asiposema mm nitakisema Nampa siku 2 nilikuwepo huo ukanda wakat wa Hilo sakata la ukamataji wa hizo pamba
...Nawe utakuwa in Wale Wale tu! Unaona MTU ha kusema anachopaswa kusema halafu bado unampa Siku Mbili Akiseme!!

Wewe kwa nini Usikiseme moja kwa moja.. Mpaka umtishie Kwanza?? Wale Wale...!!
 
Back
Top Bottom