Nilipata ajali na Mungu akaninusuru

Nilipata ajali na Mungu akaninusuru

mi sio CCM bwana, bali nasapoti wagombea wao kwasababu nyie chadema mmeshindwa kusimamisha mgombea anae eleweka.
Wewe kuwa mwananchi kama mimi, yeyote akizingua unamchana!!

Sisi wananchi tuna mahitaji yetu ambayo ni tofauti kabisa na ya wanasiasa.
 
Sema raia mnajadili mtu kwa historia yake badala ya madhila aliyopata katika kutimiza majukumu yake. Halafu kuhama chama isiwe ugomvi na kutengeneza chuki, lichukuliwe kama chaguo la mtu. Kwa hiyo, mambo ya vyama yasitugawe kabisa.
 
Sema raia mnajadili mtu kwa historia yake badala ya madhila aliyopata katika kutimiza majukumu yake. Halafu kuhama chama isiwe ugomvi na kutengeneza chuki, lichukuliwe kama chaguo la mtu. Kwa hiyo, mambo ya vyama yasitugawe kabisa.
Wamesalitiwa wana hasira
 
Aisee tokea July 2020 kumbe walikua na wewe.


Shida juu ya shida....


Shida ilianzia hapa nadhani...


ILA POLE SANA MZEE MUHIMU UHAI
 
Back
Top Bottom