Nilipata ajali na Mungu akaninusuru

Nilipata ajali na Mungu akaninusuru

Mungu anisamehe..nasema UKOME...WATU WALIKUPAMBANIA SANA HAPA JF ukawasaliti..SHENZYTYP wewe .
Elli Mshana njoo umuuguze mdogo wako🤣
Huyu mjinga tamaa na mafanikio ya faster faster yamemponza.

Kina Pole pole walimdanganya, halafu akahongwa utendaji wa kata huko usukumani.

Sasa hivi wote pole pole na Bashiru hawawezi kumsaidia tena.

Kigoma ni mkoa ambao haujawahi kuangusha vyama vya upinzani. Hata huyu takataka akiporwa tu kura. Ila ni tamaa tu na haya ndio matokeo yake
 
Huyu mjinga tamaa na mafanikio ya faster faster yamemponza.

Kina Pole pole walimdanganya, halafu akahongwa utendaji wa kata huko usukumani.

Sasa hivi wote pole pole na Bashiru hawawezi kumsaidia tena.

Kigoma ni mkoa ambao haujawahi kuangusha vyama vya upinzani. Hata huyu takataka akiporwa tu kura. Ila ni tamaa tu na haya ndio matokeo yake
Napendaga micomments yako🤣🤣🤣 ya kibabe magufuli akasome🤣🤣
 
kwa ugumu ule wa kilimo cha pamba ulivyo halafu mtu uje tu utaifishe pamba zao!. Hata mimi nisingekubali mkuu lazima ningekurudia tu na hii habari ingeletwa na mwanajf mwingine kama tanzia
😂😂😂
 
Back
Top Bottom