Nilimuoa mwaka 2003 ndoa hii ina mambo mengi sana

Nilimuoa mwaka 2003 ndoa hii ina mambo mengi sana

Kisesetusese

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
536
Reaction score
877
Habari za usiku.

nina mke yapata miaka mingi imepota. Ana 40 na mimi nina 55
1000429294.jpg
1000429296.jpg

Sijawahi kumfumania

Sijawahi kumuona kero



Ushauri wenu
 
uzi wako hujaandika kindani zaidi hivyo sidhani kama utasaidika sana,anyway let's keep it this way, womens brains it's not like us they don't have focus and deeply thinking, so maybe you do have to tell her about what you're thinking and what to change as you mentioned here
 
I have noticed that she becomes very cheerful whenever his brothers visit here.

We have already divided the rooms, and she does not feel comfortable sharing a bed with me. In fact, we started sleeping separately a long time ago.

She has younger brothers who used to live with here —one of them I had to send away due to his behavior. Another one is still here, though he is also preparing to leave. These brothers are all over 30 years old, with the eldest being over 36.

Right now, we are all leaving for work. I have strictly forbidden house helpers from coming here.
deeply talk to her emotionally, women they are so emotionally so make sure she say something...
 
Habari za usiku.

nina mke yapata miaka mingi imepota. Ana 40 na mimi nina 55
View attachment 3289304
Sijawahi kumfumania

Sijawahi kumuona kero

Lakini tangu miaka michache iliyopita naona dalili sizo? Kwamza nimeona ana dalili za PID niliwaza sana nikakosa majibu.

Nilimshauri aone wataalm hospital akaenda akapewa dawa.
Majukumu yanamzidia, huduma zimepungua sana.

Anajali sana nduguze, watoto wake hawajali. Ile malezi ya watoto ikiwa ni pamoja kiwasisitiza mambo ya kimalez hana.

kuna wakati namsaidiankazi zake. Za nyumbani na ofisini. Bali waapi.

Kwa umri huu wangu anaona kama nimeshakwisha.

Ushauri wenu
Duh
 
I have noticed that she becomes very cheerful whenever his brothers visit here.

We have already divided the rooms, and she does not feel comfortable sharing a bed with me. In fact, we started sleeping separately a long time ago.

She has younger brothers who used to live with here —one of them I had to send away due to his behavior. Another one is still here, though he is also preparing to leave. These brothers are all over 30 years old, with the eldest being over 36.

Right now, we are all leaving for work. I have strictly forbidden house helpers from coming here.
Hivi kunakuaga na ishu gani ndani ya nyumba inasababisha haya mambo ya kugawana vyumba mke na mume? Wazazi wangu ni wazee nao tangu 2008 hawalali chumba kimoja na wanaishi poa tu!
 
Ndoa zinakuaga na mambo mengi wajuba, mengine ni hasi na mengine ni chanya. Kinachotakiwa ni kuvumiliana mabadiliko ya kitabia mpaka mwisho wa uhai mtenganishwe na kifo. Kuna wengine hawavumiliani wanaachana mapema ujananani au wengine huachana uzeeni wanao mpaka wajukuu. Ila ndoa ikiwa na maadili haitakuwa ma maudhi mwanzo hadi mwisho
 
deeply talk to her emotionally, women they are so emotionally so make sure she say something...
A few years ago, whenever I returned to my room, everything was well arranged—clothes were washed, bedsheets were clean, even my boxers were laundered.

These changes inspired me to also help with cooking and other chores. I made an effort to buy gifts like clothes, fabrics, and other items.

In our home culture, there is no concept of a "table tax." We ensure that all household needs are well stocked. Money is not an issue when it comes to essentials—we buy everything, from tomatoes to cooking oil, and they are always available.

We also take care of children's expenses and send support to our parents. I personally send money to my wife parents among other responsibilities.

But now, things have changed.
 
uzi wako hujaandika kindani zaidi hivyo sidhani kama utasaidika sana,anyway let's keep it this way, womens brains it's not like us they don't have focus and deeply thinking, so maybe you do have to tell her about what you're thinking and what to change as you mentioned here
Mkuu umeelezea vizuri hasa pale uliposema corona ili athiri watu wengi nafikiria nikuunge mkono kwenye point yako ya kwamba tulime mahindi na maharage kwa wingi sana kusaidia wanachuo ahsante sana mkuu.
 
Nyie
A few years ago, whenever I returned to my room, everything was well arranged—clothes were washed, bedsheets were clean, even my boxers were laundered.

These changes inspired me to also help with cooking and other chores. I made an effort to buy gifts like clothes, fabrics, and other items.

In our home culture, there is no concept of a "table tax." We ensure that all household needs are well stocked. Money is not an issue when it comes to essentials—we buy everything, from tomatoes to cooking oil, and they are always available.

We also take care of children's expenses and send support to our parents. I personally send money to my wife parents among other responsibilities.

But now, things have changed.
 
Habari za usiku.

nina mke yapata miaka mingi imepota. Ana 40 na mimi nina 55
View attachment 3289304View attachment 3289309
Sijawahi kumfumania

Sijawahi kumuona kero

Lakini tangu miaka michache iliyopita naona dalili sizo? Kwamza nimeona ana dalili za PID niliwaza sana nikakosa majibu.

Nilimshauri aone wataalm hospital akaenda akapewa dawa.
Majukumu yanamzidia, huduma zimepungua sana.

Anajali sana nduguze, watoto wake hawajali. Ile malezi ya watoto ikiwa ni pamoja kiwasisitiza mambo ya kimalez hana.

kuna wakati namsaidiankazi zake. Za nyumbani na ofisini. Bali waapi.

Kwa umri huu wangu anaona kama nimeshakwisha.

Ushauri wenu
unamtiaje?
 
Wanadamu ndio tulivyo kadri muda unavyoenda tunabadili mitazamo juu ya machaguo yetu ya mwanzoni na hii hutokana na matarajio kuzidi au kutofautiana na uhalisia.....

Tofauti ni kwamba tumetofautiana kwenye kukabiliana na hali hii maana kuna wengine huwaletea msongo wa mawazo, hasira za hapa na pale na maugomvi yasiyo na msingi hasa kwa wanawake.......

Kwa wanaume athari zake si kubwa sana kutokana mitindo ya maisha kwenye jamii kama inavyojulikana.....

Kama ni kwenye NDOA hakuna tiba juu ya jambo hilo zaidi ya kujitahidi kuligundua kwa haraka ili uweze kukabiliana nalo na mimi huwa naonaga njia nzuri kwa mwanaume ni kujitahidi kupunguza ukaribu usio na Sababu za kimsingi ili kupunguzia kero.....

Hili jambo ndio hasa inaloleta maana ya ndoa ni kuvumiliana
 
Najitahudi sana. Tuna watoto 5 wakiume 2 wakike 3 hajachoka sana kwa sabab watoto ni wa utotoni. Mmoja yuko chuo wa pili form 6 wa mwisho ni form 3.
Mkuu nikuulize kitu,bado unafanya kazi au umestaafu?wakishaonaga umestaafu au unakaribia kustaafu ndio wanakuwaga hivyo yaani wanachukulia kwamba hana biashara tena na wewe hapo hesabu zake zinamtuma kwamba watoto wake wakimaliza kusoma wana uwezo wa kumsaidia hata bila wewe kuwepo.
Katika kipindi hicho unahitaji kutumia busara ya hali ya juu sana na akili nyingi vinginevyo mtaishia pabaya.
Nimewahi kushuhudia visa kama hivyo mahali fulani.
 
Back
Top Bottom