mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,754
- 131,912
DuhUliunga Juhudi,ukakamata Pamba ya Watu Tani 11 ukijifanya kiherehere,haohao uliowatia hasara ukapanda gari lao!!Mimi nisingekutupa tu,ningekufira kabisa
Ova
DuhUliunga Juhudi,ukakamata Pamba ya Watu Tani 11 ukijifanya kiherehere,haohao uliowatia hasara ukapanda gari lao!!Mimi nisingekutupa tu,ningekufira kabisa
Pole sana kamanda wa zamani. Vp wana ccm wenzako walijitokeza walau kukupa pole na kamchango ka-matibabu?Asanteni Sana Ndugu zangu. Katika mazingira ya kazi Kuna mengi. Mwaka wa Jana nilifanikiwa kukamata Pamba Tani 11 na ikataifishwa. Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa barabarani gari likiwa linatembea. Nimepata shida Sana. Mungu amesema niendelee kuwepo kuwepo kwanza. Nadhani nimepata nafasi ya kurekebisha makosa yangu hapa DunianiView attachment 1752185View attachment 1752186View attachment 1752187View attachment 1752188View attachment 1752194View attachment 1752196
Pole mother.Bro ungesema basi kuwa unaweka na picha ambazo ni sensitive,..dah!!! Wengine nyoyo zetu tunazijua wenyewe,.. afu usiku huu 😔😔
Labda alishanajisiwa kabla ya kutupwa.Uliunga Juhudi,ukakamata Pamba ya Watu Tani 11 ukijifanya kiherehere,haohao uliowatia hasara ukapanda gari lao!!Mimi nisingekutupa tu,ningekufira kabisa
Hi!Pole sana.
Mungu anisamehe..nasema UKOME...WATU WALIKUPAMBANIA SANA HAPA JF ukawasaliti..SHENZYTYP wewe .Asanteni Sana Ndugu zangu. Katika mazingira ya kazi Kuna mengi. Mwaka wa Jana nilifanikiwa kukamata Pamba Tani 11 na ikataifishwa. Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa barabarani gari likiwa linatembea. Nimepata shida Sana. Mungu amesema niendelee kuwepo kuwepo kwanza. Nadhani nimepata nafasi ya kurekebisha makosa yangu hapa DunianiView attachment 1752185View attachment 1752186View attachment 1752187View attachment 1752188View attachment 1752194View attachment 1752196
Hahahaa kumbe unamkumbukaa hahahaaHawa wasaka vyeo huwa wanakufa vibaya sana
Hahahhaaa..kumbe una kumbukumbu..aliniboa balaaKashtaki CCM hapo ulipo s uliunga juhud nyie ndio CCM mnaoamin kila mfanyalo mpo sawa
Vp tigo waliiacha salama mkuu?
Huyu Muha wa Kakonko aliyetusaliti anastahili hicho kipigoHahahaa kumbe unamkumbukaa hahahaa
Hornet Darling, hujawahi kuingia wanapojifunguliaga ni zaidi ya huyu mbwiga alivyochakaa.@Mhariri tafadhali weka angalizo la picha kwenye tittle
ZImenisababishia msongo wa mawazo