Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,912
Wewe kuwa mwananchi kama mimi, yeyote akizingua unamchana!!mi sio CCM bwana, bali nasapoti wagombea wao kwasababu nyie chadema mmeshindwa kusimamisha mgombea anae eleweka.
Sisi wananchi tuna mahitaji yetu ambayo ni tofauti kabisa na ya wanasiasa.
